<?xml version="1.0" encoding="UTF-8"?><rss version="2.0"
	xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"
	xmlns:dc="http://purl.org/dc/elements/1.1/"
	xmlns:atom="http://www.w3.org/2005/Atom"
	xmlns:sy="http://purl.org/rss/1.0/modules/syndication/"
		>
<channel>
	<title>Comments on: MRAMBA NA YONA WAACHIWA KWA DHAMANA</title>
	<atom:link href="http://www.bongocelebrity.com/2008/12/02/mramba-na-yona-waachiwa-kwa-dhamana/feed/" rel="self" type="application/rss+xml" />
	<link>http://www.bongocelebrity.com/2008/12/02/mramba-na-yona-waachiwa-kwa-dhamana/</link>
	<description></description>
	<lastBuildDate>Tue, 07 Sep 2010 14:07:18 +0000</lastBuildDate>
	<sy:updatePeriod>hourly</sy:updatePeriod>
	<sy:updateFrequency>1</sy:updateFrequency>
	<generator>http://wordpress.org/?v=3.0</generator>
	<item>
		<title>By: JOYCE</title>
		<link>http://www.bongocelebrity.com/2008/12/02/mramba-na-yona-waachiwa-kwa-dhamana/comment-page-1/#comment-15589</link>
		<dc:creator>JOYCE</dc:creator>
		<pubDate>Mon, 22 Dec 2008 08:54:02 +0000</pubDate>
		<guid isPermaLink="false">http://bongocelebrity.wordpress.com/2008/12/02/mramba-na-yona-waachiwa-kwa-dhamana/#comment-15589</guid>
		<description>TUKUBALI TU KUWA SISI NI WADANGANYIKA HAKUNA LA ZIADA ACHA WAFAIDI WAO NA FAMILIA ZAO.</description>
		<content:encoded><![CDATA[<p>TUKUBALI TU KUWA SISI NI WADANGANYIKA HAKUNA LA ZIADA ACHA WAFAIDI WAO NA FAMILIA ZAO.</p>
]]></content:encoded>
	</item>
	<item>
		<title>By: binti-mzuri</title>
		<link>http://www.bongocelebrity.com/2008/12/02/mramba-na-yona-waachiwa-kwa-dhamana/comment-page-1/#comment-15588</link>
		<dc:creator>binti-mzuri</dc:creator>
		<pubDate>Mon, 08 Dec 2008 04:10:30 +0000</pubDate>
		<guid isPermaLink="false">http://bongocelebrity.wordpress.com/2008/12/02/mramba-na-yona-waachiwa-kwa-dhamana/#comment-15588</guid>
		<description>HEY JAMANI WEWE BINTI MZURI WA NAMBA 32,NI BINTI MZURI GANI JAMANI!..I NEVER POSTED THAT COMMENT!ANYWAYS,MAYBE YOUR NEW,AU MAYBE ITS SOMEBODY WHOSE TRYING TO USE MY IDENTITY..NILIKUA NIMETOKA KIDOGO TU,NILIKUA NARUDI!!...USE IT OR LEAVE IT..EITHER WAY..MI NIPO TAMBARARE TU!COZ HATA KULIANDIKA UMEKOSEA</description>
		<content:encoded><![CDATA[<p>HEY JAMANI WEWE BINTI MZURI WA NAMBA 32,NI BINTI MZURI GANI JAMANI!..I NEVER POSTED THAT COMMENT!ANYWAYS,MAYBE YOUR NEW,AU MAYBE ITS SOMEBODY WHOSE TRYING TO USE MY IDENTITY..NILIKUA NIMETOKA KIDOGO TU,NILIKUA NARUDI!!&#8230;USE IT OR LEAVE IT..EITHER WAY..MI NIPO TAMBARARE TU!COZ HATA KULIANDIKA UMEKOSEA</p>
]]></content:encoded>
	</item>
	<item>
		<title>By: Mayu</title>
		<link>http://www.bongocelebrity.com/2008/12/02/mramba-na-yona-waachiwa-kwa-dhamana/comment-page-1/#comment-15587</link>
		<dc:creator>Mayu</dc:creator>
		<pubDate>Fri, 05 Dec 2008 10:32:38 +0000</pubDate>
		<guid isPermaLink="false">http://bongocelebrity.wordpress.com/2008/12/02/mramba-na-yona-waachiwa-kwa-dhamana/#comment-15587</guid>
		<description>Shenzi zao - WIZI MTUPU</description>
		<content:encoded><![CDATA[<p>Shenzi zao &#8211; WIZI MTUPU</p>
