MY TANZANIA   |   PLACES TO GO   |   MEDIA   |   ONLINE ENTERTAINMENT    

illuminatabc

Kwa mara pili,Illuminata James,anapata nafasi ya kuiwakilisha Tanzania katika medani ya kimataifa ya masuala ya urembo.Safari hii anaelekea nchini China kushiriki katika shindano la Miss International 2009 linalotarajiwa kufanyika tarehe 28 mwezi huu.

Illuminata amepata nafasi hiyo baada ya aliyekuwa aiwakilishe Tanzania,Hidaya Maeda,kushindwa kufanya hivyo kutokana na sababu za kiafya.

Kama utakumbuka,Illuminata ndiye aliyeiwakilisha Tanzania katika shindano la Miss Universe lililofanyikia Bahamas.Kwa bahati mbaya,hakufua dafu.Bila shaka atakwenda kutumia uzoefu alioupata katika Miss Universe ili kuleta ushindi kutoka Miss International 2009.Kila la kheri.

Share and Enjoy:
  • Digg
  • Sphinn
  • del.icio.us
  • Facebook
  • Mixx
  • Google Bookmarks
  • email
  • LinkedIn
  • Live
  • Spurl
  • Technorati
  • Yahoo! Buzz
  • YahooMyWeb

Feedback / Comments

15 Responses to “ANOTHER CHANCE FOR ILLUMINATA!”

  1. Comment by Lynn on November 12th, 2009 1:35 am

    Gooooo Girl.

    I salute you!!!

  2. Comment by Flora on November 12th, 2009 2:26 am

    I have no hope

  3. Comment by kamanzi on November 12th, 2009 5:55 am

    Watanzania acheni wivu. Kwa mara ya kwanza Miss wa ukweli kapatikana Tanzania halafu mnambania comments zenu. Wivu utawauenu huo ohooo. Si afadhali mjisifie hawa manake hakuna kingine chakujisifia kama uchumi sifuri, siasa sifuri kila kitu sifuri tupu. Ila dada nanihii uwe unavaa nguo sio unajibandika full waziwazi namna hiyo allah

  4. Comment by KICHEFUCHEFU on November 12th, 2009 2:19 pm

    …Ni mzuri……ingawa kuna watu amabao huponda kila kitu….na kila mtu….kweli ni mzuri…..Kila la kheri!

  5. Comment by micharuko on November 13th, 2009 3:15 am

    ziro ziro, hamna kito apo. tz tukiwa ndo tumeamka na kutafuta miswaki ilipo wenzetu wamefika chalinze

  6. Comment by Dhomies on November 13th, 2009 5:31 pm

    Hapo tumeshapigwa 3-0!!

  7. Comment by Saadik on November 14th, 2009 12:37 pm

    Hapa mie sikioni hicho kiachopigiwa makelele na kuwa gumzo ,labda sasa tuseme watu wengi hapa Tz akili zao zimeanza kuathirika na Global W.

  8. Comment by Simon Kitururu on November 15th, 2009 10:36 am

    Kila la KHERI!

  9. Comment by eva on November 16th, 2009 1:08 pm

    she is cute, you go girl

  10. Comment by Steven Biko on November 17th, 2009 4:31 am

    Best of her!

  11. Comment by Steven Biko on November 17th, 2009 4:35 am

    She is cute, i foresee her being the world winner!

  12. Comment by ABA on November 18th, 2009 2:35 am

    kwani wa warembo wameisha bongo huyo ameshachemsha tusker hana kitu

  13. Comment by ABA on November 18th, 2009 2:39 am

    kama sura ndo urembo tumeshakosa nyie vp?

  14. Comment by tulakhana on November 24th, 2009 6:55 am

    Wacheni wivu wabongo,kwani jukumu la kuwapata warembo nilanani?anzisheni mashindano yenu muwatafute mnaodhani wanafaa.Afrika inanchi ngapi?na nchi ngapi za Afrika zimeshiriki au mlitaka tusishiriki kama miaka ya themanini kurudi nyuma ambayo hata baadhi ya mawaziri wa ulaya walikua hawajui kama kuna sehemu duniani inatwa Tanzania.kama hamjui kusifia chakwenu huo ni ushamba na lengo kuu ni kuitangaza nchi kwa maslahi ya wananchi katika swalazima la utalii wa nje .All the best garl.

  15. Comment by Sisi on November 28th, 2009 3:09 pm

    Ni mzuri ila kushinda sijui..nyie mnaosema watu wasitoe ´negative comments´nyie ndio washamba..dunia ya leo ni kuwa na ´own opinion sio kwenda na mto sawaß So kama mtu anaona huyo dada hafai well n good that is her or his opinion that is all..tujifunze TO AGREE TO DISAGREE

Leave a Reply