<?xml version="1.0" encoding="UTF-8"?><rss version="2.0"
	xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"
	xmlns:dc="http://purl.org/dc/elements/1.1/"
	xmlns:atom="http://www.w3.org/2005/Atom"
	xmlns:sy="http://purl.org/rss/1.0/modules/syndication/"
		>
<channel>
	<title>Comments on: “VIJANA WAHESHIMU SOKA KAMA KAZI ZINGINE”-MACHUPA</title>
	<atom:link href="http://www.bongocelebrity.com/2009/11/24/%e2%80%9cvijana-waheshimu-soka-kama-kazi-zingine%e2%80%9d-machupa/feed/" rel="self" type="application/rss+xml" />
	<link>http://www.bongocelebrity.com/2009/11/24/%e2%80%9cvijana-waheshimu-soka-kama-kazi-zingine%e2%80%9d-machupa/</link>
	<description></description>
	<lastBuildDate>Sat, 11 Feb 2012 15:21:30 +0000</lastBuildDate>
	<sy:updatePeriod>hourly</sy:updatePeriod>
	<sy:updateFrequency>1</sy:updateFrequency>
	<generator>http://wordpress.org/?v=3.3.1</generator>
	<item>
		<title>By: Moses Mlengera</title>
		<link>http://www.bongocelebrity.com/2009/11/24/%e2%80%9cvijana-waheshimu-soka-kama-kazi-zingine%e2%80%9d-machupa/comment-page-1/#comment-96844</link>
		<dc:creator>Moses Mlengera</dc:creator>
		<pubDate>Sat, 06 Nov 2010 17:32:29 +0000</pubDate>
		<guid isPermaLink="false">http://www.bongocelebrity.com/2009/11/24/%e2%80%9cvijana-waheshimu-soka-kama-kazi-zingine%e2%80%9d-machupa/#comment-96844</guid>
		<description>Hongera Dr. Jakaya Mrisho Kikwete kwa kushinda nafasi ya Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa awamu ya pili.
Mungu akujalie afya njema na nguvu tele ili uweze kuwatumikia watanzania kwa uwezo wako wote.
KIDUMU CHAMA CHA MAPINDUZI.

