<?xml version="1.0" encoding="UTF-8"?><rss version="2.0"
	xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"
	xmlns:dc="http://purl.org/dc/elements/1.1/"
	xmlns:atom="http://www.w3.org/2005/Atom"
	xmlns:sy="http://purl.org/rss/1.0/modules/syndication/"
		>
<channel>
	<title>Comments on: NI WEWE PEKEE-MAQUIS ORIGINAL</title>
	<atom:link href="http://www.bongocelebrity.com/2008/10/03/ni-wewe-pekee-maquis-original/feed/" rel="self" type="application/rss+xml" />
	<link>http://www.bongocelebrity.com/2008/10/03/ni-wewe-pekee-maquis-original/</link>
	<description></description>
	<lastBuildDate>Sat, 11 Feb 2012 15:21:30 +0000</lastBuildDate>
	<sy:updatePeriod>hourly</sy:updatePeriod>
	<sy:updateFrequency>1</sy:updateFrequency>
	<generator>http://wordpress.org/?v=3.3.1</generator>
	<item>
		<title>By: Gervas</title>
		<link>http://www.bongocelebrity.com/2008/10/03/ni-wewe-pekee-maquis-original/comment-page-1/#comment-13830</link>
		<dc:creator>Gervas</dc:creator>
		<pubDate>Wed, 08 Oct 2008 17:03:43 +0000</pubDate>
		<guid isPermaLink="false">http://bongocelebrity.wordpress.com/2008/10/01/ni-wewe-pekee-maquis-original/#comment-13830</guid>
		<description>Buzz!!!!  ..Buzz!!!</description>
		<content:encoded><![CDATA[<p>Buzz!!!!  ..Buzz!!!</p>
]]></content:encoded>
	</item>
	<item>
		<title>By: DUNDA GALDEN</title>
		<link>http://www.bongocelebrity.com/2008/10/03/ni-wewe-pekee-maquis-original/comment-page-1/#comment-13829</link>
		<dc:creator>DUNDA GALDEN</dc:creator>
		<pubDate>Wed, 08 Oct 2008 15:33:16 +0000</pubDate>
		<guid isPermaLink="false">http://bongocelebrity.wordpress.com/2008/10/01/ni-wewe-pekee-maquis-original/#comment-13829</guid>
		<description>Home sick waungwana
NI WEWE KIPENZI NIKUPENDAE KWA JINA UNAITWA NANI NIHII
Kibao cha nguvu moja kati ya vibao vya nguvu mwageni music
wa kwetu BC hatua moja uzaa nyengine
Chai goda</description>
		<content:encoded><![CDATA[<p>Home sick waungwana<br />
NI WEWE KIPENZI NIKUPENDAE KWA JINA UNAITWA NANI NIHII<br />
Kibao cha nguvu moja kati ya vibao vya nguvu mwageni music<br />
wa kwetu BC hatua moja uzaa nyengine<br />
Chai goda</p>
]]></content:encoded>
	</item>
	<item>
		<title>By: Matty</title>
		<link>http://www.bongocelebrity.com/2008/10/03/ni-wewe-pekee-maquis-original/comment-page-1/#comment-13828</link>
		<dc:creator>Matty</dc:creator>
		<pubDate>Tue, 07 Oct 2008 12:02:57 +0000</pubDate>
		<guid isPermaLink="false">http://bongocelebrity.wordpress.com/2008/10/01/ni-wewe-pekee-maquis-original/#comment-13828</guid>
		<description>Kibao kimenibamba ile mbaya!
Nakwambia Edo Ndaki hapa labda mimi nikiwa Raisi mambo kama hayo hayatatokea, history inajieleza kabisa maafa yashawahi kutokea hapo ktk ukumbi huo bado tunaruhusu ukumbi huo huo utumike kwa disco, hv tuna akili timamu kweli??kwanini usingefanyiwa uchunguzi kwanza ili ijulikane unatatizo gani kama hauna madirisha basi ungetobolewa ukuta ili hewa ipatikane.
Pumzikeni kwa Amani watoto wa mungu na marafiki za Yesu!</description>
		<content:encoded><![CDATA[<p>Kibao kimenibamba ile mbaya!<br />
Nakwambia Edo Ndaki hapa labda mimi nikiwa Raisi mambo kama hayo hayatatokea, history inajieleza kabisa maafa yashawahi kutokea hapo ktk ukumbi huo bado tunaruhusu ukumbi huo huo utumike kwa disco, hv tuna akili timamu kweli??kwanini usingefanyiwa uchunguzi kwanza ili ijulikane unatatizo gani kama hauna madirisha basi ungetobolewa ukuta ili hewa ipatikane.<br />
Pumzikeni kwa Amani watoto wa mungu na marafiki za Yesu!</p>
]]></content:encoded>
	</item>
	<item>
		<title>By: EDWIN NDAKI</title>
		<link>http://www.bongocelebrity.com/2008/10/03/ni-wewe-pekee-maquis-original/comment-page-1/#comment-13827</link>
		<dc:creator>EDWIN NDAKI</dc:creator>
		<pubDate>Mon, 06 Oct 2008 13:31:29 +0000</pubDate>
		<guid isPermaLink="false">http://bongocelebrity.wordpress.com/2008/10/01/ni-wewe-pekee-maquis-original/#comment-13827</guid>
		<description>Bc wazima mbona mnasua sua..kuna tatizo gani limewasibu..

