tidbc

Mtakumbuka kwamba Top in Dar(TID) au kwa jina halisi Khalid Mohamed,miezi michache iliyopita alihukumiwa kwenda jela mwaka mmoja kwa kosa la kushambulia na kujeruhi.

Habari zinapasha kwamba TID amekata rufaa kutokana na hukumu hiyo.Pichani ni jana alipokuwa akiwasili mahakama kuu jijini Dar-es-salaam kueleza nia ya kukata rufaa hiyo.

Picha kwa hisani ya Bongo Pix.

Feedback / Comments

85 Responses to “TID AKATA RUFAA”

  1. Comment by binti-mzuri on November 11th, 2008 10:16 pm

    duh! astakafurulahi amechoka ghafla.. masikini tidii wee.. i hope rufaa yake itakubaliwa,atleast alipe faini au hata ahukumiwe miezi 3.. mwaka wamemchubuza!loh!..pole sana khalid

    kama wanipendaaa.. kaninunulie zezeee…

    matty ukwapi tupokezane kiitikio,halima atarap

  2. Comment by BLACKMANNEN on November 11th, 2008 11:52 pm

    Kijana “TID”, kaonewa waziwazi, mtu huwezi kuhukumiwa mwaka mzima kwa ajili ya ugomvi. Watu wengine wana roho za “Korosho” kweli kweli, heri afukuziliwe kazi mbali, Hakimu aliyemhukumu TID.

    Nyerere alisema “Jifunze Kusoma, Wakati Ni Huu”. Hakimu huyu hakwenda shule kabisa inavyoonyesha, kama angekuwa na darasa angetoa hukumu ya kufikrika. Kuliko kutoa maajabu kama haya!

    Hali zenu Binti-Mzuri, Matty, Halima, SisterTZ, Star??????? Heri nisalimiane na dada zangu ili kutuliza hasira zangu! Naweza kuivunja PC yangu kwa hasira!!!!

    It’s Great To Be Black=Blackmannen

  3. Comment by papuu on November 12th, 2008 2:02 am

    ubitozi hujaacha tu msela,hata baada ya kifungo mzushi hiki cha miezi kama 2 ukisubiria rufaa..nimeona jinsi umeshika pingu kisela mkononi,umevaa kata k na kijishati skin tait..mshkaji kwanini tu usipige suti uonekana uko sirias,labda jaji atakuonea huruma! wanamuziki wa bongo bwana.

    siafiki wewe kumpiga leonard, kwani hakikuwa kitendo cha kibinadamu. huyu jamaa alitoa maneno ya kashfa sana,wakati anamchapa mtoto wa watu,yeye hajui kumbe mtoto wa fisadi. we khalidi mtoto wa uswahilini,KNOW YOUR LIMITS..umetoka,shukuru Mungu sio unaanza JEURI. Leonard hata leo hii asiamue kusoma au kuimba,tayari ana urithi zaidi ya milioni 20 benki kuu huko! sasa we mshkaji unaanza kuleta zako za kuleta. HILI LIWE FUNDISHO

  4. Comment by majita on November 12th, 2008 2:13 am

    msinisahau mimi kwenye vocal.”……Siaminiii kama niko jelaaa kama niko jelaa mimi na wewe……”
    Masikini weeee.Yaani japo nilikuwa na bifu na huyu bwana hasa baada ya kutaka kunivutia bangi siku moja pale billyards dar,hapana hapana,hapana kwa sauti.Namuombea rufaa yake ishinde.Duuuuuuu.nakumbuka mwimbo wake ule wa “…..Sili dagaa silidagaa sasa nipe kidali wewe,sili dagaa sili dagaa sasa nipe kidaliiii,mhh walisema demu wangu mimi mapepe..”
    Binti mzuri hope unaukumbuka ali-ft Q chief na Mr.Blue

  5. Comment by Aunt D on November 12th, 2008 2:32 am

    Sasa ubabe unasaidia nini……………….na sisi wasanii tukubali kujishusha angeomba msamaha labda wasingefika huko.
    Binti-mzuri mimi naomba niwe yule binti aliyekuwa anapigiwa zeze……lol

  6. Comment by Matty on November 12th, 2008 5:01 am

    Ohhhh jamani kashajikongorokea masikini, Majita umeona jela kulivyo kubaya??????lakini me too sikumpenda yule hakimu kabisa haki yake huyo dogo hakupewa kabisa hata kama alitenda kosa kwanini hakupewa another option hata ya kulipa fidia???wanasheria wa BC jamani tusaidieni hapo!!

    Binti Mzuri hako kawimbo tena mimi naimba sauti ya kwanza hahahaha kaninunulie zeze nikilala kitandani zeze lanibembelezaaaaaaaa alllllllllllu uwapi Halima shosti utupe mistari hahahahha!

    Blackmannen kakangu asante kwa salamu mimi mzima wa afya nashukuru!

    Aunt D kumbe wewe mwenzetu ni msanii??unaimba nini??au mziki wa injili?sina nia mbaya usijenizaba vibao shosti!

  7. Comment by SaLaMa on November 12th, 2008 5:33 am

    pole sana TID tunakuombea ushinde hiyo rufaa yako ila kumbuka hayo ni ya kawaida kwa binadamu walioko jela si wote wanahatia.

  8. Comment by Mzalendo Mwema on November 12th, 2008 5:55 am

    Huyu jamaa aliwahi kuvunja-vunja vitu Hotelini kwenye award sababu hakushinda,asiye kubali kushindwa si mshindani.
    basi sheria ni msumeno

  9. Comment by halima on November 12th, 2008 7:47 am

    Zeze hupigiwa mjanja zeze hapigiwi fala……. kudadadeki kahindi hebu malizia huo mstari maana nina hasira sana why jamani kumpiga tu mtoto wa fisadi jela mwaka ahhh kulikuwa hakuna hata kulipa faini?

    Bint – mzuri, matty jamani angalia hiyo mistari ya majita aisee nimecheka hahahahh

    Blackmannen kaka yangu mimi ni full mzuka.

  10. Comment by Tommy on November 12th, 2008 9:29 am

    du ebwana huyo msela atoke tu ikiwezekana hata sisi tuliokua huku Ughaibuni tuna muombea atoke juzi tulikuwa na party ya wabongo ilifnanyika Chicago watu walipiga nyimbo zake demu mmoja kwajina la Halifa alikua analia cz anasema T.I.D alikua mshikaji wake simaanishi mchumba wak NO!! bali freind wake.. so duh lakini msela kakonda….

    Huyo judge naye choko mimi huku nasomea sheria mwaka wa 3 chuo cha Inidana Univerty of law kwa makosa kama hayo yanaitwa (Minor outposting crimes) so kwa kosa kama hilo alitakiwa moja apewe rufaa pili alipe faini kama kuhukumiwa aende kuanzia Miezi mi 4 mpaka 6 labda lakini sio mwaka. Tidi akitaka anaweza kukodi lawyer aliesoma na ana degree ya (Minor objections and attending of Punishments in Law) ashitaki hakimu kwa hukumu yani hakubali kama haki ilitendeka kwake akishindwa halpi faini wala haingii gharama yeyote cz ma lawyer sikuhizi mpaka ushinde ndo anachukua hela labda siju kwetu bongo.

    Akishinda judge anahukumuwa na Jopo la mujudge wakubwa then atalipa fidia na gharama za TID na Fine kwa matibabu labda kwa maradhi aliyo pata huko jela then tuna ite(Assment fine ama fee) hiyo bongo tunaitwa uhangaishaji atalipa kwa TID kiasi ambacho Ma judge watasema kulingana na hali ya Tid kikazi na vengine…….
    Basi ni hayo tu watanzania wenzangu tuzidi kumuombea Mungu akipenda atatoka lakini kama “Papu” alivyosema iwe fundisho kidogo kwake 1 asipende Ugomvi huku Marekani Ma super star wanabakia kushikwa na Madawa ya kulevya na Exciieve Alcoholisim lakini ,mlisha wahi kusikia msanii wa huku kapiga mtu wapo wanao piga wakina EVE,PINK,BEYONCE na wengine but sheria ina kua kali na wanalipa fine kubwa sana. 2 Tid usiguse guse watoto usiowajua usimwone dogo boya ukazani mpaka kwao ni maboya next time watakupeleka jela 2 years cz ukirudia wanita kesi ya(Miusing of law and Reacting againts the law) wanaona kama ulidharau hukumu ya kwanza so y pili itakuwa mbaya tena ukikutana na yule yule judge . poa jamani Bye !!!ooooooahcT

  11. Comment by XXX on November 12th, 2008 9:38 am

    top in prison unaonekana kama FUTURE FISADI…

  12. Comment by Dinah on November 12th, 2008 10:14 am

    Khalidi jela kulikupenda sana yaani unang’ara :-)

    Lakini jamani hii Sheria ya kushambulia na kujeruhi bila kusababisha kilema cha maisha ibadilishwe. Mwaka mmoja sio mchezo, licha ya kuongeza gharama Serikalini ya kununua maharage, dona na mchicha pia inarudisha maenedeleo ya mtu nyuma.

    Nice 2 c u back TID.

  13. Comment by Joe on November 12th, 2008 10:37 am

    Pole sana mdogo wangu, lakini umekuwa fundisho kwa mastaa wa bongo waliokuwa na kiburi kama wewe, kwani sheria siku zote haipo karibu na Haki, Nakutakia kila kheri na rufaa yako!!

