wangapibc

Katika picha hii kuna wake mbalimbali wa viongozi wetu.Unaweza kuwatambua na kutaja majina yao?

Feedback / Comments

20 Responses to “UNAWATAMBUA?”

  1. Comment by Asha on June 3rd, 2009 11:51 am

    Aliyevaa nguo ya PInk ni Mama Wema Shein,Mke wa dr.Shein MAkam wa Rais,then anayefuata na Mke wa Mzee Ally Hassan Mwinyi,wa tatu Mke wa waziri mkuu BI Tunu Pinda,Aliyevaa nguo ya buluu ni Mama Anna Mkapa na the last one ni Mama Lowassa.

  2. Comment by Danila on June 4th, 2009 1:18 am

    Asha kesha taja hapo juu na mie ndio najua hivyo hivyo

  3. Comment by cait on June 4th, 2009 2:39 am

    mama mwanamwema shein(mke wa makamu wa rais dk. shein), mama siti mwinyi (mke wa rais mstaafu awamu ya pili mzee ruksa), mama tunu pinda (mke wa waziri mkuu mizengo pinda), mama anna mkapa (mke wa rais mstaafu awamu ya tatu ben mkapa) na mama regina lowassa (mke wa waziri mkuu aliyejiuzulu edward lowassa

  4. Comment by Christabell on June 4th, 2009 3:49 am

    Big up Asha. Umepatia haswaa

  5. Comment by agnes on June 4th, 2009 4:18 am

    Kutoka Kushoto mstari wa mbele ni Mke wa Makamu wa Rais – Mwanamwema Shein; Mke wa Rais Mstaafu Ali H. Mwinyi – Sitti Mwinyi; Mke wa Waziri Mkuu – Tunu Pinda; Mke wa Rais Mstaafu Ben Mkapa – Anna Mkapa na Mke wa aliyekuwa Waziri Mkuu – Regina Lowasa.

  6. Comment by Mattylda on June 4th, 2009 6:10 am

    well said Asha umepatia kabisa!

  7. Comment by s on June 4th, 2009 3:10 pm

    Mimi namjua MAMA alie sifika kwa wizi TANZANI mke wa Rais msthafu.

  8. Comment by Pendaheli on June 5th, 2009 12:26 am

    Najua wote ni wake wa Wezi.

  9. Comment by kanyelamomo on June 5th, 2009 8:14 pm

    wake za MAFISADI! Daaaaaah!

  10. Comment by sisterTZ on June 6th, 2009 12:37 pm

    BC sasa jamani unataka kutuambia nini na hii picha?

  11. Comment by BLACKMANNEN on June 7th, 2009 5:33 am

    He he he he he kazi kweli kweli hapa, lakini, akina mama hawa ni wake wa viongozi wetu na waliokuwa viongozi wetu.

    Tuwaheshimu kina mama hawa, kama tunavyowaheshimu viongozi wetu na wale waliokuwa viongozi wetu wakati ule.

    This Is Black=Blackmannen

  12. Comment by Bingo on June 8th, 2009 7:46 am

    where is Maria Nyerere??? She reminds me of the most honest president ever, even the prince of darkness was unable to corrupt him.

  13. Comment by s on June 9th, 2009 10:15 am

    Maria nyerere ,hataaki kujichafuria jina kwa kukaa karibu na bahazi ya ao watu

  14. Comment by mtimkavubongo on June 9th, 2009 4:20 pm

    ukimtoa mke wa DR. Shein waliobaki wote ni wake wa viongozi wanaotiliwa mashaka hasa LOWASA ambaye hata Nyerere alimwita….???wabongo wanamjua, je nyie wanawake huwa mnatoa ushauri kweli mbona waumme zetu hawana huruma ktk rasilimali za umma watanzania wanakufa masikini kwa ubinafsi wa wachache

  15. Comment by Jamal Adi on June 10th, 2009 4:22 am

    Simjui hata mmoja,

  16. Comment by Mwanamke wa Shoka (UK) on June 10th, 2009 7:13 am

    ha ha ha…!!…wadau hapo juu mmenifurahisha saana!!

    I wouls like to ask again…Where is Mama Maria Nyerere????

  17. Comment by Bingo on June 11th, 2009 2:11 am

    Yes…Mwanamke wa shoka, Maria was a strong first lady who did her homework and did her job as the wife of the president and the female leader of the country. We miss her, BC could you pleaseee post her photo!!!! Just her and her alone, probably with with shen’s wife…what do you guys think?

  18. Comment by mtimkavubongo on June 11th, 2009 5:45 pm

    Mama Maria safi????????????????
    Ndiyo safi tena safi kabisaaaaaaaaa
    kweli watanzania wote mnakubaliiiiiii???

    Ndiyo tena kwa sauti mojaaaaaaaaaaaa

    mama Lowasa je? No.MMMMMMMMMMMMMMM

    Hongera MAMA WA TAIFA-MARIA NYERERE

  19. Comment by Mwanamke wa Shoka (UK) on June 12th, 2009 9:09 am

    ah hao wengine wauza tausi na wafanyi biashara ikulu tulishawachoka tena wanaweza wakakufanya uka-throw up….what a shame….

  20. Comment by Mwanamke wa Shoka (UK) on June 12th, 2009 9:10 am

    mhh huenda tausi siku wamezaana tena….lol…

Leave a Reply