<?xml version="1.0" encoding="UTF-8"?><rss version="2.0"
	xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"
	xmlns:dc="http://purl.org/dc/elements/1.1/"
	xmlns:atom="http://www.w3.org/2005/Atom"
	xmlns:sy="http://purl.org/rss/1.0/modules/syndication/"
		>
<channel>
	<title>Comments on: MICHELLE OBAMA:ANATUFUNZA NINI WANAJAMII?</title>
	<atom:link href="http://www.bongocelebrity.com/2009/03/02/michelle-obamaanatufunza-nini-wanajamii/feed/" rel="self" type="application/rss+xml" />
	<link>http://www.bongocelebrity.com/2009/03/02/michelle-obamaanatufunza-nini-wanajamii/</link>
	<description></description>
	<lastBuildDate>Sat, 11 Feb 2012 15:21:30 +0000</lastBuildDate>
	<sy:updatePeriod>hourly</sy:updatePeriod>
	<sy:updateFrequency>1</sy:updateFrequency>
	<generator>http://wordpress.org/?v=3.3.1</generator>
	<item>
		<title>By: dada Euro</title>
		<link>http://www.bongocelebrity.com/2009/03/02/michelle-obamaanatufunza-nini-wanajamii/comment-page-1/#comment-17734</link>
		<dc:creator>dada Euro</dc:creator>
		<pubDate>Fri, 06 Mar 2009 17:58:54 +0000</pubDate>
		<guid isPermaLink="false">http://www.bongocelebrity.com/?p=3193#comment-17734</guid>
		<description>Kana-Ka-Nsungu upo ulaya nini.. bongo wanake wengi mazoezi ni sumu (si unajua tena wengi ni wanene wanaogopa kukonda, sasa wapungua mabuzi watapata wapi)... kula chips kuku, chips mayai na kumywa  Bia za offer..</description>
		<content:encoded><![CDATA[<p>Kana-Ka-Nsungu upo ulaya nini.. bongo wanake wengi mazoezi ni sumu (si unajua tena wengi ni wanene wanaogopa kukonda, sasa wapungua mabuzi watapata wapi)&#8230; kula chips kuku, chips mayai na kumywa  Bia za offer..</p>
]]></content:encoded>
	</item>
	<item>
		<title>By: PJ</title>
		<link>http://www.bongocelebrity.com/2009/03/02/michelle-obamaanatufunza-nini-wanajamii/comment-page-1/#comment-17733</link>
		<dc:creator>PJ</dc:creator>
		<pubDate>Fri, 06 Mar 2009 17:55:28 +0000</pubDate>
		<guid isPermaLink="false">http://www.bongocelebrity.com/?p=3193#comment-17733</guid>
		<description>Kana-Ka-Nsungu mdau, umenichekesha eti bao moja tu ulimi nje...unajua wanawake wengi bongo hawafanyi mazoezi na wanatembea taratibu kwa sababu ya unene...na ukifanya mazoezi watu wanakushangaa kweli kweli maana ndugu yangu unene si ndio wanaume wa kiafrica wanapenda jamani? mimi mama yangu alipata stroke sasa Dr. akamwambia inabidi afanye mazoez ya kutembea 5km ect basi yeye akitoka kazini anashushwa victoria na anatembea mpaka sinza..majirani walimshangaa mpaka siku hizi wamemzoe na kumuita ´mama mazoezi´. jamani tufanye mazoezi siku hizi bongo pressure zipo nyingi</description>
		<content:encoded><![CDATA[<p>Kana-Ka-Nsungu mdau, umenichekesha eti bao moja tu ulimi nje&#8230;unajua wanawake wengi bongo hawafanyi mazoezi na wanatembea taratibu kwa sababu ya unene&#8230;na ukifanya mazoezi watu wanakushangaa kweli kweli maana ndugu yangu unene si ndio wanaume wa kiafrica wanapenda jamani? mimi mama yangu alipata stroke sasa Dr. akamwambia inabidi afanye mazoez ya kutembea 5km ect basi yeye akitoka kazini anashushwa victoria na anatembea mpaka sinza..majirani walimshangaa mpaka siku hizi wamemzoe na kumuita ´mama mazoezi´. jamani tufanye mazoezi siku hizi bongo pressure zipo nyingi</p>
]]></content:encoded>
	</item>
	<item>
		<title>By: Kana-Ka-Nsungu</title>
		<link>http://www.bongocelebrity.com/2009/03/02/michelle-obamaanatufunza-nini-wanajamii/comment-page-1/#comment-17675</link>
		<dc:creator>Kana-Ka-Nsungu</dc:creator>
		<pubDate>Thu, 05 Mar 2009 17:35:28 +0000</pubDate>
		<guid isPermaLink="false">http://www.bongocelebrity.com/?p=3193#comment-17675</guid>
		<description>Hiyo picha ukiiangalia tu- kitu cha kwanza unachokiona ni fitness! Wanawake wetu wa kibongo mmeng&#039;anana na machips kuku na mahenkeni kila mkichuna mabuzi badala ya kwenda gym, matokeo yake mnazeeka kabla ya siku zenu, bao moja tu ulimi nje!</description>
		<content:encoded><![CDATA[<p>Hiyo picha ukiiangalia tu- kitu cha kwanza unachokiona ni fitness! Wanawake wetu wa kibongo mmeng&#8217;anana na machips kuku na mahenkeni kila mkichuna mabuzi badala ya kwenda gym, matokeo yake mnazeeka kabla ya siku zenu, bao moja tu ulimi nje!</p>
]]></content:encoded>
	</item>
	<item>
		<title>By: Dada Missy</title>
		<link>http://www.bongocelebrity.com/2009/03/02/michelle-obamaanatufunza-nini-wanajamii/comment-page-1/#comment-17670</link>
		<dc:creator>Dada Missy</dc:creator>
		<pubDate>Thu, 05 Mar 2009 15:22:03 +0000</pubDate>
		<guid isPermaLink="false">http://www.bongocelebrity.com/?p=3193#comment-17670</guid>
		<description>BLackmann wazo lako si baya BC wekeni Celebries wa kibongo hapa tuwajadili (ila tafuteni picha zao halisi)...ila mimi binafsi nadhani it is also ok to discuss celebreties ambao sio watanzania...</description>
		<content:encoded><![CDATA[<p>BLackmann wazo lako si baya BC wekeni Celebries wa kibongo hapa tuwajadili (ila tafuteni picha zao halisi)&#8230;ila mimi binafsi nadhani it is also ok to discuss celebreties ambao sio watanzania&#8230;</p>
]]></content:encoded>
	</item>
	<item>
		<title>By: BLACKMANNEN</title>
		<link>http://www.bongocelebrity.com/2009/03/02/michelle-obamaanatufunza-nini-wanajamii/comment-page-1/#comment-17648</link>
		<dc:creator>BLACKMANNEN</dc:creator>
		<pubDate>Thu, 05 Mar 2009 10:35:17 +0000</pubDate>
		<guid isPermaLink="false">http://www.bongocelebrity.com/?p=3193#comment-17648</guid>
		<description>Watanzania wenzangu wanaBC,

