namtambua….anaitwa FRANK MTAO…alikuwa anapresent kipindi cha NANI NI NANI,katika cHANEL TEN…ila muda mrefu alikuwa masomoni(am not sure about the country,but ni uropa)amerudi tu mwishoni mwa mwaka jana…anapofanya kwa sasa sijui…vinginevyo namfagilia sana..ana mvuto,hana maringo,weusi mzuriiii….i like the guy…..mwaaa
Comment by angel jk on
January 7th, 2009 12:42 am
uyu jamaa bwana alikua anafanyaga kaz channel ten then akajaga kufungua ile 2eyes production akaendaga wapi sijui ila siku izi katoka!!
anaitwa Frank Mtao alikuwa mtangazaji wa Channel ten kipindi cha Nani ni Nani,pia nakumbuka aliaga akasema anaenda ulaya sasa sijui anafanya nini huko!!!
Comment by Gervas on
January 7th, 2009 1:25 am
Majita huyu!!……hapana, ni Frenki Mutao wa chaneli teni, alivuma sana ktk kipindi chake cha nani ni nani. data zimeisha!!
Comment by Mattylda on
January 7th, 2009 1:36 am
Natambua,anaitwa Frank Mtao i think ni mtangazaji wa chanel 10 kipindi cha nani ni nani sina hakika kama bado anaendelea na hicho kipindi!!
Naomba nimuingilie kidogo kwenye personal zake!
kaka nywele hazijakutoa hata kidogo jaribu kunyoa panki labda!!!!!!!hapo no kwakweli!!!!!!!!!!!ni hayo tu atakayeona nimemboa anisamehe nataka kuanza mwaka vizuri wapendwa!!!!!!!!!!!
Huyuuuuu….sijui kama anafanya kazi sehemu yoyote. Naona kama Bongo cerebrity umetutega tu hapa. Nywele zake km kichaa. Lakini anaoneeka ni msafi (kitu ambacho si cha kawaida kwa kichaa). Labda ni kichaa anayeishi na wazazi wake kwa hiyo wanapiga sopu sopu.
Huyo ni Frank Mtao. Ni mtangazaji au mwana habari whichever is gracious.
nawatakia wote heri ya mwaka mpya.
Mwana
Comment by binti-mzuri on
January 7th, 2009 3:50 am
yah huyu namtambua frank mtao wa two eyes production na pia alikuepo channel ten..nasikia alikua masomoni japan or something,is he back?hes a very nice guy..na pia mtanashati..mmh.. is he single?
Comment by domo kama upawa on
January 7th, 2009 4:17 am
huyu ni Frank Mtaoo ni bwana shem huyu anajishughulisha na naniliu ni hayo aaah na wangine semeni.
Nadhani kuna mengine tukubali katika maisha haya sio kila mitindo inafaa kwa kila mtu kuna wengine inawafanya waonekane ni watu wenda wazimu au vichaa waliokuwa hawajapatiwa matibabu jamaa amevalia vizuri lakini hiyo staili ya nywele sio yake kwani nywele zinakwenda na umbile la sura ya mtu binafsi ningemshauri ni vyema akaweka kipara angependeza na kuvutiwa na watu wengi popote pale
Comment by Judith Agustine on
January 7th, 2009 4:59 am
Nimemtambua anaitwa Frank Mtao zamani alikuwa mtangazaji Channel 10 sijui kwa sasa maana naona amepotea sana kwenye TV.
Comment by butsi koza on
January 7th, 2009 4:59 am
alionekana mstaarabu, but uwongo na kufanya kazi kiuhuni uhuni ndo kunamwangusha huyu
huyu ni kiongozi wa 2 eyes production
anaitwa Frank Mtao
Huyo ni Frank Mtao. Mbona kawa hivyo??? Hizo nywele kwa kweli hazimpendezi. Angeacha tu nywele zake za kawaida. Kwa sasa sijui anafanya nini, ila i think bado ana share katika kampuni ya kurekodi ya 2Eyez Production.
Huo ni mtazamo wangu tu.
Lol!!!
Comment by Komredi on
January 7th, 2009 6:46 am
huyu jamaa anaitwa Frank Mtao ni mtangazaji wa DTV na ni bosi wa kampuni ya 2eyes inayojishughulisha na kurekodi video. Jamaa namkubali ktk swala zima la utangazaji hasa kupitia kipindi chake cha NANI NI NANI.
Comment by James on
January 7th, 2009 7:11 am
Huyu ni Frank Mtao na yupo Australia anakula kuku sasa ……….
Comment by msefip on
January 7th, 2009 8:08 am
kwa vyovyote ni muuza sura 2 hakuna anaejua yy ni nani apa bongo au yuko alocomment?
