
Msomaji na mtembeleaji wetu mmoja,ameomba tumwekee hapa picha ya karibu(close-up) ya First Lady wetu,Mama Salma Kikwete.Msomaji huyo anasema tangu picha za Marais na viongozi wa nchi mbalimbali wakiwa na Rais wa Marekani Obama na mkewe Michelle Obama zitokee katika vyombo mbalimbali vya habari amekuwa akipata tabu na marafiki zake ambao wamekuwa wakimhangaisha kutaka kumuona First Lady wa Tanzania.Mama Salma Kikwete hakuwepo katika picha zile za viongozi mbalimbali na kina Obama.Msomaji/mtembeleaji wa BC,hiyo hapo juu ni picha ya karibu ya Our First Lady,Mama Salma Kikwete.
Page 1 of 3 | Next page