<?xml version="1.0" encoding="UTF-8"?><rss version="2.0"
	xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"
	xmlns:dc="http://purl.org/dc/elements/1.1/"
	xmlns:atom="http://www.w3.org/2005/Atom"
	xmlns:sy="http://purl.org/rss/1.0/modules/syndication/"
		>
<channel>
	<title>Comments on: UJUMBE WA OBAMA KWA BARA LA AFRIKA</title>
	<atom:link href="http://www.bongocelebrity.com/2009/07/11/ujumbe-wa-obama-kwa-bara-la-afrika/feed/" rel="self" type="application/rss+xml" />
	<link>http://www.bongocelebrity.com/2009/07/11/ujumbe-wa-obama-kwa-bara-la-afrika/</link>
	<description></description>
	<lastBuildDate>Sat, 11 Feb 2012 15:21:30 +0000</lastBuildDate>
	<sy:updatePeriod>hourly</sy:updatePeriod>
	<sy:updateFrequency>1</sy:updateFrequency>
	<generator>http://wordpress.org/?v=3.3.1</generator>
	<item>
		<title>By: Mwanamke wa Shoka (UK)</title>
		<link>http://www.bongocelebrity.com/2009/07/11/ujumbe-wa-obama-kwa-bara-la-afrika/comment-page-1/#comment-24487</link>
		<dc:creator>Mwanamke wa Shoka (UK)</dc:creator>
		<pubDate>Mon, 13 Jul 2009 13:20:51 +0000</pubDate>
		<guid isPermaLink="false">http://www.bongocelebrity.com/?p=4183#comment-24487</guid>
		<description>Gervas na Mtimkavu nimewapata saana.

...sijui ni lini hawa viongozi wetu wataona haja ya kuwajibika....jamaani inakatisha tamaa saana...</description>
		<content:encoded><![CDATA[<p>Gervas na Mtimkavu nimewapata saana.</p>
<p>&#8230;sijui ni lini hawa viongozi wetu wataona haja ya kuwajibika&#8230;.jamaani inakatisha tamaa saana&#8230;</p>
]]></content:encoded>
	</item>
	<item>
		<title>By: Mzee wa Changamoto</title>
		<link>http://www.bongocelebrity.com/2009/07/11/ujumbe-wa-obama-kwa-bara-la-afrika/comment-page-1/#comment-24469</link>
		<dc:creator>Mzee wa Changamoto</dc:creator>
		<pubDate>Mon, 13 Jul 2009 02:42:22 +0000</pubDate>
		<guid isPermaLink="false">http://www.bongocelebrity.com/?p=4183#comment-24469</guid>
		<description>Kama alivyosema Gervas hapo juu. Aliyoyasema Obama si mageni kwa viongozi wetu. By the way, wanayatenda na ndio maana yapo. Hawashindwi kukomesha ukabila, hawashindwi kuweka umoja, hawashindwi kukomesha Rushwa na Ufisadi, bali wanaendeleza maana hiyo inawapa muda wa kuwagawa wananchi na kisha kuja na tule tu-ahadi twa kurekebisha mambvo ambatwo tunawapa tu-kura fulani (wakiongezea na zile za wizi) wanarejea madarakani. Ndio yale ambayo Garnet Silk kwenye wimbo wake Disadvantaged alisema &quot;them taking advantage of the underpriviledged... they work a tricks by giving a little just to deceive you and break your little heart in two&quot;
 Naamini viongozi wa Afrika wanajua na wapo (sitoshangaa kama watakuwa wengi wao) waliochukizwa na &quot;kufunuliwa&quot; kwa uzembe na uozo wao.
  Tupo tu, na siku yaja ya wenye kutenda watendayo kulipa matendo yao</description>
		<content:encoded><![CDATA[<p>Kama alivyosema Gervas hapo juu. Aliyoyasema Obama si mageni kwa viongozi wetu. By the way, wanayatenda na ndio maana yapo. Hawashindwi kukomesha ukabila, hawashindwi kuweka umoja, hawashindwi kukomesha Rushwa na Ufisadi, bali wanaendeleza maana hiyo inawapa muda wa kuwagawa wananchi na kisha kuja na tule tu-ahadi twa kurekebisha mambvo ambatwo tunawapa tu-kura fulani (wakiongezea na zile za wizi) wanarejea madarakani. Ndio yale ambayo Garnet Silk kwenye wimbo wake Disadvantaged alisema &#8220;them taking advantage of the underpriviledged&#8230; they work a tricks by giving a little just to deceive you and break your little heart in two&#8221;<br />
 Naamini viongozi wa Afrika wanajua na wapo (sitoshangaa kama watakuwa wengi wao) waliochukizwa na &#8220;kufunuliwa&#8221; kwa uzembe na uozo wao.<br />
  Tupo tu, na siku yaja ya wenye kutenda watendayo kulipa matendo yao</p>
]]></content:encoded>
	</item>
	<item>
		<title>By: mtimkavubongo</title>
		<link>http://www.bongocelebrity.com/2009/07/11/ujumbe-wa-obama-kwa-bara-la-afrika/comment-page-1/#comment-24464</link>
		<dc:creator>mtimkavubongo</dc:creator>
		<pubDate>Sun, 12 Jul 2009 21:08:25 +0000</pubDate>
		<guid isPermaLink="false">http://www.bongocelebrity.com/?p=4183#comment-24464</guid>
		<description>Kwa kweli Obama nakupa tano, ila kama wapo watu ambao huwa wanafutilia comments zangu hapa BC tokea mwaka jana, Obama amerudia mambo ambayo nimekuwa ninayasema hapa BC.