Comment by Mitchez on
January 7th, 2009 8:15 am
Mkuu wa kazi Frank Mtao 2 eyez production…umebadilika mkubwa last time nakumbuka mbaaaaali sana ilikuwa Jpn hahahaha…
Comment by ramona on
January 7th, 2009 8:55 am
nywele hizo zinazua gumzo ni chafu au safi?sipendi huo mtindo wa nywele tafadhari badilisha
Frank Mtao, Mtangazaji Channel 10 na mkurugenzi wa 2 eyes production
Comment by mdau on
January 7th, 2009 9:32 am
anaitwa Frank Mtao,He use to be one of the CHANNEL10 tv shows presenter(nani ni nani?) and He was also the owner of the 2eyes record if am not mistaken.Well,I dont know where he is now and wat the hell he is doing.
Ndimi mdau,masomoni UK.
Comment by any on
January 7th, 2009 10:08 am
Mi simfahamu ila ana sura ya kimangi vile.
Comment by chapombe on
January 7th, 2009 11:19 am
simfahamu yeye wala kazi yake,sema anaonekana kama muuza sura maarufu
Comment by Caro on
January 7th, 2009 12:04 pm
kwakweli mimi simjui kwani nimetoa home Bongo miaka mingi kidogo, jamaa anaonekana mstaalabu ni nywele tu zinamuangusha badili styre ya nywele kaka
Binti-mzuri, Frank Mtao alishaoa tena ndoa ya kanisani, but kwa bahati mbaya ameachana na mkewe, so, if you want to go shostito nenda, ila jiandae na wewe kuachwa, tehe tehe tehe. Au wasemaje shostito wangu, ila mi nakushauri usiende, coz hajatulia huyo, kwikwiiiii.
Kwa kweli Mattylda umenena, hiyo hairsytle, mi mhhhhhhhhhhhhh. Huo bado ni mtazamo wangu tuuuuuuu.
Hata ivo leo nimefungwa bao la kisigino.Mimi simjui huyu bwn hata chembe.Ila nafikiri huku kijijini kungekuwa na hiyo TV ningemuona na ningemjua ila kwa vile hakuna nashukuru wadau kwa kutujuvya.
Dr.Majita (PhD)
Comment by binti-mzuri on
January 7th, 2009 2:33 pm
haha lalola shosti wangu… ubishiiii upo kwenye damu hapa, unakua kaa hujui..tena we ndio utakua matroni..jitayaritayarishe.. matty mkuu wa kamati ya maandalizi..kahindi mamaa wa kitcheni pati… halima ntampangia post in the future. basi bc tayari paduuchuuu .. hav gud day
Comment by kiranja on
January 7th, 2009 5:15 pm
yes wote mliosema ni frank mmepata,jamaa alikuwa sijui wapi,new zeeland ama australia na nasikia ameoa jimama la kizungu na kalikimbia,tuko nae bongo tunaangaika nae,labda aanze upya kaishiwa,si chuki ni ukweli!
Comment by BLACKMANNEN on
January 7th, 2009 6:14 pm
binti-mzuri,
Mimi nitakuwa MC kwenye Arusi hiyo (patakuwa hapatoshi siku hiyo), halafu Dr. Majita atakuwa baunsa. Atakuwa akikagua card zote mlangoni ili kuwadhibiti ROss na kundi lake wasivunje gate!!!
This Is Black=Blackmannen
Comment by halima on
January 8th, 2009 12:17 am
duhhh anaoneka kama chizi mpya vile, kichwani na nguo ni vitu viwili tofauti,
Bint – mzuri, Matty, Lalola mashost nimewamiss kishenz
Comment by kahindi on
January 8th, 2009 12:56 am
jamani binti mzuri…aksante kwa kunijali kwa kunipa kazi ya kitchenpat,na hongera sana kwa kumpata huyu handsomeboy,maoni ya wadau umeyaona lakini?kuhusu nywele,haha haha….alafu hiyo kitchen part,sijui kama nitaweza kujicontrol maana sio siri hata mimi namtamaniii…..mbaya zaidi huwa anakuja kazini kwetu kupata huduma ya kusafirisha vifurushi abroad….yuko safi,ana mvutooo….
Comment by kahindi on
January 8th, 2009 1:33 am
Na we ramona,hizo nywele zake ni safii..suala la kubadilisha mi simo…i think he is ok 2…
Binti-Mzuri hahahahahahahahha siku yangu imeanza vizuri leo umenimaliza mbavu sina mie hahahahahahaha
yes, kamati ya maandalizi nipo nitakuwa benet na trupu ya ngu ya uhakika mamaaaa Any,mama wa Kichaga na kina kaka hasa Hombiz na Gervas,Majita ashapatiwa seksheni ya kueleweka a.k.a Fanya Fujo Uone,Blackmannen na yeye tayari ana kitengo nyeti kumwaga sera a.k.a Master of Ceremony!Kahindi na lalola ndo matroni wenyewe ila kwa bahati mbaya sijapenda style ya bwan’ shemeji hapo kichwani naweza shinikiza kamati ya maandalizi tumnyoe kwanza ndo ndoa ifungwe teh teh teh teh teh
BC HOYEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEE!!!!!!!!!!!!!!haki ya nani tumeanza mwaka vizuri jamani mwendo wa mabadiliko, maana last year ilikuwa kina Gervas tu wanaopoa vimwana hapa ila sasa akhaaaa kwa raha zetu wadada tupo juuu teh teh teh teh!!!!!!!!!
