MY TANZANIA   |   PLACES TO GO   |   MEDIA   |   ONLINE ENTERTAINMENT    

dinabc

Unamjua Dina Marios kama mtangazaji maarufu wa Clouds FM kupitia kipindi chake cha Leo Tena. Ambacho unaweza kuwa hukijui kuhusu Dina ni kwamba yeye pia ni blogger. Dina ana-blog kupitia www.dinamarios.blogspot.com. Ninachopenda kuhusu blog ya Dina ni topics mbalimbali ambazo anazirusha kila mara.Mtembelee ujionee mwenyewe kwa kubonyeza hapa.

Share and Enjoy:
  • Digg
  • Sphinn
  • del.icio.us
  • Facebook
  • Mixx
  • Google Bookmarks
  • email
  • LinkedIn
  • Live
  • Spurl
  • Technorati
  • Yahoo! Buzz
  • YahooMyWeb

Feedback / Comments

13 Responses to “SHE BLOGS ALSO!”

  1. Comment by Frateline K. -Helsinki on July 22nd, 2009 12:19 pm

    Hi Guys
    Hongera sana, kazi nzuri jaribu kuboresha kipindi and keep on moving, move from good to better, better to excellent. Journalism is a noble professional,Hivyo Dada Dina wewe unafanya kazi nyingi lakini mimi ninanyumbulisha tatu nazo ni
    1. Wewe ni kama mwalimu ila darasa lako ni kubwa yaani audience wako ambao ni kama milioni tano au zaidi kwa wakati mmoja wanasikiliza, sasa usifanye mchezo-jitahidi uwe mwalimu mzuri usipotoshe jamii
    2. Wewe ni kama mzazi unalea jamii kwa kuelekeza mambo katika kipindi chako hasa hasa kinahusu mambo ya kifamilia-mke, mme na watoto na kutoa ,mafundisho ya kuboresha hiyo kazi na mahusiano
    3. wewe ni entertainer kiswahili chake nimekosa, unatoa burudani kwa jamii hivyo ni vizuri burudani ziwe zenye maadili ya kitanzania

    Mwisho nakutakia kazi njema, good luck

    Cheers Frateline

  2. Comment by kokusima on July 22nd, 2009 3:50 pm

    wow asante bc kumuweka, nimemfata na anajua kublog. sikujua nimmakwetu big up wahaya. D ukisome comment hii jua nimekufagilia sana na mpe salam kaketu hapo studio aka binam yangu Anord mwambie nampenda na nimemmiss ampe na i J.

  3. Comment by BLACKMANNEN on July 23rd, 2009 4:45 am

    Dada “Dina Marios”!

    Mimi sitakuwa na mengi sana ya kukueleza, kwa sababu, Mkuu Frateline, kayasema karibu yote.

    Nitakachoongeza katika maelezo yake (Frateline) kwako, ni kwamba, wewe (Dina), katika kuhabarisha kitu kwa njia ya blog, sio sawa na kazi ya kuongea redioni.

    Kuongea redioni mara nyingi ni “Monolog”. Unaweza ukaongea “pumba” na ikatoka hewani, bila upinzani toka kwa wasikilizaji wako.

    Kuandika katika blog, ni “Dialog”. Ukiandika pumba, zinashambuliwa hapo hapo na wasomaji wako, bila ya kupewa nafasi ya kupeta hewani.

    Nafasi unayoweza kuwa nayo ni kuyaminya maoni machungu, yale, yenye ncha kali kama sindano moyoni. Lakini hata hivyo, japo hutayaanika katika blog, lakini, ujumbe utakuwa umeupata.

    Pia unaweza kupata maoni mengine yanayokushutumu kwa kitu fulani. Ukayarusha hewani, lakini ukakauka kujibu shutuma hizo. Kama ulivyojikausha kujibu shutuma zangu kwako wewe na Gea.

    Niliwashutumu kuwa matukio unayoyaleta redioni, katika “Leo Tena”, sio ya kweli, bali mnayatunga wenyewe kisanii, ili kupata wasikilizaji wengi.

    Sababu iliyonifanya niamini hivyo, nimekueleza katika blog yako. Rudio kusoma comments za wasomaji wako.

    It’s Great To Be Black=Blackmannen

  4. Comment by Hombiz on July 23rd, 2009 10:24 am

    Her blog is too girlish!

  5. Comment by BLACKMANNEN on July 23rd, 2009 10:49 am

    Dada “kokusima”, kumbe bado upo? Nilidhani dada yetu mpendwa, mwimbaji wa nyimbo za injili “Jennifer Mgendi” alikuja (huvudstad) kukuchukua ili, mkajichimbie pamoja, huko kwake Singida.

    This Is Black=Blackmannen

  6. Comment by Bingo on July 23rd, 2009 1:23 pm

    i think this girl is gonna go far, all i see in her is a sexy and stunning girl, the talent, the ayes, the lips hmmmm… hehe you know what i meean…!!! i think She belongs on the silver screen! hmmmmmmmm think i am having second thoughts here…by the way, are you married???

  7. Comment by kokusima on July 24th, 2009 2:50 am

    mwanamme mweusi mi nipo kakangu, nilibanwa na kitabu lol! mbona husiwaze tonsils ziliniua ahahaa!

    Niko salama kabisa kakangu, asante kunikumbuka. intanet siku hizi nilikuwa napita speed kuona nini kimejili ila kuchangia mawazo ilikuwa vigumu sana.

    tupo wote blackmannen.

    kram

  8. Comment by k on July 24th, 2009 4:38 am

    Du, Huyu demu ni mzuri sana, mie nimempenda ghafla.

  9. Comment by chapombe on July 26th, 2009 7:55 am

    dina!ha mi namkumbuka,alivyokuwa chekechea alikuwa anapenda ubuyu.tena alikuwa fujo tupu
    bora siku hizi atublogue

  10. Comment by nanaa on July 26th, 2009 1:30 pm

    hajani cheni taiya mbaya ,unalakuandika bora nyamaza ok

  11. Comment by shawa metusane on August 3rd, 2009 6:45 pm

    Maoni yaliyotolewa na Kokusima mazuri. Kumkupa big up kwa sababu ni mhaya,ni haya kwa wenye haya. Kazi ya dada huyu haiwakilishi utamaduni wa wahaya. Ni umasikini wa mawazo kusifu watu kwa sababu ni wa kabila fulani. Kokusima fikiri vizuri zaidi.

  12. Comment by nonhle on September 11th, 2009 9:09 am

    U knw wt on ma syd ur k……….

  13. Comment by glory on January 23rd, 2010 10:22 am

    diner marios,u gud and nice looking girl.napenda kukucongratulate kwa kila ufanyacho na kuremind u that sio kila ufanyacho kizuri watu wote watapenda,some people are jeolous,live ur life na upende zaidi kazi zako na pia usimame kwny mawazo yako,lv u sister

Leave a Reply