Je imewahi kutokea ukahisi kukata tamaa ya kuishi kutokana na sababu mbalimbali za kimaisha? Yawezekana kabisa kwani huo ndio ukweli wa maisha.Kuna nyakati za furaha na kuna nyakati za kilio.Ndio maisha.
Ingawa maisha ndivyo yalivyo,siku zote tunashauriwa kutokukata tamaa.Tunaambiwa maisha ni mapambano na hivyo tuendelee kupambana daima. Mtu mmoja ameshawahi kuniambia kwamba katika dhambi kubwa ambazo binadamu anaweza kufanya hapa duniani,hakuna iliyozidi “kukata tamaa”.
Ujumbe kama huo hapo juu ndio uliomo katika wimbo mpya kutoka kwa Flora Mbasha. Ni wimbo wa ki-injili lakini ambao hauhitaji dini yeyote ili kupata ujumbe halisi uliomo.Wimbo unaitwa Usife Moyo. Karibu.
Audio clip: Adobe Flash Player (version 9 or above) is required to play this audio clip. Download the latest version here. You also need to have JavaScript enabled in your browser.
Feedback / Comments
13 Responses to ““USIFE MOYO”-FLORA MBASHA”
Leave a Reply


sending...
usife moyo bi MBISHI.maana maisha ni ubishi na mapambano.eh bi MBISHI.unaimba vizuri,wasaidie watu na maneno yako.yana UPENZI.mie si mbishi wa maisha,bali ni MBABE.makinigga
maisha ni ubishi na mapambano,kutoka kumani mpaka tufe,makinigga
maisha sumu,dawa UNAYO,uyazingatie,uiige,uyachague,na kuyapekuwa,kama vile kidole chapekua chawa.leza ankome.kifipa mungu aniafu.mark naaaiga
MAISHA LI ISHA,najaribu kutafasiri kia arabu.MAISHA LAZIMA UUISHI,kama wewe masikini,kiwete,kiziwi,mgono,mshenzi,msomi,mjinga,chizi,mmzuri,mnene,mwembamba mradi na kadhalika.markinniga
maisha tuishi sote na tofauti zote.markiniiga
maisha ni dhuluma,mbona mie masikini na wewe una pesa.makiniigga
MAISHA SUMU YAKE NI KIFO.je umeishii?pagumu hapo.makiniiga
teh! teh! marknigga bwana!
ovyoooooooooo sijui makiniga pumba tupu
makiniiga mbona unachemka hivyo maoni yote wewe mwenyewe halafu chamaana unacho ongea hakuna
Vipi? Unachuki binafsi na mwimbaji? Kujiaibi
sha hapa haitakusaidia. Unaonekana zuzu fulani hivi.
Get a lif man ….
am really touched with your songs they have great inspiring words, and the dance that i cant wait to dance to it….. Keep up the work I know am not the first to say this but its the first time to admit of a great singer…. Mungu na akupe ufunuo zaidi na zaidi ubarikiwe hadi ushangae…..