<?xml version="1.0" encoding="UTF-8"?><rss version="2.0"
	xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"
	xmlns:dc="http://purl.org/dc/elements/1.1/"
	xmlns:atom="http://www.w3.org/2005/Atom"
	xmlns:sy="http://purl.org/rss/1.0/modules/syndication/"
		>
<channel>
	<title>Comments on: NGASSA:A NEW HOPE?</title>
	<atom:link href="http://www.bongocelebrity.com/2009/03/04/ngassaa-new-hope/feed/" rel="self" type="application/rss+xml" />
	<link>http://www.bongocelebrity.com/2009/03/04/ngassaa-new-hope/</link>
	<description></description>
	<lastBuildDate>Fri, 10 Feb 2012 07:26:05 +0000</lastBuildDate>
	<sy:updatePeriod>hourly</sy:updatePeriod>
	<sy:updateFrequency>1</sy:updateFrequency>
	<generator>http://wordpress.org/?v=3.3.1</generator>
	<item>
		<title>By: Mgugule</title>
		<link>http://www.bongocelebrity.com/2009/03/04/ngassaa-new-hope/comment-page-1/#comment-17731</link>
		<dc:creator>Mgugule</dc:creator>
		<pubDate>Fri, 06 Mar 2009 16:11:22 +0000</pubDate>
		<guid isPermaLink="false">http://www.bongocelebrity.com/?p=3203#comment-17731</guid>
		<description>Mimi nashanga kwa wale wanaomjadiri huyu Mr Degree a.k.a (Mr,hater) kwani yeye kashajiweka Opposite kwa lolote lile rinalo hitaji kuchangiwa.

Watu kama Mr Degree wapo wengi kwa mtazamo wangu inapendeza kuwepo mtu kama huyo humu kwenye midahalo kwani ameweza kuwasugua vichwa vya wadau wengi na haswa wa BC.

Nilikuwa nikifuatiria kwa karibu hoja za wadau wengi pamoja na za huyu digrii hoja nyingine zina kuwa za msingi kweli na nyingine kichefuchefu  kama hii alioitoa hapo juu duh.hii inaonyesha jinsi arivyo hater,

kama swala ni mtoto Degree wewe hiyo haikuhusu. 
kama swala Umri hiyo sikazi yako ukitazama hata kwenye vilabu vikubwa vya huko nje wachezaji wengi wameghushi umri wao na bado wanasukuma ngozi vizuri sana na hii yote ni kutafuta maslahi nadhani hili unalifahamu vilivyo ila kwa vile wewe ni kati ya wale Wazee wa haters. Usikonde mwana Peace.</description>
		<content:encoded><![CDATA[<p>Mimi nashanga kwa wale wanaomjadiri huyu Mr Degree a.k.a (Mr,hater) kwani yeye kashajiweka Opposite kwa lolote lile rinalo hitaji kuchangiwa.</p>
<p>Watu kama Mr Degree wapo wengi kwa mtazamo wangu inapendeza kuwepo mtu kama huyo humu kwenye midahalo kwani ameweza kuwasugua vichwa vya wadau wengi na haswa wa BC.</p>
<p>Nilikuwa nikifuatiria kwa karibu hoja za wadau wengi pamoja na za huyu digrii hoja nyingine zina kuwa za msingi kweli na nyingine kichefuchefu  kama hii alioitoa hapo juu duh.hii inaonyesha jinsi arivyo hater,</p>
<p>kama swala ni mtoto Degree wewe hiyo haikuhusu.<br />
kama swala Umri hiyo sikazi yako ukitazama hata kwenye vilabu vikubwa vya huko nje wachezaji wengi wameghushi umri wao na bado wanasukuma ngozi vizuri sana na hii yote ni kutafuta maslahi nadhani hili unalifahamu vilivyo ila kwa vile wewe ni kati ya wale Wazee wa haters. Usikonde mwana Peace.</p>
]]></content:encoded>
	</item>
	<item>
		<title>By: Mickey Jones Amos - Denmark</title>
		<link>http://www.bongocelebrity.com/2009/03/04/ngassaa-new-hope/comment-page-1/#comment-17720</link>
		<dc:creator>Mickey Jones Amos - Denmark</dc:creator>
		<pubDate>Fri, 06 Mar 2009 12:58:47 +0000</pubDate>
		<guid isPermaLink="false">http://www.bongocelebrity.com/?p=3203#comment-17720</guid>
		<description>Nakubaliana na mtazamo wa mchangiaji MAKULILO JR. 