  14. Comment by Monica on November 12th, 2008 1:38 pm

    yah, Papuu umesema hapo juu, kwamba know your limit, yaan jamani ukijua hayo wala hutapata shida kuishi na watu,

  15. Comment by Hombiz on November 12th, 2008 2:38 pm

    TID!, inabidi uwe muangalifu ndani ya BONGO, kwani sheria si msumeno bali ni nusu meno. Angalia raisi kikwete kasema Mafisadi wa EPA walioiba mabilioni ya pesa na baadaye kuyarudisha, hawatashitakiwa. Lakini wewe uliyegombana tu, wamekulamba mwaka mmoja. Be careful hommie!
    Hayati brother Dito aliuwa na bado alikuwa anapeta mitaani, lakini wewe wakakuotea bro!
    Unakumbuka kesi ya yule muandishi wa habari “Marehemu Adam Mwaibabile” ?(ambaye atakumbukwa na wana taaluma na wapenda haki kwa ushujaa aliouonyesha hadi akakubali kwenda jela baada ya kubambikizwa kesi ya jinai katika mazingira ya kutatanisha).
    Hata hivyo wana harakati walikata rufaa na kesi ilipopitiwa upya, akatolewa jela. RIP Mwaibabile.
    TID, fight for your freedom! I support you on that!
    Papuu(mchangiaji # 3, point yako ni urithi dhidi ya shule ni pumba! Tell that Leonard guy to hit the school right quick! Stop playing dude!

  16. Comment by DUNDA GALDEN on November 12th, 2008 4:35 pm

    Du kumbe umu kuna watu wa voco za nguvu japo za kuiga
    haman noma mungu atabaliki TID rufaa ikubaliwe maana jamaaa baba yake nae yumo kwenye kundi la mafisadi

  17. Comment by XXL on November 12th, 2008 5:28 pm

    Jamani mjue hujafa hujaumbika uwe bongo au uwe mpiga box haijalishi.Papuu wewe ni HATER na hautaendelea,nimeona kwa AY umeponda na hapa umeponda hii inaonyesha wazi kuwa hata una kijishule lakini bado hakijakusaidia bado…Kama binadamu hupaswi kufurahi binadamu mwenzio akitaabika…Ni hayo Tu

  18. Comment by michelle on November 12th, 2008 5:52 pm

    Matty!!!!!!!! mafisadi njeeeeeeeeee

  19. Comment by BLACKMANNEN on November 12th, 2008 8:04 pm

    Ahsante “Tommy” kwa maoni yako Constractive and Professional, comment nr:10. Maoni yako yanaweza kusaidia wengi kama watayafanyia kazi katika kupata haki zao.

    Kuna watu wenye chuki za aina yake, kuhusu Rais Mh. Kikwete na nchi yetu Tanzania. Watu hawa wakija Tanzania kutoka kule walikolowea, katika tembea zao katika anga la Tanzania, na kwa bahati mbaya akapita njiwa na kuwadondoshea kinyesi kichwani.

    Daahhhhh!!! Makombora yote ya lawama na matusi yao yote, yataelekezwa kwa Rais Kikwete wa Tanzania. Utadhani Kikwete aliwahi kuwa “nanihii” wake zao. Watu hawa ukiwafuatilia nyendo zao kimaoni hapa BC, utaona kuwa, Rais wa Marekani ikitokea kwa bahati mbaya akatoa hewa mbaya (Ushuzi ule mkali, wa kimyakimya), na ukawaambia kuwa Mh. Rais kachafua hewa, watamtetea kwa nguvu zote, ikiwa ni pamoja na kukwambia kuwa, harufu uliyosikia ni pafyum la nguvu sana huko Marekani la “Allain Delon” dairekti kutoka Paris.

    Watanzania wenzangu, naomba tutoe maoni ya kuendeleza watu, badala ya kutanguliza chuki zetu mbele. Kwani kuna siku mtu, utatoa maoni yako ambayo pengine ni ya manufaa sana kwa wengi, lakini kutokana na jinsi ambavyo watu watakuwa wamekuweka katika kundi la “hamnazo”, kutokana na kauli zako za “chuki”, kila siku hapa, hoja zako na nguvu zako zitapotea bure. Maoni yenu tunayahitaji yatuendeleze badala ya maoni yaliyojikita kupandikiza chuki kwa Tanzania na Viongozi wetu.

    Kikwete hawezi kuibadili Tanzania kwa kipindi kifupi alichokuwa madarakani. Hawezi kwenda kumfukuza kazi hakimu aliyemfunga TID, japo kila mtu amechukizwa na hukumu aliyoitoa kwa kijana huyo.

    Sheria za Bongo ni msumeno kama zilivyo sheria za nchi nyingine, na wala, sheria za Tanzania si nusu meno. Tusiwe tunaponda kila kitu cha Kibongo, kwa vile watu tuko Majuu. Sio busara hata kidogo kupayuka bila ya hesima. Heshimu kwenu, nawe utaheshimiwa na wenyeji wako uliko.

    It’s Great To Be Black=Blackmannen

  20. Comment by majita on November 12th, 2008 8:10 pm

    Kwako ndg Tommy namba 3
    Ndg ni kweli unayosema.Na hongera kwa shule unayopiga.Ila napenda kukufahamisha kuwa SHERIA ZA MAREKANI NA ZA TANZANIA NI TOFAUTI SANA.Nafikiri utakubaliana na mimi kuwa sheria kabla ya kutungwa uangalia mambo ya muhimu as norms,customs na ethics za jamii husika.So tafadhali kwenye hili usilete sheria za marekani na kuzi-apply bongo.

    Imeonekana umemshambulia hakimu alotoa hukumu hiyo na kumkosoa kimakosa.Mimi nasema hapana,wewe ndo unakosea.Kumbuka shitaka alilohukumiwa nalo TID si “SHAMBULIO” wala “KUPIGANA HADHARANI” bali ni “KUJERUHI”.Kama wewe ni mwanasheria na unajua sheria za Tanzania unajua tofauti ya terms hizo hapo juu.Kujeruhi ni serious sana na kifungo chake ni kikubwa zaidi hata ya huo mwaka mmoja.Ikumbukwe kuwa Neno KUJERUHI kwenye penal code inatafasiriwa kama kiwango kikubwa cha shambulio as mtu kuondolewa kiungo chake.Mfano ukipigana na kumng’ata mtu sikio na kutoa kipande cha sikio huko ni kujeruhi na siyo shambulio.So kwa chupa alopigwa huyo mlalamilaji huwezi jua ilienda ndani kiwango gani na alishonwa nyuzi ngapi na ndio maana wakam-charge kwa kosa la kujeruhi.

    Hakimu yuko sawa na alisema rufaa yake iko wazi na atakuwa amemwambia na muda valid wa kukata rufaa na ndo maana unaona TID anakata rufaa.Nakushauri pia usiangalie upande mmoja tu wa mshitakiwa na kusahau kuwa hata huyo mlalamikaji ana haki zake za msingi kisheria.Tusilete ushahabiki kama tutataka kuongelea hili suala kiutaalamu na kisheria zaidi.Sasa unafikiri kama mlalamikaji akihamua kukata rufaa against the judgement na amdai TID fidia za kuumizwa na kumpotezea muda wa kufanya kazi (Kipato), kudhalilishwa,maumivu na gharama za matibabu TID atatakiwa kumlipa kiasi gani????

    Ndg, ningekuwa mimi na ningeamua kumkomoa TID siku tu ya hukumu kesho yake ningekata rufaa against the judgement.Hapo ningemfungulia madai na ikumbukwe hapo kinachoangaliwa ni hukumu na siyo kesi ya awali ilikuwaje.Ningelipwa mamilioni ya pesa na huyo TID.So mimi naona kuwa huyo mlalamikaji ni mstaarabu SANA na utaona kakaa kimya tu.Siyo kwamba hajui ila inawezekana ni wale wa let by gones be by gones.

    Hebu bwana Tommy mwanafunzi wa sheria mwaka wa 3 huko USA ngoja nikuulize swali.Siku ukirudi Tanzania,ukaenda Bar na ama dada zako au kaka zako au mpenzi wako au washkaji zako kama ilivyokawaida ya waTZ mara ukiwa bar unajinafasi kwa raha zako anakuja MAJITA anakufanyia fujo na haiishii hapo anakukung’uta chupa hadi unashonwa baadhi ya nyuzi kichwani tena mbele ya mpenzi wako.UNAFIKIRI UTAFANYAJE iwapo hapo tuu unataka kum-sue hakimu wa watu.Si utataka MAJITA wa watu afungwe hadi afie jela hukooo???????

    Tuache yoote hayo.Mimi sijui sheria ila nasema tu kuwa ngoja TID akate rufaa na kesi ipitiwe upya na waangalie mwenendo wa kesi ulikuwaje na kisha tuombe TID ashinde kwenye rufaa na atoke kwani kama nia ni kujifunza tayari amejifunzaa.Kusema nini au nini ni kuongea vitu ambavyo hatuvijui.Nasisitiza kuwa si lazima atoe faini kwenye hukumu. Inategemea hakimu aliona vipi na ukizingatia mwenendo wa hawa masupa staa wa bongo mara kupigana visu jukwaani,mara mangumi ya kina dudu baya so hakimu aliona atoe adhabu kali ili liwe fundisho kwa wengine.Kwani steve yuko wapi sasa??Acha bwana wewe.

    Nakushauri tena kuwa ukitaka kuwa mwanasheria mzuri usichuke sheria za USA moja kwa moja na kuzi-apply bongo moja kwa moja.Marekani kwa mfano hawana shitaka la kutumia lugha ya matusi.wao wanasema matusi ni freedom of speech wakati bongo ukitukana mtu anakusotesha jela miezi 3 hadi 6 kutegemeana.So ndg wa Indiana habari ndo hiyo.