FRANK MTAO, pls nyoa hizo nywele ma dear hata kama ni fasheni, hapo kwakweli BIG NO!!!!!!!!!!!!!!!
Kama ni hivyo Binti-Mzuri umenena. Jukumu hilo mbona silikatai, tena asante sana kwa nuniteua kuwa matron wako. Usijali mi nikiwa Matron, Frank hatokuacha ng’oo. So niambie tu wedding ni lini na tunavaa nguo za aina gani na colour of the wedding ni ipi? Jamani siku hiyo patakuwa hapatoshi kabisa hapo kwa hall, katika hiyo harusi. Au tuvae chupi na sidiria tu? Hilo ni swali tu lakini? Tehe tehe tehe.
Comment by huyu on
January 8th, 2009 4:36 am
ni MSUKUMA wa bariadi ila aliwahi kuishi ISAMILO -MWANZA.
Comment by kisura on
January 8th, 2009 4:58 am
Huyu ni frank Mtao alikuwa channel 10 then akawa 2eyes production ni kijana mtanasharti saana. alienda masomoni Is he back??
Comment by kisura on
January 8th, 2009 5:11 am
Mi kwakweli hizo nywele za huyo kaka sijazipenda lakini nishajua sababu nimeona mdau hapo juu kaandika alikuwa na jimama lakizungu ndo mana kaweka nywele ka mwehu hebu rudisha nywele zako za zamani kaka ulikuwa very smart not now. wizi m2puuuuu! mapouwdaer
huyo jamaa anaitwa frank mtawa.
ameniutdi sana alivyo jibadilisha sipendi sipend sipend.
angekuwa mume wangu tunge achana.
Comment by anony on
January 8th, 2009 7:51 am
hizi nywele kama derrick nyati wa isidingo. pia huku sauz watu wengi wanazo.mi naona poa tu,kwani hata mimi pia ninayo
Comment by watubwana on
January 8th, 2009 10:43 am
siri ya mtungi aijuaye ngata,ishi upendavyo na si wapendavyo.frank mtao kanyaga twende…
Comment by Dr.Majita on
January 8th, 2009 12:06 pm
Mkuu Blackmannen,
Nimekubali kwa mikono mitatu hiyo post uliyonipa manake hasogei mtu getini.Ila nilikuwa na maoni,nafikiri ingependeza zaidi kama mngeniweka na kwenye kamati ya vinywaji.Nina strategy nzuri tu kufanikisha.
1.Nitahakikisha ROSS hagusi ndani hata kama atapitia wapi.
2.Kama ikitokea ameingia labda kwa milango mingine spesho au yuko kati ya watu wale 25-50 maalumu wasio na kadi basi nitampiga panga la bia.(atakunywa bia moja tu na sipaleta moja)
3.Nitahakikisha Chapombe atakunywa bia 2 tu mamamamamamammamamamama
Hapo kama sijalizua valangati sijui,manake chapombe kumpa bia 2 tu na kulidhika ni kaaazi kwelikweli.
Comment by any on
January 8th, 2009 3:45 pm
Mimi akiacha nywele za kichwani kihivo wala hanisumbui, ila ala ala mnaomtaka kindoa, mtashaaa kama anaacha na za kwa babu. Mi simo, najaribu ku imagine tu kama ataacha kote kote.
Comment by Mama wa Kichagga on
January 8th, 2009 7:02 pm
Mmmmmm posti nyingine kaa zali la mentali vile. Haya mie nitajumuika kaa mama mkwe maana FFU mmm mbali kabisa na mimi maana naogopa ngumi kuliko kifo.
Binyi Mzuri kuhusu hizo nywele mie naona poa tuu , kwani ndizo ungumbaa? haaaaaaaaaaa.
Mwachene aishi apendavyo na siyo aishi kama mnavyotaka ninyi. Hapa tunahitaji kukua kidogo na kuwapa watu uhuru wa kufanya watakavyo. Personally, ukija kwangu hata kama uko mtupu kaa adamu na hawa wala sitojali “May be you are having funny”.
Jamani tujifunzeni kuwaheshimu na kuwakubali watu kama walivyo – TUACHE USHAMBA NA ULIMBUKENI WA KUNG’ANG’ANIA WATU WAWE TUPENDAVYO, PYUUUUUUUUUU”
namkumbuka man, ni frank Mtao wa Nani ni nani Chanel ten, watu wenye wivu bwan awameshaanza kuzusha mara nywele mara sijui nini?mimi namuona Brooo yuko poa tu, amenona kweli kweli, sidhani kama kweli alikuwa anasoma tuu huko kwa wadhungu.big up man maisha yamekuendea bomba all the Best
Comment by kahindi on
January 9th, 2009 2:07 am
FEBRONIA…ni mtao na cio mtawa…sawa mama?