Naheshimu ingawaje sikubaliani na mtazamo
wa &quot;Prof.degree&quot;.

kwa uchezaji wa nchi za huku hauitaji &quot;Umbo au kitambi&quot;anatakiwa kutumia kipaji chake cha kuzaliwa na kuhitimu zaidi mafunzo ya walimu wake.

Umri wake si kikwazo pia kama kipo sawa au hakipo sawa kinachoangaliwz ni &quot;makaratasi&quot; yake ya kuzaliwa yaliyopitishwa katika
ngazi zote zinazohusika.

Muhimu kuwepo na ushirikiano wa Taifa Stars kama wachezaji wanaoelewana kwa umoja katika michezo yote badala ya kuendelea na mawazo yetu ya kizamni kuangalia &quot;kipaji-kifaa&quot; kama kipo zaidi kuliko wengine,hayo yatafuatia baada ya Taifa Stars kuleta matokeo ya umoja.

Vipaji(vifaa) vyetu binafsi wakiwa wachezaji wa kulipwa wataonyesha &quot;ufundi wa kibinafsi&quot; kwa sasa tunataka &quot;TIMU YA TAIFA STARS&quot; kuleta matokeo ya kimataifa katika kipindi cha miaka mitno ijayo.

mickey@mail-online.dk
Copenhagen</description>
		<content:encoded><![CDATA[<p>Nakubaliana na mtazamo wa mchangiaji MAKULILO JR. </p>
<p>Naheshimu ingawaje sikubaliani na mtazamo<br />
wa &#8220;Prof.degree&#8221;.</p>
<p>kwa uchezaji wa nchi za huku hauitaji &#8220;Umbo au kitambi&#8221;anatakiwa kutumia kipaji chake cha kuzaliwa na kuhitimu zaidi mafunzo ya walimu wake.</p>
<p>Umri wake si kikwazo pia kama kipo sawa au hakipo sawa kinachoangaliwz ni &#8220;makaratasi&#8221; yake ya kuzaliwa yaliyopitishwa katika<br />
ngazi zote zinazohusika.</p>
<p>Muhimu kuwepo na ushirikiano wa Taifa Stars kama wachezaji wanaoelewana kwa umoja katika michezo yote badala ya kuendelea na mawazo yetu ya kizamni kuangalia &#8220;kipaji-kifaa&#8221; kama kipo zaidi kuliko wengine,hayo yatafuatia baada ya Taifa Stars kuleta matokeo ya umoja.</p>
<p>Vipaji(vifaa) vyetu binafsi wakiwa wachezaji wa kulipwa wataonyesha &#8220;ufundi wa kibinafsi&#8221; kwa sasa tunataka &#8220;TIMU YA TAIFA STARS&#8221; kuleta matokeo ya kimataifa katika kipindi cha miaka mitno ijayo.</p>
<p><a href="mailto:mickey@mail-online.dk">mickey@mail-online.dk</a><br />
Copenhagen</p>
]]></content:encoded>
	</item>
	<item>
		<title>By: MAKULILO Jr</title>
		<link>http://www.bongocelebrity.com/2009/03/04/ngassaa-new-hope/comment-page-1/#comment-17694</link>
		<dc:creator>MAKULILO Jr</dc:creator>
		<pubDate>Fri, 06 Mar 2009 03:39:58 +0000</pubDate>
		<guid isPermaLink="false">http://www.bongocelebrity.com/?p=3203#comment-17694</guid>
		<description>Ngassa kusema kweli anajituma sana, na uwezo anao tu mzuri.Juhudi tu asilewe sifa za kibongo, akomae barani ulaya atacheza tu.

Huwa napingana na watu wengi ambao kila kukicha wanasema oohh wachezaji wa bongo maumbo yao ni madogo mfano ni Ngassa, na wengineo.Mpira sio maumbo wandugu, kama ni maumbo, akina Mwaikimba wapo wapi??Si Maximo alimchukua kwa kuangalia umbo eti litatisha, nani alitishika sasa??Mbona akina Messi, Pato, Flamini, Fabregas, Rafael, Robinho nk maumbo yao madogo??Akili, juhudi na uwezo vinamuwezesha mtu kuwa bora.Ngassa komaa utapata tu chance ya kucheza ulaya.

