Hey what’s up everybody! I thought the Producers in Tanzania have improved a lot but I guess I was wrong! Two and Half years ago, I made a beat and named it Block Running, I sold it to one of the Label called Koch Entertainment of New York with an agreement that wherever this beat goes my name gotta  be there as a beat maker of this beat. Two days ago I was shocked when one of my friends from Tanzania sent me a song with the same beat I made 2 and half yrs ago! And I didn’t hear my name on the track. All I heard is Marco Chali.

So I called Koch Entertainment to ask what’s going on. Koch Entertainment management were so surprised to hear the news. So they told me to send the song to them and I did, they asked me if I ever sent the beat to MJ Records of Dar-es-salaam, Tanzania. I told them I never did but had put the beat on iTunes so people can buy and use it for promotions and not for any other type of business. But MJ Records used the beat without permission from Koch Entertainment and also they didn’t follow the agreement we signed that wherever this beat goes my name gotta be there as a beat maker!

I don’t have any rights of complaining this issue to MJ Records that why my name wasn’t on the song as a beat maker. All I will do is to take Koch Entertainment to court and they will deal with MJ Records. The only thing I am gonna deal with is if MJ Records bought this beat from iTunes. If they did why they used it for the business!!?

I put the song which Producer Marco Chali of MJ Records produced last year and my beat I made 2 and half years ago so you guys can compare and tell me if this beat is the same or not the same.Thanks.

Stiggo Ibrahim,

S&S Records-NY

Quick Rocka Ft QJ-Bullet

Audio clip: Adobe Flash Player (version 9 or above) is required to play this audio clip. Download the latest version here. You also need to have JavaScript enabled in your browser.

S&S Records & Koch Ent.

Audio clip: Adobe Flash Player (version 9 or above) is required to play this audio clip. Download the latest version here. You also need to have JavaScript enabled in your browser.

BC is trying to reach MJ Records for their comment.Stay Tuned.

Feedback / Comments

79 Responses to “OPEN LETTER FROM STIGGO IBRAHIM(S&S RECORDS)”

  1. Comment by Shan on March 3rd, 2010 10:47 pm

    Thats crazy…….huyo so called Marco Chali ameiba kwa kutotumıa akili

  2. Comment by Sakina Abdul on March 4th, 2010 3:43 am

    Jamani mbona aibu!!!

  3. Comment by wakuru on March 4th, 2010 4:08 am

    Who cares Niga wee handle your business privately kama una sue na utaalipwa je utatutangazia? na watanzania ambao hawajui copyrights kazi kwenu

  4. Comment by Jimmy on March 4th, 2010 7:06 am

    Siwezi kushangaa kusikia beats zinamfanano wa hali flani.Me naona hakuna wa kulaumiwa coz sio vyote vilivyofanana kwenye hizo beats,i think ni ideas za baadhi ya vionjo kufanana.Big-up Marco Chali!

  5. Comment by horombo on March 4th, 2010 7:08 am

    uu ni ushezi tena maproduza wengi feki kwa ujumla ni ma feck us niggaz they dont have talent kazi kuiga tu nikiwakamata ntawa.. wote wanaoiga ni ma.. the only producer wa ukweli bongo ni lindu mzee wa midundo anapiga beat aibu.

  6. Comment by joh on March 4th, 2010 7:58 am

    we bwana stigo kwanza hujui kutengeneza bit that much my friend..usidai bongo hatujui tunachofanya wewe. hivi umefanya nini kwa album ya sugu? umejiskiza takataka uliyofanya? afu kwa kile ulichofanya unajiita producer? hata kama sugu alikulazmisha kufanya bit mbovu na za kizamani namna ile, but the idea ya wewe kuchinja mziki na kuutoa damu kama vile ina maana hujui utendalo na huna focus. kama una tatizo na kuibiwa bidhaa yako thats a probable cause acording to the law,pursue ur ryt..but DO NOT DISCREDIT PRODUCERS WA TZ,cos ur not half good hata ukienda course or internship def jam,zone 4,roca fella ama Mosley group..ur not that good. jamani naomba mkaskize albamu ya sugu ndo mtajua huyu stigo ni nani,pleeeeze naomba msijibu na kusema bongo hatujui. Album ya sugu ni mbayaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa hata zile bit zake za fm studio zilikua poa. Na stigo ndo katengeneza yotee tena yupo proud. Samahani stigo but U DONT KNOW