Nimeyafuatilia kwa umakini mkubwa sana, maoni yenu kuhusu mwanamama &quot;Michelle Obama&quot;, na nimegundua mambo mengi sana ambayo yawezekana hata ninyi watoa maoni hamkujua kuwa hamuyajui.

Hali hiyo ya kutoelewa, itaendelea kuwa hivyo kwa wengi wenu, hata baada ya mada hii kuisha hapa.

Michelle Obama wala Barack Obama, hawana lolote jipya la kutufanya kujifunza  kutoka kwao. Kutokana na utofauti wetu na wao ulivyo.

Lakini kwa maoni ya wengi nilivyoyaona, na hasa wanawake. Mtu mwenye wadhifa, anayetoka nchi zilizonona kama Ulaya na USA, anayeletwa hapa BC au mahali popote panapokuwa na nafasi kama hii, ya watu kutoa maoni yao, kila mtu anasema kile anachokitamani rohoni. Akijiweka sawa na watu hao.

Kutokana na utafiti wangu wa maoni usiokuwa rasmi, nimegundua kuwa, wanawake wa Kitanzania wengi sana, wana ndoto zao kubwa sana za maisha mazuri, kama wanavyoishi ma-celebrities wa Ulaya na USA. Lakini sio kama Ma-celebrities wa Kibongo.

BC walituletea &quot;Celebrity&quot; wa Kitanzania - Mh. Sofia Simba. Nilitegemea kuona maoni mazuri na yenye mawazo ya kuendeleza kutoka kwa wanawake. Maana maoni yao yangegusa zaidi maisha halisi ya wanawake wa Kitanzania katika ukombozi wa maisha yao.

