<?xml version="1.0" encoding="UTF-8"?><rss version="2.0"
	xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"
	xmlns:dc="http://purl.org/dc/elements/1.1/"
	xmlns:atom="http://www.w3.org/2005/Atom"
	xmlns:sy="http://purl.org/rss/1.0/modules/syndication/"
		>
<channel>
	<title>Comments on: TANZANIA TANZANIA&#8230;NAKUPENDA</title>
	<atom:link href="http://www.bongocelebrity.com/2009/07/20/tanzania-tanzanianakupenda/feed/" rel="self" type="application/rss+xml" />
	<link>http://www.bongocelebrity.com/2009/07/20/tanzania-tanzanianakupenda/</link>
	<description></description>
	<lastBuildDate>Mon, 15 Mar 2010 08:40:48 +0000</lastBuildDate>
	<generator>http://wordpress.org/?v=2.9.1</generator>
	<sy:updatePeriod>hourly</sy:updatePeriod>
	<sy:updateFrequency>1</sy:updateFrequency>
		<item>
		<title>By: mpole</title>
		<link>http://www.bongocelebrity.com/2009/07/20/tanzania-tanzanianakupenda/comment-page-1/#comment-24960</link>
		<dc:creator>mpole</dc:creator>
		<pubDate>Wed, 29 Jul 2009 06:30:19 +0000</pubDate>
		<guid isPermaLink="false">http://www.bongocelebrity.com/?p=4287#comment-24960</guid>
		<description>Hongera viongozi wetu kila mmoja amejitahidi kufanya kile alichoweza, lakini...
 Asiyependa kukosolewa anakasumba ya `umimi&#039;-ubinafsi, na kinyume chake ndio demokrasia ya kweli. Sisi kama binadamu hatuwezi kufanya kila kitu safi,na atakayeona hilo ni yule aliyepembeni mwako. Wewe mwenyewe utajiona msafi hata kama ni shati jeupe lililoingia madoa ya uchafu utasema ni maua au urembo, kwasababu ya `umimi-wakupenda sifa&#039;
 Kitu kikubwa tujue mtu akikalia kiti sana mwishowe hujiona ndiye mmiliki,na hatimaye hujenga kiburi cha kuwaona wengine hawana haki ya kukikalia. Hii ndiyo demokrasia inayotakiwa kwa wabinafsi.
 Nakumbuka yupo kiongozi aliwashushua wale wanaopenda kumsifiasifia, huyu amejawa na hekima ya ukweli. Sio kila anayekusifia ana nia njema, ni heri ya huyo anayekukandia ubaya kwani ameweza kukuonyesha doa lililopo kwenye shati lako, na kesho au keshokutwa utalifua liondoke.
M3</description>
		<content:encoded><![CDATA[<p>Hongera viongozi wetu kila mmoja amejitahidi kufanya kile alichoweza, lakini&#8230;<br />
 Asiyependa kukosolewa anakasumba ya `umimi&#8217;-ubinafsi, na kinyume chake ndio demokrasia ya kweli. Sisi kama binadamu hatuwezi kufanya kila kitu safi,na atakayeona hilo ni yule aliyepembeni mwako. Wewe mwenyewe utajiona msafi hata kama ni shati jeupe lililoingia madoa ya uchafu utasema ni maua au urembo, kwasababu ya `umimi-wakupenda sifa&#8217;<br />
 Kitu kikubwa tujue mtu akikalia kiti sana mwishowe hujiona ndiye mmiliki,na hatimaye hujenga kiburi cha kuwaona wengine hawana haki ya kukikalia. Hii ndiyo demokrasia inayotakiwa kwa wabinafsi.<br />
 Nakumbuka yupo kiongozi aliwashushua wale wanaopenda kumsifiasifia, huyu amejawa na hekima ya ukweli. Sio kila anayekusifia ana nia njema, ni heri ya huyo anayekukandia ubaya kwani ameweza kukuonyesha doa lililopo kwenye shati lako, na kesho au keshokutwa utalifua liondoke.<br />
M3</p>
]]></content:encoded>
	</item>
	<item>
		<title>By: rafael</title>
		<link>http://www.bongocelebrity.com/2009/07/20/tanzania-tanzanianakupenda/comment-page-1/#comment-24956</link>
		<dc:creator>rafael</dc:creator>