  7. Comment by Hailey on March 4th, 2010 10:20 am

    Hahaha This is called Plagiarism.If your palgiarize which means your kidnaping and stealing others hard work and intellectaul property,in public is dishonest.those copy paste editing other people work all are “Ufisadi” stealing.Frankly you wouldn’t want some one stealing your hard work intentionally or unintetionally period!!!
    But Bongo no wonder even there’s new Movie coming tittle “This is it!!!!”

  8. Comment by Shan on March 4th, 2010 11:08 am

    Well sidhani kama Stiggo ana akiki mbovu kuanza kukurupuka tu na kusema beaT yake..atakuwa ana vıelelezo vyake then with Marco challı anajulıkana bıngwa wa kucopy na kupaste….tracks nyıngı ndo mchezo wake…cha msıngı wakubalıane yaıshe..

  9. Comment by skywalker on March 4th, 2010 11:49 am

    Haki ya Mungu kama Koch Entertainment waliikubali hiyo beat ya Stiggo m sure mimi, nah reel, luch, Duke au Bano we will make a lot of money tukipata tht chance. Kiukweli hiyo beat ya stiggo ni ya kiwango cha mtu ambaye ndo anaanza kujifunza kutengeneza beats. Beat ina hiyo string ya Roland tu imeisha? Kumbe kuishi nje si lolote! Bongo kuna professional producers bro m proving stigo wrong. Marco ni mkali aiseeeee

  10. Comment by fettysley on March 4th, 2010 12:13 pm

    Very pole stigo kwa kuibiwa bt the guy anajua saaaana kuichangamsha bit coz yako imepooza n bullet imechangamka sana, hata hivyo marco took the base from ur beat

  11. Comment by Sakina Abdul on March 4th, 2010 2:15 pm

    Jamani kumbukeni Jamaa katengeneza hii beat miaka miwili na nusu iliyopita!!,Makochali kaitengeneza mwaka jana,halafu siku zote mtu anayeanzisha huwa hufikilia sana kuliko anayeendeleza,ukitaka kulinganisha chukua beat ya 2007 ya makochali ndiyo ufananishe na hii,mi nafikili kwa wakati ule beat ilikuwa kali sana!,Kweli si wabongo ni Mambumbu sana!!,hata hatufikilii!!

  12. Comment by Seleman on March 4th, 2010 2:39 pm

    Chukua magari mawili the same brand,la mwaka 2007 na la mwaka 2010 lipi litakuwa zuri zaidi na lina vitu more better,Kisha utapata jibu lako wewe unayelinganisha hizi beat kwamba ya nani ni kali,

  13. Comment by Realistic on March 4th, 2010 6:41 pm

    Well, the whole thing is a long shot and doesnt hold a ground. Quit the drama and go back make another beat to prove your point. The bullet the bullet beat has so many cosmetics while yours is basically simple. I feel you man but as a hustler, go back and make a hit to settle the story straight. Next time be careful man, the world is unfair with no conscience. Thats why the world needs JESUS>>>>>

  14. Comment by sugu on March 5th, 2010 1:20 am

    wewew kaka hapo juu unayejiita JOH pamoja na mwenzio sijui ndo wewwe mwenyewe SKYWORKER
    ok tumekusikia una uwezo wa kutengeneza beat….unajua ni rahisi sana kusema kama oooh natengeneza beat mbona hatuzisikii…??? acahana na hayo ooh mi najua who cares….
    this discussion is not abt najua kutengeneza or what?? this discussion is about somebody stealing somebodyz work!!! get real!!
    unavyoongelea ooh nje hakuna lolote wot the fuck do u know abt here?? enh??? u don even knw how 2 make beats…!!
    stiggo is a long time producer he knows what he is doing….huyo marco chali ameiga…he should get responsibility on that…not kutetea uozo…ndo mana hamuendelei!!!

