<?xml version="1.0" encoding="UTF-8"?><rss version="2.0"
	xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"
	xmlns:dc="http://purl.org/dc/elements/1.1/"
	xmlns:atom="http://www.w3.org/2005/Atom"
	xmlns:sy="http://purl.org/rss/1.0/modules/syndication/"
		>
<channel>
	<title>Comments on: KAMA UNAMPENDA UTAMLINDA</title>
	<atom:link href="http://www.bongocelebrity.com/2008/12/01/kama-unampenda-utamlinda/feed/" rel="self" type="application/rss+xml" />
	<link>http://www.bongocelebrity.com/2008/12/01/kama-unampenda-utamlinda/</link>
	<description></description>
	<lastBuildDate>Sat, 11 Feb 2012 15:21:30 +0000</lastBuildDate>
	<sy:updatePeriod>hourly</sy:updatePeriod>
	<sy:updateFrequency>1</sy:updateFrequency>
	<generator>http://wordpress.org/?v=3.3.1</generator>
	<item>
		<title>By: Hombiz</title>
		<link>http://www.bongocelebrity.com/2008/12/01/kama-unampenda-utamlinda/comment-page-1/#comment-15553</link>
		<dc:creator>Hombiz</dc:creator>
		<pubDate>Thu, 04 Dec 2008 20:04:01 +0000</pubDate>
		<guid isPermaLink="false">http://bongocelebrity.wordpress.com/2008/11/30/kama-unampenda-utamlinda/#comment-15553</guid>
		<description>Tupambane na UKIMWI, tuache bla bla!</description>
		<content:encoded><![CDATA[<p>Tupambane na UKIMWI, tuache bla bla!</p>
]]></content:encoded>
	</item>
	<item>
		<title>By: Maneno Mpina</title>
		<link>http://www.bongocelebrity.com/2008/12/01/kama-unampenda-utamlinda/comment-page-1/#comment-15552</link>
		<dc:creator>Maneno Mpina</dc:creator>
		<pubDate>Thu, 04 Dec 2008 10:05:18 +0000</pubDate>
		<guid isPermaLink="false">http://bongocelebrity.wordpress.com/2008/11/30/kama-unampenda-utamlinda/#comment-15552</guid>
		<description>This day is absolutely and very Unique as mark and reminds us of our daily resonponsilities; among of is to Be careful whatever any step wish to take ahead in life: Ukimwi really kills!! Lets us walk with calculated steps....My tribute on this sad day accross the globe goes to all have died by this desease UKIMWI....rest in peace...</description>
		<content:encoded><![CDATA[<p>This day is absolutely and very Unique as mark and reminds us of our daily resonponsilities; among of is to Be careful whatever any step wish to take ahead in life: Ukimwi really kills!! Lets us walk with calculated steps&#8230;.My tribute on this sad day accross the globe goes to all have died by this desease UKIMWI&#8230;.rest in peace&#8230;</p>
]]></content:encoded>
	</item>
	<item>
		<title>By: BLACKMANNEN</title>
		<link>http://www.bongocelebrity.com/2008/12/01/kama-unampenda-utamlinda/comment-page-1/#comment-15551</link>
		<dc:creator>BLACKMANNEN</dc:creator>
		<pubDate>Thu, 04 Dec 2008 07:55:11 +0000</pubDate>
		<guid isPermaLink="false">http://bongocelebrity.wordpress.com/2008/11/30/kama-unampenda-utamlinda/#comment-15551</guid>
		<description>WanaBC,

Maoni yenu mengi yanaonyesha ni kiasi gani mmeguswa na balaa la UKIMWI. Maelezo yenu na ushauri wenu ni mzuri sana, lakini swali linabaki &quot;Je, UKIMWI utamalizika na kutoweka kikweli?&quot; Nawaomba msome umbea wangu hapa chini!

UKIMWI hautaisha aslani, hadi tukubali mipango na matakwa ya &quot;Waliouleta&quot; hapa kwetu duniani.