Moses M. Mlengera
Box 3003, Morogoro.
mlengera@yahoo.com</description>
		<content:encoded><![CDATA[<p>Hongera Dr. Jakaya Mrisho Kikwete kwa kushinda nafasi ya Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa awamu ya pili.<br />
Mungu akujalie afya njema na nguvu tele ili uweze kuwatumikia watanzania kwa uwezo wako wote.<br />
KIDUMU CHAMA CHA MAPINDUZI.</p>
<p>Moses M. Mlengera<br />
Box 3003, Morogoro.<br />
<a href="mailto:mlengera@yahoo.com">mlengera@yahoo.com</a></p>
]]></content:encoded>
	</item>
	<item>
		<title>By: christopher</title>
		<link>http://www.bongocelebrity.com/2009/11/24/%e2%80%9cvijana-waheshimu-soka-kama-kazi-zingine%e2%80%9d-machupa/comment-page-1/#comment-75971</link>
		<dc:creator>christopher</dc:creator>
		<pubDate>Fri, 27 Aug 2010 07:35:43 +0000</pubDate>
		<guid isPermaLink="false">http://www.bongocelebrity.com/2009/11/24/%e2%80%9cvijana-waheshimu-soka-kama-kazi-zingine%e2%80%9d-machupa/#comment-75971</guid>
		<description>hongera sana machupa,niliyategemea hayo tokea wakati unachezea simba kwa kuwa uwezo wako ulukuwa juu.endelea juu na mungu akupe nguvu ili siku moja uwasaidie vijana wanaochipukia..............nakumbuka sana goli ulilofunga wakati wa mechi ya yanga baada ya kukimbilia mpira ukiwa na salum swedi ukamfinya na kipiga kiki iliyozaa bao pekee kwa simba .</description>
		<content:encoded><![CDATA[<p>hongera sana machupa,niliyategemea hayo tokea wakati unachezea simba kwa kuwa uwezo wako ulukuwa juu.endelea juu na mungu akupe nguvu ili siku moja uwasaidie vijana wanaochipukia&#8230;&#8230;&#8230;&#8230;..nakumbuka sana goli ulilofunga wakati wa mechi ya yanga baada ya kukimbilia mpira ukiwa na salum swedi ukamfinya na kipiga kiki iliyozaa bao pekee kwa simba .</p>
]]></content:encoded>
	</item>
	<item>
		<title>By: Titi</title>
		<link>http://www.bongocelebrity.com/2009/11/24/%e2%80%9cvijana-waheshimu-soka-kama-kazi-zingine%e2%80%9d-machupa/comment-page-1/#comment-67328</link>
		<dc:creator>Titi</dc:creator>
		<pubDate>Thu, 22 Jul 2010 10:19:16 +0000</pubDate>
		<guid isPermaLink="false">http://www.bongocelebrity.com/2009/11/24/%e2%80%9cvijana-waheshimu-soka-kama-kazi-zingine%e2%80%9d-machupa/#comment-67328</guid>
		<description>Ongera sana machupa,songa mbele usigeuke nyuma onyesha mfano na wengene watafuata kwani maisha ni kujituma na ni popote,litangaze jina la nchi yetu,miaka ya mbeleni na sisi tuwemo kwenye kombe la dunia mungu mkubwa.keep it up</description>
		<content:encoded><![CDATA[<p>Ongera sana machupa,songa mbele usigeuke nyuma onyesha mfano na wengene watafuata kwani maisha ni kujituma na ni popote,litangaze jina la nchi yetu,miaka ya mbeleni na sisi tuwemo kwenye kombe la dunia mungu mkubwa.keep it up</p>
]]></content:encoded>
	</item>
	<item>
		<title>By: mr degree</title>
		<link>http://www.bongocelebrity.com/2009/11/24/%e2%80%9cvijana-waheshimu-soka-kama-kazi-zingine%e2%80%9d-machupa/comment-page-1/#comment-30930</link>
		<dc:creator>mr degree</dc:creator>
		<pubDate>Wed, 25 Nov 2009 19:26:51 +0000</pubDate>
		<guid isPermaLink="false">http://www.bongocelebrity.com/2009/11/24/%e2%80%9cvijana-waheshimu-soka-kama-kazi-zingine%e2%80%9d-machupa/#comment-30930</guid>
		<description>hawa jamaa wakati wanaanza kucheza mpira walikua wakubwa kiumri kuliko mimi!kwa mfano jana nimeona boban ananadiwa kwenye mtandao wa klabu yake kama kijana mwenye kipaji kutoka Tanzania na ana miaka 22!nikajiuliza 22?jana nilitafakari sana kwa kweli, maana yeye alikua mkubwa kuliko mimilakini ghafla nimempita umri! labda wataalam wa masuala ya ukuaji wa binadamu wanisaidie mimi nina matatizo gani mpaka nakua haraka kiasi cha ku-overtake umri wa wakubwa zangu! any way kila la heri mzee machupa!</description>
		<content:encoded><![CDATA[<p>hawa jamaa wakati wanaanza kucheza mpira walikua wakubwa kiumri kuliko mimi!kwa mfano jana nimeona boban ananadiwa kwenye mtandao wa klabu yake kama kijana mwenye kipaji kutoka Tanzania na ana miaka 22!nikajiuliza 22?jana nilitafakari sana kwa kweli, maana yeye alikua mkubwa kuliko mimilakini ghafla nimempita umri! labda wataalam wa masuala ya ukuaji wa binadamu wanisaidie mimi nina matatizo gani mpaka nakua haraka kiasi cha ku-overtake umri wa wakubwa zangu! any way kila la heri mzee machupa!</p>
]]></content:encoded>
	</item>
	<item>
		<title>By: BLACKMANNEN</title>
		<link>http://www.bongocelebrity.com/2009/11/24/%e2%80%9cvijana-waheshimu-soka-kama-kazi-zingine%e2%80%9d-machupa/comment-page-1/#comment-30879</link>
		<dc:creator>BLACKMANNEN</dc:creator>
		<pubDate>Wed, 25 Nov 2009 03:56:36 +0000</pubDate>
		<guid isPermaLink="false">http://www.bongocelebrity.com/2009/11/24/%e2%80%9cvijana-waheshimu-soka-kama-kazi-zingine%e2%80%9d-machupa/#comment-30879</guid>
		<description>Mimi ninafurahi sana ninapowaona vijana wetu wakipata nafasi za kucheza mpira nchi za nje, kama tunavyowaona Machupa, Boban na Kaniki.

