TID ATOKA JELA KWA MSAMAHA WA JK

tid

MSANII wa muziki wa kizazi nchini Khalid Mohammed ‘maarufu kama TID’ aliyekuwa akitumikia kifungo cha mwaka mmoja katika gereza la Segerea, jana aliachiwa huru kupitia msamaha kwa wafungwa uliotolewa na Rais Kikwete katika maadhimisho ya miaka 47 ya Uhuru.Kwa habari zaidi bonyeza hapa.

Page 1 of 3 | Next page