Mafanikio mema
MAKULILO Jr,
West Virginia, Marekani
www.makulilo.blogspot.com</description>
		<content:encoded><![CDATA[<p>Ngassa kusema kweli anajituma sana, na uwezo anao tu mzuri.Juhudi tu asilewe sifa za kibongo, akomae barani ulaya atacheza tu.</p>
<p>Huwa napingana na watu wengi ambao kila kukicha wanasema oohh wachezaji wa bongo maumbo yao ni madogo mfano ni Ngassa, na wengineo.Mpira sio maumbo wandugu, kama ni maumbo, akina Mwaikimba wapo wapi??Si Maximo alimchukua kwa kuangalia umbo eti litatisha, nani alitishika sasa??Mbona akina Messi, Pato, Flamini, Fabregas, Rafael, Robinho nk maumbo yao madogo??Akili, juhudi na uwezo vinamuwezesha mtu kuwa bora.Ngassa komaa utapata tu chance ya kucheza ulaya.</p>
<p>Mafanikio mema<br />
MAKULILO Jr,<br />
West Virginia, Marekani<br />
<a href="http://www.makulilo.blogspot.com" rel="nofollow">http://www.makulilo.blogspot.com</a></p>
]]></content:encoded>
	</item>
	<item>
		<title>By: mchizi</title>
		<link>http://www.bongocelebrity.com/2009/03/04/ngassaa-new-hope/comment-page-1/#comment-17678</link>
		<dc:creator>mchizi</dc:creator>
		<pubDate>Thu, 05 Mar 2009 18:48:36 +0000</pubDate>
		<guid isPermaLink="false">http://www.bongocelebrity.com/?p=3203#comment-17678</guid>
		<description>Sasa wewe Mr degree ,cha kushangaza nini hapo? mbona hushangai yule &#039;mtoto&#039; wa uingereza aliyepata mtoto akiwa na miaka 13 au kwa vile ni mzungu.</description>
		<content:encoded><![CDATA[<p>Sasa wewe Mr degree ,cha kushangaza nini hapo? mbona hushangai yule &#8216;mtoto&#8217; wa uingereza aliyepata mtoto akiwa na miaka 13 au kwa vile ni mzungu.</p>
]]></content:encoded>
	</item>
	<item>
		<title>By: Mzee wa ££££ za kutosha</title>
		<link>http://www.bongocelebrity.com/2009/03/04/ngassaa-new-hope/comment-page-1/#comment-17673</link>
		<dc:creator>Mzee wa ££££ za kutosha</dc:creator>
		<pubDate>Thu, 05 Mar 2009 16:08:41 +0000</pubDate>
		<guid isPermaLink="false">http://www.bongocelebrity.com/?p=3203#comment-17673</guid>
		<description>hahahaha Ebwana Mr Degree unanichekesha sana, kumbe prof footballer anatakiwa kwanza kuwa mkweli? ujue umri kweli uku Utaborani wachezaji wakali wanamiaka kuanzia 19 - 24, sasa naona kijana nae anasema mule mule , lakini mi namkubali sana, sema tu anatakiwa kuwa makini kwani bongo matapeli wengi, watamlia buku! buku zake wakimdanganya wanamtaftia timu Ulaya, kumbe changa la macho.
Kazana sana kijana, siri ya mafanikio ni KUKAZANA.</description>
		<content:encoded><![CDATA[<p>hahahaha Ebwana Mr Degree unanichekesha sana, kumbe prof footballer anatakiwa kwanza kuwa mkweli? ujue umri kweli uku Utaborani wachezaji wakali wanamiaka kuanzia 19 &#8211; 24, sasa naona kijana nae anasema mule mule , lakini mi namkubali sana, sema tu anatakiwa kuwa makini kwani bongo matapeli wengi, watamlia buku! buku zake wakimdanganya wanamtaftia timu Ulaya, kumbe changa la macho.<br />
Kazana sana kijana, siri ya mafanikio ni KUKAZANA.</p>
]]></content:encoded>
	</item>
	<item>
		<title>By: Mickey Jones Amos - Denmark</title>
		<link>http://www.bongocelebrity.com/2009/03/04/ngassaa-new-hope/comment-page-1/#comment-17668</link>
		<dc:creator>Mickey Jones Amos - Denmark</dc:creator>
		<pubDate>Thu, 05 Mar 2009 14:58:39 +0000</pubDate>
		<guid isPermaLink="false">http://www.bongocelebrity.com/?p=3203#comment-17668</guid>
		<description>Nitasubiri mpaka BC itakapopata nafasi ya mazunmgumzo na kipaji Ngassa mwenyewe atupe mawazo yake ya uchezaji wa &quot;kibinafsi&quot; na &quot;Kiumoja&quot; kama Taifa Stars wanaoelewana katika kuleta matokeo mazuri ya ushindi wa mashindano yote.

