It is every designers dream to be part of the London Fashion Week, and this year Ally Rehmtullah, a 22 year old Tanzanian designer was given this honour. On the 19th of September Ally Rehmtullah launched his new African Couture at the Museum of London during the London Fashion Week. Ally was also part of fashion diversity whereby as an established designer he was an inspiration to the young and upcoming designers in London. Ally Rehmtullah’s couture was modelled by MAHOGANY MODELS from London.Here are some images.





BC would like to congratulate Ally Rehmtullah for his achievements. Kazi nzuri kaka!
Feedback / Comments
23 Responses to “ALLY REHMTULLAH’S LONDON FASHION WEEK LAUNCH”
Leave a Reply


sending...
Mmh, Bi Kidude yuko wapi? mbona simuoni kwenye picha?
mi kilichonichanganya ni huo mtindo wa nguo hiyo nyeupe ni nini?embu aliyeelewa anisaidie jamani
na huyo mzungu mi kanipa kizungu zungu sijamuelewa hata kidogo ni mwamvuli amevaa au? alafu inaonekana amekula age kishenzi na hizo ngoko kama za kishumundu
duhhh wajameni mwe huu ubunifu tuangalie tusije tukavaa maparachuti ohooo angalia sasa huyo mzungu alichovaa duuuh halafu ukija huku kwenye usafiri mmmh kigimbiz kimenichangaya.
Wanapandeza. Gervas unaona walivyopendeza?
nimependa rangi ya huyo dada aliefunga kilemba lakini vazi sijalielewa hapo kati utadhani matuta ya viazi
hapo ndio utajuwa waafrika wanamvuto check hapo huyo mzungu haeleweki kabisa hiyo mikono imekomaa utadhania miguu ya flamingo. mhhhhhhhhhhhhhhh
He Amina umemuona bimkubwa Sinyorita na gauni lake la pink/???mhh Edwin Ndaki tutafika kweli???au ndo umodo hauna age?
yeah, The GIRLS are really hot
Hongera Ndugu Ally Rehmtullah. That’s a great start! I hope everything will be under control! Go show the World what third world talents can do. Good Luck BoY!
See the sunrise, feel the power, reach the height and touch the future BOY!
duh hongera sana kaka, umewaonyesha wazungu kama sisi bongo pia tunaweza kufanya mavituz!
unayeuliza huyo mwenye nguo nyeupe ni vipi.
Ni kuwa:- njia nyepesi ya kubeba maembe wakati wa msimu wa maembe ni kufunga shati ulilovaa kwa mbele na yenyewe kuyadumbukiza mgongoni.
Sasa huyu bwana mbunifu yeye ameona kwa vile dada zetu huwa hawavai mashati basi wao watakuwa wanadumbukiza humo kwenye hiyo aina ya nguo maembe yao wakati wa msimu.Naamini vazi hilo litakubalika sana kule Majita na maeneo mengine ambako kuna maembe.hahahahahahaha
mzungu zero.
Mswahilina…sio “wamepandeza”, bali wamependeza. kikwetu hilo neno uliloandika ni matusi, tuwe makini jamani tunapobofya kii bodi. Sasa mi naona aliyependeza labda huyo wa pili, sasa kama huyo mzungu hiyo nguo yake akipambana na upepo wa kule dodoma au shinyanga….kweli hiyo nguo yaweza geuka kuwa parachuti. labda hizo shanga ndo zimewapendeza.
kaka kwanza hongera sana.
Gervas mbona bi kidude yupo hapo kwani we humuoni!!!!??? si ni huyo mdhungu hapo!!!????
jamani ni vizuri ameenda kufanya shoo yake huko lakini pia huyo mdhungu hajapendezea jamani tuwage wa kweli,mi nilipomuona nilishukta.
Aisee majita umeua duh Kwikwikwikwi!!!!!!!!!!!!!
hivyo viatu vya huyo dada wa kizungu,ni primark £10.
nimependa nguo zao lakini..sijui nyie,ila mi naona ziko bomba tu! hata mkiangalia fashion shows za desiners A-class nao wanadesignigi ivo ivo..ndipo zinapoanzia huko,kabla ya kufika madukani mwenu ohoo…akivaa beyonce,kesho wote mtanunua.
ally remtula congrats,mpaka kufikia in the very same stage were the likes of chanel,versace and dolce and gabbana do their stands,wahitaji hongera sana.so much for a tanzanian boy,with a dream
Aahaa, Gervas, umesema eti kwenu ni matusi; hivi ukitoka mjini morogoro, ukaenda hadi kiroka, ukaenda hadi mkuyuni, kutoka hapo mkuyuni utaelekea wapi? kuna wadada wazuri sana kama hao unaowaona hapo.
Ukishangaa ya musa utayaona ya filauni.
hapa nikimleta mkwe wangu bibi Nalitolela anafunika bovu ingawa she’s at least 82
Nalitolela PS. Mhhhh umemaliza mjadala lol, huyo mkweo basi ni byute aisee naweza pata picha yake???
Kiukweli me wamenivutia hasa huyo aliyevaa nyeusi hata pause ya ukweli.Lakini huyo mzungu………mh!cjawahi ona model kama yeye.kwa ushauri tu,ucfanye naye kazi tena mbona waafrika wapo bomba tu,kuna haja gani ya kuchukua wazungu???????