		<pubDate>Wed, 29 Jul 2009 01:34:22 +0000</pubDate>
		<guid isPermaLink="false">http://www.bongocelebrity.com/?p=4287#comment-24956</guid>
		<description>tanzania ina demokrasi gana kama ina demokrasi mungalimtukana ndugu salim ahmed salim na kumwambia mwarabu huo si ubaguzi au ndio msingi wenu wa demokrasi yenu hiyo</description>
		<content:encoded><![CDATA[<p>tanzania ina demokrasi gana kama ina demokrasi mungalimtukana ndugu salim ahmed salim na kumwambia mwarabu huo si ubaguzi au ndio msingi wenu wa demokrasi yenu hiyo</p>
]]></content:encoded>
	</item>
	<item>
		<title>By: hombiz</title>
		<link>http://www.bongocelebrity.com/2009/07/20/tanzania-tanzanianakupenda/comment-page-1/#comment-24911</link>
		<dc:creator>hombiz</dc:creator>
		<pubDate>Mon, 27 Jul 2009 06:11:53 +0000</pubDate>
		<guid isPermaLink="false">http://www.bongocelebrity.com/?p=4287#comment-24911</guid>
		<description>watanzania nje ya nchi mma haki ya kikatiba kufichua, kukemea, na kulaani kila aina ya maovu na uozo wa mtu yeyeto anayeihujumu nchi hasa viongozi wabovu. Mpuuzi yoyote anayedhani kusifia viongozi wabovu ndio uzalendo, huyo aepukwe kama UKIMWI. Hatutaki uzalendo pumba ndani ya blog hii.
Msg sent!</description>
		<content:encoded><![CDATA[<p>watanzania nje ya nchi mma haki ya kikatiba kufichua, kukemea, na kulaani kila aina ya maovu na uozo wa mtu yeyeto anayeihujumu nchi hasa viongozi wabovu. Mpuuzi yoyote anayedhani kusifia viongozi wabovu ndio uzalendo, huyo aepukwe kama UKIMWI. Hatutaki uzalendo pumba ndani ya blog hii.<br />
Msg sent!</p>
]]></content:encoded>
	</item>
	<item>
		<title>By: chapombe</title>
		<link>http://www.bongocelebrity.com/2009/07/20/tanzania-tanzanianakupenda/comment-page-1/#comment-24887</link>
		<dc:creator>chapombe</dc:creator>
		<pubDate>Sun, 26 Jul 2009 12:02:51 +0000</pubDate>
		<guid isPermaLink="false">http://www.bongocelebrity.com/?p=4287#comment-24887</guid>
		<description>jamani huko juu,punguzeni kiinglish,mi nimesahau siku hizi maanake mnanikumbusha mbali,we acha tu</description>
		<content:encoded><![CDATA[<p>jamani huko juu,punguzeni kiinglish,mi nimesahau siku hizi maanake mnanikumbusha mbali,we acha tu</p>
]]></content:encoded>
	</item>
	<item>
		<title>By: zitto kiaratu</title>
		<link>http://www.bongocelebrity.com/2009/07/20/tanzania-tanzanianakupenda/comment-page-1/#comment-24852</link>
		<dc:creator>zitto kiaratu</dc:creator>
		<pubDate>Fri, 24 Jul 2009 22:19:56 +0000</pubDate>
		<guid isPermaLink="false">http://www.bongocelebrity.com/?p=4287#comment-24852</guid>
		<description>mtu ye yote anaekubaliana na ccm au asio mpinzani wa ccm ndio mzalendo??? this is almost like DRC all over again!!! kama mshikaji mmoja hapo juu alivyosema amani na njaa. wazalendo wengi wana njaa!!!</description>
		<content:encoded><![CDATA[<p>mtu ye yote anaekubaliana na ccm au asio mpinzani wa ccm ndio mzalendo??? this is almost like DRC all over again!!! kama mshikaji mmoja hapo juu alivyosema amani na njaa. wazalendo wengi wana njaa!!!</p>
]]></content:encoded>
	</item>
	<item>
		<title>By: tito</title>
		<link>http://www.bongocelebrity.com/2009/07/20/tanzania-tanzanianakupenda/comment-page-1/#comment-24849</link>
		<dc:creator>tito</dc:creator>
		<pubDate>Fri, 24 Jul 2009 18:56:24 +0000</pubDate>
