
Ijumaa hii katika ukumbi wa Mlimani City,ni kivumbi na jasho.Mrembo wa Afrika Mashariki atakuwa akitafutwa. Zawadi kuu ni Toyota Celica Sports kama inavyoonekana pichani juu na huku warembo wanaowania taji hilo wakiwa wamelizunguka.
Nani atalinyakua gari hilo?Hilo ndilo swali la msingi. Kwa picha zaidi za warembo hao,na habari zaidi kuhusu tukio hili,bonyeza hapa.
Page 1 of 3 | Next page