Muimbaji nyota wa nyimbo za Injili Tanzania mwenye album za JIPE MOYO, UNIFICHE, FURAHA YAKO,Flora Mbasha pichani (akiwa na mumewe Emmanuel Mbasha) ambapo kwa sasa anasikika na wimbo wake wa WANAWAKE ulioimbwa katika mahadhi ya mchiriku,ndiye msanii pekee wa muziki wa Injili atakayetumbuiza kwenye tamasha la uzinduzi wa album ya MSETO WA WAHAPAHAPA litakalofanyika Juni 7 2009 viwanja vya Coco Beach, mbali na yeye kushiriki tamasha hilo, waimbaji wengine watakaokuwepo kwenye tamasha hilo ni pamoja na Mzee Yusuph (Muimbaji wa Taarabu kutoka kundi la Jahaz Modern Taarab) Banana Zoro (kutokana B-Band), Enika (Muziki wa kizazi kipya) Calora Kinasha na Wahapahapa Band watatumbuiza kwa siku hiyo.
Pia WAHAPAHAPA ni tamthilia ya mchezo unaosikika kila jumatatu kwenye Radio Free Africa (RFA) na Radio One, lengo lao likiwa ni kuangalia athari za VVU/UKIMWI kwa vijana.
Feedback / Comments
24 Responses to “Flora Mbasha Kutumbuiza Katika Tamasha La Wahapahapa.”
Leave a Reply



hee kumbe na walokole wanajichubua??cheki vidole vyake.
Hi guys kutoka Helsinki
Kwa kweli muziki wa injili ni sehemu mojawapo iliyotoa ajira kubwa sana kwa vijana wa Taifa la Tanzania na sehemu nyingine za Africa-kama sio duniani,(Muziki wa injili ni industy kubwa kwa sasa)mimi ninaswali moja kwa wadau je wasanii wa muziki huu wa ajili wapo kazini hivyo hawanatofauti na wasanii wa bongo flava au kuna tofauti, kama ipo mbona picha hiyo hapo juu inaonyesha mambo yale yale ya kibongo flava, labda mimi sielewi maana ya injili pamoja na uolokole ndiyo maana ninabaki njia panda,lakini kama kuna tofauti basi hawa wanaimba injili ebu jaribu kujipresenti kiinjili injili basi, sio kimataifa taifa kama walokole wasemavyo,
good luck Mbasha na mume wako ktk industry.
cheers
this couple is a typical examples of recists. its like they swim in mkorogo for 24 hours a day. so they want to be white… he he he!! shame men. look at their fake skin tone, it has beem baked on mkorogo like hell. the fact that they hate themselves, plus trying to correct God for creating them the way they are, that alone makes me hate them. i am sorry… This way you better go to DRC and sing ndombolo and leave gospel alone. Most of us don’t expect that in you given your position to the society and your age of course. peace out…
Nilidhani macho yangu tu uuhhhh
Neno la Mungu linasema kuwa Injili itapelekwa hata kwa hila, so it doen’t matter if they swim in mkorogo for 24 hrs a day,msg wanayopeleka iwe ni ile ile itokayo up stairs that’s all matters, ila kama watakuwa na msg ya tofauti, hapo sasa itakuwa mambo mangine teh teh teh!!!!!!!!! Mungu tusaidie hapo.
Wokovu unabaki pale pale, kama wao wanchemka hiyo ni wao, ni kama kibao kinachoonyesha shule ilipo, wewe utaenda hapo na ukifall shule na kibao vipo pale pale. wokovu utabaki tu anayeshindwa atajiju,mtu asifanye kigezo eti oh mi nilishindwa kwa sababu Mbasha’s walikuwa wakiswim kwenye mkorongo 24 hrs. mambo ya Mungu kila mtu atasimama mwenyewe siku hiyo hakuna Mbasha wala nini!!! halo halo teh teh
mume na mke wote wanagombea cream lol! cheki vidole vyao kweli kuuona ufalme wa mbingu ni kazi
By the way what is the meaning of born again?