Lakini kwa bahati mbaya sikukutana na maoni yanayoweza kumwendeleza mtu kimawazo wala kimaisha.

Wengi ya watoa maoni walimwandama Mh. Sofia Simba kwa mambo mengi ikiwa ni pamoja na maneno yenye mwelekeo wa kumdhalilisha. Tunao macelebrities wengi sana, Mama Salma Kikwete, Maria Nyerere, Getrude Mongela, Dr Asha-Rose Migiro, Generali Madawili nk.

Je, Watanzania na wanaBC wenzangu! Kwanini tunathamini zaidi vitu vya watu wengine na kuvidharau vya kwetu? Je, mawazo haya ya kufugwa tumeyatoa wapi?

Kwa kweli ninaumia sana rohoni mwangu, ninapoona hali kama hii kwa ndugu zangu wa damu kushabikia na kuyatamani maisha ya watu wa juu na kujidharau wenyewe. Tamaa ya maendeleo ni nzuri kama haichanganyiki na chuki au kujidhalilisha utu wako mwenyewe.

It&#039;s Great To Be Black=Blackmannen</description>
		<content:encoded><![CDATA[<p>Watanzania wenzangu wanaBC,</p>
<p>Nimeyafuatilia kwa umakini mkubwa sana, maoni yenu kuhusu mwanamama &#8220;Michelle Obama&#8221;, na nimegundua mambo mengi sana ambayo yawezekana hata ninyi watoa maoni hamkujua kuwa hamuyajui.</p>
<p>Hali hiyo ya kutoelewa, itaendelea kuwa hivyo kwa wengi wenu, hata baada ya mada hii kuisha hapa.</p>
<p>Michelle Obama wala Barack Obama, hawana lolote jipya la kutufanya kujifunza  kutoka kwao. Kutokana na utofauti wetu na wao ulivyo.</p>
<p>Lakini kwa maoni ya wengi nilivyoyaona, na hasa wanawake. Mtu mwenye wadhifa, anayetoka nchi zilizonona kama Ulaya na USA, anayeletwa hapa BC au mahali popote panapokuwa na nafasi kama hii, ya watu kutoa maoni yao, kila mtu anasema kile anachokitamani rohoni. Akijiweka sawa na watu hao.</p>
<p>Kutokana na utafiti wangu wa maoni usiokuwa rasmi, nimegundua kuwa, wanawake wa Kitanzania wengi sana, wana ndoto zao kubwa sana za maisha mazuri, kama wanavyoishi ma-celebrities wa Ulaya na USA. Lakini sio kama Ma-celebrities wa Kibongo.</p>
<p>BC walituletea &#8220;Celebrity&#8221; wa Kitanzania &#8211; Mh. Sofia Simba. Nilitegemea kuona maoni mazuri na yenye mawazo ya kuendeleza kutoka kwa wanawake. Maana maoni yao yangegusa zaidi maisha halisi ya wanawake wa Kitanzania katika ukombozi wa maisha yao.</p>
<p>Lakini kwa bahati mbaya sikukutana na maoni yanayoweza kumwendeleza mtu kimawazo wala kimaisha.</p>
<p>Wengi ya watoa maoni walimwandama Mh. Sofia Simba kwa mambo mengi ikiwa ni pamoja na maneno yenye mwelekeo wa kumdhalilisha. Tunao macelebrities wengi sana, Mama Salma Kikwete, Maria Nyerere, Getrude Mongela, Dr Asha-Rose Migiro, Generali Madawili nk.</p>
<p>Je, Watanzania na wanaBC wenzangu! Kwanini tunathamini zaidi vitu vya watu wengine na kuvidharau vya kwetu? Je, mawazo haya ya kufugwa tumeyatoa wapi?</p>
<p>Kwa kweli ninaumia sana rohoni mwangu, ninapoona hali kama hii kwa ndugu zangu wa damu kushabikia na kuyatamani maisha ya watu wa juu na kujidharau wenyewe. Tamaa ya maendeleo ni nzuri kama haichanganyiki na chuki au kujidhalilisha utu wako mwenyewe.</p>
<p>It&#8217;s Great To Be Black=Blackmannen</p>
]]></content:encoded>
	</item>
	<item>
		<title>By: Nasolwa</title>
		<link>http://www.bongocelebrity.com/2009/03/02/michelle-obamaanatufunza-nini-wanajamii/comment-page-1/#comment-17637</link>
		<dc:creator>Nasolwa</dc:creator>
		<pubDate>Thu, 05 Mar 2009 07:36:24 +0000</pubDate>
		<guid isPermaLink="false">http://www.bongocelebrity.com/?p=3193#comment-17637</guid>