]]></content:encoded>
	</item>
	<item>
		<title>By: Hombiz</title>
		<link>http://www.bongocelebrity.com/2008/12/02/mramba-na-yona-waachiwa-kwa-dhamana/comment-page-1/#comment-15586</link>
		<dc:creator>Hombiz</dc:creator>
		<pubDate>Thu, 04 Dec 2008 20:02:28 +0000</pubDate>
		<guid isPermaLink="false">http://bongocelebrity.wordpress.com/2008/12/02/mramba-na-yona-waachiwa-kwa-dhamana/#comment-15586</guid>
		<description>Spika ammaliza Karamagi
http://www.ippmedia.com/ipp/nipashe/2008/12/04/127552.html</description>
		<content:encoded><![CDATA[<p>Spika ammaliza Karamagi<br />
<a href="http://www.ippmedia.com/ipp/nipashe/2008/12/04/127552.html" rel="nofollow">http://www.ippmedia.com/ipp/nipashe/2008/12/04/127552.html</a></p>
]]></content:encoded>
	</item>
	<item>
		<title>By: binti mzuri</title>
		<link>http://www.bongocelebrity.com/2008/12/02/mramba-na-yona-waachiwa-kwa-dhamana/comment-page-1/#comment-15583</link>
		<dc:creator>binti mzuri</dc:creator>
		<pubDate>Thu, 04 Dec 2008 17:07:51 +0000</pubDate>
		<guid isPermaLink="false">http://bongocelebrity.wordpress.com/2008/12/02/mramba-na-yona-waachiwa-kwa-dhamana/#comment-15583</guid>
		<description>WEZI HAOOOOOOOOOOOOOOOOO</description>
		<content:encoded><![CDATA[<p>WEZI HAOOOOOOOOOOOOOOOOO</p>
]]></content:encoded>
	</item>
	<item>
		<title>By: Hombiz</title>
		<link>http://www.bongocelebrity.com/2008/12/02/mramba-na-yona-waachiwa-kwa-dhamana/comment-page-1/#comment-15585</link>
		<dc:creator>Hombiz</dc:creator>
		<pubDate>Thu, 04 Dec 2008 17:06:00 +0000</pubDate>
		<guid isPermaLink="false">http://bongocelebrity.wordpress.com/2008/12/02/mramba-na-yona-waachiwa-kwa-dhamana/#comment-15585</guid>
		<description>Hussein, inaelekea wewe ni kibaraka wa MAFISADI ndio maana hiyo timu huifagilii. Julius, chuki binafsi ni zidi? Kufichua wabadhilifu wa mali ya umma au? Anayemuona msafi hapo mtaje nasi tumwage data!
Vyombo vya habari navipongeza kwa uzalendo wao wa kuanika uozo wa MAFISADI hadharani. Good JOB!. Endeleeni na wembe huo huo!</description>
		<content:encoded><![CDATA[<p>Hussein, inaelekea wewe ni kibaraka wa MAFISADI ndio maana hiyo timu huifagilii. Julius, chuki binafsi ni zidi? Kufichua wabadhilifu wa mali ya umma au? Anayemuona msafi hapo mtaje nasi tumwage data!<br />
Vyombo vya habari navipongeza kwa uzalendo wao wa kuanika uozo wa MAFISADI hadharani. Good JOB!. Endeleeni na wembe huo huo!</p>
]]></content:encoded>
	</item>
	<item>
		<title>By: BLACKMANNEN</title>
		<link>http://www.bongocelebrity.com/2008/12/02/mramba-na-yona-waachiwa-kwa-dhamana/comment-page-1/#comment-15582</link>
		<dc:creator>BLACKMANNEN</dc:creator>
		<pubDate>Thu, 04 Dec 2008 04:36:55 +0000</pubDate>
		<guid isPermaLink="false">http://bongocelebrity.wordpress.com/2008/12/02/mramba-na-yona-waachiwa-kwa-dhamana/#comment-15582</guid>
		<description>Mramba na Yona,

Mtu mwenye ELIMU sio mwenzako. Elimu inakusaidia kupanuka kimawazo na kuweza kuona mbele. Mwenzenu Dr. Balali aliitumia elimu yake na kuyaona yote haya yanayowasibu ninyi sasa hivi.

