SECOND CHANCE!

tid-chokoraabc

Everybody deserves a second chance!Bila shaka ushawahi kusikia msemo huo.Ni kweli kabisa na ni haki.Hali hiyo ndiyo iliyothibitika hivi karibuni kwa mwanamuziki wa Bongo Fleva, Khalid Mohamed ‘TID’ (kulia katika picha)pale alipopanda jukwaani kuungana na wana Twanga Pepeta wakati wa onyesho maalumu la usiku wa Zain ndani ya ukumbi wa Mango Garden jijini Dar-es-salaam.Ilionekana wazi kwamba watu walikuwa wamemmiss TID na pia kwamba wapo tayari kumpokea na kumpa tena nafasi kama mwanajamii.

Noti uionayo kwenye paji la uso la TID alituzwa na rapa wa Twanga Pepeta Saulo John “Ferguson”.

Photo/Michuzi.

Page 1 of 3 | Next page