		<description>Huyu mama anawafundisha kina mama kuacha umbea na kuringia madaraka  au mali au umaarufu wa waume zao na badala yake kufanya kazi kwa bidii na kuacha mawazo ya wizi na ufisadi. Kwa umaarufu aliyonao  OBAMA angekuwa kwenye nchi zetu hizi masikini huyu mama angekuwa amesheni vito vya gharama kubwa mwili mzima</description>
		<content:encoded><![CDATA[<p>Huyu mama anawafundisha kina mama kuacha umbea na kuringia madaraka  au mali au umaarufu wa waume zao na badala yake kufanya kazi kwa bidii na kuacha mawazo ya wizi na ufisadi. Kwa umaarufu aliyonao  OBAMA angekuwa kwenye nchi zetu hizi masikini huyu mama angekuwa amesheni vito vya gharama kubwa mwili mzima</p>
]]></content:encoded>
	</item>
	<item>
		<title>By: JA</title>
		<link>http://www.bongocelebrity.com/2009/03/02/michelle-obamaanatufunza-nini-wanajamii/comment-page-1/#comment-17597</link>
		<dc:creator>JA</dc:creator>
		<pubDate>Wed, 04 Mar 2009 12:20:48 +0000</pubDate>
		<guid isPermaLink="false">http://www.bongocelebrity.com/?p=3193#comment-17597</guid>
		<description>Senior nakubalina na hoja hapo juu. Ila kitu ambacho ume- high light- kwa kusema: -Wanaume tunafanyiziana na culture zetu zimetuharibu kwa kutufundisha kuona kawaida para mke au mume anapotaka nje ya ndoa...ndio hiyo culture yetu ya kiafrika mtu tangu mdogo esp wanawake wanaambiwa mume kutoka nje ni kawaida. Wadau mimi binafsi hii culture siipendi kabisa (najua wengi hapa watanipinga)..ila kwa kwetu waafrica ni kawaida ila kwa wenzetu wa nchi nyingine wanashangaa sana na sio culture yao eti mume kuwa na kimada..kama hapa Germany mume au mke akigundulika ana kimada result yake ni divorce na hamna discussion wala nini..Sasa kuna siku moja nilikuwa zangu Bongo, tulikuwa tunaangalia TV likaja tangazo la Ukimwi ile ambalo linasema- MTU AWE NA MPENZI MMOJA AMBAE HAJAAMBUKIZWA ILI KUEPUKA UKIMWI. huyu rafiki yangu alishangaa sana (kiswahili anajua) akaniambia mbona kuwa na mpenzi mmoja ndio inavyotakiwa hili tangazo ndio linawambia watu wawe na mpenzi mmoja..yaani wadau ilibidi nimueleza kwamba huku Africa mare nyingi watu wengi esp wanaume wana wanawake wengi ndio maana hilo tangazo limetengenezwe mpaka anaondoka alishangaa sana..ndio Africa yetu hiyo</description>
		<content:encoded><![CDATA[<p>Senior nakubalina na hoja hapo juu. Ila kitu ambacho ume- high light- kwa kusema: -Wanaume tunafanyiziana na culture zetu zimetuharibu kwa kutufundisha kuona kawaida para mke au mume anapotaka nje ya ndoa&#8230;ndio hiyo culture yetu ya kiafrika mtu tangu mdogo esp wanawake wanaambiwa mume kutoka nje ni kawaida. Wadau mimi binafsi hii culture siipendi kabisa (najua wengi hapa watanipinga)..ila kwa kwetu waafrica ni kawaida ila kwa wenzetu wa nchi nyingine wanashangaa sana na sio culture yao eti mume kuwa na kimada..kama hapa Germany mume au mke akigundulika ana kimada result yake ni divorce na hamna discussion wala nini..Sasa kuna siku moja nilikuwa zangu Bongo, tulikuwa tunaangalia TV likaja tangazo la Ukimwi ile ambalo linasema- MTU AWE NA MPENZI MMOJA AMBAE HAJAAMBUKIZWA ILI KUEPUKA UKIMWI. huyu rafiki yangu alishangaa sana (kiswahili anajua) akaniambia mbona kuwa na mpenzi mmoja ndio inavyotakiwa hili tangazo ndio linawambia watu wawe na mpenzi mmoja..yaani wadau ilibidi nimueleza kwamba huku Africa mare nyingi watu wengi esp wanaume wana wanawake wengi ndio maana hilo tangazo limetengenezwe mpaka anaondoka alishangaa sana..ndio Africa yetu hiyo</p>