  15. Comment by sugu on March 5th, 2010 1:30 am

    na unavyoongelea watu wa nje hawajui ki2…ndugu yangu…punguza hasira…!! kwann mna hasira na watu waliokuwa nje?? kama wamewapita si mkubaliane na facts tu jamani…??hasira za nini lakini?? wabongo hawajui kurap bwana tuwe wakweli…kuna jamaa huku anaitwa WAKAZI anajua sana kurap….utaniambia nini?? kama huyo so called Marco chali ameiga he has 2 be told..kama wewe ndo marco chali au mpambe wake habari ndo hiyo…inaboa m2 kuiga ki2 ambacho mwenzake amekitolea jasho mann no matter what!!

  16. Comment by maqmie on March 5th, 2010 1:34 am

    kama angekua anajua asingeiga bwana…guyz stop hatin….huko ni kuhate tu!! u can never get away with stealing somebodys beat!!
    na aliyeimba hata english hajui…eti i gat my BURRET….damn….is that how bongo ppl speak…thts so shameful…m sorry but…u guys have 2 stop hatin on ppl who are in states or abroad!! they are waay better than u in so many things

  17. Comment by Gilbert Jonathan on March 5th, 2010 3:52 am

    I cant say its plagiarism but it is knocking off our socks to hear Marco Elieza Chali`s beat rolling up like that, IT CAN`T BRING A SENSE TO THE INTELLECTUALS THAT IF A TRACT HEATS IS WHERE COMPARISON ARISES AND WHEN THE TRACT IS UNSOUND NOTHING IS REPORTED,SHIDA NI MARKET ?. STIGGO MAY U UNDERSTAND THAT THERE PEOPLE WHO ARE BETTER FOR IMPROVING. IPOTEZEE JARIBU GAME JINGINE.

  18. Comment by brown on March 5th, 2010 9:41 am

    The beat is essentially the same, what Marco Chali did was just change the sounds of the instruments but the melodies are the same. Its like one person playing a melody with a guitar and another one playing the same melody using a piano. At the end of the day you are still playing the same thing. I hope you get what rightfully yours Stigo. It is a shame that this type of stuff happens all the time in the music business

  19. Comment by John Samuel on March 5th, 2010 10:22 am

    http://www.youtube.com/watch?v=BHi8zebYWYI
    Hii ndiyo nyimbo mnayoitetea!!! kila kitu cha wizi katika nyimbo hii kuanzia Hook,Style Mpaka Beat !!!!,lol

  20. Comment by perfect stranger on March 5th, 2010 10:37 am

    huyo marco challi kama ni mchaga basi atakua kaiba kweli hiyo biti!

  21. Comment by skywalker on March 5th, 2010 10:01 pm

    Ohh i can see this discussion is now going too emotional. Anyways truth heart always so kama Sugu maneno ya Joh yamekuuma i dont care! Ukisema wabongo hawawezi kurap nakufananisha na mfa maji ambaye hakosi kutapa tapa. Bongo inahitaji modern hippop na swagga za kijanja si rap ya mwaka 1990s man. Kama huwezi kuendana na mabadiliko hayo ya muziki Bongo, kula za uso kwenye show zako si jambo la kuuliza. Wake it up bro!

  22. Comment by skywalker on March 5th, 2010 10:13 pm

    I mean truth hurts always

  23. Comment by John Samuel on March 6th, 2010 9:21 am

    VETO is TRU hip hop not Fake ass hip hop like these new mcs

  24. Comment by Mponjoli on March 6th, 2010 7:15 pm

    I am open on what I want to say and I mean everything that I am going to say….