    Kwa hili nakukaribisha uje tujadili hapa kama vipi mimi niko tayari kuwa upande wa mlalamikaji ili haki itendeke.Zaidi kiupendo tumuombee tu TID ashinde na atoke salama.
    Nimemis kweli tungo zake “”……Nyota yakooooo…..”Binti mzuri,Matty,Halima na Aunt D mnipokee basi tuimbe pamoja na DJ wetu Ndaki yuko tayari.Hahahahahaha.Kaaazi kweli kweli

  21. Comment by majita on November 12th, 2008 8:12 pm

    Samahani.Tommy ni namba 10.Nimegubikwa na mashambulizi yaliyoenda kwa namba 3 na mimi nikajikuta nakumbwa na upepo wa hiyo namba

  22. Comment by Pearl on November 13th, 2008 1:40 am

    tid amepukutika afya yake maskini.
    inauma sana kosa dogo mwaka jela wengine makosa makubwa ila wana kula mwewe mtaani,we unadhani TID akitoka atakuwa na uzalendo na nchi yake tena!!!!!???
    namuombea Mungu sauti yake isiwe imeishia.

  23. Comment by ma'reen on November 13th, 2008 2:38 am

    Mungu akusaidie TID ushinde rufaa. Kama sheria ingekuwa na msumeno kwa kila mtu ningesema well and good, lakini yako imejaa majungu tu na fitina. All in all usikate tamaa, ebu fikiria positively like this…kazi zako ndo zitauzika kinoma coz hiyo pia ni njia ya kukutangaza au vipi?Siwezi kukunyooshea kidole coz hata wanaofanya hivo sijui kama hawajawahi kuwa na ugomvi na mtu. God bless u, voko zako ziko matawi ya juu!

  24. Comment by ma'reen on November 13th, 2008 2:44 am

    Jamani mwenzenu naomba msaada kuna kitu sielewi. Nasikia ‘mafisadi’ wanapata treatment first class huko jela.Hawako selo za kawaida kama za walala hoi.Hivi kumbe na jela nako kuna ‘first class’ na ‘Ka**mba nani’?(waliowahi kupanga treni wataelewa). Kumbe kuna uhuru wa kuchagua selo?Seriously naomba nielimishwe!

  25. Comment by Aunt D on November 13th, 2008 2:52 am

    hahahha Matty na wewe lolniimbe wapi shost ndio maana nikaomba niwe yule anayeeimbiwa….
    Mimi nasema afungwe tu apate adabu maana siku hz ukitoa singo tu unakuwa mbabe…..kumekuwa hakuna nidhamu kwenye fani looo!
    mafisadi wa EPA wako rumande sembuse TID…..yu wapi eeh
    Kuingia tu wafungwa wanauliza “ni nani huyo?”…..T…….I…….D, YU wapiii eheee

  26. Comment by Matty on November 13th, 2008 4:08 am

    Michelle shosti mimi naona bora nchi iuzwe ili kila mtu apewe chake basta!

    Aunt D was wondering kama wewe ndo yule unayeimba nyimbo za injili lol!!ila unamsimamo mkali kama CUF shosti mafisadi ndani hahahahahhaa kesho tu utasikia wako mitaani wanapeta!

    Tutafika!

  27. Comment by Matty on November 13th, 2008 4:15 am

    Duuu niliruka cheche za mhesh. Majita hapo juu hahahahaha Tommy kaka get a life!

  28. Comment by nanatbr on November 13th, 2008 8:49 am

    Jamani watu wengine humu mna roho mbaya mwenzio akinyolewa we tia maji, unabeba mbeleko kwa matatizo ya mwenzio hujui ya kwako lini, sio lazima upigane unaweza kwenda jela hata kwa kusingiziwa, kwa hiyo tusipende kushangilia matatizo ya mwengine,
    Ni hayo tu.

  29. Comment by mzava on November 13th, 2008 9:11 am

    TID YUPO JELA?KWELI NIMEKOSA MENGI.ALIHUKUMIWA LINI?

  30. Comment by binti-mzuri on November 13th, 2008 9:23 am

    haha blackmannen thanx kwa kuturusha!

    majita yani hapo utuliv 0..nimecheka sana wewe + Aunt D mashairi yenu! kumbe majita,utani utani,ila ndugu yetu mwanasheria..hahah..

    papuu..TID sio mtoto wa uswahilini kiivo,ye mwenyewe mambo yake sio mabaya sana..si kasoma international skul huyu. jamani embu msikandie,just because kama huyo aliepigwa mnamjua au rafiki yenu..kila mtu hukosea,tunajifunza through makosa.mtoto wa fisadi,bongo?ngoja hiyo mihela wapeperushiwe

  31. Comment by debra on November 13th, 2008 9:39 am

    Top of da prisoners
    Siku Hazigandi Lets bounce
    Ni hayo tuuu.
    Ila sio inshu,TUTAFIKA TUUU

  32. Comment by halima on November 13th, 2008 9:50 am

    ma’reen best umenikumbusha mbali haaa ka**mba nani? hahahaha ndani ya treni kutoka kilosa uwiiii ni balaaaa

  33. Comment by Tommy on November 13th, 2008 9:55 am

    Asante “Majita” kwa kunielimisha zaidi. mimi sikuwa natetea upande wa T.I.D ingawa ni kweli yeye ndiye mwenye makosa hilo nakubali. Maoni yangu ni mimi sisomei kuj akuwa Hakimu NO.. nasomea kuja kua Mwansheria na katika uwana sheria hata kama uliua ata sue maneno yeyote kwa vigezo vyeyote na kwa ushahidi wowote ukatoka jela hata kama Hakimu anampango wa kukupiga maisha.. sawa bwana nakubali T.I.D anamakosa narudia tena kwa mujibu wa kesi yote ni kweli ana makosa…. lakini kama anauwezo na anhela za kukaa na lawyer aka msue vizuri ama kweli atashinda sema kwetu Bongo hela nyingi huyo kijana ni mtoto wa Kigogo so akihonga T.I.D atanyea debe kama wida..

    Pia ni kweli kwamba kijana anaweza kukata Rufaa bado TID aka umia vile vile kwa alicho kifanya. but saa acha ni kucha mbulie vitabu( ni kweli sheria za Marekani siwezi kuzi apply Bongo) but nenda internet fungua site inaitwa http://www.Law of justice.com then ni hivi 1.A Law as a law regarding of the law set bt the Magistrates or the constitution amemendent can be be refferd to the crime comitter as a way of defendinh him or her self…(either with a lawyer or with witnesses) hio ni moja then hapo ni hata kama Tanzania ime pitisha sheria gani uliza watu wa sheria kwamba Kuna Law zinazo itwa World Wide Amendents? akikujibu ndio muulize ndio nini hizo? ata kwambia ni sheria mabazo ni za kwanza kutungwa kwenye nchi amabazo zina wakilishwa na UN yani sheri wakilishi kwa mataifa yote regarding of the Country passing it or not..

    Alafu ukaniuliza nikirudi Bongo nikaingia Bar ingawa mi (simywaji) alafu Majita aknipiga chupa da kwanza kweli nita muua mwenyewe for sure nita mpiga shaba kwanza ya miguuni then tukienda mahakamani nitafungfuliwa kesi na mimi nitafunguwa ya Self deffendance ndo na kwambia hizo ni sheria ambazo ziko duniani kote sio Marekani tu!!!! hata Iraq zipo mjomba…. so after that wata angalia je nina kibali cha kutumia bastola? ndio niancho then nitasema he came to me as a smuggler or a thief you can call him then i decided to defend my self for the world wide ammendennt law says( page 45- su laws) an individual can deffend him or her self even if the cops or any body has caverd you..

    Then kitu kingine kwa kweli Bongo ni kwetu sema sina mpango wakufanyia kazi huko ingawa nina tamani sana kwa sababu zifwatazao 1. Hatujui nini kazi ya Lawyer unakumbuka kei ya dittopile yule lawyer Tenga ni uncle wangu sasa si chukulii ki Uncle hapana nasema hata kama Ditto aliua kweli lakini kazi ya Lawyer ni kumdefend mtu at any coos for any right. sasa kamdefend hata kama ni kwa uwongo akashinda Wabongo tukaanza kumchukia Lawayer hio ndo kazi yake sasa mimi nachukua makosa ya kibiashara Utapeli na Mauaji ya jinai sasa mtu kweli kaua then kaja kwangu lawyer nika mdefend akashinda si ndu zake watani ua kweli but kwa marekani ma lawyer wana heshimiwa so hicho jamani ndo kina cho nisibu mimi nakuniogopesha kufanyia kazi bongo ingawa nina tamani sana kujiachia kikazi na kimaendeleo Bongo…..

    Sorry nilisahau kwanza definition ya lawyer ni (An Individual who can stand for an individual in the court at any cost and also at any time though the suspector or the crime commiter is wrong) hio ni minor definition kutoka kita bu cha First Law attendence(page 123) lakini ukisoma vitabu vya sheria mbali mbali uta ona definition nyingi. hebu cheki Movie inaitwa (Mudder at First Degree) ndo uta elewa maana ya mwana sheria. samahanini watu wengine kwa kuingiza Mada kama chatin room wakati hii ni room ya maoni kulingana na Muafaka hapo juu yani T.I.D

    Sasa Majita after you read all what i wrote you and if your intrested in Law although your not taking law you will agree with me on what am speaking. alafu nimaliza kwa haya T.I.D ndio mwenye makosa hakimu anahaki ya kumpiga hata miaka 20 kwa kujeruhi ni kweli kujeruhi ni nusu kuua so mimi nita simama kama Lawyer na hakimu atasimama kama hakimu so hapo ni sheria iongee ama hela ni vitu viwili tu so kama Tid anataka hivyo achukue lawyer mwenye akili na aliesomea kama anahela akamchukue Tenga but pia mlalamikaji naye akichukua Lawyer kifaa du mjomba sina la kusema ndo maana pale juu kuna Ma hakmu watatu msione tu kwamba yule wakatikati ndo msemaji wale wengine ndo waandikaji wale wanaoandika ndo watoa huku the inkua Evaluated after that hakimu wakatikati tuna muita( Oblective Judge) yeye ndo anamlizia kwa kuongea na ktamka hukumu..