UKIMWI ni ugonjwa uliotengenezwa katika &quot;Maabara&quot; ya kitengo cha kijasusi cha nchi ambayo (leo) nimelisahau jina lake ili kuepusha mitafaruku kati yangu na watu waliowekeza huko.

Sambamba na UKIMWI, wataalamu wa Kitengo hicho, walipendekeza kuwa nchi zote duniani, ziridhie na zihalalishe ushoga, usagaji na utoaji mimba. Utumiaji wa kondom pia lilikuwa ni moja ya pendekezo lao tangu mwanzo, lakini halikukidhi idadi ya watu waliopungua.

Nia ya kushinikiza nchi za dunia kuridhia mambo hayo juu, ni kupunguza idadi ya watu. Kutokana na utabiri wa hali ya chakula duniani, baada ya miaka kadhaa ijayo, kitengo hicho kiliona kuwa uwiano wa chakula na watu havitaenda sawa, kutakuja njaa kubwa ya dunia yote, chakula kitakwisha. Kwa maana hiyo duniani hakutakuwa na chakula cha kumtosha kila mtu.

Sababu ya kuongezeka kwa watu, inatokana na watu kuishi maisha marefu na kuzaaana sana bila mipango. Nchi maskini zinaongezeko kubwa la kuzaa watoto kuliko nchi zilizoendela. Nchi zilizoendelea watu hawazaani sana, lakini wanaishi maisha marefu zaidi, kutokana na maendeleo ya maisha bora wanayoishi.

Sheria ya kuruhusu utoaji mimba umeridhiwa tayari na Tanzania katika &quot;Maputo Protocol&quot;. Mwulizeni Waziri Membe sababu zilizomfanya aridhie kwa niaba ya serikali. Sheria hiyo inasubiri kuridhiwa pia, na Bunge letu Tukufu katika siku chache zijazo. Kama mtapenda kuungana nami katika kuupinga mpango wa &quot;Maputo Protocol&quot;, mtanijulisha tuungane pamoja.

Kwa hiyo, kutumia kondom, kama wengi mnavyopendekeza, hakitakidhi matakwa ya kitengo hicho, maana idadi ya watu, bado itabaki pale pale, na kama itapungua ni kidogo sana.

Ngoma ya UKIMWI bado mbichi, na itaendelea, haiishi leo wala kesho!!! Habari ndiyo hiyo!

