
Pichani ni Waziri Mkuu ambaye pia ndiye mgeni rasmi wa tamasha la siku tatu la utamaduni wa Mtanzania linalowakilishwa na jamii ya Washubi na Wahangaza kutoka wilaya ya Ngara Mkoani Kagera, akionyeshwa baadhi ya vyakula vya kiasili ya makabila hayo leo mchana ndani kijiji cha Makumbusho jijini Dar.
Tamasha hilo limezinduliwa rasmi leo mchana na Mh. Pinda ambalo litadumu kwa muda wa siku tatu kuanzia leo ndani ya kijiji cha Makumbusho,jijini Dar. Ukipata nafasi pitia mitaa ya makumbusho ukajionee utamaduni wa wahangaza na washubi.
Page 1 of 3 | Next page