    Nadhani hii ni tabia tu ya maprodyuza ambao wengi wao ni wavivu kujifunza vitu vipya!

    Kwani hata kile kinanda cha wimbo wa Kilosa (ambao ni collable ya wanamuziki wengi tu) kimeibwa kutoka kwenye wimbo wa Andrea Bocelli unaoitwa con te partiro!!!

    Anayebisha acheki tu kwenye you tube! Wimbo ni maarufu una hit 5,818,373 views!!!

    When you go out and steal other people’s work, however bad or good they are, you prove yourself to be non-creative, dependent, not trustworthy, lying prick!!! Your artists may not know that you lied to them, but time will let them know, and you’ll never have their trust anymore!

    Grow up!!!

  25. Comment by Gift on March 7th, 2010 2:31 am

    mi nafkiri hapa swala sio stigo hajui wala sugu hajui,swala ni mtu kuiba beat no matter nzuri au mbaya.na from what i know km hiyo beat ingekuwa mbaya i dont think the guy angeiiba,So Marco please mtafute stigo muelewane otherwise hatuwezi kuendelea kwa staili hii na ili tuendelee we need to work as a team,
    cheers

  26. Comment by Gift on March 7th, 2010 2:34 am

    Big up S&S records and all wabongo wanaowakilisha New York, Shakaboy are you there?

  27. Comment by skywalker on March 7th, 2010 3:46 am

    Mponjoli uko deep bro

  28. Comment by mzuka boy on March 7th, 2010 9:22 pm

    kuna mtu amegusia kuhusu WAKAZI hapo juu ni kweli jamaa yupo ughaibuni na nimeona ameliongelea hili swala kwenye facebook pia, itabidi nifanye kama marco chali ni kocpy na kupaste muone maoni yake.

  29. Comment by mzuka boy on March 7th, 2010 9:28 pm

    DUUU HII SOO. BUT THIS IS NOT THE FIRST TIME IT HAPPENS. KUGEZA MAJINA, WATU KIBAO WANAFANYA HIVYO

    SNOOP LEE – SNOOP DOGG
    BIG BOSS – RICK ROSS
    ROCKA – ROCKO
    BEEZY – A MILLION BEEZYS
    LADY JAY DEE – JD
    NAS 3 – NAS
    SOLO THANG – Y-THANG (KU CREW)
    ETC….

    SI SUPPORT ILA NDO HIVYO TENA NIMEAMUA KUIITA ASSISTED CREATIVITY.

  30. Comment by mzuka boy on March 7th, 2010 9:29 pm

    KUHUSU STYLE WELL IT IS THE SAME THING. WENGINE WANAGEZA WABONGO WENZAO PIA.

    ZAHARAN – BIG PUN ( ANAPATIA LAKINI)
    QUCK ROCKA – MYSTIKAL ( ANAPATIA PIA)
    BIG BOSS – RICK ROSS (ANAPATIA PIA)
    ETC..

  31. Comment by mzuka boy on March 7th, 2010 9:29 pm

    KUHUSU PRODUCERS WELL WOTE BADO WANA LEARN SO IT HAPPENS. SEMA KUIBIANA WABONGO KWA WABONGO I DONT SUPPORT THAT SO KAMA NI KWELI, I CONDEMN IT 100%. ILA NAWAKUMBUSHA