    Sasa jamani acheni ni wahi kipindi but kwa maswali yeyote feel free hasa hasa “Majita” najua maswali mengi ya ta kuja kwako nitafute kwenye( tizzo009@gmail.com) (tizzo009@yahoo.com) ama kwa namba ya simu: + (574) 323 6219

    Adress: 312 Rue Rabelais
    South Bend IN 46615
    Apt(609)
    Indiana.

    wadau nisameheni maana ninaweza nipigwe mabango sasa hivi huyo Tommy naye najidai kuweka ADRESS YAKE HAPO YA NINI kisa yuko marekani No! jamani nimeiandika hapo kwa ajili ya “Majita” na kwengineo watakao taka maswali maana sisi wabongo Tuna juana bwana sikawii kupigwa Bango

    Asanteni sana na hi kwa (Majita, Blackmen, binti mzuri, Matty na wengine maoni yenu ni mazuri) Byeee!! da samahani hilo jina la Matty nilikua na demu wangu aitwae Matty da ila tukaachana poa mazee next time tuendelee na changa moto…

  34. Comment by Gervas on November 13th, 2008 11:49 am

    Mdau Tommy…inabidi either ubaki huko huko au ukirudi huku bongo ufikie Law school ya Bongo ili wakuoshe na utakate, lasivo uwe makini unapoongea kwa kadamnasi….ni ushauri tu. Masomo mema!

  35. Comment by Hombiz on November 13th, 2008 2:03 pm

    Uwanja ni wenu wanasheria. Mwageni sera hapo tuzichanyanue kiyakinifu then nasi tukandamize. Kwa wewe BLACKMANNEN kafie mbele na u-popoyo wako. Chochote unachosema, nakuona mchimba chumvi tuu. Huna point!.
    Watanzania tusiokubaliana na sera zozote tunazoziona ni mbovu, tutazipiga vita tuu!. Hatujali wedha sera hiyo ni ya Kikwete, Dr. Slaa ama Mtikila.
    Kumbuka Tanzania ni nchi ya kila mtanzania. Na mtu yoyote kama mtanzania ana uhuru wa kuiongelea nchi hii na kutafakari mambo mbali mbali kulingana na mtazamo wake yeye. Matusi yako ya kilimbukeni, hayatawaogopesha watu kuchangia hoja na kukosoa yasiyofaa ndani ya jamii ya kitanzania.
    Ujumbe kwa raisi Kikwete ni kwamba, walioiba pesa za EPA na kuzirudisha ni lazima washitakiwa kwa kuvunja sheria ya nchi kama mafisadi wengine, na sio kusamehewa. “THAT IS WRONG!”
    Nchi ina sheria nyingi nzuri tu lakini hazitumika ipasavyo kwasababu waliopewa dhamana ya kuzisimamie, wengi hulinda maslahi ya wachache wenye uwezo a.k.a MAFISADI na wenye uwezo wa pesa na vyeo na mamlaka fulani. Ila wanyonge ndio wanabanwa na sheria hizo.

    Kinjekitile Kingunge Ngombale Mwili, amewahi kufanya kosa kubwa la kutishia kuuwa mtu kwa Bastola, mbona hajaenda jela?. Kuna mtoto wa kigogo serikalini amewahi kuuwa house boy wao, mbona hakuozea jela!? Balada yake adhabu yake ilikuwa ni kukimbiziwa ulaya. Kwanini hawa hawakupewa adhabu kali ili iwe fundisho na kwa watoto wa vigogo pia!?

  36. Comment by hilly on November 13th, 2008 3:58 pm

    Nadhani umeshashika adabu vya kutosha,siku zote ujifunze kuheshimu watu,umarufu wako usiwape wengine tabu.heshimu uheshimiwe ndio tunavyoishi.hata kama mtu alikuchokoza vyombo vya dola vipo,angeenda yeye na wala sio wewe.we unaleta masihara hujui kama umeacha mashabiki huku uraiani wanasubiri mziki wako,au unataka tukusahau kama babu seya….?plz change!

  37. Comment by Majita on November 13th, 2008 4:12 pm

    Ndg Tommy,
    Nimefurahi sana kwa bandiko lako hilo la sheria.Nimefurahi zaidi kama umeoona na wewe kuwa TID ana makosa na yule mlalamikaji nae bado ana haki za msingi kufanya lolote lile zaidi kwa TID.Kama umekubali kuwa TID ana makosa tuko mstari mmoja.

    Mengi tutaongea kwenye email ulizotoa as ni mambo ya ndani sana na tayari nimekupigia simu kutoka huku kijijini kwetu majita na nimekuachia messege kwenye answering machine.

    Labda kuweka mambo sawa tu nikushauri kuwa kwa ule mfano wa kuvamiwa na MAJITA bar ukitumia bastora yako utafungwa lazima.Hakimu atakachoangalia ni nguvu iliyotumika against huo ushambulizi wa Majita.Kamwe hatoangalia kama uko reliable kutumia siraha as bastora.Nakupa mfano,polisi najua unajau kuwa wako reliable kutumia siraha na ndo maana wanatembea nazo.Lakini polisi akipigwa jiwe na kibaka halafu yeye akajibu kwa kumpiga risasi,polisi huyo atafukuzwa kazi na kufunguliwa mashitaka na atafungwa.

    Tutawasiliana kwenye PM yako na tafadhali nipigie nimekuachia namba.Aisee mimi nawahi mtoni kuoga namwona Ross yuleeee anatoka mtoni kuoga na mama yake anamtafuta na kiboko kumchapa kwa nini ameenda kuoga mtoni.Hahahahahaha.
    Aiseee hakuna raha kama maji ya mtoni hasa ukitoka shambani na uchovu wako.Binti mzuri na Matty mnafikiri mimi ni mwanasheria basi????Mimi ni mvuvi wa Sangara ila huwa nikichoka najimuvuzisha hapa ukumbini kujaribu kuona wakimwengu wanasemaje.kwikwikwikwi

  38. Comment by michelle on November 13th, 2008 4:27 pm

    Matty mi ndo napanga kuanza kuimba nyimbo za injili karibuni, concert yangu ya kwanza nitakualika kama mgeni rasmi au unasemaje shost?

  39. Comment by - - - - - - - - on November 13th, 2008 5:49 pm

    duh bwana Tommy mbona umetoa details zako za ndani Bongo celebrity??

  40. Comment by - - - - - - - - on November 13th, 2008 5:53 pm

    tommy mshkaji,si uweke na jina lako basi tukujue! .. sasa barua jina ntaandika nani?yani kweli bwana tommy,we unategemea mtu alipe sh.500 stempu kukutumia swali moja bwana tommy,na mtu mwenyewe sio hata law graduate? jamani!

  41. Comment by papuu on November 13th, 2008 6:07 pm

    we tommy, TID hana hela ya kumlipa Ringo Tenga. XXL naomba usome comment ya hombiz ya 35 .. sijaona point. TID inabidi ashikishwe adabu,nyie mnaimba tu nyota yenu,zeze na siamini mnamuona kwenye TV. mshkaji sisi TUNAMJUA! ana kiburi fulani. sio mara ya kwanza hii anafanya mambo ya ajabu tena bila aibu kwa confidence kabisa mtaani,club,anatamba kabisa mimi TID utanifanya nini wewe. kaingia kichwa kichwa kwa leonard,kamrushia ash tray afu akaanza kumkwida. jamaa lina akili,likamwacha afanye mambo yake,akajizolea sifa pale slipway,tid anajua kupigana,jamaa kaenda kwa mdingi wake kafungua kesi. hakimu safi sana. narudia hili liwe fundisho kwako khalidi mohammed. Binti-Mzuri huyu mtoto wa uswahilini,sisi tunamfahamu, kuongea english sio kua wa kishua sawa? unajua jamaa ana kaa wapi na ni international school gani aliyoenda? jitegemee nayo international school? sisi tunamjua hadi mama yake alipo. TID bobu unapigana pigana nini? punguza pombe mshikaji, kupigana ovyo kwanza kumepitwa na wakati. ndio tatizo la mataputapu. ukiendeleza upuuzi wako,tutaanika inshu zako zote kwenye mtandao..ukileta ubishi tuna hadi proof,tuone sasa hapo top in skendo

  42. Comment by binti-mzuri on November 13th, 2008 9:03 pm

    duh papuu muongo sana wewe,nimekunyanyulia mikono yote miwili! jamani huyu tidi si kasoma shaaban robert jamani! kamaliza pale,akaanza kazi za muziki. mi nayajua haya,coz najua mtu alisoma nae..anyway,labda alisoma before or after..ila sijawahi kusikia kasoma jitegemee. sijui anakaa wapi,but wat i know unaweza ukawa unakaa masaki au oysterbay na we ukawa mswahili vile vile… uswahili tabia ya mtu kama umbea,uropokaji,fitina etc .. kwa maneno uliyoongea apo,na weza nikakuita we mmojawapo

    ps: papuu mbona kila msanii unamjuaga wewe tu! mi naanza kudoubt ile ishu ya producer hermy B inawezekana we ndio ulikua muongo. u r a hater,i conquer XXL

  43. Comment by BLACKMANNEN on November 13th, 2008 9:20 pm

    Kwako Mkuu “Hombiz”,

    Ahsante kwa ushauri wako kwamba niende nikafie “mbele” na upopoyo wangu, wewe (Hombiz) endelea huko “uani”. Pia umenisifia kuwa mimi ni mchimba “chumvi” mahiri, hiyo pia nzuri. Ila hukunishauri wazi, kwa yule nitakayefia kwake “MBELE”, atakuwa kalala kifo cha mende au ubavubavu? Kuzama “CHUMVINI”, ndiyo matindo yenyewe kwa mwanaume wa kileo, kama wewe hujui!!!!

