ally-and-farha

Pichani ni wabunifu wa mitindo ya mavazi Farha(kushoto) na Ally Rehmttulah(kulia).Picha hii ilipigwa na Mpoki Bukuku wakati wabunifu hao walipokuwa wanahudhuria onyesho la mavazi lililoitwa Lady in Red hivi karibuni jijini Dar-es-salaam.Ukitaka kupata vitu zaidi kuhusu kazi za Ally Rehmttulah unaweza kuitembelea tovuti yake kwa kubonyeza hapa.

Feedback / Comments

13 Responses to “WABUNIFU”

  1. Comment by Abdullhalim on February 22nd, 2009 1:21 pm

    Vipi jamani kwema hapo ;-) ??

  2. Comment by Baliwe on February 22nd, 2009 9:16 pm

    Are these two a couple or?They look real nice together.

  3. Comment by mr degree on February 23rd, 2009 12:14 am

    They are so beautiful!

  4. Comment by Bingo on February 23rd, 2009 1:20 am

    mr and mrs Obama…

  5. Comment by chapombe on February 23rd, 2009 6:29 am

    wajameni,siri ya mtungi haijuae kata,kuna mambo mengine huwezi kuyaweka barazani humu BC,hashakum si matusi

  6. Comment by sambona on February 23rd, 2009 9:10 pm

    Ohh my GOd she looks like my 7 years old girl friend “phine” but I guess they have pinked their bodies for the picture, and therefore nonetheless attracts. But, hey keep up your good work in fashion.

  7. Comment by james on February 24th, 2009 12:48 am

    wewe unayosema she looks like 7 year daughter wach unafiki wewe wacha mapepe! mmependeza

  8. Comment by sisterTZ on February 25th, 2009 5:39 am

    mie mwenzenu nina reservation zangu kuhusu wahindi so no comments on this one..

  9. Comment by SaLAMa on February 25th, 2009 5:45 am

    Ameoa huyo?

  10. Comment by mr degree on February 25th, 2009 7:21 am

    salama wanaooa ni wanaume tu sawa?

  11. Comment by qarol on February 26th, 2009 10:56 am

    degree unaposema wanaooa ni wanaume tu unamaanisha nini? kwani hapo wote ni wanawake

  12. Comment by Mgugule on February 26th, 2009 11:59 am

    jamani hao ni mastar wasikae pamojaa? Mshaaza maneno du bongo kwakuchonga mala huyo yupo kama bint wa miaka 7 hahahaaaaaa.

  13. Comment by mr degree on February 27th, 2009 1:45 am

    qarol siri ya mtungi aijuae ngata!kuna tatizo hapo!

Leave a Reply