Comment by kahindi on
January 9th, 2009 2:20 am
lalola hujatulia…chupi na sidiria…na kina gervas,majita,hombiz,blackmannen wavae nini?
Comment by ELly on
January 9th, 2009 2:53 am
he is the gorgeous Frank Mtao i like the guy he is a good presenter of chanel ten though i didint see him lately.n i gues he has some shares in 2eyes production
Comment by mtu on
January 9th, 2009 4:10 am
maoni no. 10. Binti mzuri, mambo vipi na wewe single? Mimi nilikuwa masoni Sumbawanga ndio maana nilikuwa unreachable, lakini ndo nimeingia Dizim city.
Halafu mbona everybody knows Frank whats the big issue about him?
Comment by Nasema on
January 9th, 2009 5:22 am
Huyu ni Frank Mtao alikuwa mtangazaji wa chanel 10,anastudio yake mitaa ya kinondoni,Yupo jijini nilimuona ma juzi pale Bilicans alikuwa na totozzz.Naomba kuuliza ivi aliachana na Chuchu Hans?Yule alikuwaga miss Tanga?Na yuko na nani siku izi?Anayejua aniambie please coz namuonaga sana town haswa Break Point ya pale posta.
Comment by Nai on
January 9th, 2009 5:32 am
Ata mm nataka kujua yuko wapi siku izi na anafanya nn?Na anademu gani maana mmh.
Comment by chapombe on
January 9th, 2009 7:40 am
wajameni,akili ni nywele kila mtu anazake,sasa kwanini mmemshupalia,hoo sijui kama chizi,hoo sijui amwoe nani vile,mbona si atusemi hizi nywele zenu kila siku zinabadilika kama kinyonga?siku nyingine zinakuwaga kama za wazungu,siku nyingine muweke virembeo vya chuma sijui plastiki,mara sijui muongezee nywele za wafu.au ndio mshaanza kujigongagonga
Any kwa babu hahahahahah umenichekesha duh sijui itakuwaje maana ni full chawa
Bint mzuri shost naona umeufungua mwaka kiaina good maana ilikuwa kila siku wanaume safari hii naona watu wamekuja kivingine sipati picha hiyo harusi yaani ni full mzuka.
mimi naomba niwekwe sehemu ya hot pot hahahahahahah
Comment by kindo on
January 10th, 2009 6:15 am
mimi namuona poa tu. True! he is a good presenter and producer/director.
Comment by sweetest sin on
January 10th, 2009 6:43 am
hivi wewe mattyilda ni mattylda joseph wa ukweli blogspot au?
Comment by dan on
January 10th, 2009 5:14 pm
Mshikaji Frank! Hiyo staili haiendani na wewe, nenda saloon utoe hiyo minywele! Unatisha mshikaji! utafikiri ulipotelea accapulco bay mwanangu!
YUKO BOMBA MBAYA BATA HAZIKWEPESHI….HUYU NI FRANK MTAO WA CHANEL TEN WANAOPONDA WANA WIVU COZ JAMAA ANANGAAAAAAAAAAA SANA CHEKI SUTI,TAI NA SHATI FUKLLLLLLLLLLLLLLL ORDER
Comment by Richtea on
January 14th, 2009 5:59 am
Huyu Kijana ni Frank Mtao.
Alikuwa anafanya kazi Chanel Ten,
Akiendelea kutafuta maisha akafungua 2eyez production akiwa kama mkurungezi,
Alikuja kwenda Japan/China kwa masomo mafupi,
Alioa mwanamke wa kutoka Australia mwaka jana, wakahamia huko Australia kwa mkewe.
Kwa sasa anapatikana Dar kwani nahisi maisha ya Australia yalikuwa magumu kidogo kwa kijana wetu.
Simlaumu maisha ni popote
Hongera kwa kujua unachokitaka katika maisha.
Comment by watubwana on
January 14th, 2009 7:37 am
WATU BWANA hehehehe..siri ya mtungi aijuaye ngata,,,
Ukiangalia watu wengi ughaibuni ukiachana na kitu kumpendeza au kutompendeza ili mradi mtu mwenyewe binafsi kinamridhisha na kumfurahisha hata kama nyie wengine mtakiona kibaya au kizuri.
mfano unaweza mtizama mke wa BEKAM kavaa gauni la poundi 1000,na mimi mlala hoi nikavaa gauni la poundi 50,ukiliangalia gauni la mke wa BEKAM na mimi niliye vaa cha poundi 50 gauni langu zurii kuliko la mke wa BEKAM.
watu wanavaa kwa majina,stailI kwa madizaina na wanamitindo maarufu hata kama ni kibaya,hakiwapendezi ilimradi mtu anavaa cha bei ya juu,yuko wakitofauti tofauti, na pia yuko na furaha na anachokifanya.kila mtu na maisha yake,
huwezi nilazimisha mimi nile wali na maharage kila siku sababu wewe unapenda maarage.uzuri wa kitu au mtu inatofautiana kati ya mtu na mtu.
