
Habari ambazo zimeingia punde na pia kupitia vyanzo mbalimbali vya habari vinapasha kwamba mfanyabiashara maarufu wa jijini Dar-es-salaam,Mohamed Mpankanjia maarufu kama Medi Mpakanjia, amefariki dunia hapo jana katika hospitali ya jeshi ya Lugalo jijini Dar-es-salaam.
Mohamed Mpakanjia alikuwa mume wa Marehemu Amina Chifupa,Mbunge kijana aliyefariki dunia miaka takribani miwili iliyopita katika mazingira ambayo yalikuwa ya kutatanisha.
Habari hii inaendelea na hivyo tutaendelea kukupasha kadri zinavyozidi kuingia.
Feedback / Comments
43 Responses to “MPAKANJIA AFARIKI DUNIA!”
Leave a Reply


sending...
Whaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaat what happened??? OOh my my huu mwaka!!!!
mapumziko ya millele umpe e Bwana, na mwanga wa milele umwangazie
Innalillahi wainna ilahii rajiuun
Mungu ailaze roho ya marehemu mahala pema peponi,amen
mungu ailaze roho yake mahali pema peponi na pia amsamee makosa yake katika mwezi huu mtukufu wa ramadhani AMEN
Poleni wafiwa wote kwa msiba mkubwa huu katika mwezi mtukufu wa Ramadhan, tujue ya kwamba Mungu alimpenda zaidi hata akaamua kumchukua mpendwa wenu. TUMUWEKE KATIKA MAOMBI AKALALE MAHALA PEMA PEPONI, AMEN.
Hakika sisi wote ni wa mwenyezi mungu na kwake tutarejea (Innalillah wa inaillaihirajiuun)
Mwenyezi Mungu amlaze mahali pema peponi, nasi tusijisahau kwani kila nafsi ni lazima itaonja mauti. Mbela yake nyuma yetu.
mungu ailaze roho ya marehemu mahali pema amina
Jamani poleni sana ndugu wa marehemu Meddy. Ni habari za kusitikitisha sana. Hata hivyo, sisi tunampenda lakini mungu amempenda zaidi. Jamani mtoto wao amekuwa yatima yaani inauma sana lakini yote ni ya mola ndiye mwenye maamuzi yote hayo. Mungu ailaze mahala pema peponi na akapumzike kwa amani. Sasa nae kwa nini alioa hiyo juzi wakati hali yake ilikuwa sio nzuri lakini hatumlalumu wala ni maamuzi yake.
BWANA AMETOA BWANA AMETWAA JINA LA BWANA LIHIMIDIWE,
Kilio changu ni kwa yule mtoto maskini alivyo mdogo inaniuma sana.
Mungu ampe nguvu na ujasiri katika maisha yake yote ameen
WOTE SISI NI WA MUNGU NA KWAKE TUTAREJEA
Bwana alitoa na Bwana ametwaa, Jina la Bwana Libarikiwe!
Oooohhhhhhhhhh my God! Ok hakuna jinsi zaidi ya kuamini kilichotokea.
Mungu ailaze roho ya marehemu mahala pema peponi,Amen
R.I.P!
this is a shock!pole to friends n family
ee mola muweke mahali pema panapomstahili
who is he?
bwana ametona na bwana ametwaa jina lake libarikiwe
unbeliverble???? mungu amjlie pumziko la milele AMINA.
mungu aiweke roho ya marehemu MPAKANJIA mahali pema peponi
AMENI
duniani sisi niwasafiri jamani hapatunapita tu ,inauma sana nikimfikilia mtoto wao sasa amekuwa yatima ,ila naimani mungu atamlinda na kila jambo mbele zamungu uwaanalipanga yeye ,kwaiyo ayonimaisha aliyompangia mtoto.
R.I.P bruh!!!!!!
duh maisha ndiyo yalivyo,mungu apumzishe roho yako peponi AMIN
its so sad for that little boy and lets pray for him to grow strong bado alikuwa anaitaji mapenzi ya mama na baba lakini yote ni mungu hamepanga nawapa pole sana familia ya marehemu mungu atawapa nguvu DUNIA TUNAPITA SOTE TUNAELEKEA HUKO YEYE AMETANGULIA MUNGU IWEKE ROHO YAKE MAHALI PEMA PEPONI AMENI
napenda kutoa pole kwa ndugu jamaa na marafiki wa karibu na familia ya marehemu
Mungu ailaze mahala pema peponi. Amina. NENO LASEMA ULIUMBWA UDONGO NAWE UTARUDI MAVUMBINI, ULIUMBWA MAJIVU NAWE UTARUDI KUWA MAVUMBI. WALIMPENDA ZAIDI ILA MUNGU KAMPENDA ZAIDI. NA SI TULIOBAKI TUJIANDAE KWA SAFARI YETU YA KUELEKEA MBINGUNI NJIA NI MOJA. AMINA.
MOA ALITOA, MOLA AMETWAA. APUMZIKE KWA AMANI, AMINA.
RIP
R.I.P Medy
sisi wote ni waja na njia hiyo hiyo tutarejea kwa mola wetu kwa njia hiyohiyo, mungu akulaze pema peponi.
Itz real sad but we have to accept! Inna allah waina illah rajun
jamani mungu ailaze roho yake mahali pema peponi bwana ametoa na bwana ametwaa jina la bwana libarikiwe
mmh kifo ni kifo tulikupenda lakin mmh wewe ulimtaka rafiki yangu tena sawa na mwanao ukatubu huko kama kuna kutubu.
R.I.P
innalilah wainna illah lajiunn,ewe mola umsamehe kiumbe wako na umrehemu,amini
Poleni sana ndugu wa Mpakanjia kwanimmepoteza kiungo muhimu kweni Mungu amempenda zaidi jina la Bwana lihimidiwe
alikuwa anaumwa nini?
Chapombe Tz watu hawaulizi hilo swali sawa? Wewe umeona mtu kauliza hilo swali..meaning kila mtu anajua but people dont talk about it..
poleni sana familia ya mpakanjia sisi sote tulimpenhda.lakini mungu alimpenda zaidi.mungu ailaze roho yake mahali pema peponi amina
sasa wewe SS inamaana huyu mpakanjiwa unasema alikuwa na miwaya?
poleni sana.bwana ametwaaa.
pole sana kwa familia,japo hatufahamu chanzo cha kifo chake