MY TANZANIA   |   PLACES TO GO   |   MEDIA   |   ONLINE ENTERTAINMENT    

Young d

Anajulikana kwa jina la Young D.Inasemekana ndiye hip-hop artist mdogo kupita wote nchini Tanzania.Tarehe 23 mwezi ujao(December) atafikisha miaka 17.Nimeweka neno ‘inasemekana” kwa sababu naamini wengine pia wapo ila huenda suala zima la “kujulikana na kukubalika” ndilo linalowaweka nyuma ya pazia.

Hivi karibuni kulikuwa na “ubishi” kwamba nani anamuandikia mashairi yake.Aliongea na Bongo5 na kuweka mambo wazi kwamba yeye anaandika mwenyewe tungo zake.Msikilize Young D hapo chini katika wimbo Teacher.

Audio clip: Adobe Flash Player (version 9 or above) is required to play this audio clip. Download the latest version here. You also need to have JavaScript enabled in your browser.

Photo/bongo5

Share and Enjoy:
  • Digg
  • Sphinn
  • del.icio.us
  • Facebook
  • Mixx
  • Google Bookmarks
  • email
  • LinkedIn
  • Live
  • Spurl
  • Technorati
  • Yahoo! Buzz
  • YahooMyWeb

Feedback / Comments

12 Responses to “BONGO YOUNGEST MC!?”

  1. Comment by kaijage on November 16th, 2009 2:17 pm

    je kaimba mziki gani? tuwekee kazi yake tuisikilize sio mnaweka maneno tuu

  2. Comment by Connie on November 17th, 2009 9:32 am

    Kwakweli huyu mtotoni mkali sana. Ni mwana hip hop wa ukweli. Namkubali sana. Keep it up dogo.

  3. Comment by kamanzi on November 17th, 2009 7:38 pm

    Hebu kazania masomo wewe dogo usije ukadhani maisha ni hip hop na kuuza sura. You are too young to do this shit. kama unaweza kubalance sawa ila ninavyojua mimi wengi kwa mfano chekibobu BLU wameshindwa kufanya hivyo

  4. Comment by mare on November 17th, 2009 7:45 pm

    big up kwa kweli aisee we mkaliiiiii

  5. Comment by ireen on November 18th, 2009 2:08 am

    aisee huyu mtoto nomaaaaaaa namkubali kwa sana tu, ila asisahau masomo

  6. Comment by reginald lucas on November 18th, 2009 2:19 am

    Kusema kweli Dogo ni mkali sana,Siyo vibaya kufanyia kazi kipaji chako wakati unasoma,jitahidi usikatiswe tamaa dogo.

  7. Comment by mr degree on November 18th, 2009 12:10 pm

    aliwahi kuulizwa kama ana demu? akajibu hiyo ni sri na hawezi kuiweka hadharani, kwa jibu hilo inaonyesha wazi keshaanza ngono huyo mtoto!halafu sisi tunamshangilia na kumuita mkali.sijui tuna matatizo gani waafrika! mtotto anapotea sisi tunamuita mkali?

  8. Comment by hotcake on November 26th, 2009 3:39 am

    kuhusu mapenz kila m2 anahaki yake ww unashangaa 17 kuwa kuwa na mpenz wkt nw dyz w2 wana anza wakiwa prmry xkul sembuse yy kamalza sec xkul cha msingi ajipange 2 acjekuharibu

  9. Comment by chapombe on November 26th, 2009 10:15 am

    kaka siku hizi mambo ndo hayo,watoto wanaanza kungonoka mapema.huku kijijini kwetu watoto wa umri huo wengine wana watoto wenzao.hapa tu tumwombe mungu.

  10. Comment by Anti-Pharesee on November 26th, 2009 2:23 pm

    Wee bongo celebrity we unapo promote undeage kids kuwa mastaa hauoni ni noma, au tanzania hakuna sheria za child labor? usibanie hii

  11. Comment by jos sbm nako on December 3rd, 2009 9:02 am

    duu ebwana mwanangu d we kaza buti coz ndo kipaji one love am jos yo real nigga

  12. Comment by Dandyboy on January 13th, 2010 9:30 am

    mwanangu hicho kibamba kikali kilete mombasa wenzangu waskize… kazi nzuri mtu wangu, big-up

Leave a Reply