
Wanaitwa Blue 3.Wanatokea nchini Uganda.Ni miongoni mwa makundi ya muziki yanayofanya vizuri katika anga za burudani na muziki katika ukanda wa Afrika Mashariki.Mara nyingi wamekuwa wakitoa burudani safi katika matamasha mbalimbali yanayofanyikia Afrika Mashariki ikiwemo hivi karibuni walipoalikwa kwenye utoaji wa tuzo za Kili.Nawatafuta kujua kwanini wanajiita Blue 3. Why Blue?
Feedback / Comments
10 Responses to “BLUE 3”
Leave a Reply


sending...
wanajua kuimba akina dada hawa,nawapongeza kwa hilo,ila kundi hili lilikuwa linanibamba sana wakati kabla cindy hajaondoka.
lakini wazuri hao
No comment unless otherwise if they were from within.
Thanx!!!!!!!!!
Ni noma hawa kina dada!
(B)lack (L)adies of (U)ganda who happen to be (3)three. hiyo (E) wamechomekea ili ilete maana.
Beautifull Ladies of Uganda 3(meaning they are three)(BLU 3),London uk
BC hamna E kwenye jina lao ni BLU kama maelezo ya mdau hapo juu.Mbona kuna mmoja kabadilika? Hii sio original group wale walioshinda pop star na kina WAKILISHA from bongo.the girl with blue earing nadhani ni replacement hafanani na one of original member
krissie
Pittsburgh,PA
original members walikuwa lilian,jackie na cindy,cindy amejitoa kwenye hilo kundi ambapo kwa sasa ni solo artist ,so huyo unaemsema mwenye hereni za blue ndio replacement ya cindy alieondoka ktk kundi.
i like blue 3
blue3, they kill me with where you’re. i like it so much!