Wachezaji vipaji binafsi wamekuja na kutoweka bila ya kuiletea Taifa Stars ushindi wa kimataifa kwa muda mrefu uliyopita,lakini itakuwa vizuri kusikia maelezo tofauti binafsi ya kipaji-Ngassa.

Copenhagen</description>
		<content:encoded><![CDATA[<p>Nitasubiri mpaka BC itakapopata nafasi ya mazunmgumzo na kipaji Ngassa mwenyewe atupe mawazo yake ya uchezaji wa &#8220;kibinafsi&#8221; na &#8220;Kiumoja&#8221; kama Taifa Stars wanaoelewana katika kuleta matokeo mazuri ya ushindi wa mashindano yote.</p>
<p>Wachezaji vipaji binafsi wamekuja na kutoweka bila ya kuiletea Taifa Stars ushindi wa kimataifa kwa muda mrefu uliyopita,lakini itakuwa vizuri kusikia maelezo tofauti binafsi ya kipaji-Ngassa.</p>
<p>Copenhagen</p>
]]></content:encoded>
	</item>
	<item>
		<title>By: JOHN CENA</title>
		<link>http://www.bongocelebrity.com/2009/03/04/ngassaa-new-hope/comment-page-1/#comment-17641</link>
		<dc:creator>JOHN CENA</dc:creator>
		<pubDate>Thu, 05 Mar 2009 08:36:17 +0000</pubDate>
		<guid isPermaLink="false">http://www.bongocelebrity.com/?p=3203#comment-17641</guid>
		<description>Mrisho Ngassa ni kifaa kitarajiwa ila sasa kwa uswahili wa BONGO FITNA FOOTBOLI angalia mdogo wangu usije ukaishia kuandikwa kwenye magazeti ya bongo tuu ambayo wakina WENGER,BENITEZ,BABU FERGIE hawayasomi jaribu kuwaangalia sana hao mawakala ambao ofisi za zipo KARIAKOO wanasema wanatafuta team ulaya..........!!!!
BUT KEEP IT UP UTATOKA TUU.TUPO PAMOJA</description>
		<content:encoded><![CDATA[<p>Mrisho Ngassa ni kifaa kitarajiwa ila sasa kwa uswahili wa BONGO FITNA FOOTBOLI angalia mdogo wangu usije ukaishia kuandikwa kwenye magazeti ya bongo tuu ambayo wakina WENGER,BENITEZ,BABU FERGIE hawayasomi jaribu kuwaangalia sana hao mawakala ambao ofisi za zipo KARIAKOO wanasema wanatafuta team ulaya&#8230;&#8230;&#8230;.!!!!<br />
BUT KEEP IT UP UTATOKA TUU.TUPO PAMOJA</p>
]]></content:encoded>
	</item>
	<item>
		<title>By: mr degree</title>
		<link>http://www.bongocelebrity.com/2009/03/04/ngassaa-new-hope/comment-page-1/#comment-17633</link>
		<dc:creator>mr degree</dc:creator>
		<pubDate>Thu, 05 Mar 2009 06:24:31 +0000</pubDate>
		<guid isPermaLink="false">http://www.bongocelebrity.com/?p=3203#comment-17633</guid>
		<description>ANADAI ANA MIAKA 19 LAKINI ANA MTOTO WA MIAKA 5,KWA HESABU ZA HARAKA HARAKA ALIPATA MTOTO AKIWA PRIMARY SCHOOL KITU AMBACHO SI CHA KWELI. HATUWEZI KUPATA PROFFESSION WA UKWELI KWA KUDANGANYA UMRI, ANY WAY KUHUSU SOKA YAKE SI HABA MBIO ANAZO!</description>
		<content:encoded><![CDATA[<p>ANADAI ANA MIAKA 19 LAKINI ANA MTOTO WA MIAKA 5,KWA HESABU ZA HARAKA HARAKA ALIPATA MTOTO AKIWA PRIMARY SCHOOL KITU AMBACHO SI CHA KWELI. HATUWEZI KUPATA PROFFESSION WA UKWELI KWA KUDANGANYA UMRI, ANY WAY KUHUSU SOKA YAKE SI HABA MBIO ANAZO!</p>
]]></content:encoded>
	</item>
</channel>
</rss>

<!-- Performance optimized by W3 Total Cache. Learn more: http://www.w3-edge.com/wordpress-plugins/

Page Caching using disk: enhanced

Served from: www.bongocelebrity.com @ 2012-02-11 10:52:08 -->