    P FUNK.
    (JUMA NATURE) SONIA – EMINEM – UNDER THE INFLUENCE

    (NGWEA & JAY MOE ) KIMYA KIMYA – 50 & GAME – HATE IT OR LOVE IT

    (BALOZI DOLA) KWENYE CHATI – DR DRE – STILL DRE

    ETC…

  32. Comment by Juma on March 9th, 2010 4:21 pm

    Ofkoz ni mbaya kuiga kwa kiwango hicho. Biti ni ile ile ila tu imekuwa modified, Sasa kila modiffication mara nyingi huwa ni bora kuliko original japo mara nyingine unaweza kuharibu. By the way unachukua kitu kilicho tayari na unaongeza vionjo vingine kuboresha.
    Nafananisha hii tabia na ya wachina. Wao wanaanzia pale wengine walipoishia. Yaani wanaangalia product sokoni, halafu wanatoa kopi ya kile kitu na kuuza kwa bei nafuu,na hiyo bei inakuwa ya chini kwa sababu overall investment yao kwa hiyo product ni ndogo sana kwani hawakufanya hata research.

    So sijui tufikirie kwamba ndiyo sababu hata muziki wetu unakosa thamani kulinganisha na wa wenzetu? Production cost ni ndogo. Je hii nayo inaweza kuwa na uhusiano na hilo la less investment? Kwa sababu mtu anauza based on the investment aliyoweka pale na apate faida. Sasa kama hujainvest sana ina maana u have nothin’ 2 loose by selling cheaper and you likewise don’t value that stuff that much.
    So I think we have 2 change!

  33. Comment by Joh on March 10th, 2010 4:41 am

    kwanza anaejiita mzuka ni wewe wakazi..na nakwambia WAKAZI hujui kurap.mimi sio msanii lakini unanitia hasira niingie studio nifanye ngoma nikutumie ili nkufudishe inavofanyika,niruhusu nikufunde..kumbuka nshakuskia sana kwa mtandao bt hunijui, unataka kucheza hio kamari? sema tuu. Halafu wakazi,swala la watu kuiga majina inategemea na wewe unavoangalia,ukitafuta kosa kwa mtu utalipata..Hivi mi naitwa john Daudi, nkatae kujiita JD kisa namuogopa Jermaine Dupri? fuck its initials tuu. I don like Quik Rocka bt we wajuaje alitaka afanane na na this Rocko guy(simjui) maybe he raps quick and he thinks he rocks that way then he is a QUICK ROCKA..tho hajui kufanya tongue twist pia. Sijamaliza we mbweha

  34. Comment by Joh on March 10th, 2010 4:55 am

    Ngoja nkuonyeshe ulivo chupi we wakazi..swala la style ati wanaiga,unawaona wabongo tuu? Je umesahau ugomvi wa Mase na Loon ulitokana na style kufanana? Krazy bone wa Bone Thugs na Twista hawakupendana koz ya style ya tongue twist mpk swiz alivowakutanisha kwa album ya Notorius-”Bigie duets” track ilitwa Spit yo game..akina 8ball walikuapo pia. Drake anavowamiks lil wayne n Kanye kwa style yake we houni? ila unamuona Quick? ye amechukua tongue twist ambayo hata busta rhymes anafanya kila siku, its not copyrighted its free u bogus,too bad una ulimi mzito na ubongo mfupi..Sijamaliza we nguchiro

  35. Comment by Joh on March 10th, 2010 5:03 am

    Ngoja nimnyooshe blaza Sugu..we Wakazi pumzika na hizo mbili. We Sugu watu tuna makovu ya kuruka kuta kuingia show zako. U wer gud bro, bt wakati unapita ukubali tuu. Bizmarkie, akina beat nutz, akina A-Z na wengine wenye akili zao washakubali wamepumzika.tho kuna wapuuzi kama ll cool j bado walikua wanalazmisha gemu bt ilishawaacha loongi..hopfully his last album “exit13″ was tha last one. Wewe una heshma ya baba wa huu mziki, kapumzike tuu na heshma yako instead ya kuharibu bwanaa. sijamaliza bwana sugu..usiondoke vuta jamvi nkupashe na misharubu yako