Watanzania tumezoea kucheza mpira &quot;MIDOMONI&quot; mwetu. Sasa, Watanzania hawa watakaporudi nyumbani, watatusaidia sana kuibadirisha sura ya soka letu, kwa kuwa watapata elimu ya nje ya kucheza mpira wa kweli bila ya porojo nyingi.

Pia kwa vile wanatufahamu vyema tulivyo na imani zetu za giza, katika mambo ya mpira. Nina hakika watatusaidia kutuondolea au kutushawishi tuachane na imani za aina hiyo.

Ombi langu kubwa kwa &quot;Wataalamu&quot; wetu hawa, ni kwamba, wanapokuja nchi za watu waje na nia ya kujifunza kile kilichowaleta kwa manufaa yao na sisi Watanzania. Mishiko ya &quot;nguvu&quot;, wanayopewa katika mikataba yao na timu zinazowachukua, isiwafanye wawe na &quot;macho miamia&quot; kwa mali za watu, kwa vitu vyote ving&#039;aavyo.

Ni rahisi sana kujikuta ukinawishwa mpira au kitumbua chako kumwagiwa mchanga kama tulivyoona kwa jirani yetu kutoka Congo &quot;Yannick Bapupa&quot;. Mtego ulikuwa ni rahisi sana, na sasa kwake vyote alivyovipanga vimekuwa ni histora tu. Tujiheshimu.

It&#039;s Great To Be Black=Blackmannen</description>
		<content:encoded><![CDATA[<p>Mimi ninafurahi sana ninapowaona vijana wetu wakipata nafasi za kucheza mpira nchi za nje, kama tunavyowaona Machupa, Boban na Kaniki.</p>
<p>Watanzania tumezoea kucheza mpira &#8220;MIDOMONI&#8221; mwetu. Sasa, Watanzania hawa watakaporudi nyumbani, watatusaidia sana kuibadirisha sura ya soka letu, kwa kuwa watapata elimu ya nje ya kucheza mpira wa kweli bila ya porojo nyingi.</p>
<p>Pia kwa vile wanatufahamu vyema tulivyo na imani zetu za giza, katika mambo ya mpira. Nina hakika watatusaidia kutuondolea au kutushawishi tuachane na imani za aina hiyo.</p>
<p>Ombi langu kubwa kwa &#8220;Wataalamu&#8221; wetu hawa, ni kwamba, wanapokuja nchi za watu waje na nia ya kujifunza kile kilichowaleta kwa manufaa yao na sisi Watanzania. Mishiko ya &#8220;nguvu&#8221;, wanayopewa katika mikataba yao na timu zinazowachukua, isiwafanye wawe na &#8220;macho miamia&#8221; kwa mali za watu, kwa vitu vyote ving&#8217;aavyo.</p>
<p>Ni rahisi sana kujikuta ukinawishwa mpira au kitumbua chako kumwagiwa mchanga kama tulivyoona kwa jirani yetu kutoka Congo &#8220;Yannick Bapupa&#8221;. Mtego ulikuwa ni rahisi sana, na sasa kwake vyote alivyovipanga vimekuwa ni histora tu. Tujiheshimu.</p>
<p>It&#8217;s Great To Be Black=Blackmannen</p>
]]></content:encoded>
	</item>
</channel>
</rss>

<!-- Performance optimized by W3 Total Cache. Learn more: http://www.w3-edge.com/wordpress-plugins/

Page Caching using disk: enhanced

Served from: www.bongocelebrity.com @ 2012-02-12 05:55:32 -->
