<?xml version="1.0" encoding="UTF-8"?><rss version="2.0"
	xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"
	xmlns:dc="http://purl.org/dc/elements/1.1/"
	xmlns:atom="http://www.w3.org/2005/Atom"
	xmlns:sy="http://purl.org/rss/1.0/modules/syndication/"
		>
<channel>
	<title>Comments on: WEMA ATUPWA LUPANGO!</title>
	<atom:link href="http://www.bongocelebrity.com/2009/03/03/wema-atupwa-lupango/feed/" rel="self" type="application/rss+xml" />
	<link>http://www.bongocelebrity.com/2009/03/03/wema-atupwa-lupango/</link>
	<description></description>
	<lastBuildDate>Fri, 12 Mar 2010 10:53:59 +0000</lastBuildDate>
	<generator>http://wordpress.org/?v=2.9.1</generator>
	<sy:updatePeriod>hourly</sy:updatePeriod>
	<sy:updateFrequency>1</sy:updateFrequency>
		<item>
		<title>By: Dada A</title>
		<link>http://www.bongocelebrity.com/2009/03/03/wema-atupwa-lupango/comment-page-1/#comment-17721</link>
		<dc:creator>Dada A</dc:creator>
		<pubDate>Fri, 06 Mar 2009 13:02:09 +0000</pubDate>
		<guid isPermaLink="false">http://www.bongocelebrity.com/?p=3198#comment-17721</guid>
		<description>FETTY , huyo binti mbona alishapelekwa Chuo huko Malaysia sasa wadau wanasema hapa eti aliacha sasa sijui ni kweli...kama aliacha ili aje kuolewa basi mimi nashindwa kuelewa anyway ndio mambo hayo mimi binafsi nampa pole sana..</description>
		<content:encoded><![CDATA[<p>FETTY , huyo binti mbona alishapelekwa Chuo huko Malaysia sasa wadau wanasema hapa eti aliacha sasa sijui ni kweli&#8230;kama aliacha ili aje kuolewa basi mimi nashindwa kuelewa anyway ndio mambo hayo mimi binafsi nampa pole sana..</p>
]]></content:encoded>
	</item>
	<item>
		<title>By: Bob Sambeke</title>
		<link>http://www.bongocelebrity.com/2009/03/03/wema-atupwa-lupango/comment-page-1/#comment-17690</link>
		<dc:creator>Bob Sambeke</dc:creator>
		<pubDate>Thu, 05 Mar 2009 23:17:37 +0000</pubDate>
		<guid isPermaLink="false">http://www.bongocelebrity.com/?p=3198#comment-17690</guid>
		<description>Hi
BC
Kama Nilivyosema B4 kwao hio laki5 co issue mmeona mahaters kazi kwenu mtoto ndio huyo katia maguu uswazi haya Msiache Kuongea!

Chorus
Msiache Kuongea,Ongeeni Mnavyoweza
Na kila Mkiongea sifa Zinaongezeka(x2)
Lady JD
Msiache Kuongea,Ongeeni Mnavyoweza
Mwana FA
(eh eh eh eh eh eh )
Na kila mnapoongea sifa zinaongezeka

Verse(The Don..B..Sese..FA)
Nimewekeza miaka kibao kuwa hapa nlipo mwana
sikuzaliwa kwenye mali ilibidi kuangaika sana
sio mambo safi pua zangu zinanusa mkwanja
husler kama ali scooper natimba kila kiwanja(eh)
im the magnifical piga kazi za hatari
siogopi tena mkisema yote nimeshasikia tayari
Maneno hayawezi niua yanafanya niwe ngangari
Nasema ewala kwa kila kheri na shari wengi mmeferi
Mnatamani maisha yangu mnatani mmngekuwa mimi
mnatamani husle zangu,nawaona kama ndugu zangu
nawachukulia wenzangu,kumbe wenzangu mkikata kona
mnageuka maadui zangu,acheni uoga sio lazima uwe na hoja
Ni diss kama Inspector, Dandia treni kwa mbele msiojua
ndio mnavyotoka kifua changu kina mengi ambayo hamuwezi kuyabeba
Mikifahamu ninavyofikiri mtatamani kuniita babu….

E bwana Haters kazi ipo siongei sana nadhani
mwana FA kanisaidia njie msiache kuongea mtoto ndo huyo katoka! Kaza buti mrembo wema usikate tamaa,tafuta wimbo wa mwana fa utakujenga sana ,nimekuandikia verse hiyo ili iweze kukuinua ili uwe ngagari!