Comment by somebody on
January 14th, 2009 4:39 pm
Jamani msimseme sana Mtao! Mwenzenu kawasokotea nywele hivo ili mjue alikuwa nje. Kwani hamjanotice! Ka’ Frank kunanjia nyingi tu za kuonesha ulishakaa ulaya mbali na hiyo ya kusuka nywele kichaa. You dont look good at all!!!!!!!!
Comment by Lucas on
January 23rd, 2009 7:25 am
ama kweli watu wanabadilika!
Comment by Selina on
February 7th, 2010 3:34 am
Frank is a MARRIED MAN. what part of married dont you swahili women understand? im disgusted by this site, you women have no idea as to the truth, nor do you care. May karma get you back
namtambua….anaitwa FRANK MTAO…alikuwa anapresent kipindi cha NANI NI NANI,katika cHANEL TEN…ila muda mrefu alikuwa masomoni(am not sure about the country,but ni uropa)amerudi tu mwishoni mwa mwaka jana…anapofanya kwa sasa sijui…vinginevyo namfagilia sana..ana mvuto,hana maringo,weusi mzuriiii….i like the guy…..mwaaa
uyu jamaa bwana alikua anafanyaga kaz channel ten then akajaga kufungua ile 2eyes production akaendaga wapi sijui ila siku izi katoka!!
anaitwa Frank Mtao alikuwa mtangazaji wa Channel ten kipindi cha Nani ni Nani,pia nakumbuka aliaga akasema anaenda ulaya sasa sijui anafanya nini huko!!!
Majita huyu!!……hapana, ni Frenki Mutao wa chaneli teni, alivuma sana ktk kipindi chake cha nani ni nani. data zimeisha!!
Natambua,anaitwa Frank Mtao i think ni mtangazaji wa chanel 10 kipindi cha nani ni nani sina hakika kama bado anaendelea na hicho kipindi!!
Naomba nimuingilie kidogo kwenye personal zake!
kaka nywele hazijakutoa hata kidogo jaribu kunyoa panki labda!!!!!!!hapo no kwakweli!!!!!!!!!!!ni hayo tu atakayeona nimemboa anisamehe nataka kuanza mwaka vizuri wapendwa!!!!!!!!!!!
Huyuuuuu….sijui kama anafanya kazi sehemu yoyote. Naona kama Bongo cerebrity umetutega tu hapa. Nywele zake km kichaa. Lakini anaoneeka ni msafi (kitu ambacho si cha kawaida kwa kichaa). Labda ni kichaa anayeishi na wazazi wake kwa hiyo wanapiga sopu sopu.
Ni FRANK MTAO wa NANI NI NANI.
Huyo kama Frenk Mtao wa Channel 10 vile
Huyo ni Frank Mtao. Ni mtangazaji au mwana habari whichever is gracious.
nawatakia wote heri ya mwaka mpya.
Mwana
yah huyu namtambua frank mtao wa two eyes production na pia alikuepo channel ten..nasikia alikua masomoni japan or something,is he back?hes a very nice guy..na pia mtanashati..mmh.. is he single?
huyu ni Frank Mtaoo ni bwana shem huyu anajishughulisha na naniliu ni hayo aaah na wangine semeni.
Nadhani kuna mengine tukubali katika maisha haya sio kila mitindo inafaa kwa kila mtu kuna wengine inawafanya waonekane ni watu wenda wazimu au vichaa waliokuwa hawajapatiwa matibabu jamaa amevalia vizuri lakini hiyo staili ya nywele sio yake kwani nywele zinakwenda na umbile la sura ya mtu binafsi ningemshauri ni vyema akaweka kipara angependeza na kuvutiwa na watu wengi popote pale
Nimemtambua anaitwa Frank Mtao zamani alikuwa mtangazaji Channel 10 sijui kwa sasa maana naona amepotea sana kwenye TV.
alionekana mstaarabu, but uwongo na kufanya kazi kiuhuni uhuni ndo kunamwangusha huyu
huyu ni kiongozi wa 2 eyes production
anaitwa Frank Mtao
Huyo ni Frank Mtao. Mbona kawa hivyo??? Hizo nywele kwa kweli hazimpendezi. Angeacha tu nywele zake za kawaida. Kwa sasa sijui anafanya nini, ila i think bado ana share katika kampuni ya kurekodi ya 2Eyez Production.
Huo ni mtazamo wangu tu.
Lol!!!
huyu jamaa anaitwa Frank Mtao ni mtangazaji wa DTV na ni bosi wa kampuni ya 2eyes inayojishughulisha na kurekodi video. Jamaa namkubali ktk swala zima la utangazaji hasa kupitia kipindi chake cha NANI NI NANI.
Huyu ni Frank Mtao na yupo Australia anakula kuku sasa ……….
kwa vyovyote ni muuza sura 2 hakuna anaejua yy ni nani apa bongo au yuko alocomment?