    Ok, Hombiz, tuachane na huo utani hapo juu, ilikuwa ni dozi ndogo kwako.

    Ndugu yangu Hombiz, kama utayasoma tena hayo maoni yangu n#19, utaona kuwa, ninahitaji sana kuyaona maoni-endelevu ya watu hapa BC, badala ya kutoa maoni yaliyojikita kupandikiza “chuki” kwa Tanzania na Viongozi wetu.

    Mimi sijakutaja wewe (Hombiz), wala sijakuzuia kutoa maoni yako hapa BC, ama mahali popote utakapoona panakufaa kusema kuhusu Tanzania na Viongozi wake. Lakini najua kosa nililolifanya ni kuwataja Viongozi wa USA, ndiyo maana roho yako ikakuuma sana, ukaja na ghadhabu zako kwangu. Maana wewe ni “Don’t Touch My USA”.

    Kuna watanzania wengi wako Marekani kama wewe, na wana uchungu na nchi yao Tanzania, na hawapendezwi na vitendo vya Viongozi wa Tanzania wanavyovifanya, likiwemo swala la EPA, rushwa iliyokidhiri, uzembe na ubadhirifu wa fedha katika Idara za serikali na mengine. Lakini watu hawa, wanapotoa maoni yao hapa, wanaleta maoni ya kumwelimisha na kumwendeleza msomaji.

    Hombiz, soma maoni n#10 na n#33 ya Mkuu Tommy, n#20 na n#37 ya Mkuu Majita na n#34 ya Mkuu Gervas, yote hayo ni maoni endelevu yanayomfahamisha mtu namna ya kufanya anapokuwa katika hali ngumu kama aliyonayo TID.

    Wewe Hombiz, unatumia wakati wako mwingi na nguvu nyingi kuwatetea Waamerika. Soma magazeti yako uliyotuandikia hapa BC, katika jitihada yako yakutufanya tuone Amerika ndiyo duniani na Tanzania ni kuisaga kwa kila kitu. “DON*T TOUCH MY MOTHER LAND – TANZANIA”.

    Hombiz, watu hawaishi nchi za nje na kuzichukia nchi zao. Mimi kutokana na kuipenda nchi yangu Tanzania na kuupenda uafrika wangu (Black), nimewavutia wazungu kibao, kiasi kwamba naleta watalii kutoka nje kuja kuitembelea Tanzania kila mwaka. Watu hawa wananiamini na nina wapa majibu yote wayatakayo kuhusu Tanzania, na wengi wamekuta kama nilivyowaeleza na wanafurahi sana. Wanaporudi makwao wananikutanisha na watu wengine kibao. Heshimu kwenu ili uheshimiwe au Jiheshimu na kujithamini utu wako ili uheshiwe wewe na utu wako. Usijidharaulishe kwa kutegemea kuonewa huruma na watu wengine, hilo halipo. Kwa kufanya hivyo, utaoneka “mjinga” mbele ya watu wengine – Take It From Me!!!!

    It’s Great To Be Black=Blackmannen

  44. Comment by Mama wa Kichagga on November 13th, 2008 9:33 pm

    Bado mdudu mbaya naye kifua kimenona basi anajiona kafika sana!

    Asiposoma alama za nyakati za TID afuataye atakuwa yeye.

    Sifurahii kushindwa kwa mtu ila nasema hakimu alifanya vema maana tulishaanza kuchoshwa na vituko vya mastaa wa bongo.

    Ukweli daima utabakia kuwa ukweli na kamwe kitendo/vitendo vya TID havina nafasi katika karne hii ya maendeleo, ni aibu tosha na hatutakiwi kuvifumbia macho. Tukiendelea kuutetea huu ujinga ujinga mwisho utakuwa na kukomaa kama Li-EPA halafu hatutatoshana hapa.

    Ajifunze na wengine tusome mifano hapo maana ndio elimu halisia hii.

  45. Comment by anony on November 14th, 2008 12:16 am

    hombiz mtoto gani wa fisadi kawahi kuuwa house boy wao wa ndani jamani mimi naomba mniambie huwa sijui stori nyingi ningependa walau nafasi nipate kujua ili tuoshe mdomo na kuwakanya tafadhari niambie au nitumie email aishamiraji@yahoo.com

  46. Comment by anony on November 14th, 2008 12:18 am

    tommy na wewe pia unaweza nitumia email umenifurahisha kaka kwa maana umeenda shule sio siri mwanamke anahitaji mwanaume alieenda shule imeandikwa hata kwenye vitabu vyote vya kitakatifu ili tujenge familia bora tommy nitumie email tuwe marafiki simaanishi mapenzi yakifikia huko sawa ila kwa sasa nimependezwa nawe

  47. Comment by Pearl on November 14th, 2008 1:09 am

    kasheshe,naona hapa moto utawaka,wacha mi nijiondokee zangu.

  48. Comment by Matty on November 14th, 2008 2:39 am

    Binti -mzuri umemsikia Tommy alivyosema????

    Ndugu Tommy mhhh labda ni mimi x-gf wako lol! hebu taja full name yako pls hahahahahhaa ila umenivunja mbavu aisee hapa kuna viumbe walai!

    Majita na wewe nae too fun!

    Michelle hongera kwa kuchagua fungu jema mimi bado nipo nipo na mziki wa kidunia kwanza!

  49. Comment by Matty on November 14th, 2008 7:42 am

    Ishakuwa soo sasa leo hapa pamefuka moshi!hahahahahahahaha ngoja mimi niburudike na sikinde ngoma ya ukae!

  50. Comment by binti-mzuri on November 14th, 2008 8:25 am

    hahaha matty nilikua nimeiruka,ila sasa nimeisoma,kuichambua na kuitafakari…MMH…yawezekana ex-shem huyuu..embu aweke bayanaa.. au kazimikia jina jamani..mmh..wanasheria hawa!

  51. Comment by Tommy on November 14th, 2008 9:36 am

    Haya wadau ahsanteni sana nilisema nilipokuwa namalizia txt yangu ya mwisho kwamba details zangu kwanza aliyesma naweka details zangu za ndani ni mshamba we unajua details za ndani hizo ni Adress mjomba. alafu mabango nishapigwa tayari oh sijui sisomi Law sawa bwana wewe unyesoma law mikono kwako juu. sasa najiuliza ningeweka picha yangu du sijui ingekuaje mtu mwenyewe mbaya anajifanya anachukua law, haya jamani niuieni radhi kama nime wakosea kuweka Adress yangu(wengine kuita details za ndani)…

    Majita nashkuru sana kwa hii conversation ndogo tuliyo ifanya na ninategemea to hear more from you soon ni txt kwenye email yangu then tutajadili a lot of things hata kama si vya ndani but sisi wote ni watanzania na lazima tuelimishane…
    “Papuu” najua Tid hana hele yakumlipa bwana Ringo lakni nilismea kama anahela amkodishe/. katika hiki chumba sipondi mtu cz labda pia mawazo yangu yanaweza yakawa finyu vile vile alafu yanini niponde mtu…. kama mhusika flani hapo juu alivyosema tusikosoana kama mtu amaekosea unamwambia bwana hapo msela ni hivi nadhani sio hivyo lakini sio kujifnya unajua sana kumbe unaungua jua tu..

    Hi nikwa Hombiz.. unaishi Marekani sehemu gani kwanza… mimi sikupaki wala sikuchmbi wala kukukomoa bali nakushauri kama Bwana “Gervas” hapo juu alivyo nishauri kwamba nikija bongo nisomee tena lschool of law ya bongo” ahsante bwana Gervas… lakini we Hombiz kuishi marekani ndio umeona umefika sana du ebwana pole marekani hakuna dili mimi ninakmiaka 4 tangu nije mwaka wakwanza nilianza kazi kwanza ndo mwaka wa pili nikaingia chuoni.. we badala ya uwe na pride na nchi yako unsifia nchi hii ya kilalahoi…
    Acha nikwambie bwana mdogo kamwe katika maisha yako usidandie treni kwa mbele wala kwanyuma dandia mlangoni sikutukani nakwambia na nakuelimisha…. wewe Marekani imekusaidia nini mpaka sasa tangu ulivyokuja ni hivyo dola 8 unazolipwa kwa kufanya kazi za mbwa ama punda sikushngaii cz hata mimi nilizifanya sana na mwazoni niliona Marekani ndo dili lakini nilipo kuja nika pokelewa ndio nilipo elewa kwamba kumbe hi ndo Marekani yenyewe? ama naota… alafu labda utakua unasema tu wapi mshikaji anjidai kumbe kaishia hapo hapo Indiana nimetembea nusu Marekani sio siku moja moja nime kaa nikaelewa mazinigira yote. Ney York ,Miami Florida, Texas, Calfornia, New Jersey, Alabama, Ch town(chicago) nimekuandikia kirefu chake cz unaweza ukawa pia hujui nini chi town ukaanza msela ananidanganya……. na majimbo mengine mengi….

