
Paschal Mayalla(pichani) mwandishi na mtangazaji maarufu hajambo na tayari yupo tena mitaani kuendelea na shughuli zake ingawa kidogo mkono bado unamsumbua.Hiyo ni kwa mujibu wa blog ya Mzee wa Sumo.
Kama mtakumbuka hivi karibuni Mayalla alipata ajali mbaya ya pikipiki alipokuwa akisafiri kuelekea Dodoma akitokea Dar-es-salaam Pichani ni Pascal Mayalla akikatisha katika mitaa jijini Dar-es-salaam kama alivyonaswa na Mzee wa Sumo.BC inaendelea kumtakia Mayalla afya njema.
Page 1 of 3 | Next page