		<guid isPermaLink="false">http://www.bongocelebrity.com/?p=4287#comment-24849</guid>
		<description>ujuwe watu walioko ugaibuni ndiyo wajanja yaani waelevu,huwezi ukawaletea uongo kama mnavyoletewa ninyi mlioko tz.
wanaupeo mkubwa kuzidi hata hao viongozi wapenda rushwa hivyo tofauti hapo ni mtizamo hakuna mtu anayetaka nchi ipigane ili apate nini? ila watu wanapenda haki na si viongozi kuzurumu wananchi wavuja jasho
kunasiku hao viongozi wataletwa ugaibuni pia kujibu mashitaka ya wizi wa mali ya umma ebo wao nani kwani</description>
		<content:encoded><![CDATA[<p>ujuwe watu walioko ugaibuni ndiyo wajanja yaani waelevu,huwezi ukawaletea uongo kama mnavyoletewa ninyi mlioko tz.<br />
wanaupeo mkubwa kuzidi hata hao viongozi wapenda rushwa hivyo tofauti hapo ni mtizamo hakuna mtu anayetaka nchi ipigane ili apate nini? ila watu wanapenda haki na si viongozi kuzurumu wananchi wavuja jasho<br />
kunasiku hao viongozi wataletwa ugaibuni pia kujibu mashitaka ya wizi wa mali ya umma ebo wao nani kwani</p>
]]></content:encoded>
	</item>
	<item>
		<title>By: Bingo</title>
		<link>http://www.bongocelebrity.com/2009/07/20/tanzania-tanzanianakupenda/comment-page-1/#comment-24841</link>
		<dc:creator>Bingo</dc:creator>
		<pubDate>Fri, 24 Jul 2009 15:26:47 +0000</pubDate>
		<guid isPermaLink="false">http://www.bongocelebrity.com/?p=4287#comment-24841</guid>
		<description>Blackmannen, no one is saying that Tanzania hasn&#039;t done anything in terms of peace and stability. we are well above the bars when it comes to peace. But the need to have economic well being still remains top of our agenda. You can have peace while crippled with malnutrition, illiteracy, diseases, poverty etc etc. Thats why they say UHURU NA MAENDELEO. When you have money you increase the capacity to solve your problems. We do complain not bcoz we hate our contry, but becoz we love it, and we know it’s possible to have a rich and prosperous Tanzania. We don’t want see our children going through what we are going through right now. I salute...</description>
		<content:encoded><![CDATA[<p>Blackmannen, no one is saying that Tanzania hasn&#8217;t done anything in terms of peace and stability. we are well above the bars when it comes to peace. But the need to have economic well being still remains top of our agenda. You can have peace while crippled with malnutrition, illiteracy, diseases, poverty etc etc. Thats why they say UHURU NA MAENDELEO. When you have money you increase the capacity to solve your problems. We do complain not bcoz we hate our contry, but becoz we love it, and we know it’s possible to have a rich and prosperous Tanzania. We don’t want see our children going through what we are going through right now. I salute&#8230;</p>
]]></content:encoded>
	</item>
	<item>
		<title>By: BLACKMANNEN</title>
		<link>http://www.bongocelebrity.com/2009/07/20/tanzania-tanzanianakupenda/comment-page-1/#comment-24825</link>
		<dc:creator>BLACKMANNEN</dc:creator>
		<pubDate>Fri, 24 Jul 2009 05:46:57 +0000</pubDate>
		<guid isPermaLink="false">http://www.bongocelebrity.com/?p=4287#comment-24825</guid>
		<description>Maoni ya Mickey Jones na Gervas, ni mazito na ni ya watu wanaofahamu wakiongeacho. Chukueni TANO kutoka kwangu.

