Movie inaitwa Legion. Mungu amekosa imani na wanadamu.Anatuma malaika kuja kuiangamiza dunia. Starring Paul Bettany, Dennis Quaid,Lucas Black,Tyrese Gibson etc.Imeongozwa na Scott Stewart
Movie inaitwa Extraordinary Measures: Ni kisa cha kweli kinachowahusu wazazi John na Ailleen Crowley ambao wanajitolea kudhamini utatutwaji wa tiba kwa ugonjwa wa nadra ambao unawateketeza watoto wao wawili.Movie nzuri sana hii kwa wazazi.Starring Harrison Ford,Brendan Fraser, Courtney B.Vance nk.Imeongozwa na Tom Vaughan
Feedback / Comments
Leave a Reply