nawaombea kila jema</description>
		<content:encoded><![CDATA[<p>Bc wazima mbona mnasua sua..kuna tatizo gani limewasibu..</p>
<p>nawaombea kila jema</p>
]]></content:encoded>
	</item>
	<item>
		<title>By: Matty</title>
		<link>http://www.bongocelebrity.com/2008/10/03/ni-wewe-pekee-maquis-original/comment-page-1/#comment-13826</link>
		<dc:creator>Matty</dc:creator>
		<pubDate>Mon, 06 Oct 2008 09:01:41 +0000</pubDate>
		<guid isPermaLink="false">http://bongocelebrity.wordpress.com/2008/10/01/ni-wewe-pekee-maquis-original/#comment-13826</guid>
		<description>Hv ni mimi tu siwapati BC au???? pls mnanidrive mad aisee mko wapi wadau???sioni maoni kabisa!</description>
		<content:encoded><![CDATA[<p>Hv ni mimi tu siwapati BC au???? pls mnanidrive mad aisee mko wapi wadau???sioni maoni kabisa!</p>
]]></content:encoded>
	</item>
	<item>
		<title>By: hombiz</title>
		<link>http://www.bongocelebrity.com/2008/10/03/ni-wewe-pekee-maquis-original/comment-page-1/#comment-13825</link>
		<dc:creator>hombiz</dc:creator>
		<pubDate>Sun, 05 Oct 2008 16:22:32 +0000</pubDate>
		<guid isPermaLink="false">http://bongocelebrity.wordpress.com/2008/10/01/ni-wewe-pekee-maquis-original/#comment-13825</guid>
		<description>Aisee!. Hii nyimbo inanikumbusha mbali sana. Njaa ya mchana wakati nasubiri ugali na maharage pamoja na kabichi. Wakati huo &quot;beki tabu wetu&quot; (mtumishi wa nyumbani) alikuwa ni mwanaume. Alikuwa anajua kupika hadi kila mtu alibana ng`eng`e! Na mwanamama akiwa kajaaliwa mambo fulani mtumishi wetu aliita zegembe!. Wanaume wote tulikuwa macho feni. Tukaulizwa tunashaa nini? Tukaambiwa tukashangae feli meli inatembea lakini haina mataili. kwakwali mambo yalikuwa ni danga che dukinaaaa kama sio dole. Uuuuuuwi!  Old is gold ma people!
Give it up to Maquis Big Time!
Stay up everybody</description>
		<content:encoded><![CDATA[<p>Aisee!. Hii nyimbo inanikumbusha mbali sana. Njaa ya mchana wakati nasubiri ugali na maharage pamoja na kabichi. Wakati huo &#8220;beki tabu wetu&#8221; (mtumishi wa nyumbani) alikuwa ni mwanaume. Alikuwa anajua kupika hadi kila mtu alibana ng`eng`e! Na mwanamama akiwa kajaaliwa mambo fulani mtumishi wetu aliita zegembe!. Wanaume wote tulikuwa macho feni. Tukaulizwa tunashaa nini? Tukaambiwa tukashangae feli meli inatembea lakini haina mataili. kwakwali mambo yalikuwa ni danga che dukinaaaa kama sio dole. Uuuuuuwi!  Old is gold ma people!<br />
Give it up to Maquis Big Time!<br />
Stay up everybody</p>
]]></content:encoded>
	</item>
	<item>
		<title>By: Mswahilina</title>
		<link>http://www.bongocelebrity.com/2008/10/03/ni-wewe-pekee-maquis-original/comment-page-1/#comment-13824</link>
		<dc:creator>Mswahilina</dc:creator>
		<pubDate>Sun, 05 Oct 2008 13:22:36 +0000</pubDate>
		<guid isPermaLink="false">http://bongocelebrity.wordpress.com/2008/10/01/ni-wewe-pekee-maquis-original/#comment-13824</guid>
		<description>Ni wewe pekee &quot;BC&quot;.</description>
		<content:encoded><![CDATA[<p>Ni wewe pekee &#8220;BC&#8221;.</p>
]]></content:encoded>
	</item>
	<item>
		<title>By: Mama wa Kichagga</title>
		<link>http://www.bongocelebrity.com/2008/10/03/ni-wewe-pekee-maquis-original/comment-page-1/#comment-13823</link>
		<dc:creator>Mama wa Kichagga</dc:creator>
		<pubDate>Fri, 03 Oct 2008 13:57:21 +0000</pubDate>
		<guid isPermaLink="false">http://bongocelebrity.wordpress.com/2008/10/01/ni-wewe-pekee-maquis-original/#comment-13823</guid>
		<description>Safi sana BC kibao kina beep sakafu ya moyo asante yamenikumbusha mbali sana ila chichemi hapa hahaaaa.