Demokrasia ya kweli, Amani na Utulivu, tulionao katika Tanzania yetu leo hii, vinatokana na hekima na busara za viongozi wetu hawa wapendwa, waliosimama katika picha hii na wake zao.

Ukweli wa wazi katika hayo (Demokrasia, Maendeleo ya Amamni na Utulivu) haviwezi kupingwa na Mtanzania wa kweli mwenye kuithamini nchi yake ya Tanzania (Mzalendo).

Nchi zote duniani, haziongozwi na &quot;Mitume&quot;, bali zinaongozwa na binadamu. Kama ilivyo kawaida, binadamu hawezi kuwa msafi asilimia mia moja kama &quot;Mitume&quot; walivyo.

Katika uchunguzi wangu usio rasmi, nimekuja kugundua kuwa, watoa maoni kuhusu Maendeleo na Siasa za nchi yetu Tanzania. Sio wote kuwa ni Watanzania. Kuna Mamluki wengi sana.

Utashangaa kuona mtu anajiita Mtanzania, lakini eti hajui kuongea wala kuandika Kiswahili, isipokuwa Kiingereza tu. Mtu huyu anajikunja kutoa maoni kuhusu Siasa za Tanzania na kuwakosoa, na hata kuwatukana viongozi wetu, waliochaguliwa na Watanzania.

Je, Siasa za Kitanzania, mtu wa aina hii kazijulia wapi? Kwa sababu inaonyesha hajawahi kuishi Tanzania kwa muda mrefu, ili kuielewa jamii ya Kitanzania.

Pia nimekuja kugundua kuwa, Watanzania wengi walioko nje, wanaisemea mbovu nchi yetu na viongozi wake, kwa sababu ujio wao nchi za nje, umegubikwa na sababu nyingi.

Watanzania wako nje ya Tanzania, kimasomo, pia kuna wahalifu wa aina mbalimbali wakiwemo majambazi, waliokimbia mkono wa sheria wa Tanzania, kuna watoto wa Kitanzania waliozaliwa na kukulia nchi za nje.

Watanzania wenzetu hao juu niliowataja, kwa hali yoyote, hawawezi kuisema vizuri nchi yetu Tanzania, kutokana na historia zao za maisha. Hawaipendi na wengine hawaijui Tanzania, bali wanaisikia kupitia vyombo vya habari tu.

Watu wa aina hiyo wanapoona Watanzania tunajitahidi kufanya jambo zuri, kazi yao ni kutubeza na kukandia Maendeleo yetu, kwa kutumia mianya ya mapungufu ya kibinadamu ya Viongozi wetu wanapofanya makosa.

Watanzania wenzangu, tuwe macho na vijibwa hivyo,  na hasa wale wote wanaojiita Watanzania kumbe ni maadui wa Tanzania, wanaotamani tupate matatizo ya kisiasa, kama waliyonayo wao.

MUNGU IBARIKI TANZANIA, MUNGU IBARIKI AFRIKA!!!