It&#039;s Great To Be Black=Blackmannen</description>
		<content:encoded><![CDATA[<p>WanaBC,</p>
<p>Maoni yenu mengi yanaonyesha ni kiasi gani mmeguswa na balaa la UKIMWI. Maelezo yenu na ushauri wenu ni mzuri sana, lakini swali linabaki &#8220;Je, UKIMWI utamalizika na kutoweka kikweli?&#8221; Nawaomba msome umbea wangu hapa chini!</p>
<p>UKIMWI hautaisha aslani, hadi tukubali mipango na matakwa ya &#8220;Waliouleta&#8221; hapa kwetu duniani.</p>
<p>UKIMWI ni ugonjwa uliotengenezwa katika &#8220;Maabara&#8221; ya kitengo cha kijasusi cha nchi ambayo (leo) nimelisahau jina lake ili kuepusha mitafaruku kati yangu na watu waliowekeza huko.</p>
<p>Sambamba na UKIMWI, wataalamu wa Kitengo hicho, walipendekeza kuwa nchi zote duniani, ziridhie na zihalalishe ushoga, usagaji na utoaji mimba. Utumiaji wa kondom pia lilikuwa ni moja ya pendekezo lao tangu mwanzo, lakini halikukidhi idadi ya watu waliopungua.</p>
<p>Nia ya kushinikiza nchi za dunia kuridhia mambo hayo juu, ni kupunguza idadi ya watu. Kutokana na utabiri wa hali ya chakula duniani, baada ya miaka kadhaa ijayo, kitengo hicho kiliona kuwa uwiano wa chakula na watu havitaenda sawa, kutakuja njaa kubwa ya dunia yote, chakula kitakwisha. Kwa maana hiyo duniani hakutakuwa na chakula cha kumtosha kila mtu.</p>
<p>Sababu ya kuongezeka kwa watu, inatokana na watu kuishi maisha marefu na kuzaaana sana bila mipango. Nchi maskini zinaongezeko kubwa la kuzaa watoto kuliko nchi zilizoendela. Nchi zilizoendelea watu hawazaani sana, lakini wanaishi maisha marefu zaidi, kutokana na maendeleo ya maisha bora wanayoishi.</p>
<p>Sheria ya kuruhusu utoaji mimba umeridhiwa tayari na Tanzania katika &#8220;Maputo Protocol&#8221;. Mwulizeni Waziri Membe sababu zilizomfanya aridhie kwa niaba ya serikali. Sheria hiyo inasubiri kuridhiwa pia, na Bunge letu Tukufu katika siku chache zijazo. Kama mtapenda kuungana nami katika kuupinga mpango wa &#8220;Maputo Protocol&#8221;, mtanijulisha tuungane pamoja.</p>
<p>Kwa hiyo, kutumia kondom, kama wengi mnavyopendekeza, hakitakidhi matakwa ya kitengo hicho, maana idadi ya watu, bado itabaki pale pale, na kama itapungua ni kidogo sana.</p>
<p>Ngoma ya UKIMWI bado mbichi, na itaendelea, haiishi leo wala kesho!!! Habari ndiyo hiyo!</p>
<p>It&#8217;s Great To Be Black=Blackmannen</p>
]]></content:encoded>
	</item>
	<item>
		<title>By: sisterTZ</title>
		<link>http://www.bongocelebrity.com/2008/12/01/kama-unampenda-utamlinda/comment-page-1/#comment-15550</link>
		<dc:creator>sisterTZ</dc:creator>
		<pubDate>Wed, 03 Dec 2008 13:39:12 +0000</pubDate>
		<guid isPermaLink="false">http://bongocelebrity.wordpress.com/2008/11/30/kama-unampenda-utamlinda/#comment-15550</guid>
		<description>Homeboz i take notice of your comment ni nzuri sana..mimi binafsi nadhani elimu imetolewa na watu wengi wameelewa saana ISSUE ZOTE ZA UKIMWI..na vile vile hata vijijini jamani wanaelewa issue nzima ya ukimwi..THE ISSUE HERE NI KWAMBA sisi wenyewe kubadilisha TABIA ZETU..jamani hamuwezi kuamini sisi kazini kwetu tulikuwa tunahoja hawa mama DADA POA wengi wao wanakwambia wanaume wengi wanakuja kutaka HUDUMA kwao na wengi wanataka hiyo HUDUMA BILA KINGA YOYOTE...sasa jamani utasema kweli huyo mtu hajui issue ya UKIMWI? Au sisi akina DADA tunakimbilia MABUZI bila kujali kama ana ukimwi au la? CHA MSINGI SISI SOTE TUBADILISHe TABIA NA TUWE WAAMINIFU KTK MAHUSIANO YETU::JAMANI TUKUMBUKE TUNA WATOTO::</description>
		<content:encoded><![CDATA[<p>Homeboz i take notice of your comment ni nzuri sana..mimi binafsi nadhani elimu imetolewa na watu wengi wameelewa saana ISSUE ZOTE ZA UKIMWI..na vile vile hata vijijini jamani wanaelewa issue nzima ya ukimwi..THE ISSUE HERE NI KWAMBA sisi wenyewe kubadilisha TABIA ZETU..jamani hamuwezi kuamini sisi kazini kwetu tulikuwa tunahoja hawa mama DADA POA wengi wao wanakwambia wanaume wengi wanakuja kutaka HUDUMA kwao na wengi wanataka hiyo HUDUMA BILA KINGA YOYOTE&#8230;sasa jamani utasema kweli huyo mtu hajui issue ya UKIMWI? Au sisi akina DADA tunakimbilia MABUZI bila kujali kama ana ukimwi au la? CHA MSINGI SISI SOTE TUBADILISHe TABIA NA TUWE WAAMINIFU KTK MAHUSIANO YETU::JAMANI TUKUMBUKE TUNA WATOTO::</p>
]]></content:encoded>
	</item>
	<item>
		<title>By: kekue</title>
		<link>http://www.bongocelebrity.com/2008/12/01/kama-unampenda-utamlinda/comment-page-1/#comment-15549</link>
		<dc:creator>kekue</dc:creator>
		<pubDate>Wed, 03 Dec 2008 10:34:23 +0000</pubDate>
		<guid isPermaLink="false">http://bongocelebrity.wordpress.com/2008/11/30/kama-unampenda-utamlinda/#comment-15549</guid>
		<description>KAMA MNAPENDANA MTALINDANA!!!!!!!!!!!!!!!!</description>
		<content:encoded><![CDATA[<p>KAMA MNAPENDANA MTALINDANA!!!!!!!!!!!!!!!!</p>
]]></content:encoded>
	</item>
	<item>
		<title>By: - - - - - - - - -</title>
		<link>http://www.bongocelebrity.com/2008/12/01/kama-unampenda-utamlinda/comment-page-1/#comment-15548</link>
		<dc:creator>- - - - - - - - -</dc:creator>
		<pubDate>Tue, 02 Dec 2008 18:01:09 +0000</pubDate>
		<guid isPermaLink="false">http://bongocelebrity.wordpress.com/2008/11/30/kama-unampenda-utamlinda/#comment-15548</guid>
		<description>ukimwi hauui,magonjwa yatokanayo na ukimwi ndiyo yanaua hamna mtu anaekufa kwa ukimwi bali watu hufa kwa malaria taifod na kazarika. sasa nyinyi mnasema wa vijijini wapewe elimu kumbe na nyie hiyo elimu bado mnaihitaji. ukimwi ni mapungu ya kinga kama cdk na white blood cell</description>
		<content:encoded><![CDATA[<p>ukimwi hauui,magonjwa yatokanayo na ukimwi ndiyo yanaua hamna mtu anaekufa kwa ukimwi bali watu hufa kwa malaria taifod na kazarika. sasa nyinyi mnasema wa vijijini wapewe elimu kumbe na nyie hiyo elimu bado mnaihitaji. ukimwi ni mapungu ya kinga kama cdk na white blood cell</p>
]]></content:encoded>
	</item>
	<item>
		<title>By: halima</title>
		<link>http://www.bongocelebrity.com/2008/12/01/kama-unampenda-utamlinda/comment-page-1/#comment-15547</link>
		<dc:creator>halima</dc:creator>
		<pubDate>Tue, 02 Dec 2008 13:44:02 +0000</pubDate>
		<guid isPermaLink="false">http://bongocelebrity.wordpress.com/2008/11/30/kama-unampenda-utamlinda/#comment-15547</guid>
		<description>Kila nisikiapo gonjwa hili huwa na umia sana kwa sababu  tumeshapoteza mtu muhimu sana katika familia hiyo basi huwa naumia sana.

