flyer1bc1

Feedback / Comments

5 Responses to “X-MAS EVE BASH”

  1. Comment by Lilian on December 16th, 2008 1:06 pm

    sasa hi bash ipo wapi jamani??? mbona information chache??

  2. Comment by Bob Sambeke on December 16th, 2008 5:19 pm

    Haya mambo hayo wabeba Box! Ila kuweni makini maana nimeona tangazo linasema Ladies free! tumieni zana(vaeni viatu) maana msije mkajiachia baada ya uchovu wa kubeba box!

    Nawatakia x-mas njema na new year!

  3. Comment by binti-mzuri on December 17th, 2008 6:11 pm

    lilian bash lipo maryland hilo!..jimuvishe kaa vipi

  4. Comment by BLACKMANNEN on December 17th, 2008 10:52 pm

    Wabongo wa DC naona kila Restaurant mnawaachia Walatino. Mlianza kuiacha “Kilimanjaro”, sasa naona kila Restaurant ninayoingia nakuta wafanyakazi ni Walatino tu. Jumuia ya Watanzania sijui siku hizi iko wapi? Au mnajumuika majumbani mwa watu huko Maryland?

    Black=Blackmannen

  5. Comment by binti-mzuri on December 18th, 2008 2:08 pm

    sio siri hawa ndugu zetu wa maryland samtimes wanachemka,samtimes wakawaka..sio dongo..nasema tu ule ukweli

Leave a Reply