It&#039;s Great To Be Black=Blackmannen</description>
		<content:encoded><![CDATA[<p>Maoni ya Mickey Jones na Gervas, ni mazito na ni ya watu wanaofahamu wakiongeacho. Chukueni TANO kutoka kwangu.</p>
<p>Demokrasia ya kweli, Amani na Utulivu, tulionao katika Tanzania yetu leo hii, vinatokana na hekima na busara za viongozi wetu hawa wapendwa, waliosimama katika picha hii na wake zao.</p>
<p>Ukweli wa wazi katika hayo (Demokrasia, Maendeleo ya Amamni na Utulivu) haviwezi kupingwa na Mtanzania wa kweli mwenye kuithamini nchi yake ya Tanzania (Mzalendo).</p>
<p>Nchi zote duniani, haziongozwi na &#8220;Mitume&#8221;, bali zinaongozwa na binadamu. Kama ilivyo kawaida, binadamu hawezi kuwa msafi asilimia mia moja kama &#8220;Mitume&#8221; walivyo.</p>
<p>Katika uchunguzi wangu usio rasmi, nimekuja kugundua kuwa, watoa maoni kuhusu Maendeleo na Siasa za nchi yetu Tanzania. Sio wote kuwa ni Watanzania. Kuna Mamluki wengi sana.</p>
<p>Utashangaa kuona mtu anajiita Mtanzania, lakini eti hajui kuongea wala kuandika Kiswahili, isipokuwa Kiingereza tu. Mtu huyu anajikunja kutoa maoni kuhusu Siasa za Tanzania na kuwakosoa, na hata kuwatukana viongozi wetu, waliochaguliwa na Watanzania.</p>
<p>Je, Siasa za Kitanzania, mtu wa aina hii kazijulia wapi? Kwa sababu inaonyesha hajawahi kuishi Tanzania kwa muda mrefu, ili kuielewa jamii ya Kitanzania.</p>
<p>Pia nimekuja kugundua kuwa, Watanzania wengi walioko nje, wanaisemea mbovu nchi yetu na viongozi wake, kwa sababu ujio wao nchi za nje, umegubikwa na sababu nyingi.</p>
<p>Watanzania wako nje ya Tanzania, kimasomo, pia kuna wahalifu wa aina mbalimbali wakiwemo majambazi, waliokimbia mkono wa sheria wa Tanzania, kuna watoto wa Kitanzania waliozaliwa na kukulia nchi za nje.</p>
<p>Watanzania wenzetu hao juu niliowataja, kwa hali yoyote, hawawezi kuisema vizuri nchi yetu Tanzania, kutokana na historia zao za maisha. Hawaipendi na wengine hawaijui Tanzania, bali wanaisikia kupitia vyombo vya habari tu.</p>
<p>Watu wa aina hiyo wanapoona Watanzania tunajitahidi kufanya jambo zuri, kazi yao ni kutubeza na kukandia Maendeleo yetu, kwa kutumia mianya ya mapungufu ya kibinadamu ya Viongozi wetu wanapofanya makosa.</p>
<p>Watanzania wenzangu, tuwe macho na vijibwa hivyo,  na hasa wale wote wanaojiita Watanzania kumbe ni maadui wa Tanzania, wanaotamani tupate matatizo ya kisiasa, kama waliyonayo wao.</p>
<p>MUNGU IBARIKI TANZANIA, MUNGU IBARIKI AFRIKA!!!</p>
<p>It&#8217;s Great To Be Black=Blackmannen</p>
]]></content:encoded>
	</item>
	<item>
		<title>By: Bingo</title>
		<link>http://www.bongocelebrity.com/2009/07/20/tanzania-tanzanianakupenda/comment-page-1/#comment-24814</link>
		<dc:creator>Bingo</dc:creator>
		<pubDate>Thu, 23 Jul 2009 18:03:06 +0000</pubDate>
		<guid isPermaLink="false">http://www.bongocelebrity.com/?p=4287#comment-24814</guid>
		<description>i like this picture, it seems like the president and former presidents are getting along well. BUT we need to see more than just getting together; we need to see the moon shine signaling the rest to the poor and middle class of this contry who have been suffering for too long, we need to see tanzania becoming a great land where all good dreams can become a reality and not only for few fat cats, we need to see the respect and patience of our fore fathers who fought for this contry paying off. underneath and above all we need a corruption free country where all of us can stand for our rights and can dream for a better tomorrow. We all need that...</description>
		<content:encoded><![CDATA[<p>i like this picture, it seems like the president and former presidents are getting along well. BUT we need to see more than just getting together; we need to see the moon shine signaling the rest to the poor and middle class of this contry who have been suffering for too long, we need to see tanzania becoming a great land where all good dreams can become a reality and not only for few fat cats, we need to see the respect and patience of our fore fathers who fought for this contry paying off. underneath and above all we need a corruption free country where all of us can stand for our rights and can dream for a better tomorrow. We all need that&#8230;</p>
]]></content:encoded>
	</item>
	<item>
		<title>By: Hombiz</title>
		<link>http://www.bongocelebrity.com/2009/07/20/tanzania-tanzanianakupenda/comment-page-1/#comment-24801</link>
		<dc:creator>Hombiz</dc:creator>
		<pubDate>Thu, 23 Jul 2009 13:17:21 +0000</pubDate>
		<guid isPermaLink="false">http://www.bongocelebrity.com/?p=4287#comment-24801</guid>
		<description>Teh-teh-teh!
Chapombe na Mlo Mmoja bora mtoe dukuduku lenu! Langu bado linavimba!</description>
		<content:encoded><![CDATA[<p>Teh-teh-teh!<br />
Chapombe na Mlo Mmoja bora mtoe dukuduku lenu! Langu bado linavimba!</p>
]]></content:encoded>
	</item>
</channel>
</rss>