Mkuu wa kazi Frank Mtao 2 eyez production…umebadilika mkubwa last time nakumbuka mbaaaaali sana ilikuwa Jpn hahahaha…
nywele hizo zinazua gumzo ni chafu au safi?sipendi huo mtindo wa nywele tafadhari badilisha
Huyo ni Frank Mtao ni mtangazaji wa Channel ten
Frank Mtao, Mtangazaji Channel 10 na mkurugenzi wa 2 eyes production
anaitwa Frank Mtao,He use to be one of the CHANNEL10 tv shows presenter(nani ni nani?) and He was also the owner of the 2eyes record if am not mistaken.Well,I dont know where he is now and wat the hell he is doing.
Ndimi mdau,masomoni UK.
Mi simfahamu ila ana sura ya kimangi vile.
simfahamu yeye wala kazi yake,sema anaonekana kama muuza sura maarufu
kwakweli mimi simjui kwani nimetoa home Bongo miaka mingi kidogo, jamaa anaonekana mstaalabu ni nywele tu zinamuangusha badili styre ya nywele kaka
Binti-mzuri, Frank Mtao alishaoa tena ndoa ya kanisani, but kwa bahati mbaya ameachana na mkewe, so, if you want to go shostito nenda, ila jiandae na wewe kuachwa, tehe tehe tehe. Au wasemaje shostito wangu, ila mi nakushauri usiende, coz hajatulia huyo, kwikwiiiii.
Kwa kweli Mattylda umenena, hiyo hairsytle, mi mhhhhhhhhhhhhh. Huo bado ni mtazamo wangu tuuuuuuu.
Lol!!!
wewe Gervas wewe!!!! # 4,
Hahahaha ndg yangu unafikiri mimi niko kiivo basi??
Hata ivo leo nimefungwa bao la kisigino.Mimi simjui huyu bwn hata chembe.Ila nafikiri huku kijijini kungekuwa na hiyo TV ningemuona na ningemjua ila kwa vile hakuna nashukuru wadau kwa kutujuvya.
Dr.Majita (PhD)
haha lalola shosti wangu… ubishiiii upo kwenye damu hapa, unakua kaa hujui..tena we ndio utakua matroni..jitayaritayarishe.. matty mkuu wa kamati ya maandalizi..kahindi mamaa wa kitcheni pati… halima ntampangia post in the future. basi bc tayari paduuchuuu .. hav gud day
yes wote mliosema ni frank mmepata,jamaa alikuwa sijui wapi,new zeeland ama australia na nasikia ameoa jimama la kizungu na kalikimbia,tuko nae bongo tunaangaika nae,labda aanze upya kaishiwa,si chuki ni ukweli!
binti-mzuri,
Mimi nitakuwa MC kwenye Arusi hiyo (patakuwa hapatoshi siku hiyo), halafu Dr. Majita atakuwa baunsa. Atakuwa akikagua card zote mlangoni ili kuwadhibiti ROss na kundi lake wasivunje gate!!!
This Is Black=Blackmannen
duhhh anaoneka kama chizi mpya vile, kichwani na nguo ni vitu viwili tofauti,
Bint – mzuri, Matty, Lalola mashost nimewamiss kishenz
jamani binti mzuri…aksante kwa kunijali kwa kunipa kazi ya kitchenpat,na hongera sana kwa kumpata huyu handsomeboy,maoni ya wadau umeyaona lakini?kuhusu nywele,haha haha….alafu hiyo kitchen part,sijui kama nitaweza kujicontrol maana sio siri hata mimi namtamaniii…..mbaya zaidi huwa anakuja kazini kwetu kupata huduma ya kusafirisha vifurushi abroad….yuko safi,ana mvutooo….
Na we ramona,hizo nywele zake ni safii..suala la kubadilisha mi simo…i think he is ok 2…
Kaazi kwei kwei!
Macho mawili bosi huyo(Two Eyes)production!
Mweh kweli hakunaga chikonda ehhhh???
Binti-Mzuri hahahahahahahahha siku yangu imeanza vizuri leo umenimaliza mbavu sina mie hahahahahahaha
yes, kamati ya maandalizi nipo nitakuwa benet na trupu ya ngu ya uhakika mamaaaa Any,mama wa Kichaga na kina kaka hasa Hombiz na Gervas,Majita ashapatiwa seksheni ya kueleweka a.k.a Fanya Fujo Uone,Blackmannen na yeye tayari ana kitengo nyeti kumwaga sera a.k.a Master of Ceremony!Kahindi na lalola ndo matroni wenyewe ila kwa bahati mbaya sijapenda style ya bwan’ shemeji hapo kichwani naweza shinikiza kamati ya maandalizi tumnyoe kwanza ndo ndoa ifungwe teh teh teh teh teh
BC HOYEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEE!!!!!!!!!!!!!!haki ya nani tumeanza mwaka vizuri jamani mwendo wa mabadiliko, maana last year ilikuwa kina Gervas tu wanaopoa vimwana hapa ila sasa akhaaaa kwa raha zetu wadada tupo juuu teh teh teh teh!!!!!!!!!