Ndugu zangu huu ugonjwa unatesa sana kama ukibahatika kuona au kuuguza mgojwa wa ukimwi basi hutapingana na mimi kwani akiwa katika hatua za mwisho za uhai wake huwa anataabika sana na maumivu anayoyapata akikuelezea basi lazima umuonee huruma.

Watanzania huu ugojwa upo siku hadi siku unazidi kuenea kwa kasi hatuna budi kujikinga nao.

UKIMWI UNAUA.</description>
		<content:encoded><![CDATA[<p>Kila nisikiapo gonjwa hili huwa na umia sana kwa sababu  tumeshapoteza mtu muhimu sana katika familia hiyo basi huwa naumia sana.</p>
<p>Ndugu zangu huu ugonjwa unatesa sana kama ukibahatika kuona au kuuguza mgojwa wa ukimwi basi hutapingana na mimi kwani akiwa katika hatua za mwisho za uhai wake huwa anataabika sana na maumivu anayoyapata akikuelezea basi lazima umuonee huruma.</p>
<p>Watanzania huu ugojwa upo siku hadi siku unazidi kuenea kwa kasi hatuna budi kujikinga nao.</p>
<p>UKIMWI UNAUA.</p>
]]></content:encoded>
	</item>
	<item>
		<title>By: Mama wa Kichagga</title>
		<link>http://www.bongocelebrity.com/2008/12/01/kama-unampenda-utamlinda/comment-page-1/#comment-15546</link>
		<dc:creator>Mama wa Kichagga</dc:creator>
		<pubDate>Tue, 02 Dec 2008 06:17:44 +0000</pubDate>
		<guid isPermaLink="false">http://bongocelebrity.wordpress.com/2008/11/30/kama-unampenda-utamlinda/#comment-15546</guid>
		<description>Ni sikio la kufa halisikii dawa.