Stay blessed
hawa wameoana wakiwa sawa sawa maana bwana anaonekana mdogo bibi mkubwa au ni macho yangu?
hehhehehehhe mkorogo oyeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee
na hizi nywele za bandia tunazing,ang’ania duh misuko ya twende kilioni imekufa kabisa na inapendeza wajameni hebu miss Tanzania mwaka huu asuke twende kilioni tuone kama hato pendeza.
mmh lakini mi namjua huyo dada toka zamani ni mweupeeeeee . komeni na umbea wenu na usikute walioandika hapo wanajifanya walokole. huu ni mwili tuu mwacheni apendeze anavyotaka bora hakai uchi.
nyie woooote mnajifanya ndio mafarisayo eti mnamchambua flora na mumewe , nyie ndio mtakaoenda motoni kwa kosa la kusengenya , na kujiona wenye haki.biblia inasema sisi wooote tumepungukiwa utukufu wa mungu kwa njia moja ama nyingine.bora flora ambaye kinywa chake kinaimba maneno ya kumtukuza mungu , na nyie midungaembe ya kike na kiume vinywa vyenu vichafumnanyooshea nikono mwenzenu na nyie mna dhambi ya kusengenya na kujiona nyie ndio wenye haki.ole wenuuu mungu atawachapa mno. yaani tukimbilie wapi?HATERS MPAKA MAKANISANI WAMEJAAAA.FLORA UKO JUUUU TENA JUU SANA DUNIANI UNAPENDEZA NA MBINGUNI UTAKWENDA
Naona hapo juu wamejaa haters kibao…Dini gani inayosema kutumia mkorogo ni dhambi? I was wondering whether there is any prescribed form of appearance in the Bible one need to have before embarking in preaching. Inamaana Michael Jackson hawezi akaamua siku moja akasoma dini na akawa Mchungaji au Imamu wa dini? Hebu toeni hizo boliti kwenye majicho yenu kabla hamja ona kibanzi kilichopo kwa wasanii hao juu.
We are not haters or trying to judge anyone here, its just that we are curious, what is so special with light skin colour and what is wrong with being black? we are black and we should be proud being black. to my opinion black is beauty…
I am trying to speak my mind and neither should anyone personalise it. its not about sin or going to heaven, its all baout hating our own sikin colour, and blame whites for being racists while we start all this ourselves. i salute
nje ya mada kidogo!!!!!Gervas za siku kaka???acha tuseme ukweli mkorogo umekoza haswa kwa dada frola ila kwa uimbaji nasema anaimba vizuri ila apunguze kubana pua anajipinda na kujikakamua sana kwenye kuimba…all in all big up flora & hubby!!
Mkorogo has a lot side effectlie skin cancer etc. if you really love yourselves kindly stop the application immediately.Chances are the two of you are unaware of this or no one is being honest to you like mmezidisha na kupitilizia katika hizo dawa. Before and after hazifanani, then afterwards will be really bad. The two of you used to have a really good skin tone but now…
haha hiyo ya kubana sana pua hata mie nakubali
Duh, Mattylda…Umepotelea wapi dadangu, cku nyingi nimerudi hata mimi nilipotea kwa muda BC, usipotee ivo bwana infuacti sio vizuri.
jamani inashangaza….sie tunajikoboa….hawa wazungu nao wanajikaanga ili wawe tanned….!!!…sasa sijui ndio nini….wazungu nao utawakuta rangi mbili…..sie nao utatukuta tupo rangi mbili….what the hell is this…..
…..skin cancer, kidney failure as all the mkorogos chemicals had to be filtered by the kidneys….liver failure….lots of nasty conditions to be honest…..so if you are intact upstairs…just stop using them….
Duhh Mattylda dada upo best nimekumiss kishenz aisee dada anaimba vizuri ila kweli kwenye upande wa kubana pua kidogo kuna matatizo.
mtume paulo ameandika sisi ni barua na watu wanatusoma na hatutakiwi tuwapotoshe wadogo katika roho. swali wanachofanya florah na mumewe utukufu anapewa Yesu? na watu wanapotoka na wengine kushindwa kujua wokovu ni nini? wanatakiwa wawe mabalozi wa Yesu, sasa kama wanawakilisha Yesu je hayo ni matendo ya Yesu????????? na kuhusu swala la kuimba na secular wolrd hio ni kupotosha watu kwani biblia imeandika je kuna uhusiano gani kati ya giza na nuru? wanatakiwa kuwavuta watu kwa Yesu na si kuleta vitu vya dunia katika kanisa. ufunuo imeandika kuna kanisa la uvuguvugu wao waonesha mfano wa kanisa hilo ambalo ni machukizo kwa Yesu. asanteni
Frola Mbasha ni mwimbaji mzuri, na cha kushangaza, waimbaji wa nyimbo wa nyimbo za Injili wote wamejichubua. hila Frola anaimba kwa kutumia nguvu sana yupo tofauti na wengine. na mshauri aimbe kama vile Christina Shuso, Jenifa Mgendi, Bahati Bukuku, Rose muhando.
nampa shavu
oyo
nampenda