    Lakini mimi am proud of my Blackness na chuoni naitwa majina ya ajabu kama Races sio jina baya ni mtu anaye bagua rangi kwa kweli nawachukia Wazungu na hilo wanalijuia na pia ukiwa marekani siku zote usiipondee nchi yajo eti kisa uko marekani hamna lolotre wazungu wanakuona fala cz wanaona kumbe unaimpondea nchi yako we ni mtu wa aina gani… mimi siwapendi na wanalijua kuna mademu kibao ni ko nao close kidogo wakizungu wananitega kutegemea nitaingia mtegoni mimi ninacho waambia African Girls are more cute than you guys the wanabishaga nawafungulia wakina K-lyn, Jokate na wengine na picha za wenzngu nilipo kua xull alafu ndo wana kubali kwamba kweli mabnit wakibongo niwazuri…… sasa wewe una babaika na hao..

    Blacmannen nakupa shavu mtu wangu feel pride about your blackness usibabaishwe na hawa mangurue weupe.na hii nikwa wote mnao soma hii txt ” Marekani hakuna dili” then anomy nita kutumia email..

    Mazee acheni ni wahi class nime furahi kuchat na niye wote Matty nimekujibu email yako jinal langu kamili ni ………..(distubutor) just kidding

  52. Comment by halima on November 14th, 2008 9:50 am

    Papuu kila mtu unamjua kila mtu ni jirani ohh mara kasoma na wewe mara choka mbaya ahhh tumeshakuchoka bwana.

  53. Comment by Tommy on November 14th, 2008 10:38 am

    Da masela bado namcheka Hombiz kwa kuishobokea nchi isiyo yake huo ndo tunita ulimbukeni…. ha ha ha ha!!! du ebwana title Matty unanifanya nicheke nimekuvunja mbavu kusema nilikuwa na gf wangu mwenye jina kama lako mh! we ulikuwa na lako lilo kuvunja mbavu, ha ha ha ha!!! lakini ucmaindi da sema huyo Matty kama ni wewe basi huyo demu alikua kisu balaa yani mkali ucpaime da sema tukatosana….

    Da Papuu na Hombiz hongereni nitawaita wakosoaji wema lakini ndo hivyo…. Jmani nasikia chuo cha UD kimefungwa sasa wakina nani nao watakwenda wapi??? duh!!

    Jamani naombeni nianzishe mada humu humu tuijadili.. hivi nikweli Mafisadi wa bongo watahukumiwa na Lowasa yuko wapi naomba ningekua nime maliza Masters yangu cz sasa nado niko mwaka wa tau bado mwaka mmoja. ningekuja kuwa lawyer wa lowasa najua wabongo wangeniopiga mawe aisee yani uanmtetea fisadi mimi sitetei bali ndo kazi yangu jamani hivi wadau wote hapo juu Tuongeeni ukweli kwamfano nikaja bongo nikaoshowa kama bwana Gervas alivyosema baada ya kutakata nikawa lawyer wake Lowasa then kwa bahati mbaya ama nzuri akashinda jamani be honest mngenichukia ama vp? si mngeniponda mawe kweli…….????

    Hivi washikaji Ze dudu amesha acha ile tabia ya kuja sleep way nakuchukua mademu wa watu na kuwa piga ma meni zao ameiacha.. da mtu wangu kidogo Ampore demu wangu mi mwenyewe ndo hivyo tena makarateka siwezi ikabidi niwashe gari nikimbize vibaya tu ili demu wangu asiporwe da nilimuanya yule choko vibaya but next time nikaja na my crew pali toke utata hapo palikua patashika zilianza ngumi huyo nika sepa staki kuharibiwa sura sasa ukapigwa chupa ya uso the ukashonwa nyuzi kama 8 bonge la alama usoni hivi itakuaje hata huyo demu wako atakukimbia lakini mama na apa akija sasa nampa shaba bora nikanyee debe lakini itakua fundisho kwa wasaniii na vobitozi vyengine. da lakini kunyea debe mh sitaki kuandikwa magazetini kama Tid oh mara kafanywa mke kitoka masela zako wote watakucheka although unakuta hukufanyiwa hivyo nima gazeti ndo waliamua kuku pakazia……

    Jela sio mahali pazuri mazee tena watu wanasema bora nifungwe jela la ulaya we ishia hapo hapo huk ndo kabisa hatakama mazinigra mazuri vyumba fresh lakni Tabia mama yangu mi najua cz tunaenda wanasheria field kuongea na wa fungwa kusikiliz kesi yake na kama uataweza kuwa lawyer wake akitoka unashavu kubwa anakupa hali ya huko unaweza ukatoa machozi kama sio mgumu kuna ma lawyer wengine wakidemu wana liaga kila day…

    Eh wakosoaji msije mkaanza kuniponda bure acheni nisepe cz watanzna oh kaanza kuingiza mada zakina dudu baya na jela ya marekani kwenye mada za T.I.D jamani ni changamoto tu hapa ni kuelimishana na kuambiana narudia kama kweli wewe umeenda shule huta kua na mda wakumpaka mtu mwanaume mzima unampasha mtu sijui unampaka we dmeu????

    Byeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee!!! a.ka tchaoooooooooo!!!

  54. Comment by mdau on November 14th, 2008 10:39 am

    Hellow Wadau wenzangu,
    Mimi sipondi lakini nataka ku-share na nyie experience yangu niliyonayo juu ya huyu bwana T.I.D.
    Sikumoja nilitoka ofisini kama saa tatu usiku hivi.Nilichelewa kutoka makusudi kwasababu sikua na hela ya kwenda kwenye “Happy Hour” pale New Africa Hotel kwa siku hiyo,but I had a plan to go to Q-bar ku-watch game bcause am a good soccer fan.
    Nimefika Q-bar nikamkuta huyu jamaa(TID) anamtukana mshikaji mmoja alikua anafanya kazi na two-eyez-production by then,Doh,I was so down kukuta mshkaji anatukana matusi mazito kama yale.Halafu watu wamejaa ile mbaya.
    Am telling you wadau,since then jamaa kila nikimwona hivi,He reminds me of that day alivyomtukana yule mshkaji(Adam-Kundaeli).
    Ingawa tupo Ughaibuhi lakini sio mbaya kuchangia maoni yetu kama hayo.
    Ameonewa au vipi?I cant take a side but I believe the truth will reveal and justice will be taken against whoever behind the sin.

    Kijana wenu masomoni,MDAU.

  55. Comment by XXX on November 14th, 2008 4:14 pm

    bwana moderator wa hii kitu watu wenye maoni marefu wanatuboa kusoma..kwanini msiandike shot n clear?ah wabongo bwana

  56. Comment by XXX on November 14th, 2008 4:18 pm

    kuna siku alikataza watu waasiingie chooni(billcanas)kwakuwa yeye alikuwa ndani! nakumbuka sana ilikuwa 2002, niga u desrve to b in jail

  57. Comment by Hombiz on November 14th, 2008 8:43 pm

    Kwako BLACKMANNEN
    I think the biggest problem that you do have is that you can not comprehend the significance of my remarks. Therefore, I will keep on singing this chorus until you get the message.
    Hata siku moja HOMBIZ hawezi kujifunga minyororo ya utumwa dhidi ya utaifa wake. Huyu ni m-TZ namba 1 anayeamini msemo usemao “east or west, home is best”. Blackmannen, huitaji kuwa na mapembe ili ulielewe swala hili. All you need to do is read my comments carefully and understand the message that they carry.
    Naipenda sana Tanzania ile siwapendi na sitawapenda MAFISADI ktk maisha yangu yote.
    Kusuhu madai yako ambayo umekuwa ukiyarudia mara kwa mara eti mimi ni mtanzania ninayekumbatia umarekani, hayo madai yako hayana ukweli wowote. Maoni yangu siku zote yanaendana na mada husika ya siku hiyo na sio kusifia marekani kama unavyodai wewe.
    Marekani ni taifa kubwa na lenye nguvu duniani na lenye mazuri na mabaya yake, Pale linapofanya mambo mazuri (km kufikia hatua ya kumchagua rais wake bila kutazama rangi ya ngozi), wengi tunasifia. Na pale linapofanya maovu (km Clinton alipoangalia tuu Rwanda and Burundi genocide bila kuingilia kati na kuchukua hatua za maana ili kuepusha mauaji ya raia wema), basi tunashutumu. Hiyo ni mifano miwili tu yenye kukuonyesha ni namna gani nakubaliana na baadhi ya mambo ya Marekani na kupinga mengine ambayo nionayo kuwa marekani haiyafanyi kwa haki.

    Vivyo hivyo kwa Tanzania, raisi anapofanya mambo mazuri kwa nchi yake (kama vile Hayati mwalimu Nyerere kusaidia ktk harakati za ukombozi wa bara la Afrika dhidi ya wakoloni, tunasifia. Na pale, kiongozi (kama vile Raisi Kikwete) anaposema MAFISADI waliorudisha pesa za EPA walizoiba, hawatashitakiwa, hapo sitomuelewa. Na kama mtanzania nina haki ya kuhoji kwa nini iwe hivyo?

    BLACKMANNEN, kutokukubaliana na mambo ndivyo sivyo haimaanishi ni kueneza chuki bali kutaka demokrasia ya kwekweli izingatiwe.

    Kuhusu sheria za Tanzania, nakubali ni nzuri. Lakini kwa sasa, nyingi hazitumiki vile inavyopaswa. Sheria zinatumika kulinda vigogo na mali zao. Wewe BLACKMANNEN, nenda katembelee magereza ya Tanzania halafu uniambie ktk wafungwa waliomo ndani, kuna MAFISADI wangapi. Hakuna hata mmoja zaidi ya walalahoi. Tena wengine wana kesi za kuuziwa.