Love all! Its me Bob Sambeke!</description>
		<content:encoded><![CDATA[<p>Hi<br />
BC<br />
Kama Nilivyosema B4 kwao hio laki5 co issue mmeona mahaters kazi kwenu mtoto ndio huyo katia maguu uswazi haya Msiache Kuongea!</p>
<p>Chorus<br />
Msiache Kuongea,Ongeeni Mnavyoweza<br />
Na kila Mkiongea sifa Zinaongezeka(x2)<br />
Lady JD<br />
Msiache Kuongea,Ongeeni Mnavyoweza<br />
Mwana FA<br />
(eh eh eh eh eh eh )<br />
Na kila mnapoongea sifa zinaongezeka</p>
<p>Verse(The Don..B..Sese..FA)<br />
Nimewekeza miaka kibao kuwa hapa nlipo mwana<br />
sikuzaliwa kwenye mali ilibidi kuangaika sana<br />
sio mambo safi pua zangu zinanusa mkwanja<br />
husler kama ali scooper natimba kila kiwanja(eh)<br />
im the magnifical piga kazi za hatari<br />
siogopi tena mkisema yote nimeshasikia tayari<br />
Maneno hayawezi niua yanafanya niwe ngangari<br />
Nasema ewala kwa kila kheri na shari wengi mmeferi<br />
Mnatamani maisha yangu mnatani mmngekuwa mimi<br />
mnatamani husle zangu,nawaona kama ndugu zangu<br />
nawachukulia wenzangu,kumbe wenzangu mkikata kona<br />
mnageuka maadui zangu,acheni uoga sio lazima uwe na hoja<br />
Ni diss kama Inspector, Dandia treni kwa mbele msiojua<br />
ndio mnavyotoka kifua changu kina mengi ambayo hamuwezi kuyabeba<br />
Mikifahamu ninavyofikiri mtatamani kuniita babu….</p>
<p>E bwana Haters kazi ipo siongei sana nadhani<br />
mwana FA kanisaidia njie msiache kuongea mtoto ndo huyo katoka! Kaza buti mrembo wema usikate tamaa,tafuta wimbo wa mwana fa utakujenga sana ,nimekuandikia verse hiyo ili iweze kukuinua ili uwe ngagari!</p>
<p>Love all! Its me Bob Sambeke!</p>
]]></content:encoded>
	</item>
	<item>
		<title>By: sally</title>
		<link>http://www.bongocelebrity.com/2009/03/03/wema-atupwa-lupango/comment-page-1/#comment-17685</link>
		<dc:creator>sally</dc:creator>
		<pubDate>Thu, 05 Mar 2009 21:54:56 +0000</pubDate>
		<guid isPermaLink="false">http://www.bongocelebrity.com/?p=3198#comment-17685</guid>
		<description>You are talking too much!!! Nonesense!!!!</description>
		<content:encoded><![CDATA[<p>You are talking too much!!! Nonesense!!!!</p>
]]></content:encoded>
	</item>
	<item>
		<title>By: Mzee wa ££££ za kutosha</title>
		<link>http://www.bongocelebrity.com/2009/03/03/wema-atupwa-lupango/comment-page-1/#comment-17674</link>
		<dc:creator>Mzee wa ££££ za kutosha</dc:creator>
		<pubDate>Thu, 05 Mar 2009 16:23:09 +0000</pubDate>
		<guid isPermaLink="false">http://www.bongocelebrity.com/?p=3198#comment-17674</guid>
		<description>Hongera dada naona si wote wanaokuchukia wasamaria wameamua kukutoa. Lupango.