Njia pekee na ya bure ya kujikinga la hili sagamba ni kuwa mwaminifu vinginevyo utakwebebwa  na maji mtoni kwa kina Ross.

INAWEZEKANA TIMIZA WAJIBU WAKO</description>
		<content:encoded><![CDATA[<p>Ni sikio la kufa halisikii dawa.</p>
<p>Njia pekee na ya bure ya kujikinga la hili sagamba ni kuwa mwaminifu vinginevyo utakwebebwa  na maji mtoni kwa kina Ross.</p>
<p>INAWEZEKANA TIMIZA WAJIBU WAKO</p>
]]></content:encoded>
	</item>
	<item>
		<title>By: Pearl</title>
		<link>http://www.bongocelebrity.com/2008/12/01/kama-unampenda-utamlinda/comment-page-1/#comment-15545</link>
		<dc:creator>Pearl</dc:creator>
		<pubDate>Tue, 02 Dec 2008 06:16:33 +0000</pubDate>
		<guid isPermaLink="false">http://bongocelebrity.wordpress.com/2008/11/30/kama-unampenda-utamlinda/#comment-15545</guid>
		<description>Hombiz kweli hizi NGO zinahitaji kufuatiliwa kwa karibu kwasababu wataishia kujilipa per diem halafu elimu na msaada unawafikia wachache.

Kuna maeneo yanatisha jamani watu hawaelewi kabisa haya maswala ya ukimwi,nani atawafikia watu kama hawa!!!???
Nadhani ni changamoto kwa hizi NGOs wasiishie mijini wanaweka shows kubwakubwa mi nadhani waendeleze hizo kampeni mpaka maeneo ambayo hayajafikiwa ya vijijini.</description>
		<content:encoded><![CDATA[<p>Hombiz kweli hizi NGO zinahitaji kufuatiliwa kwa karibu kwasababu wataishia kujilipa per diem halafu elimu na msaada unawafikia wachache.</p>
<p>Kuna maeneo yanatisha jamani watu hawaelewi kabisa haya maswala ya ukimwi,nani atawafikia watu kama hawa!!!???<br />
Nadhani ni changamoto kwa hizi NGOs wasiishie mijini wanaweka shows kubwakubwa mi nadhani waendeleze hizo kampeni mpaka maeneo ambayo hayajafikiwa ya vijijini.</p>
]]></content:encoded>
	</item>
	<item>
		<title>By: BLACKMANNEN</title>
		<link>http://www.bongocelebrity.com/2008/12/01/kama-unampenda-utamlinda/comment-page-1/#comment-15536</link>
		<dc:creator>BLACKMANNEN</dc:creator>
		<pubDate>Tue, 02 Dec 2008 05:05:24 +0000</pubDate>
		<guid isPermaLink="false">http://bongocelebrity.wordpress.com/2008/11/30/kama-unampenda-utamlinda/#comment-15536</guid>
		<description>Watu wengi sana wanapenda BBC=Body to Body Contact, matokeo ni vifo.

Black=Blackmannen</description>
		<content:encoded><![CDATA[<p>Watu wengi sana wanapenda BBC=Body to Body Contact, matokeo ni vifo.</p>
<p>Black=Blackmannen</p>
]]></content:encoded>
	</item>
</channel>
</rss>

<!-- Performance optimized by W3 Total Cache. Learn more: http://www.w3-edge.com/wordpress-plugins/

Page Caching using disk: enhanced

Served from: www.bongocelebrity.com @ 2012-02-11 23:35:42 -->