]]></content:encoded>
	</item>
	<item>
		<title>By: manray</title>
		<link>http://www.bongocelebrity.com/2009/03/02/michelle-obamaanatufunza-nini-wanajamii/comment-page-1/#comment-17596</link>
		<dc:creator>manray</dc:creator>
		<pubDate>Wed, 04 Mar 2009 12:20:12 +0000</pubDate>
		<guid isPermaLink="false">http://www.bongocelebrity.com/?p=3193#comment-17596</guid>
		<description>hallo wapenzi wa hii bongo celebrity kama mlivyoona michelle obama ni mwanamke shupavu sana kwa sababu aliweza kumvumilia mumewe alipokuwa anashinda kwenye mikutano ya kuwania urais lakini wangekuwa ni wanawake wengine wenye wivu ingeshakuwa ugomvi mkubwa na kumwambia kwamba ana kimada nje. sasa basi tujifunze kwa hilo wanawake tuamke na kuonesha kuwajali wanaume zenu ndio maendeleo.ni hayo tu jamani.</description>
		<content:encoded><![CDATA[<p>hallo wapenzi wa hii bongo celebrity kama mlivyoona michelle obama ni mwanamke shupavu sana kwa sababu aliweza kumvumilia mumewe alipokuwa anashinda kwenye mikutano ya kuwania urais lakini wangekuwa ni wanawake wengine wenye wivu ingeshakuwa ugomvi mkubwa na kumwambia kwamba ana kimada nje. sasa basi tujifunze kwa hilo wanawake tuamke na kuonesha kuwajali wanaume zenu ndio maendeleo.ni hayo tu jamani.</p>
]]></content:encoded>
	</item>
	<item>
		<title>By: Mattylda</title>
		<link>http://www.bongocelebrity.com/2009/03/02/michelle-obamaanatufunza-nini-wanajamii/comment-page-1/#comment-17576</link>
		<dc:creator>Mattylda</dc:creator>
		<pubDate>Wed, 04 Mar 2009 07:25:50 +0000</pubDate>
		<guid isPermaLink="false">http://www.bongocelebrity.com/?p=3193#comment-17576</guid>
		<description>Dada Missy unapatikana wapi???naona una mawazo chanya mno hiyo ya clinton ni kweli kabisa maza alishauriwa atulize kitenes mzee kaula life inasonga!
Mtanzania maoni yako yananikumbusha mbali sana na hii kitu UVUMULIVU jamani wengi wetu uvumilivu ni EF (f)
NB:MKE/MME MWEMA anatoka kwa MUNGU!</description>
		<content:encoded><![CDATA[<p>Dada Missy unapatikana wapi???naona una mawazo chanya mno hiyo ya clinton ni kweli kabisa maza alishauriwa atulize kitenes mzee kaula life inasonga!<br />
Mtanzania maoni yako yananikumbusha mbali sana na hii kitu UVUMULIVU jamani wengi wetu uvumilivu ni EF (f)<br />
NB:MKE/MME MWEMA anatoka kwa MUNGU!</p>
]]></content:encoded>
	</item>
	<item>
		<title>By: senior</title>
		<link>http://www.bongocelebrity.com/2009/03/02/michelle-obamaanatufunza-nini-wanajamii/comment-page-1/#comment-17554</link>
		<dc:creator>senior</dc:creator>
		<pubDate>Tue, 03 Mar 2009 22:53:48 +0000</pubDate>
		<guid isPermaLink="false">http://www.bongocelebrity.com/?p=3193#comment-17554</guid>
		<description>Katika gazeti la kingereza la the guardian nimesoma article ya &quot;the aging presidents&quot; sikukumbuki mwandishi lakini ni article inayo muhusu mr president wetu-Kikwete anavyoonekana sasa ukilinganisha na alivyo kuwa kabla ya kuwa rais, kuna mabadiriko ya smile ya kulazimisha huku nyuma ya kichwa yaani katika modulu yake kukiwa kumejaa mambo mengi ya kurekebisha maendeleo, uchumi,na wizi wa fedha za umma kwa maislahi ya inchi yetu.

