
Majuzi wakati ulimwengu unasheherekea sikukuu ya wapendanao,mtangazaji maarufu nchini Tanzania,Michael Maluwe alihitimisha siku hiyo kwa kufunga ndoa na kipenzi chake Diana katika Kanisa Katoliki Parokia ya Msimbazi jijini Dar-es-salaam.
Pichani ni Michael na Diana wakati wa tafrija iliyofanyika katika ukumbi wa Sunset uliopo Mbezi jijini Dar-es-salaam.BC inawatakia ndoa bora yenye Baraka na maelewano tele.
Picha hii ni kwa hisani ya Father Kidevu ambaye kama unamuhitaji kwa shughuli yako unaweza kumpata kupitia simu yake namba +255 755 373999.
Feedback / Comments
29 Responses to “HONGERA MR AND MRS MALUWE.”
Leave a Reply


sending...
mmependeza sana hongereni sana
Shavu dodo!!
HONGERENI SANA,kila siku kwenu iwe valentine sawa??mtangulizeni mungu kwa kila jambo!
all the best!
alikua na kipindi chake cha michezo pale ITV, yeye alikua anatoa wacheza golf wa kihindi tuu mwanzo mpaka mwisho.sijui walikua wanampa mshiko ama vipi!
Hallow Mr & Mrs Maluwe
Nawatakia kila la kheri katika ndoa yenu Mungu awabariki kwa kila jambo mfanyalo.Sawa my dada Diana.Be blessed
Poa sana Michael kwa kufanya jambo la busara na gumu katika kufikia kufanya maamuzi. Mungu aibariki ndoa yako na iwe yenye upendo zaidi. Ule utoto wa kigurunyembe uache kabisa.
Hongera sana michael na bibie mungu awalinde msije mkatamani kutoka kama mimi ninavyo taka. the theory is true and has been proved that people who are in would like to get out whilst those who are out would like to get in. However, one group has lots of disadvantages than the other. Those who are in and want to get out know better the marriage secrects and they are safe or will be okay when got out, but those whonever have will go in no matter what> they do not know what is going on. keep up michael
Congratulations na mmependeza sana! Ni vizuri kuwa wawili kushirikiana katika hii global financial crisis. God bless you.
Anafanana na Neema Mbuja!
hongereni sana. na kikubwa ni we diana always mwanamke mwema huijenga nyumba yake yeye mwenyewe ucwe yule mpumbavu one… kinachotakiwa ni uvumilivu inawezekana hili neno umelickia sana mpaka limekuchosha lakini linamaana kubwa sana,,hivi ujifikilii we ninani mpaka mshakaji akawaacha wote tunaomuangalia kwenye tv kukicha akakuchagua wewe unafikili we unastahili sana au unafikiria shetani amelifurahia hilo nooo! sasa hapo kwa shetani ndipo yanakuja magumu uvumilivu unapo take place…kwa leo niishie hapa nimechoka na 9t shift, mungu we2 awabariki sana. wakatoke watoto kwenye kiuno cha michael na kwenye 2mbo lako, amen………………
Kha….this guy is hot..no joke!
Aisee mmependeza.Kila la kheri
mmmmmmh kaka kitu mang’anyu tuseme nini sasa? ha ha ha ha ha haha ha ha h nazani hatajuta kukufahamu mmependeza
KAKA KITU MANG’ANYU,NAOMBA UMFANYE ASIJUTE KUKUFAHAM,MMEPENDEZA SANA
KAKA KITU MANG’ANYU MFANYE ASIJUTE KUKUFAHAMU TAFADHALI MMEPENDEZA SANA
hongera sana Mike,Mungu kakupa mke bora, hakika kakuchagulia kifaa, mhh!inaelekea ulisafa sana! nakuaminia.
4 God sake! Wat a beautful wife U gat? Hongera sana Brother.
Kwa kweli mmependeza sana.
Michael, tunataka kumwona Diana akiwa katika hali yake ya unene wa kawaida, kama anavyoonekana hapo. Amependeza sana.
Unene wa kuvutia wa Diana unaweza kutoweka mara moja kama utamletea mke mwenzie. Na hilo utakuwa umefanya kosa lisilosameheka.
No small house, no hawara wa kujirusha naye nje. Mambo yatakuwa mswano. Ushauri wangu mdogo kwenu.
This Is Black=Blackmannen
Hongera Bwana na Bibi Harusi!
Sina mbavu hahahaha eti najuta kukufahamu lol wewe Kitumang’anuy uko very funny lo!!!!!!
mwanamke diet ukiongezeka hapo unalo
hey nimesoma nae huyo shule ya msingi unmkumbuka ndosi
Hallow Mr & Mrs Maluwe
Nawatakia kila la kheri katika ndoa yenu Mungu awabariki sana. Mkumbuke kusali siku zote za maisha yenu hiyo peke yake ndio itakuwa silaa yenu ya maisha. Diana mdogo wangu simamia mistari ya Biblia iwe ndio nguzo yako. Simama na mungu na yeye atasimama na wewe katika kila jambo. Nakutakia maisha mema ya ndoa.
Nimewapenda sana, mmependeza na mnavutia.
Nawatakia maisha mema marefu yenye amani na upendo daima.
Nitawaombea mem siku zote za maisha yangu.
Munge awabariki sana.
eeh bwana eeh mmependeza mbaya.Maisha Mema.
mmependeza sana ila mike yule dem wako wa moshi umemwacha?dah mlipendezeana sana ila hata huyo ni funika mana ni bonge bonge so atoto watakuwa na mashav kama mama yao
hello mr and mrs maluwe, i would like to wish you all the best in life and always love and cherish one another thru good times and the bad, like the vowels say…YOU HEARD ME.?
from your one and only sis….love you bro
hello mr and mrs maluwe, we would like to wish you all the best in life and always love and cherish one another thru good times and the bad, like the vowels say…YOU HEARD ME.?
from your one and only sis and brother in law Jerry….love you brother
YO GOT A BYTFUL WIFE MAN,,RESPECT HER!!!!!!!