  36. Comment by Joh on March 10th, 2010 5:18 am

    Album yako ya VETO ni mbayaaaaa broo. afu naekupa izi fact ni shabiki wako ujue..albamu ilopita nlikua mkoaniii, nkakosa cd bro nkanunua tepu..kha, tha albamu was tyt yoo..acha ngoma ulizotoa “hayakua mapenz” na “moto chini” humo ndani mazee sugu alikua chizi. Bit ni zilikua kaliiii mpk nkatoa machozi aisee. Album yako ulizindu kwa ubishi japo ulishauriwa sanaa ni cku mbovu bt ukafanya tuu..Jamani sugu alijaza watu 250 tuu, tena baada ya kufunguliwa mpk omba omba pale diamond manake, delay ya over 3hrs na ukumbi hauna mshangiliaji, basi mabaunsa wakasmama kando watu wajae kiduchu..ndo hao 250 plus complimentry friends na wafagiaji mpk mende. Nkajua majungu, c nkatafuta albamu yako bwanaa..umevaa koti jeusi nje na ndani umepiga picha na huyo stigo. kaka albamu ninayo sijaambiwa..ni mbaya jamaniii. Na anaemtetea Stigo plz jamani msimteteee plzzz jamanii..kama stigo ni mkali asingeweza kufanya uozo ule zaidi ya track 10. nimevunja cd yako. but i kopied it kwa drive ili kila anaekuja askie uozo wako. kuna nyimbo unaitwa kambarage..kaka Sugu,ni wewe yule,ivi ulikua unamaaisha nini..was that a jok? Tulia weweee, unaenda wapi, mwite na stigo mwabie apange foleniii,Bro Wakazai sijakusahau nakupigia jaramba,usiende mbali, jus be around

  37. Comment by Mponjoli on March 10th, 2010 6:58 am

    To be honest,

    Mzuka Boy, umefanya la maana sana kuleta hiyo list hapo juu. From artists taking mtoni stars and modify them to producers taking beats from mtoni and tweak them.

    This is totally a sign of weakness. A sign that while we preach everyday that wadosi wanaiba kazi za wabongo, we turn back and eat our own shit!!! It is disgusting….

    We have our own music, we are proud of it! And for sure every European that I am introducing to our music starts loving it for real. Why aren’t we focused into making to the greater heights with our own brain and style? How can we break into top-end market if we steal from people who dominate that market?

    I am just thinking out loud, wazazi…..

  38. Comment by Joh on March 10th, 2010 8:56 am

    sasa ngoja nidili na watoa maoni..Sakina na Selemani,ngojeni niwaambie..hakuna xcuse ya kuwa na bit inayosound ovyo eti kisa imepita miaka tena miwili tuu..cum on guyss..let me tel u..nimeskia A.y akisema ngoma ya “kingz n queens” aliyotoa video juzi ni wimbo waliofanya 3 years ago! na ule wake wa “yule” Ulilala studio miaka 5 b4 hatujauskia. profesor jay “hapo vipi” umelala mwaka mzima kwa dunga. wimbo mpya wa mike tee kwa video,eti ile bit ina miaka 6,mugambo ya nature ilikaa 3 years ndani na kila mtu aliruka,kama hamskizagi intavyuu basi ndo nawapa ivo. Sasa kama bit inaweza kukaa 6 years na ukasema eti mike tee karudi vizuri stigo ana xcuse gani ya kutengeneza bit na afta 24months ikaskika kama aliwahi kuimbia hayati coolio(hayati kimziki..nooo xcuse he just an amature.