Wish you all the best in ur life na umtangulize mungu katika kila ulifanyalo.
One love</description>
		<content:encoded><![CDATA[<p>Hongera dada naona si wote wanaokuchukia wasamaria wameamua kukutoa. Lupango.</p>
<p>Wish you all the best in ur life na umtangulize mungu katika kila ulifanyalo.<br />
One love</p>
]]></content:encoded>
	</item>
	<item>
		<title>By: halima</title>
		<link>http://www.bongocelebrity.com/2009/03/03/wema-atupwa-lupango/comment-page-1/#comment-17671</link>
		<dc:creator>halima</dc:creator>
		<pubDate>Thu, 05 Mar 2009 15:31:00 +0000</pubDate>
		<guid isPermaLink="false">http://www.bongocelebrity.com/?p=3198#comment-17671</guid>
		<description>tuliza wenge mdada umaarufu utakupeleka pabaya haya sasa ona unaenda jail maskini pole sana</description>
		<content:encoded><![CDATA[<p>tuliza wenge mdada umaarufu utakupeleka pabaya haya sasa ona unaenda jail maskini pole sana</p>
]]></content:encoded>
	</item>
	<item>
		<title>By: Dada Missy</title>
		<link>http://www.bongocelebrity.com/2009/03/03/wema-atupwa-lupango/comment-page-1/#comment-17669</link>
		<dc:creator>Dada Missy</dc:creator>
		<pubDate>Thu, 05 Mar 2009 15:16:07 +0000</pubDate>
		<guid isPermaLink="false">http://www.bongocelebrity.com/?p=3198#comment-17669</guid>
		<description>&#039;Wadau mimi kwa kweli nashindwa kuelewa hii issue..huyu WEMA either ana tabia mbaya sana au kuna watu wamempania kumuharibia maisha yake pamoja na reputation yake...(namuonea huruma sana). Kuna mdau hapo juu amesema vizuri tu inabidi huyo binti apewe counselling au kitu kama hicho (ila hosia kama huo si unapewa na wazazi ndugu na marafiki sasa sijui huyo mtoto hasikilizi wazazi au wazazi hawaongei nae nashindwa kuelewa kabisa, maana mtoto mzuri na mrembo)..yaani nisikitika hizi scandal za mamiss namkumbuka sana Shose Sinare ambae mpaka leo hii hatujasikia scandal hata moja..young Miss jifunzeni ktk kwa walipita (wenye tabia nzuri). Maana mpaka sasa watu wengi wakisikia mamiss wanajua ni umalaya tu bec mamiss wenyewe hawataki kujiheshimu... kwa kweli huyo mtoto ni wakupewa pole</description>
		<content:encoded><![CDATA[<p>&#8216;Wadau mimi kwa kweli nashindwa kuelewa hii issue..huyu WEMA either ana tabia mbaya sana au kuna watu wamempania kumuharibia maisha yake pamoja na reputation yake&#8230;(namuonea huruma sana). Kuna mdau hapo juu amesema vizuri tu inabidi huyo binti apewe counselling au kitu kama hicho (ila hosia kama huo si unapewa na wazazi ndugu na marafiki sasa sijui huyo mtoto hasikilizi wazazi au wazazi hawaongei nae nashindwa kuelewa kabisa, maana mtoto mzuri na mrembo)..yaani nisikitika hizi scandal za mamiss namkumbuka sana Shose Sinare ambae mpaka leo hii hatujasikia scandal hata moja..young Miss jifunzeni ktk kwa walipita (wenye tabia nzuri). Maana mpaka sasa watu wengi wakisikia mamiss wanajua ni umalaya tu bec mamiss wenyewe hawataki kujiheshimu&#8230; kwa kweli huyo mtoto ni wakupewa pole</p>
]]></content:encoded>
	</item>
	<item>
		<title>By: Fetty</title>
		<link>http://www.bongocelebrity.com/2009/03/03/wema-atupwa-lupango/comment-page-1/#comment-17651</link>
		<dc:creator>Fetty</dc:creator>
		<pubDate>Thu, 05 Mar 2009 12:16:00 +0000</pubDate>
		<guid isPermaLink="false">http://www.bongocelebrity.com/?p=3198#comment-17651</guid>
		<description>people r just using u Wema.wamejifanya wanakutaka kwenye movie,maproducer cjui nini na nini,wamekutumia at the end of the day wamekuchafua.

Go back home mpenzi!Ur too young and beautiful to be in jail u dont deserve that at all.

Be care sana na wanaume si kila anakutaka anakutaka kwa mema,wengine wanakutumia ili wapate umaarafu.

Kingine umaarufu umekuponza.Kabla hujawa miss hakuna alikutafuta ukafanye movie!