Wana BC wote Mungu awajalie muifurahie na kuipenda week-end hii. Muwaambie wapendwa wenu kuwa mnawapenda kwani inapendezaga sana. Ukiminya inakuwa ngumu mwenzio kujua kama bado mambo ni mswano.

Maquis Nawapenda wametulia vema.</description>
		<content:encoded><![CDATA[<p>Safi sana BC kibao kina beep sakafu ya moyo asante yamenikumbusha mbali sana ila chichemi hapa hahaaaa.</p>
<p>Wana BC wote Mungu awajalie muifurahie na kuipenda week-end hii. Muwaambie wapendwa wenu kuwa mnawapenda kwani inapendezaga sana. Ukiminya inakuwa ngumu mwenzio kujua kama bado mambo ni mswano.</p>
<p>Maquis Nawapenda wametulia vema.</p>
]]></content:encoded>
	</item>
	<item>
		<title>By: EDWIN NDAKI</title>
		<link>http://www.bongocelebrity.com/2008/10/03/ni-wewe-pekee-maquis-original/comment-page-1/#comment-13822</link>
		<dc:creator>EDWIN NDAKI</dc:creator>
		<pubDate>Fri, 03 Oct 2008 10:28:03 +0000</pubDate>
		<guid isPermaLink="false">http://bongocelebrity.wordpress.com/2008/10/01/ni-wewe-pekee-maquis-original/#comment-13822</guid>
		<description>BC na wadau wote binafsi sina uwezo hata wa kusikiliza wimbo huo,kutokana MAAFA ya vifo vya watoto zaidi ya 19 yaliyotokea Tabora.

Kwanza nachukua nafasi hii kuwapa pole,ndugu jamaa,wazazi na marafiki wa watoto walioaga dunia.Mwenyezi Mungu awape moyo wa uvumilivu katika kipindi hiki kigumu wanachokabiliana nacho.

Inaumiza sana kuona &quot;MACELEBRITY&quot; wa siku za usoni wanakufa kutoka na uzembe wa mfumo usiojali wasionacho.

Naamini kama serikali yetu ingekuwa makini kutenga na kusimamia maeneo ya wazi ya burudani ya watoto basi vitu kama hivi vingeweza kuepukwa.

