
Leo ni siku ya wapendanao duniani au maarufu kama Valentine’s Day.Ni sikukuu ambayo zamani ilikuwa ya “kimagharibi” zaidi kabla ya kuenea ulimwenguni kote.Sina mengi sana zaidi ya kuwaambieni wasomaji na watembeleaji wote wa BC kwamba tunawapenda na tunawatakia sikukuu njema.Enjoy!
Feedback / Comments
7 Responses to “HAPPY VALENTINE’S DAY”
Leave a Reply


Mimi nawatakia “Valentine” njema” wanaBC wenzangu wote hapa. Nawaomba tuzidishe Mapendo na Maelewano. Tuheshimiane katika utoaji wetu wa maoni. Vidole vyetu vya mikono yote miwili havilingani kwa urefu. Kwa hiyo, tunapotofautiana katika maoni, tusiweke chuki mioyoni mwetu. Ni Tofauti ya mawazo tu.
Cha maana zaidi ni kwamba, tuweke mbele “more love” na “under standing”. Vyote hivyo vikifuatiwa na ile kubwa yake RESPECT, katika kuelewa mambo. Mimi sijui wewe na wewe sikujui mimi. Juu ya nini chukia mimi?????
This Is Him…… I mean The Great Black…. Blackmannen
Thanks Blackmannen maneno yako sheria,hats off to you dude.
BC members ‘one love’.
Jamani mimi ndo nimechelewa kuwatakia hiyo Happy valentine ila ilikuwaje???nasikia ni siku ya fumanizi Blackmannen unasemaje?
Mimi sijui wewe na wewe sikujui mimi. Juu ya nini chukia mimi????? ha! ha! haa! it sound like a chorus!
Thanks Blackmannen. Nimependa mistari yako…”ukweli mtupu”…..Happy belated Valentine kwa wote.
wana bc valentine ilikuwa bombaa kwa upande wangu,lakin swala la msingi ni kwamba watu waliitumia vibaya siku hii,kama ndo siku ya ukimwi kuenea Tanzania basi ndo siku ambayo watanzania wengi waliambukizwa, so tuwe makini sana na ngonjwa hili wana bc
kaka yangu Blackmannen i love your comment..keep it up..Wadau happy very belated Valentine (better late then never au sio). Kwa kweli Valentine ilikuwa nzuri..Kelvino i agree with you kwamba Valentine ina mambo mengi sana (fumanizi,na waume za watu siku hiyo walikuwa ´safari za kikazi` kumbe wapo sinza gesti hii tabia ishindwe kabisa ect) otherwise kama unavyosema huu ugonjwa unaoitwa Ukimwi utatumaliza