sasa hi bash ipo wapi jamani??? mbona information chache??
Comment by Bob Sambeke on
December 16th, 2008 5:19 pm
Haya mambo hayo wabeba Box! Ila kuweni makini maana nimeona tangazo linasema Ladies free! tumieni zana(vaeni viatu) maana msije mkajiachia baada ya uchovu wa kubeba box!
Nawatakia x-mas njema na new year!
Comment by binti-mzuri on
December 17th, 2008 6:11 pm
Comment by BLACKMANNEN on
December 17th, 2008 10:52 pm
Wabongo wa DC naona kila Restaurant mnawaachia Walatino. Mlianza kuiacha “Kilimanjaro”, sasa naona kila Restaurant ninayoingia nakuta wafanyakazi ni Walatino tu. Jumuia ya Watanzania sijui siku hizi iko wapi? Au mnajumuika majumbani mwa watu huko Maryland?
Black=Blackmannen
Comment by binti-mzuri on
December 18th, 2008 2:08 pm
sio siri hawa ndugu zetu wa maryland samtimes wanachemka,samtimes wakawaka..sio dongo..nasema tu ule ukweli
sasa hi bash ipo wapi jamani??? mbona information chache??
Haya mambo hayo wabeba Box! Ila kuweni makini maana nimeona tangazo linasema Ladies free! tumieni zana(vaeni viatu) maana msije mkajiachia baada ya uchovu wa kubeba box!
Nawatakia x-mas njema na new year!
lilian bash lipo maryland hilo!..jimuvishe kaa vipi
Wabongo wa DC naona kila Restaurant mnawaachia Walatino. Mlianza kuiacha “Kilimanjaro”, sasa naona kila Restaurant ninayoingia nakuta wafanyakazi ni Walatino tu. Jumuia ya Watanzania sijui siku hizi iko wapi? Au mnajumuika majumbani mwa watu huko Maryland?
Black=Blackmannen
sio siri hawa ndugu zetu wa maryland samtimes wanachemka,samtimes wakawaka..sio dongo..nasema tu ule ukweli