Ni wiki iliyopita tu, niliongelea kuwa mambo ya kusingizia ukoloni,wazungu, benki ya dunia, utumwa, ubepari, ubeberu na nchi za magharibi, yamepitwa na wakati ni wimbo nimeusikia tokea muda mrefu hautusaidii, ni uongo wezi na waporaji wa bara hili ni sisi WAAfrica.Obama karudi jambo hili kwa upana zaidi, asante sana kiongozi wa dunia huru-a great leader of a free world.

Mimi sipendi kueleza bila mifano-twende nchi kwetu Tanzania, angalia wizi ulivyojaa kila kona na kila idara, ni aibu sana Rais wetu kuwa MATONYA kutembea kila kukicha anatembeza bakuli kumbe utajiri wa nchi yetu ni mkubwa, mali asili zinaporwa tani na tani za pembe za ndovu, wanyama na mengi haya ni mabillioni yas dollars yanapotea, madini hivyo hivyo, pesa za umma kwenye halmshauri, magari ya gharama-mashangingi, wizi wa pesa benki kuu, wizi wa pesa mashirika ya umma tenda hewa za wakubwa-Tanesco,TTCL na mifuko ya pesa,ndiyo maana nkuu wa usalama wa Taifa wa zamani alisema nchi inanuka na imeoza,na mzee Butiku ameisha sema hivyo hivyo, sasa haya mambo yote ukoloni uko wapi?marekani yuko wapi? TUNAOGOPA KUWASEMA WASOMI WETU WAAFRICA yaani elites ambao ndiyo wanapora 
nchi zetu

Obama kasema Africa ni kwa Waafrica, hiyo ni kweli kabisa, na hasa hasa sisi vijana hawa viongozi wa sasa wameisha feli lakini Oboma umenisaidia kupaza sauti yangu maana dunia imesikia maneno yako hawatudanganyi tena