    Kuhusu shughuli zako za kuleta watalii Tanzania, hiyo ni wewe na kazi zako. Hata mimi nina mchango mzuri kwa nchi yangu Tanzania, nimechagua kutoutangaza kwani sioni sababu za kufanya hivyo. Pia sikubaliani na wewe kuwa nitaonekana mjinga wa kuongea ninachokiongea ndani ya BC blog. I believe people will critically think about my opinions and post their feed back towards my comments!
    BLACKMANNEN, ni vema uelewe HOMBIZ ni mtanzania namba 1 mwenye alama ya ndui na sio tattoo, as Prof Jay said in his Hapo vipi-hapo sawa Song!

  58. Comment by papuu on November 14th, 2008 8:55 pm

    NADHANI KWA WOTE WANAOCHONGA CHONGA HAPO JUU MNAJIFAHAMU NA KUJIJUA MTAKUA MMESHAPATA MESEJI KLIA KUTOKA KWA XXX NA NDUGU JAMAA MDAU. PENDA MSIPENDE NYIE MASHOLI HALIMA NA BINTI-MZURI KHALIDI SISI TUNAMFAHAMU KWANI KUWA MWIMBAJI NDIO NINI YANI NYIE WASHAMBA SANA MNAONA MTU HAWEZI KUMJUA MTU ANAYEJULIKANA KISA ETI ANAONEKANA KWENYE TV. NAMJUA SASA FANYENI MNACHOKITAKA JAMAA ANA NYODO SANA HUYU. NYIE MNAZIMIKIA UZURI SIJUI NYIMBO HAMJUI TABIA ZAKE NA WALA MATENDO YAKE. WATU KAMA NYIE NAWASHAURI MNYAMAZE MIDOMO YENU KWANI HAMJUI MNACHOKIONGEA. SASA YUKO JELA NA HATOKI SASA NAKWAMBIA. KHALIDI UKITOKA UKO LUDI MTAANI UMEBADILIKA TABIA LA SIVYO TUNAKUANIKA WAZI WAZI HATUTAKI UBISHI SISI. NIMEWASILISHA.MZEE HOMBIZ UNASHABIKIA MAREKANI KAMA BUSH BABA YAKO. TULIZA KITENESI ICHO. BONGO IS MAMA LAND

  59. Comment by papuu on November 14th, 2008 9:03 pm

    OYA TOMMY NAMBA 53 MBONA HUELEWEKI BOBU. YANI WE TOKEA UINGIE HUMU SIJUI NDIO MARA YA KWANZA NAONA UNAANDIKA ‘AM A LAWYER, AM A LAWYER’ WE SI UKO MWAKA WA 3 WEWE? KA GRADUATE KWANZA NA FIRST CLASS NDIO UANZE KUPIGA KELELE. NISHAKUSHTUKIA WEWE SI AJABU UNASOMA TU ARTICLES UNAKUJA KUTUZINGUA.

  60. Comment by Hombiz on November 14th, 2008 9:13 pm

    Kwako Tommy. Sheria unayoisomea mpaka dakika hii mimi sioni inakusaidiaje!. Are you really learning or you just “fake to make it!?” Wewe umelukia malumbano yetu bila kujua kichwa wala miguu. Kama mwanasheria wa kweli, ulitakiwa uyasome maoni ya BLACKMANNEN, kisha uchambue madai yake kikamilifu. Njia pekee ya kuchambua madai yake ili kujua nani ni mkweli ktk swala hili, ni kupitia all my previous comments hapa BC na comments za BLACKMANNEN pia. Then, you make judgment. You can’t be jumping into conclusions if you wanna be a lawyer in future. To me you sound like you are in a wrong profession brother! Comment yako wewe ndio inaonyesha umedandia treni kwa mbele.
    Tommy, wewe kama mwanasheria hutakiwi kuchukia watu kutokana na rangi ya ngozi yao. Wewe umesema unachukia wazungu. Why is that so? Ungeniambai unachukia wazungu wanaopenda ubaguzi (kama KKK) ningekuelewa. Lakini kuchukia mzungu, kisa tu kwakuwa ana ngozi nyeupe, hapo unachemsha. Sio wazungu wote ulimwenguni ni wabaguzi. Kumbuka hata wakati wa kupambana na apartheid system ya Afrika Kusini, kuna wazungu waliokimbia toka kule kama wakimbizi na wakaishi ktk kambi mbali mbali za wakimbizi barani Afrika, Tanzania ikiwa moja wapo chini ya utawala wa Marehemu Mwalimu Nyerere. Na marekani pia, kuna wazungu waliopoteza maisha yao wakipigania haki za watu weusi nchini Marekani.

    Kuhusu madai yako kuwa mimi nababaikia wanawake wa kizungu, hiyo si kweli. Wewe kama mwanasheria, hutakiwi kusema mambo yasiyo na uthibitisho. Ni vigezo gani ulivyotumia kuthibitisha kuwa mimi nababaikia wazungu? You don’t even know me dude! Kwa taarifa yako, waridi wangu mimi ni mototo wa ki-bongo ambaye amelelewa na kukulia mazingira safi ya kitanzania. Ila napenda pia uelewe wazi kuwa nilimchagua yeye si kwa utanzania wake bali kwa kupenda wasifu wake wa ndani na nje. Mimi sihukumu mtu kutokana na ngozi yake bali kutokana na tabiana mwenendo wake.

    Vile vile napenda kurudia kuwa, sio kila mtanzania anayeishi marekani, anabeba box. Wapo watanzaia wengi tu nchini marekani ambao wamesoma vema na wana kazi nzuri zinazoendesha maisha yao kiufasaha. Kasumba waliyonayo watu wengi ya kudhani kuwa kila mtanzania aliyeko Marekani ama ulaya ni mbeba box, inabidi iangaliwe upya. Do not make general judgment to Tanzanians living abroad on this issue hommie!

    Sio watu wote wenaopenda kujitangaza kila wanapofanya jambo zuri na la maendeleo. Even in the New Testament, Jesus said “not everyone who says lord lord, will inter into the Kingdom oh heaven”. I do not wanna stand into the street corners to be honored by people for what I do!
    You better learn and work hard to make it boy!

  61. Comment by Majita on November 15th, 2008 12:56 am

    Ndg xxx # 55 unafikiri wewe na mimi nani kaandika maoni marefu???

  62. Comment by Matty on November 15th, 2008 3:03 am

    Binti-mzuri huyu Tommy nae sasa anakuja kivingine naona mhhh inawezekana kazimika na jina hahahahahaha mtoto Matty!!!!!!hebu Tommy tuambie ukweli!

    Tommy relax, unakuja juu juu ohhh angalia, lugha ya tasfida hapa ni muhimu halafu umekuwa kama mtu anayesaka umaarufu fulani hivi!!Its too early my friend!!

  63. Comment by halima on November 15th, 2008 4:28 am

    he he he we papuu mbona unakurupuka kama umekatwa kichwa? alaaaaaa!!!!!!!!! Inaonekana hujawahi kukosa katika maisha yako means wewe ni malaika

    By the way TID ameshakosa na hiyo miezi kadhaa aliyokaa jela imeshamfunza kuwa na heshima kwa kila binadamu.

    Siona sababu ya wewe kuendelea kumkandia mwenzako kiasi hiko binadamu wote hatujakamilika.

    Bora huyu TID ambaye watu wote wameshaijua tabia yake kuliko wewe ulievaa ngozi ya mbuzi wakati ni chui. wakati unamyooshea kidole mwenzako angali kwanza matendo yako yanaridhisha sio una kuja speed kama baskel ya pedel.
    HABARI NDIO HII

  64. Comment by XXX on November 15th, 2008 8:32 am

    MAJITA # 61 mbona unajishtukia mzee??haya angalia commentz zangu zote…mi ni mchangiaje mwenye least commentz cku zote!

  65. Comment by BLACKMANNEN on November 15th, 2008 12:34 pm

    Hombiz,

    Wanasiasa wa Vyama vya Upinzani wametumia mtindo wako wewe (Hombiz) wa kujipatia umaarufu kwa kuyatumia matukio ya kila siku yatokeayo Tanzania, hawajafauru kupata kura za kutosha Tanzania ili kuingoza nchi.

    Watanzania ni watu makini kuliko wewe (Hombiz) unavyodhani, lakini ni wakarimu sana, wanakukaribisha na kucheka na wewe, lakini inapokuja swala la maisha yao, wanakutosa. Watu kama wewe Hombiz, unabaki kulalamika na kudai eti kura zimeibiwa. Je, wewe unataka uwe kiongozi wao wakati hujui mbinu za kupata ushindi? Kwanini wewe usiibe pia hizo kura kama wewe ni mjanja wa kuongoza nchi? Nani akuchague limbukeni kama wewe???? Kalaga baho!!!!!

    Watu wamejitahidi wafanye “Kenya Style” au “Zimbambwe Style”, NO WAY!!! NOT IN THE UNITED REPUBLIC OF TANZANIA”

    It’ Great To Be Black=Blackmannen

  66. Comment by binti-mzuri on November 15th, 2008 1:03 pm

    hombiz and blackmannen kaka zangu, bifu lenu hili si mlile mlimalize,kabla nyama haijaoza..maana you have been beefin for some time now. tukubaliane wote tuna opinions tofauti,yaishe!

