
Mabingwa wa Ligi ya mpira wa kikapu nchini Marekani(mara nyingi hujiita World Champions) kwa mwaka wa 2009,L.A.Lakers,jana walitembelea White House.
Pichani ni manahodha wa L.A.Lakers,Kobe Bryant na Derick Fisher(mbele karibu na Rais Barack Obama) wakimkabidhi jezi na mpira. Rais Obama sio tu ni mpenzi mkubwa wa mpira wa kikapu bali ni mchezaji mzuri wa mchezo huo.Are you an L.A.Lakers fan?
Page 1 of 3 | Next page