U have time to make ur life.
Tafuta chuo usome!</description>
		<content:encoded><![CDATA[<p>people r just using u Wema.wamejifanya wanakutaka kwenye movie,maproducer cjui nini na nini,wamekutumia at the end of the day wamekuchafua.</p>
<p>Go back home mpenzi!Ur too young and beautiful to be in jail u dont deserve that at all.</p>
<p>Be care sana na wanaume si kila anakutaka anakutaka kwa mema,wengine wanakutumia ili wapate umaarafu.</p>
<p>Kingine umaarufu umekuponza.Kabla hujawa miss hakuna alikutafuta ukafanye movie!</p>
<p>U have time to make ur life.<br />
Tafuta chuo usome!</p>
]]></content:encoded>
	</item>
	<item>
		<title>By: jakize</title>
		<link>http://www.bongocelebrity.com/2009/03/03/wema-atupwa-lupango/comment-page-1/#comment-17650</link>
		<dc:creator>jakize</dc:creator>
		<pubDate>Thu, 05 Mar 2009 11:57:27 +0000</pubDate>
		<guid isPermaLink="false">http://www.bongocelebrity.com/?p=3198#comment-17650</guid>
		<description>Nashangaa!,kumbe hata wanawake wanawish mwenzao akae jela.Hata kama kavunja vioo vya gari hiyo ilikuwa kesi ya kumaliza nje tu! haikustahili kumpeleka x-g wake selo as hiyo itasababisha chuki isiyoisha milele.Na nyie mnaojifanya mko perfect mjue kwamba mabaya anayoyafanya Wema ni ya kawaida kabisa kufanywa na msichana wa rika lake,tofauti ni tu kwamba Wema ni famous na magazeti yanauza kupitia scandal zake.Ila kilichonishangaza zaidi ni Wema kukosa mdhamini kwa masharti hafifu kama hayo.</description>
		<content:encoded><![CDATA[<p>Nashangaa!,kumbe hata wanawake wanawish mwenzao akae jela.Hata kama kavunja vioo vya gari hiyo ilikuwa kesi ya kumaliza nje tu! haikustahili kumpeleka x-g wake selo as hiyo itasababisha chuki isiyoisha milele.Na nyie mnaojifanya mko perfect mjue kwamba mabaya anayoyafanya Wema ni ya kawaida kabisa kufanywa na msichana wa rika lake,tofauti ni tu kwamba Wema ni famous na magazeti yanauza kupitia scandal zake.Ila kilichonishangaza zaidi ni Wema kukosa mdhamini kwa masharti hafifu kama hayo.</p>
]]></content:encoded>
	</item>
	<item>
		<title>By: wema fun</title>
		<link>http://www.bongocelebrity.com/2009/03/03/wema-atupwa-lupango/comment-page-1/#comment-17649</link>
		<dc:creator>wema fun</dc:creator>
		<pubDate>Thu, 05 Mar 2009 11:27:59 +0000</pubDate>
		<guid isPermaLink="false">http://www.bongocelebrity.com/?p=3198#comment-17649</guid>
		<description>its amazing,kwa watu wanaomjua wema wataniunga mkono ni binti wa academia,huo umafia wa kupasua vioo kautoa wapi?ama kweli sijawahi sikia mwanaume mzembe km kanumba,ingefaa awekwe lupango for bing absolutely mzembe,na wakati anapasuliwa gari ye alikua wapi?alikimbia akaacha gari?alimkimbia wema?kanumba learn how to be a man!..</description>
		<content:encoded><![CDATA[<p>its amazing,kwa watu wanaomjua wema wataniunga mkono ni binti wa academia,huo umafia wa kupasua vioo kautoa wapi?ama kweli sijawahi sikia mwanaume mzembe km kanumba,ingefaa awekwe lupango for bing absolutely mzembe,na wakati anapasuliwa gari ye alikua wapi?alikimbia akaacha gari?alimkimbia wema?kanumba learn how to be a man!..</p>
]]></content:encoded>
	</item>
	<item>
		<title>By: Mzee wa ££££ za kutosha</title>
		<link>http://www.bongocelebrity.com/2009/03/03/wema-atupwa-lupango/comment-page-1/#comment-17645</link>
		<dc:creator>Mzee wa ££££ za kutosha</dc:creator>
		<pubDate>Thu, 05 Mar 2009 09:29:50 +0000</pubDate>
		<guid isPermaLink="false">http://www.bongocelebrity.com/?p=3198#comment-17645</guid>
		<description>Ujue nini @ mwanamke wa shoka (UK)nashindwa kuelewa hawa ma miss wanachaguliwaga kwa kutumia vigezo gani maana, wamejiachia sana kwenye press, kwa kufanya mambo ya ajabu ajabu, kama vipi bora wapumzike waachane na hayo mashindano, kwani jamani ata kushinda kwenyewe hakupo duhhhhhhh, lakini ngoja tu niishie apa maana, uo umiss unamambo, sasa ina maana hakuna ata m2 wa kumuwekea zamana jamani, kweli miss mzima anaenda lala lupango!! ndio maana unatakiwa uku duniani kuwa na marafiki wa kweli, mtakao juana kwenye shida na raha sasa inaonekana uyu miss hana marafiki kabisa jamani Ohh dear God bless her.</description>
		<content:encoded><![CDATA[<p>Ujue nini @ mwanamke wa shoka (UK)nashindwa kuelewa hawa ma miss wanachaguliwaga kwa kutumia vigezo gani maana, wamejiachia sana kwenye press, kwa kufanya mambo ya ajabu ajabu, kama vipi bora wapumzike waachane na hayo mashindano, kwani jamani ata kushinda kwenyewe hakupo duhhhhhhh, lakini ngoja tu niishie apa maana, uo umiss unamambo, sasa ina maana hakuna ata m2 wa kumuwekea zamana jamani, kweli miss mzima anaenda lala lupango!! ndio maana unatakiwa uku duniani kuwa na marafiki wa kweli, mtakao juana kwenye shida na raha sasa inaonekana uyu miss hana marafiki kabisa jamani Ohh dear God bless her.</p>
]]></content:encoded>
	</item>
</channel>
</rss>
