It is every designers dream to be part of the London Fashion Week, and this year Ally Rehmtullah, a 22 year old Tanzanian designer was given this honour. On the 19th of September Ally Rehmtullah launched his new African Couture at the Museum of London during the London Fashion Week. Ally was also part of fashion diversity whereby as an established designer he was an inspiration to the young and upcoming designers in London. Ally Rehmtullah’s couture was modelled by MAHOGANY MODELS from London.Here are some images.

BC would like to congratulate Ally Rehmtullah for his achievements. Kazi nzuri kaka!

Feedback / Comments

23 Responses to “ALLY REHMTULLAH’S LONDON FASHION WEEK LAUNCH”

  1. Comment by Gervas on September 24th, 2008 1:44 am

    Mmh, Bi Kidude yuko wapi? mbona simuoni kwenye picha?

  2. Comment by sellanda on September 24th, 2008 1:58 am

    mi kilichonichanganya ni huo mtindo wa nguo hiyo nyeupe ni nini?embu aliyeelewa anisaidie jamani

  3. Comment by sellanda on September 24th, 2008 2:02 am

    na huyo mzungu mi kanipa kizungu zungu sijamuelewa hata kidogo ni mwamvuli amevaa au? alafu inaonekana amekula age kishenzi na hizo ngoko kama za kishumundu

  4. Comment by halima on September 24th, 2008 5:03 am

    duhhh wajameni mwe huu ubunifu tuangalie tusije tukavaa maparachuti ohooo angalia sasa huyo mzungu alichovaa duuuh halafu ukija huku kwenye usafiri mmmh kigimbiz kimenichangaya.

  5. Comment by Mswahilina on September 24th, 2008 5:53 am

    Wanapandeza. Gervas unaona walivyopendeza?

  6. Comment by salma on September 24th, 2008 7:41 am

    nimependa rangi ya huyo dada aliefunga kilemba lakini vazi sijalielewa hapo kati utadhani matuta ya viazi

  7. Comment by halima on September 24th, 2008 7:46 am

    hapo ndio utajuwa waafrika wanamvuto check hapo huyo mzungu haeleweki kabisa hiyo mikono imekomaa utadhania miguu ya flamingo. mhhhhhhhhhhhhhhh

  8. Comment by Matty on September 24th, 2008 9:30 am

    He Amina umemuona bimkubwa Sinyorita na gauni lake la pink/???mhh Edwin Ndaki tutafika kweli???au ndo umodo hauna age?

  9. Comment by deo on September 24th, 2008 12:41 pm

    yeah, The GIRLS are really hot

  10. Comment by kokoliko on September 24th, 2008 1:17 pm

    Hongera Ndugu Ally Rehmtullah. That’s a great start! I hope everything will be under control! Go show the World what third world talents can do. Good Luck BoY!

  11. Comment by hombiz on September 24th, 2008 1:39 pm

    See the sunrise, feel the power, reach the height and touch the future BOY!

  12. Comment by toti on September 24th, 2008 3:45 pm

    duh hongera sana kaka, umewaonyesha wazungu kama sisi bongo pia tunaweza kufanya mavituz!

  13. Comment by Majita on September 24th, 2008 5:26 pm

    unayeuliza huyo mwenye nguo nyeupe ni vipi.
    Ni kuwa:- njia nyepesi ya kubeba maembe wakati wa msimu wa maembe ni kufunga shati ulilovaa kwa mbele na yenyewe kuyadumbukiza mgongoni.
    Sasa huyu bwana mbunifu yeye ameona kwa vile dada zetu huwa hawavai mashati basi wao watakuwa wanadumbukiza humo kwenye hiyo aina ya nguo maembe yao wakati wa msimu.Naamini vazi hilo litakubalika sana kule Majita na maeneo mengine ambako kuna maembe.hahahahahahaha

  14. Comment by trii on September 25th, 2008 1:31 am

    mzungu zero.

  15. Comment by Gervas on September 25th, 2008 2:44 am

    Mswahilina…sio “wamepandeza”, bali wamependeza. kikwetu hilo neno uliloandika ni matusi, tuwe makini jamani tunapobofya kii bodi. Sasa mi naona aliyependeza labda huyo wa pili, sasa kama huyo mzungu hiyo nguo yake akipambana na upepo wa kule dodoma au shinyanga….kweli hiyo nguo yaweza geuka kuwa parachuti. labda hizo shanga ndo zimewapendeza.

  16. Comment by Pearl on September 25th, 2008 5:31 am

    kaka kwanza hongera sana.
    Gervas mbona bi kidude yupo hapo kwani we humuoni!!!!??? si ni huyo mdhungu hapo!!!????

    jamani ni vizuri ameenda kufanya shoo yake huko lakini pia huyo mdhungu hajapendezea jamani tuwage wa kweli,mi nilipomuona nilishukta.

  17. Comment by halima on September 25th, 2008 7:34 am

    Aisee majita umeua duh Kwikwikwikwi!!!!!!!!!!!!!

  18. Comment by binti-mzuri on September 25th, 2008 11:01 am

    hivyo viatu vya huyo dada wa kizungu,ni primark £10.

    nimependa nguo zao lakini..sijui nyie,ila mi naona ziko bomba tu! hata mkiangalia fashion shows za desiners A-class nao wanadesignigi ivo ivo..ndipo zinapoanzia huko,kabla ya kufika madukani mwenu ohoo…akivaa beyonce,kesho wote mtanunua.

    ally remtula congrats,mpaka kufikia in the very same stage were the likes of chanel,versace and dolce and gabbana do their stands,wahitaji hongera sana.so much for a tanzanian boy,with a dream

  19. Comment by Mswahilina on September 25th, 2008 1:41 pm

    Aahaa, Gervas, umesema eti kwenu ni matusi; hivi ukitoka mjini morogoro, ukaenda hadi kiroka, ukaenda hadi mkuyuni, kutoka hapo mkuyuni utaelekea wapi? kuna wadada wazuri sana kama hao unaowaona hapo.

  20. Comment by Dunda Golden on September 27th, 2008 6:21 am

    Ukishangaa ya musa utayaona ya filauni.

  21. Comment by Nalitolela, P. S. on October 2nd, 2008 2:47 am

    hapa nikimleta mkwe wangu bibi Nalitolela anafunika bovu ingawa she’s at least 82

  22. Comment by Matty on October 7th, 2008 3:26 am

    Nalitolela PS. Mhhhh umemaliza mjadala lol, huyo mkweo basi ni byute aisee naweza pata picha yake???

  23. Comment by Johari on August 2nd, 2010 10:46 am

    Kiukweli me wamenivutia hasa huyo aliyevaa nyeusi hata pause ya ukweli.Lakini huyo mzungu………mh!cjawahi ona model kama yeye.kwa ushauri tu,ucfanye naye kazi tena mbona waafrika wapo bomba tu,kuna haja gani ya kuchukua wazungu???????

Leave a Reply