  39. Comment by Joh on March 10th, 2010 9:09 am

    GIFT umesema swala sio kama stigo anajua ama lah, swala ni wizi wa bit. Let me tell u n everybody else,moja ya kesi ngumu kupruv na kuhshinda ni Copyright infringement cases. Izo matter gift ni za kitaalamu zaidi,unaweza kuskia zafanana but xpert wa mziki akasema ni tofauti kimziki,na hao ndo waamuzi wa kesi. Pia lazma uonyeshe element ya makutano kati ya mwizi na mali,yani kuna uwezekano asilimia ngapi ya mwizi kua karibu na mali na kuweza kuchukua. Stigo says ameweka kwa itunes store,je ni watanzania wangapi wananunua mziki itunes, na kama skosei lazma uwe na dollar acount ila hata kama una tembo card basi ndo utaweza kununua kwa kutia namba zako kwa scrin ili wakate..madafu hawapokei..labda wawe wamebadili. Je Marco anajua itunes, je Marco anatumia itunes, Je Marco ana dolar acount, Je marco ana rafiki mwenye kununua bit itunes..Jamani haya ni mabo ya kisheria jamaniiiii ubongo wako kama haujawai kutafsiri violin na kutumia grand piano in clasic notes huwez kuamua hii kesi..maskio yako tunayaita LAYMEN EARS yani hayatambui kitaalamu..haya Gift nshakueleza ndugu yangu, natumai utaelewa

  40. Comment by Joh on March 10th, 2010 9:21 am

    SKYWALKER ni muelewa sanaaaa. Nafkiri anajua production industry bongo inaelekea wapi ndo mana anasema, kama bit ya stigo imepokelewa na KOCH, basi kuna watu kibao huku bongo wangepiga bao. Sababu ni kwamba wale maproduza huku ambao wanajaribu na kukuosea teckniks usiku na mchana bongo, na kuitwa hawajui, ni wakali kuliko Stigo jamani. Albamu ya veto stigo kaifanya kama inalia Mtungini, unashindwa hata kufanya tracks ziwe sterio kitu ambacho huku ni dk 2 tu hata washamba wanaoshika FL 4da 1st tym wanajua.Plus Skywalker ur ryt kwamba Kaka Sugu, na nakuita kaka kwa HESHMA ya umri na kila kitu,kua sugu ni mfa maji. We undhani tunashobokea tena kua unakaa nje, kama kipindi kile unakuja na simu ya mkononi afu unatuuzia albamu ya “muziki na maisha”?..we don care unakaa kwa shimo au apartment, watu wanacheki sanaa na beat wanazama shoow wanafrai j3 shule jobu..finito. Simu hapa bongo zipo, pamba zipo, more prity chicks,nice clubs n same boose u have there..tofauti yetu, rais wenu Obama, wetu kikwete..mamnake we ol hv black presidents anyways. Skywalker Holla at ur boi men…usiondoke tafadhali..wakazi i cu unadhani nimesahau eeh?

  41. Comment by Joh on March 10th, 2010 9:41 am

    sasa Wakazi, ni hivi, sina haja ya kua na ugomvi na wewe cos i gain nothin from doin that. Don ever say nataka umaarufu, coz kama ungenijua ungefahamu sihitaji huo umaarufu wako wa kujitundika kwa blogs kitu ambacho naweza kufanya anytime kwa kufungua yangu au kuwapigia cmu hao walizonazo hapa bongo ambao wanaheshimu maneno yangu. Blog inaitaji pc na network, vyote navyo so naweza na mimi nkaanza kufanya unavofanya wewe. usidhani kukaa nje basi unanifunika kwa fedha hata chembeeeee…sahau iyo wakazi..nimekupa elimu, kama unataka huo ugomvi wa tracks sema, ofa still stands. Plus m skoolin u boi..Kanye west ameshtakiwa kwa kukopi GoodLife na StandUp ya Ludacriss..Timbaland ndo mamaaa yaaangu..anyway ameshtakiwa kwa kukopi PUT U IN THE GAME,BIG PIMPIN,AND OTHER 3 TRACKS FROM NELLY FURTADO ALBUMS..JUS GOOGLE UONE. NA HUKO NYUMA AMESHAWALIPA WAHINDI KWA WIZI WA KOMPOSITION ZA AALIYAH..Huyu ni producer unaemuona ni nyoko ile mbayaaa..unataka nkupe ya producer yupi mwingine Dre?dre alikua sued kwa wizi wa komposition ya “not today” mary j n EVE, unaikumbuka “adictive”ya Truth hurts, Dr dre na Dj Quick walikubali kuiba sampo from indian tv AD na Interscope ililipa around $500mill wahindi hao,plus mauzo ya single.Ila dre mnamuona kama mungu vile..kama huamini Google banaaaa.Kila producer ana mapungufu yake, but i dosnt mean hana creativity..na case zote hapo juu,wameshtaki wahindi na waarabu cos ndo wanaoibiwa zaidi. Naenda toilet, subiri hapo nkufunde we “mnyamwezi”