wakati wa kuikomboa nchi na Africa ni sasa

Hongera sana mtu wangu Obama Baraka</description>
		<content:encoded><![CDATA[<p>Kwa kweli Obama nakupa tano, ila kama wapo watu ambao huwa wanafutilia comments zangu hapa BC tokea mwaka jana, Obama amerudia mambo ambayo nimekuwa ninayasema hapa BC.</p>
<p>Ni wiki iliyopita tu, niliongelea kuwa mambo ya kusingizia ukoloni,wazungu, benki ya dunia, utumwa, ubepari, ubeberu na nchi za magharibi, yamepitwa na wakati ni wimbo nimeusikia tokea muda mrefu hautusaidii, ni uongo wezi na waporaji wa bara hili ni sisi WAAfrica.Obama karudi jambo hili kwa upana zaidi, asante sana kiongozi wa dunia huru-a great leader of a free world.</p>
<p>Mimi sipendi kueleza bila mifano-twende nchi kwetu Tanzania, angalia wizi ulivyojaa kila kona na kila idara, ni aibu sana Rais wetu kuwa MATONYA kutembea kila kukicha anatembeza bakuli kumbe utajiri wa nchi yetu ni mkubwa, mali asili zinaporwa tani na tani za pembe za ndovu, wanyama na mengi haya ni mabillioni yas dollars yanapotea, madini hivyo hivyo, pesa za umma kwenye halmshauri, magari ya gharama-mashangingi, wizi wa pesa benki kuu, wizi wa pesa mashirika ya umma tenda hewa za wakubwa-Tanesco,TTCL na mifuko ya pesa,ndiyo maana nkuu wa usalama wa Taifa wa zamani alisema nchi inanuka na imeoza,na mzee Butiku ameisha sema hivyo hivyo, sasa haya mambo yote ukoloni uko wapi?marekani yuko wapi? TUNAOGOPA KUWASEMA WASOMI WETU WAAFRICA yaani elites ambao ndiyo wanapora<br />
nchi zetu</p>
<p>Obama kasema Africa ni kwa Waafrica, hiyo ni kweli kabisa, na hasa hasa sisi vijana hawa viongozi wa sasa wameisha feli lakini Oboma umenisaidia kupaza sauti yangu maana dunia imesikia maneno yako hawatudanganyi tena</p>
<p>wakati wa kuikomboa nchi na Africa ni sasa</p>
<p>Hongera sana mtu wangu Obama Baraka</p>
]]></content:encoded>
	</item>
	<item>
		<title>By: Gervas</title>
		<link>http://www.bongocelebrity.com/2009/07/11/ujumbe-wa-obama-kwa-bara-la-afrika/comment-page-1/#comment-24456</link>
		<dc:creator>Gervas</dc:creator>
		<pubDate>Sun, 12 Jul 2009 11:39:03 +0000</pubDate>
		<guid isPermaLink="false">http://www.bongocelebrity.com/?p=4183#comment-24456</guid>
		<description>BC...sio kwamba viongozi wetu hawayajui haya anayoyahutubia Obama, wanayaelewa kabisa na huwa tunawasikia wakiyaimba majukwaani hasa kampeni zikianza, ila tu ni VICHWA MAJI. Kumbukeni kuwa Hotuba moja tu haiwezi kumbadili Raisi mwenye silka ya wizi wa kura, mali za nchi, fisadi na mrafi wa madaraka. Upande mwingine tutaona Maraisi wanaotegemea misaada toka USA watajaribu kubadili mambo flani sio tu kwa sababu wamekunwa na aliyosema Obama bali wanajaribu kumtumikia kafiri ili wapate mradi wao. Katika hotuba hii phrase moja naona imebeba &quot;theme&quot; ya hotuba nzima ambayo nahisi ni muhimu kwa viongozi wa afrika..kwamba, &quot;We dont need strong leaders but we need strong institutions&quot; Obama anajaribu kumvika paka kengere sababu anaguswa na ameya-experience yanayotokea Afrika na asikomee hapo tu nafikiri kama ikishindikana tunamruhusu hata bakora awachalaze hawa!!</description>
		<content:encoded><![CDATA[<p>BC&#8230;sio kwamba viongozi wetu hawayajui haya anayoyahutubia Obama, wanayaelewa kabisa na huwa tunawasikia wakiyaimba majukwaani hasa kampeni zikianza, ila tu ni VICHWA MAJI. Kumbukeni kuwa Hotuba moja tu haiwezi kumbadili Raisi mwenye silka ya wizi wa kura, mali za nchi, fisadi na mrafi wa madaraka. Upande mwingine tutaona Maraisi wanaotegemea misaada toka USA watajaribu kubadili mambo flani sio tu kwa sababu wamekunwa na aliyosema Obama bali wanajaribu kumtumikia kafiri ili wapate mradi wao. Katika hotuba hii phrase moja naona imebeba &#8220;theme&#8221; ya hotuba nzima ambayo nahisi ni muhimu kwa viongozi wa afrika..kwamba, &#8220;We dont need strong leaders but we need strong institutions&#8221; Obama anajaribu kumvika paka kengere sababu anaguswa na ameya-experience yanayotokea Afrika na asikomee hapo tu nafikiri kama ikishindikana tunamruhusu hata bakora awachalaze hawa!!</p>
]]></content:encoded>
	</item>
</channel>
</rss>

<!-- Performance optimized by W3 Total Cache. Learn more: http://www.w3-edge.com/wordpress-plugins/

Page Caching using disk: enhanced

Served from: www.bongocelebrity.com @ 2012-02-12 01:10:27 -->
