MY TANZANIA   |   PLACES TO GO   |   MEDIA   |   ONLINE ENTERTAINMENT    

Habari za kusikitisha zinapasha kwamba Rais wa Zambia , Levy Mwanawasa amefariki dunia akiwa hospitali jijini Paris nchini Ufaransa alipokuwa amelazwa takribani miezi miwili sasa baada ya kuugua alipokuwa akihudhuria mkutano wa viongozi wa Umoja wa Afrika huko Sharm El Sheikh nchini Misri.Ugonjwa wa kiharusi ndio umesababisha kifo cha Rais Mwanawasa ambaye aliingia madarakani mwaka 2001. Huu ulikuwa msimu wake wa pili madarakani.Alikuwa na miaka 59.Mungu ailaze pema roho yake.BC inatuma salamu za pole kwa raia wote wa Zambia.

Share and Enjoy:
  • Digg
  • Sphinn
  • del.icio.us
  • Facebook
  • Mixx
  • Google Bookmarks
  • E-mail this story to a friend!
  • LinkedIn
  • Live
  • Spurl
  • Technorati
  • Yahoo! Buzz
  • YahooMyWeb

Feedback / Comments

13 Responses to “RAIS WA ZAMBIA AFARIKI DUNIA”

  1. Comment by hombiz on August 19th, 2008 2:12 pm

    POLENI KWA MSIBA WANAFAMILIA, NDUGU, JAMAA, MARAFIKI NA WANANCHI WOTE WA ZAMBIA NA AFRIKA NZIMA KWA UJUMLA. MOLA ALITOA, MOLA AMETWAA. MWENYEZI MUNGU AMREHEMU APUMZIKE KWA AMANI.

  2. Comment by kino on August 19th, 2008 5:58 pm

    such a great loss to africa and the people of zambia rip comrade we will miss you so bad.

  3. Comment by michelle on August 19th, 2008 9:12 pm

    Washa mnyorosa na huyu, watu wa kusini bwana , poleni sana Mungu awatie nguvu!!!!!!!!!!!

  4. Comment by TATU on August 20th, 2008 2:44 am

    NAWAPA POLE SANA FAMILIA YAKE MAREHEMU PIA WANANCHI WA ZAMBIA NAWAPA POLE SANA WAWE WAVUMILIVU KWA KIPINDI HIKI KIGUMU.

    R.I.P

    LEVY MWANAWASA

  5. Comment by Edwin Ndaki on August 20th, 2008 3:22 am

    RIP Mwanawasa

  6. Comment by Matty on August 20th, 2008 5:46 am

    RIP MWANAWASA!

  7. Comment by kekue on August 20th, 2008 5:54 am

    Tangulia Mwanawasa

  8. Comment by Mchunguzi on August 20th, 2008 8:23 am

    Jamani watu wabaya jamani nyinyi!
    Nani huyu aliefanya hivi!
    Robati au Fredriki?
    Khaa!

  9. Comment by HALIMA on August 20th, 2008 8:51 am

    Bwana ametoa na bwana ametwaa jina la bwana lihimidiwe.

  10. Comment by kitomu on August 20th, 2008 3:29 pm

    Jina la bwana lihimidiwe

  11. Comment by binti-mzuri on August 20th, 2008 6:35 pm

    R.I.P

  12. Comment by Sally on August 21st, 2008 7:43 am

    Rest in peace L. Mwanawasa

  13. Comment by paka mkolofi on August 24th, 2008 2:01 pm

    TUTAKUKUMBUKA MWANA TANGULIA MZAZI

Leave a Reply