Yeye wakati mkifanya UFISADI wenu na yeye, alikwenda USA na kujipatia kabisa mapema, &quot;NONDO&quot; ya huko, ili mambo yakimbumburuka analala mbele. Dr. Balali, hela aliyoipiga &quot;ukucha&quot; BoT, hakupapatika nayo, kama ninyi (Mramba na Yona) kwa kununua magari ya fahari na kujenga majumba ya kifahari, kuliko hata White House ya Rais &quot;Mfukuzwa&quot;, Joji Pori.

Dr. Balali, alipoona siri imebumburuka, alilala mbele, katika nchi yake ya pili (alikojipatia NONDO=Passport, yake) na kujibadilisha sura yake, na kutangaza kwamba &quot;AMEKUFA&quot;.
Dr. Balali, alikuwa na maana ya kwamba, aliyekufa sio yeye bali, soo lote la EPA, upande wake LIMEKUFA.

Mwenzenu anawacheka sana, anapowaona mkijifuta mijasho, mkiwa Mahakamani na kwenda kulala Keko. He he he he heeee!!!!. Mwenye ELIMU sio mwenzako. ELIMU kitu cha maana sana maishani. Habari ndiyo hiyo, na mkomage kupiga &quot;ukucha&quot; mali za watu.

This Is Black=Blackmannen</description>
		<content:encoded><![CDATA[<p>Mramba na Yona,</p>
<p>Mtu mwenye ELIMU sio mwenzako. Elimu inakusaidia kupanuka kimawazo na kuweza kuona mbele. Mwenzenu Dr. Balali aliitumia elimu yake na kuyaona yote haya yanayowasibu ninyi sasa hivi.</p>
<p>Yeye wakati mkifanya UFISADI wenu na yeye, alikwenda USA na kujipatia kabisa mapema, &#8220;NONDO&#8221; ya huko, ili mambo yakimbumburuka analala mbele. Dr. Balali, hela aliyoipiga &#8220;ukucha&#8221; BoT, hakupapatika nayo, kama ninyi (Mramba na Yona) kwa kununua magari ya fahari na kujenga majumba ya kifahari, kuliko hata White House ya Rais &#8220;Mfukuzwa&#8221;, Joji Pori.</p>
<p>Dr. Balali, alipoona siri imebumburuka, alilala mbele, katika nchi yake ya pili (alikojipatia NONDO=Passport, yake) na kujibadilisha sura yake, na kutangaza kwamba &#8220;AMEKUFA&#8221;.<br />
Dr. Balali, alikuwa na maana ya kwamba, aliyekufa sio yeye bali, soo lote la EPA, upande wake LIMEKUFA.</p>
<p>Mwenzenu anawacheka sana, anapowaona mkijifuta mijasho, mkiwa Mahakamani na kwenda kulala Keko. He he he he heeee!!!!. Mwenye ELIMU sio mwenzako. ELIMU kitu cha maana sana maishani. Habari ndiyo hiyo, na mkomage kupiga &#8220;ukucha&#8221; mali za watu.</p>
<p>This Is Black=Blackmannen</p>
]]></content:encoded>
	</item>
	<item>
		<title>By: julius</title>
		<link>http://www.bongocelebrity.com/2008/12/02/mramba-na-yona-waachiwa-kwa-dhamana/comment-page-1/#comment-15581</link>
		<dc:creator>julius</dc:creator>
		<pubDate>Thu, 04 Dec 2008 04:26:54 +0000</pubDate>
		<guid isPermaLink="false">http://bongocelebrity.wordpress.com/2008/12/02/mramba-na-yona-waachiwa-kwa-dhamana/#comment-15581</guid>
		<description>tunaelekea pabaya kweli kama tukiendelea kuendekeza chuki binafsi</description>
		<content:encoded><![CDATA[<p>tunaelekea pabaya kweli kama tukiendelea kuendekeza chuki binafsi</p>
]]></content:encoded>
	</item>
	<item>
		<title>By: hussein</title>
		<link>http://www.bongocelebrity.com/2008/12/02/mramba-na-yona-waachiwa-kwa-dhamana/comment-page-1/#comment-15580</link>
		<dc:creator>hussein</dc:creator>
		<pubDate>Thu, 04 Dec 2008 04:23:48 +0000</pubDate>
		<guid isPermaLink="false">http://bongocelebrity.wordpress.com/2008/12/02/mramba-na-yona-waachiwa-kwa-dhamana/#comment-15580</guid>
		<description>Huyo aliyejitia kutuandikia timu ya mafisadi ni mtu mwenye chuki zake. Nafikiri tukubali kuwa mahala hapa ni kwa kila mtu kuonyesha chuki zake na wala si kwa masilahi ya taifa. Tusipoangalia tutafika mahala tutakuja kukosana kabisa lakini waandishi wa habari na waandaaji wa nafasi hizi wajue ndo wakulaumiwa na kubeba mzigo wakati nchi hii itakapoingia katika machafuko. Hii naisema kwa sababu mweelekeo uliopo ni kuchafuliana kwa ktumia vyombo hivi vya habari. Kwa tusiachie vyombo vyetu vya sheria vikachukua mkondo wake mpaka mtu ahukumiwe.