  67. Comment by binti-mzuri on November 15th, 2008 4:22 pm

    matty ha ha ha! mi nimeona! loool.. naona vipengele kibao hapo juu,sasa sijui ndio umaarufu au vp..lawyer wa mafisadi.jamani.kaaz kweli kweli .. mi hata sielewi kitu humu ndani. nishtueni sheria zikimalizwa kudiscussiwa

    halimu embu mtemee cheche za sumu huyu papuu,nisije nikamtukana bure.

    ” wanafki nafki watu wa kupakazia,yasiyowahusu wao kuingilia..wanok nok! ” ..litakaemgusa,basi linamhusu na ndio huyo huyo .. unalo,lidake tu baba

  68. Comment by BLACKMANNEN on November 16th, 2008 6:08 am

    He he he he he Binti-Mzuri, tutafika tu!!!! Matty anayajua yote, hayo!!!

    It’s Him…….. I mean Black=Blackmannen

  69. Comment by hombiz on November 16th, 2008 3:23 pm

    Binti-mzuri wacha niende nae kijeshi huyu pampula!
    Wewe Blackmannen ni zuzu wa kutupa kabisa. Sasa wewe unadhani vyama vya upinzani kutoshinda kwenye chaguzi za uraisi zilizopita tangu vianzishwe, ndio mwisho wa matokeo milele!? You really need to get your mind conscious dude! Kwa taalifa yako, vyama vya upinzani vipo na vitaendelea kuwepo. Na muda utakapofika vitashinda tu. Kumbuka hata Rome haikujengwa kwa siku moja. Swala hili linazidi kujidhihilisha wazi kadri siku zinavyozidi kwenda. Hata huku Kenya na Zimbabwe unakokuzungumzia, kulikuwa na watu kama wewe uliondani vyama vya upinzani haviwezi kushinda kwenye uchaguzi mkuu. Kaini wakati ulipowadia, wapibakia vichwa chini na mikono nyuma. Blackmannen, tambua kuwa wapinzani hawatafuti umaarufu pale wanapouelimisha uma juu ya uozo mbali mbali unaotendeka ndani ya serikali. Pengine bila mheshimiwa Zitto Kabwe kuongelea mikataba mibovu ya serikali ktk sekta mbali mbali ikiwemo madini ndani ya bunge, wananchi wengi wasingeujua uozo huo uliokuwa ukitendwa na viongozi wachache (MAFISADI) wenye tamaa binafsi. Pia, inawezekana Mheshimiwa Wibroad slaa (mbunge wa Karatu), asingefukunyua uozo wa EPA na mengine, umma wa watanzania usingejua juu ya hii dirty laundry ya mafisadi. Heko pia kwa vyombo vya habari (hasa magazeti), kwa kusimamia kidete maswala nyeti kama haya EPA na kuyaanika hadharani bila woga hadi kufikia baadhi ya waandishi hao kutishiwa maisha.

    I still don’t understand why you keep on discombobulating regarding various issues on BC Blog. I am not giving my opinions on in this social network in order to gain popularity. All I do here is sharing my views with other people in various criteria.

    Na jinsi ulivyo kiruka njia, sasa umerukia kwenye wizi wa kura. Who talked about stealing votes over here!? Are you loosing your mind or what? Stop discombobulating zombie! Iwapo wewe unadhani wizi wa kura ni kitu cha kujivunia basi una tatizo la ki-demokrasia. You need to reassess your ego if you real want to show people that you are a democratic Tanzanian.
    You also need to know that although my life is yet to be made, still, I do not dream of being an authority figure (politician) or famous individual. I’m proud of being a simple man who doesn’t like to let everybody know about what positive staffs I do for myself and other people as well. Let you BLACKMANNEN and Tommy try to become famous forcefully! That is not for me, looser!

  70. Comment by - - - - - - - - - on November 16th, 2008 8:55 pm

    comment namba 60 imeenda shule.

  71. Comment by Mama wa Kichagga on November 17th, 2008 1:29 am

    MMMM

    Naona kuna watu wamekimbia mahali fulani (sipataji ni dhambi) sasa wanataka kutuonyesha wasivyo na ushirikiano na vichwa na akili zao + midomo yao.

    Huu ni ukumbi wa hoja na sio kutimbana na kuweka magazeti ya kupambana.

    Hombiz na mwenzio nawashauri mjirekebisha kama mnataka vinginevyo endeleeni hadi tuwajue vema mlivyo watupu!

    ### Tujali hoja za kujenga zaidi na tusijibu upupu maana unatupotezea mda

    #### Pia tujifunze hapa ukumbine kuna vichwa maji na hamnazo kibao sasa usipoangalia unaweza ukawa unatimbana na mmoja wao (hamtapata suluhisho).

    Please, everyone should work out his/her anger and the way they present their ideas for our betterment!

    Enjoy my comments (iveni ifu yuu dont laiki iti)

  72. Comment by Matty on November 17th, 2008 2:34 am

    hahahahaha watu wanatemeana cheche kama mate ya nyoka hapa Halima shosti mpe mpe lol!

    Binti-mzuri kawimbo kametulia hako ila mimi ninaombi kwa BC anitafutie RAHA P, na kibao chake sijui nini nini tena hebu nikumbushe mtoto karap full ukweli!”haya hayakusu”"nipo nashangaaa…………………

    Blackmannen & Hombiz kaka zetu jamani tunawaheshimu na kuwapenda kwa point zenu mara nyingi zimekuwa kivutio na changamoto tosha hapa BC, so MAJUNGU SI MTAJI, tushazoea kuzozana sie kina Matty (gals namaanisha) maana nisijemtaja mtu mwingine nikasutwa hapa watu hawana subira kabisa!
    TUGANGE YAJAYO JAMANI!

  73. Comment by Aunt D on November 17th, 2008 5:00 am

    hahahahahahha raha kweli kweli Natamani niwakutanishe hahahah maana wengine mashemeji hapo…..
    Tuwe tunajenga hoja hv kwenye kila kitu jamni ili miaka mitano ijayo Tanzania iwe kama Marekani vile

  74. Comment by hombiz on November 17th, 2008 12:48 pm

    Mama wa Kichaga! Slow down a little bit….tukiendeleza marumbano, ni utupu gani utakaoujua tena? Hizi ni baadhi ya changamoto za wanja la BC. In addition, you do have a choice to either read our comments or SKIP `EM! No big deal!
    Matty, hata mimi nakuheshimu pia. Na mimi ni mmoja kati ya watu wasiopenda majungu kabisa. Napenda ukweli na uwazi kama wewe. I agree with you! Tugange yajayo! However, when the comment that I don’t agree with comes up on BC Blog, I’m definitely gonna respond immediately.
    Yote ni ktk kujenga na si kubomoa.
    Aunt D, ungetukutanisha ingefaa zaidi. Tena ikiwezekana tukakutanie Indiana kwa Tommy au Masaki kwa Ross. Na kama mdahalo utawaka moto, basi itabidi kumuombe Majita atusaidie kuupoza kwa maji ya mto aliooga Ross! Kwi kwi kwii!
    Stay up ma sistaz!

  75. Comment by hombiz on November 17th, 2008 12:58 pm

    Papuu hivi na ROSS unamjua!? I won’t be surprised to hear that you know ROSS by heart!

  76. Comment by any on November 17th, 2008 10:25 pm

    THIS TIME WANAUME, KAZI KWELI KWELI!

  77. Comment by majita on November 17th, 2008 11:21 pm

    Jamani stress zikikuzidi wewe njoo hapa BC tu.Utacheka hadi ushike mbavu.Sasa Mkuu hombiz hapo maji ya mto alooga Ross nije kuzima hilo valangati duuuuu!!!! sipati picha nikikuta ndo ng’ombe walikuwa wanakatisha huo mto kwa juu yake,sijui itakuwaje.Manake yatakuwa machafu kweli.Usikute ndo Ross aliyooga.

  78. Comment by Matty on November 18th, 2008 2:40 am

    ok, peace 2 u Hombiz!!though tuko tofauti kimtazamo/uelewa n.k so ni vema tukaheshimu mawazo ya kila mtu!!

    Any, where were u sweartheart?? umekuwa adimu kama kipande cha ndimu??

  79. Comment by any on November 18th, 2008 11:45 am

    Matty nilikua nahamia Kinyerezi, baba mwenyenyumbangu Gongolamboto kaongeza kodi na mimisiafodi.
    how is life? Matty umepata email address yangu? kama laah nikupateje. Please kama hutajali lakini. Thanks.

  80. Comment by hombiz on November 18th, 2008 12:11 pm

    ha-ha-haaa! Majita your soooooooooooooo crazy!

  81. Comment by Mama wa Kichagga on November 18th, 2008 8:45 pm

    Ooooooooops Crap!

  82. Comment by BLACKMANNEN on November 18th, 2008 10:40 pm

    Dada “any”, kutoka Kinyerezi hadi Mwembe-Madafu, kwenye Internet Cafe, si itakuwa mbali sasa. Maana itakubidi uzungukeeee kupitia Magereza hadi kwa Masharubu kwa kupitia hapo Kanisa la Katoliki, hadi Madafu. Utaonekana kwa nadra hapa BC kama ni hivyo. Maana kuna mwendo sana hapo.

    Black=Blackmannen

  83. Comment by Matty on November 19th, 2008 2:10 am

    Any hongera kwa kuhamia kinyerezi shosti hahahahaha mimi bado nadunda huku mbagala mwisho hahahahaha.
    Any bwana life mbona gumu kama jiwe kila kona shosti, Unaweza kunipata hapa pia kemmyrevy@yh.cm

  84. Comment by any on November 19th, 2008 9:17 pm

    Thanks Matty, I will keep in touch.

  85. Comment by Matty on November 20th, 2008 4:15 am

    Its ok Any, ur welcome!

Leave a Reply