FRANK MTAO, pls nyoa hizo nywele ma dear hata kama ni fasheni, hapo kwakweli BIG NO!!!!!!!!!!!!!!!
Kama ni hivyo Binti-Mzuri umenena. Jukumu hilo mbona silikatai, tena asante sana kwa nuniteua kuwa matron wako. Usijali mi nikiwa Matron, Frank hatokuacha ng’oo. So niambie tu wedding ni lini na tunavaa nguo za aina gani na colour of the wedding ni ipi? Jamani siku hiyo patakuwa hapatoshi kabisa hapo kwa hall, katika hiyo harusi. Au tuvae chupi na sidiria tu? Hilo ni swali tu lakini? Tehe tehe tehe.
ni MSUKUMA wa bariadi ila aliwahi kuishi ISAMILO -MWANZA.
Huyu ni frank Mtao alikuwa channel 10 then akawa 2eyes production ni kijana mtanasharti saana. alienda masomoni Is he back??
Mi kwakweli hizo nywele za huyo kaka sijazipenda lakini nishajua sababu nimeona mdau hapo juu kaandika alikuwa na jimama lakizungu ndo mana kaweka nywele ka mwehu hebu rudisha nywele zako za zamani kaka ulikuwa very smart not now. wizi m2puuuuu! mapouwdaer
……………loading…………loading…………data found…………..Frank Mtao………..end!!!!!
huyo jamaa anaitwa frank mtawa.
ameniutdi sana alivyo jibadilisha sipendi sipend sipend.
angekuwa mume wangu tunge achana.
hizi nywele kama derrick nyati wa isidingo. pia huku sauz watu wengi wanazo.mi naona poa tu,kwani hata mimi pia ninayo
siri ya mtungi aijuaye ngata,ishi upendavyo na si wapendavyo.frank mtao kanyaga twende…
Mkuu Blackmannen,
Nimekubali kwa mikono mitatu hiyo post uliyonipa manake hasogei mtu getini.Ila nilikuwa na maoni,nafikiri ingependeza zaidi kama mngeniweka na kwenye kamati ya vinywaji.Nina strategy nzuri tu kufanikisha.
1.Nitahakikisha ROSS hagusi ndani hata kama atapitia wapi.
2.Kama ikitokea ameingia labda kwa milango mingine spesho au yuko kati ya watu wale 25-50 maalumu wasio na kadi basi nitampiga panga la bia.(atakunywa bia moja tu na sipaleta moja)
3.Nitahakikisha Chapombe atakunywa bia 2 tu mamamamamamammamamamama
Hapo kama sijalizua valangati sijui,manake chapombe kumpa bia 2 tu na kulidhika ni kaaazi kwelikweli.
Mimi akiacha nywele za kichwani kihivo wala hanisumbui, ila ala ala mnaomtaka kindoa, mtashaaa kama anaacha na za kwa babu. Mi simo, najaribu ku imagine tu kama ataacha kote kote.
Mmmmmm posti nyingine kaa zali la mentali vile. Haya mie nitajumuika kaa mama mkwe maana FFU mmm mbali kabisa na mimi maana naogopa ngumi kuliko kifo.
Binyi Mzuri kuhusu hizo nywele mie naona poa tuu , kwani ndizo ungumbaa? haaaaaaaaaaa.
Mwachene aishi apendavyo na siyo aishi kama mnavyotaka ninyi. Hapa tunahitaji kukua kidogo na kuwapa watu uhuru wa kufanya watakavyo. Personally, ukija kwangu hata kama uko mtupu kaa adamu na hawa wala sitojali “May be you are having funny”.
Jamani tujifunzeni kuwaheshimu na kuwakubali watu kama walivyo – TUACHE USHAMBA NA ULIMBUKENI WA KUNG’ANG’ANIA WATU WAWE TUPENDAVYO, PYUUUUUUUUUU”
BINTI-MZURI KAMATA MZIGO HUO POTEA UNALIPA MAMANGU VILE, SHAURI YAKO UKIZUBAA -
Nimechekeshwa sana na comments leo
namkumbuka man, ni frank Mtao wa Nani ni nani Chanel ten, watu wenye wivu bwan awameshaanza kuzusha mara nywele mara sijui nini?mimi namuona Brooo yuko poa tu, amenona kweli kweli, sidhani kama kweli alikuwa anasoma tuu huko kwa wadhungu.big up man maisha yamekuendea bomba all the Best
FEBRONIA…ni mtao na cio mtawa…sawa mama?
lalola hujatulia…chupi na sidiria…na kina gervas,majita,hombiz,blackmannen wavae nini?
he is the gorgeous Frank Mtao i like the guy he is a good presenter of chanel ten though i didint see him lately.n i gues he has some shares in 2eyes production
maoni no. 10. Binti mzuri, mambo vipi na wewe single? Mimi nilikuwa masoni Sumbawanga ndio maana nilikuwa unreachable, lakini ndo nimeingia Dizim city.
Halafu mbona everybody knows Frank whats the big issue about him?
