
Anaitwa Irene Sporah Njau, ni mtangazaji wa Kipindi cha Sporah Show ambacho kinazidi kujipatia umaarufu na mashabiki.Lakini Sporah ni nani,ametokea wapi,ana malengo gani na ni kwanini anafanya anachokifanya? Ili kupata majibu ya maswali hayo na mengineyo bonyeza hapa kutembelea Spoti Starehe ili kucheki mahojiano kamili.
Feedback / Comments
4 Responses to “FROM THE SPORAH SHOW…”
Leave a Reply


Sijui kaletwa kwa ajili ya nini binti huyu. Kutangaza alichonacho nyuma?
This is Black=Blackmannen
Jamani sasa huu siuchokozi, kabinti kazuri jamani, mi mnanitempt mwenzenu, haya basi ngoja tu niseme.
SHE IS VELE BIUTIFULI
Tupe basi full introduction ya huyu Dada.Na je ameolewa?
I Like her Tv Show