Tunatumia mabilioni ya pesa kwa safari za kwenda &#039;kuuza&#039; sura USA na kumpigia Bush magoti kuomba msaada wakati ..tunarasimali kibao tunashindwa kuzitumia vema.

Wamefariki watoto zaidi ya 19 kwa sababu ni watoto wa walalahoi kama mimi &#039;muheshimiwa&#039;hana muda hata wa kwenda kuwapa pole anatuma ujumbe tu.Wakati ana muda wa kwenda kuangalia ligi ya NBA..Kweli hii serikali ya &#039;kishkaji&#039;.

Mara nyingi ukiona &#039;muheshimiwa&#039; kaenda kumuona mgonjwa muhimbili basi ujue ni katika &#039;utashi wa kisiasa&#039; hakuna jingine lolote.

Nawapa pole sana tena sana.Nimeumia sana kuona watoto wakipoteza maisha katika mazingira ambayo tungeweza kuwanusuru.

Ila poa tu..naamini haya yote yana mwisho wake.

TUTAFIKA TU</description>
		<content:encoded><![CDATA[<p>BC na wadau wote binafsi sina uwezo hata wa kusikiliza wimbo huo,kutokana MAAFA ya vifo vya watoto zaidi ya 19 yaliyotokea Tabora.</p>
<p>Kwanza nachukua nafasi hii kuwapa pole,ndugu jamaa,wazazi na marafiki wa watoto walioaga dunia.Mwenyezi Mungu awape moyo wa uvumilivu katika kipindi hiki kigumu wanachokabiliana nacho.</p>
<p>Inaumiza sana kuona &#8220;MACELEBRITY&#8221; wa siku za usoni wanakufa kutoka na uzembe wa mfumo usiojali wasionacho.</p>
<p>Naamini kama serikali yetu ingekuwa makini kutenga na kusimamia maeneo ya wazi ya burudani ya watoto basi vitu kama hivi vingeweza kuepukwa.</p>
<p>Tunatumia mabilioni ya pesa kwa safari za kwenda &#8216;kuuza&#8217; sura USA na kumpigia Bush magoti kuomba msaada wakati ..tunarasimali kibao tunashindwa kuzitumia vema.</p>
<p>Wamefariki watoto zaidi ya 19 kwa sababu ni watoto wa walalahoi kama mimi &#8216;muheshimiwa&#8217;hana muda hata wa kwenda kuwapa pole anatuma ujumbe tu.Wakati ana muda wa kwenda kuangalia ligi ya NBA..Kweli hii serikali ya &#8216;kishkaji&#8217;.</p>
<p>Mara nyingi ukiona &#8216;muheshimiwa&#8217; kaenda kumuona mgonjwa muhimbili basi ujue ni katika &#8216;utashi wa kisiasa&#8217; hakuna jingine lolote.</p>
<p>Nawapa pole sana tena sana.Nimeumia sana kuona watoto wakipoteza maisha katika mazingira ambayo tungeweza kuwanusuru.</p>
<p>Ila poa tu..naamini haya yote yana mwisho wake.</p>
<p>TUTAFIKA TU</p>
]]></content:encoded>
	</item>
	<item>
		<title>By: eee</title>
		<link>http://www.bongocelebrity.com/2008/10/03/ni-wewe-pekee-maquis-original/comment-page-1/#comment-13821</link>
		<dc:creator>eee</dc:creator>
		<pubDate>Fri, 03 Oct 2008 07:34:12 +0000</pubDate>
		<guid isPermaLink="false">http://bongocelebrity.wordpress.com/2008/10/01/ni-wewe-pekee-maquis-original/#comment-13821</guid>
		<description>!!!!!!!</description>
		<content:encoded><![CDATA[<p>!!!!!!!</p>
]]></content:encoded>
	</item>
</channel>
</rss>

<!-- Performance optimized by W3 Total Cache. Learn more: http://www.w3-edge.com/wordpress-plugins/

Page Caching using disk: enhanced

Served from: www.bongocelebrity.com @ 2012-02-12 00:36:56 -->