Mimi naona tusipojifunza kutoka kwa wenzetu yatatukuta yaliyowakuta, maana chuki imeendekezwa na vyombo vya habari ambayo inaambatana na uchochezi wa ukabila. Mungu atunusuru</description>
		<content:encoded><![CDATA[<p>Huyo aliyejitia kutuandikia timu ya mafisadi ni mtu mwenye chuki zake. Nafikiri tukubali kuwa mahala hapa ni kwa kila mtu kuonyesha chuki zake na wala si kwa masilahi ya taifa. Tusipoangalia tutafika mahala tutakuja kukosana kabisa lakini waandishi wa habari na waandaaji wa nafasi hizi wajue ndo wakulaumiwa na kubeba mzigo wakati nchi hii itakapoingia katika machafuko. Hii naisema kwa sababu mweelekeo uliopo ni kuchafuliana kwa ktumia vyombo hivi vya habari. Kwa tusiachie vyombo vyetu vya sheria vikachukua mkondo wake mpaka mtu ahukumiwe.<br />
Mimi naona tusipojifunza kutoka kwa wenzetu yatatukuta yaliyowakuta, maana chuki imeendekezwa na vyombo vya habari ambayo inaambatana na uchochezi wa ukabila. Mungu atunusuru</p>
]]></content:encoded>
	</item>
	<item>
		<title>By: hombiz</title>
		<link>http://www.bongocelebrity.com/2008/12/02/mramba-na-yona-waachiwa-kwa-dhamana/comment-page-1/#comment-15584</link>
		<dc:creator>hombiz</dc:creator>
		<pubDate>Wed, 03 Dec 2008 22:01:12 +0000</pubDate>
		<guid isPermaLink="false">http://bongocelebrity.wordpress.com/2008/12/02/mramba-na-yona-waachiwa-kwa-dhamana/#comment-15584</guid>
		<description>Madman!, mimi naona kupata namba kwenye timu ya MAFISADI UNITED ili uuze timu sio kazi ndogo. Kwanza itajili ujaze fomu za usaili ambazo zina maswali magumu ile kinoma.
Halafu, watakufanyia majaribio waone uchezaji wako wa ufisadi una kiwango gani. Mpaka usainiwe mazee, duuuuh! kazi ipo!, hapo utakuwa umeiva kinoma babu!. Hata kuuza timu hautakumbuka tena.
Ila sikukatishi tamaa! Unajua tena hakuna lisilowezekana mtu wangu!. Jaribu bahati yao, unajua tena-&quot;yes you can!&quot;</description>
		<content:encoded><![CDATA[<p>Madman!, mimi naona kupata namba kwenye timu ya MAFISADI UNITED ili uuze timu sio kazi ndogo. Kwanza itajili ujaze fomu za usaili ambazo zina maswali magumu ile kinoma.<br />
Halafu, watakufanyia majaribio waone uchezaji wako wa ufisadi una kiwango gani. Mpaka usainiwe mazee, duuuuh! kazi ipo!, hapo utakuwa umeiva kinoma babu!. Hata kuuza timu hautakumbuka tena.<br />
Ila sikukatishi tamaa! Unajua tena hakuna lisilowezekana mtu wangu!. Jaribu bahati yao, unajua tena-&#8221;yes you can!&#8221;</p>
]]></content:encoded>
	</item>
</channel>
</rss>
