MAXIMO AITA 27 TAIFA STARS

maximo1

KOCHA Mkuu wa timu ya soka ya Tanzania, Taifa Stars, Mbrazil Marcio Maximo(pichani), alitangaza kikosi cha wachezaji 27 watakaoshiriki fainali za Afrika kwa nyota wa ndani, zitakazopigwa nchini Ivory Coast kuanzia Februari 22.Kwa habari zaidi bonyeza hapa.

Page 1 of 3 | Next page