Huyu ni Frank Mtao alikuwa mtangazaji wa chanel 10,anastudio yake mitaa ya kinondoni,Yupo jijini nilimuona ma juzi pale Bilicans alikuwa na totozzz.Naomba kuuliza ivi aliachana na Chuchu Hans?Yule alikuwaga miss Tanga?Na yuko na nani siku izi?Anayejua aniambie please coz namuonaga sana town haswa Break Point ya pale posta.
Ata mm nataka kujua yuko wapi siku izi na anafanya nn?Na anademu gani maana mmh.
wajameni,akili ni nywele kila mtu anazake,sasa kwanini mmemshupalia,hoo sijui kama chizi,hoo sijui amwoe nani vile,mbona si atusemi hizi nywele zenu kila siku zinabadilika kama kinyonga?siku nyingine zinakuwaga kama za wazungu,siku nyingine muweke virembeo vya chuma sijui plastiki,mara sijui muongezee nywele za wafu.au ndio mshaanza kujigongagonga
wewe febronia tafadhali acha kuota,usituchekeshe tulionuna.
waosha vinywa kazi mnayo mwenyewe Binti- mzuri kazimika flag tena akhaaa kajikalia kimyaaaaaaaa teh teh teh teh!!!!!!!!!!!!!!!!!
Gilbert, ngoja nicheke kwanza, hahahahahaaaaaa
Any kwa babu hahahahahah umenichekesha duh sijui itakuwaje maana ni full chawa
Bint mzuri shost naona umeufungua mwaka kiaina good maana ilikuwa kila siku wanaume safari hii naona watu wamekuja kivingine sipati picha hiyo harusi yaani ni full mzuka.
mimi naomba niwekwe sehemu ya hot pot hahahahahahah
mimi namuona poa tu. True! he is a good presenter and producer/director.
hivi wewe mattyilda ni mattylda joseph wa ukweli blogspot au?
Mshikaji Frank! Hiyo staili haiendani na wewe, nenda saloon utoe hiyo minywele! Unatisha mshikaji! utafikiri ulipotelea accapulco bay mwanangu!
kweli nyie hamna sera, umjue usimjue wewe atakusaidia nini?
please!
its him, so what?
personal space….lol…!!!!!!!!!!!!!!!……bloggers wengine hawaogopi hata kutaja majina ya girlfriends wake….inanisikitisha…..
vipi kijana MAGUZU hajambo??
YUKO BOMBA MBAYA BATA HAZIKWEPESHI….HUYU NI FRANK MTAO WA CHANEL TEN WANAOPONDA WANA WIVU COZ JAMAA ANANGAAAAAAAAAAA SANA CHEKI SUTI,TAI NA SHATI FUKLLLLLLLLLLLLLLL ORDER
Huyu Kijana ni Frank Mtao.
Alikuwa anafanya kazi Chanel Ten,
Akiendelea kutafuta maisha akafungua 2eyez production akiwa kama mkurungezi,
Alikuja kwenda Japan/China kwa masomo mafupi,
Alioa mwanamke wa kutoka Australia mwaka jana, wakahamia huko Australia kwa mkewe.
Kwa sasa anapatikana Dar kwani nahisi maisha ya Australia yalikuwa magumu kidogo kwa kijana wetu.
Simlaumu maisha ni popote
Hongera kwa kujua unachokitaka katika maisha.
WATU BWANA hehehehe..siri ya mtungi aijuaye ngata,,,
Ukiangalia watu wengi ughaibuni ukiachana na kitu kumpendeza au kutompendeza ili mradi mtu mwenyewe binafsi kinamridhisha na kumfurahisha hata kama nyie wengine mtakiona kibaya au kizuri.
mfano unaweza mtizama mke wa BEKAM kavaa gauni la poundi 1000,na mimi mlala hoi nikavaa gauni la poundi 50,ukiliangalia gauni la mke wa BEKAM na mimi niliye vaa cha poundi 50 gauni langu zurii kuliko la mke wa BEKAM.
watu wanavaa kwa majina,stailI kwa madizaina na wanamitindo maarufu hata kama ni kibaya,hakiwapendezi ilimradi mtu anavaa cha bei ya juu,yuko wakitofauti tofauti, na pia yuko na furaha na anachokifanya.kila mtu na maisha yake,
huwezi nilazimisha mimi nile wali na maharage kila siku sababu wewe unapenda maarage.uzuri wa kitu au mtu inatofautiana kati ya mtu na mtu.
Jamani msimseme sana Mtao! Mwenzenu kawasokotea nywele hivo ili mjue alikuwa nje. Kwani hamjanotice! Ka’ Frank kunanjia nyingi tu za kuonesha ulishakaa ulaya mbali na hiyo ya kusuka nywele kichaa. You dont look good at all!!!!!!!!
ama kweli watu wanabadilika!
Frank is a MARRIED MAN. what part of married dont you swahili women understand? im disgusted by this site, you women have no idea as to the truth, nor do you care. May karma get you back