sasa ninapenda tu kuwaeleza wadau kuwa kufanya au kuwa mwanasiasi ningu munno. Obama alianza akiwa na mwonekano wa kupendeza, kukenua na kujieleza bila kusiota.Alikuwa na maneno mazuri katika flow ya speech zake hasa ile ya kwenye mkutano wa 2004 wakati akimpigia debe kelly ayekuwa akingombea kiti cha urais. Ilikuwa superb. sasa vitu vyote hivyo vimanza kupotea . Anawaza sana na kufanya maamuzi mengi.Hukunja uso wake mara nyingi na hiyo nikawaida.

Hatahivyo naamini michelle obama kwa kutumia umakini wake na wala siyo uzuri kama wengi wanavyo sema hapa,atamusaidia mumewe kufanya vizuri. Kwa ujumla siamini katika uzuri wa mwanamke kama kigezo cha mafanikio ya mume.uzuri ni uzuri tu. I consider uzuri wa sura kama kigezo cha matatizo mengi. Lakini kwa nchi zilizoendelea huwezi kuwa nawasisi wasisi yoyote kuwa na mke mzuru wa sura kama ilivyo kwa inchi zetu za ulimwengu wa tatu. wanaume tunafanyiziana na culture zetu zimetuharibu kwa kutufundisha kuona kawaida para mke au mume anapotaka inje ya ndoa. kwa makabila mengine niajabu kusikia mume hana kimada wa nje,utamaduni duni kweli kweli. Hata hivyo kwa nadharia yangu mimi &quot; I can only believe in the beauties of my own mother who raised 10 of us and yet stays married for 50 years with her men( my father) for until now. I believe maria and sasha would say the same to their beloved parents.</description>
		<content:encoded><![CDATA[<p>Katika gazeti la kingereza la the guardian nimesoma article ya &#8220;the aging presidents&#8221; sikukumbuki mwandishi lakini ni article inayo muhusu mr president wetu-Kikwete anavyoonekana sasa ukilinganisha na alivyo kuwa kabla ya kuwa rais, kuna mabadiriko ya smile ya kulazimisha huku nyuma ya kichwa yaani katika modulu yake kukiwa kumejaa mambo mengi ya kurekebisha maendeleo, uchumi,na wizi wa fedha za umma kwa maislahi ya inchi yetu.</p>
<p>sasa ninapenda tu kuwaeleza wadau kuwa kufanya au kuwa mwanasiasi ningu munno. Obama alianza akiwa na mwonekano wa kupendeza, kukenua na kujieleza bila kusiota.Alikuwa na maneno mazuri katika flow ya speech zake hasa ile ya kwenye mkutano wa 2004 wakati akimpigia debe kelly ayekuwa akingombea kiti cha urais. Ilikuwa superb. sasa vitu vyote hivyo vimanza kupotea . Anawaza sana na kufanya maamuzi mengi.Hukunja uso wake mara nyingi na hiyo nikawaida.</p>
<p>Hatahivyo naamini michelle obama kwa kutumia umakini wake na wala siyo uzuri kama wengi wanavyo sema hapa,atamusaidia mumewe kufanya vizuri. Kwa ujumla siamini katika uzuri wa mwanamke kama kigezo cha mafanikio ya mume.uzuri ni uzuri tu. I consider uzuri wa sura kama kigezo cha matatizo mengi. Lakini kwa nchi zilizoendelea huwezi kuwa nawasisi wasisi yoyote kuwa na mke mzuru wa sura kama ilivyo kwa inchi zetu za ulimwengu wa tatu. wanaume tunafanyiziana na culture zetu zimetuharibu kwa kutufundisha kuona kawaida para mke au mume anapotaka inje ya ndoa. kwa makabila mengine niajabu kusikia mume hana kimada wa nje,utamaduni duni kweli kweli. Hata hivyo kwa nadharia yangu mimi &#8221; I can only believe in the beauties of my own mother who raised 10 of us and yet stays married for 50 years with her men( my father) for until now. I believe maria and sasha would say the same to their beloved parents.</p>
]]></content:encoded>
	</item>
</channel>
</rss>

<!-- Performance optimized by W3 Total Cache. Learn more: http://www.w3-edge.com/wordpress-plugins/

Page Caching using disk: enhanced

Served from: www.bongocelebrity.com @ 2012-02-12 05:05:05 -->