  42. Comment by neema on March 11th, 2010 8:08 am

    Oyah stigo ? Mimi naona wewe ndiyo unataka kuwaalibia wenzako sasa? Ulikuwa wapi siku zote au ndiyo ulikuwa unasubiri upate nafasi
    upige picha kwenye kistudio uchwala ili watu waku belive,Listen Mr Stigo ? Maybe other people who don’t knows you then they are going to belive u, why don’t stop telling people lies?
    As i know you last time i was New York, you use to share getto with those Zenji they was
    your roommate. All together 7 people,one room.When did build that studio? And even some people here they don’t belive you.Why don’t you go back home and sue them.Who want to see you are agry face on the Net.If you are a man you don’t need to explain ? Just go home and do you are things.Stop talking too much are you a B…. some…

  43. Comment by mukwano on March 11th, 2010 11:06 am

    we stigo hivi kwanza una studio au mfano????? huyo mako chali studio yake kali zaidi yako,ingia kwenye facebook uone studio ya hammy b ilivyo kiboko na ya akina lamar,au uliza ndugu zako akina WAKAZI wanavyozimia kazi za wabongo. usijifanye kuwa nje ndio utakua juu,beat yako ni mbaya,mbaya hata kiziwi hatoisikiliza brother. chakufanya ni kuheshimu kazi za wenzako sio kuclaim umeibiwa,una stress wewe baada ya album ya sugu kufeli,nenda rehab

  44. Comment by SUDI LOOP on March 12th, 2010 2:02 pm

    neema on March 11th, 2010 8:08 am ;
    kuwaalibia wenzako sasa? upige picha kwenye kistudio uchwala ili watu waku belive,Listen Mr Stigo ? Maybe other people who don’t knows you then they are going to belive u, why don’t stop telling people lies?As i know you last time i was New York, you use to share getto with those Zenji they was
    your roommate. All together 7 people,one room.When did build that studio?
    If you are a man you don’t need to explain ?
    we NEEMA mimi sikuelewi umeandika lugha gani hizo.hicho kiswahili labda mkono uliteleza kwenye uchapaji lakini mhhh!sasa na kiingereza je?mbona grammar yenyewe mmhh!halafu hata matumizi ya alama hujui?yaani unaweka ya kuuliza[?] kwenye sentensi!hiyo alama hutumika kwenye swali bwana.Si haba, wewe kiingereza umejifundisha mwenyewe na hata kuandika pia,kama ulifundishwa basi mlaumu aliyekuwa wako mwalimu kwa hilo.kaazi kweli kweli.Sasa huko NEW YORK wazawa ulikuwa unawasiliana nao kwa lugha gani?au ndo ulikuwa huongei na mtu mpaka ukutane na wabongo tu?maisha ya mtu binafsi wewe yanakuhusu nini?kama walilala hata 7 chumbani wewe tatizo lako ni nini? kuna mahali hapo aliposema hiyo ni studio yake?
    kila muosha huoshwa,elimu haina mwisho hiyo ni changamoto tu,rudi shule rekebisha makosa ya nyuma ili uweze kusonga mbele.angalia wenzako hapo juu walivyoandika halfu jifananishe nao,ili uone tofauti hii nikwa faida yako.

  45. Comment by Frank Lwiza on March 13th, 2010 11:58 am

    Hivi Nyie mnajua huyo Stiggo ana Studio Ngapi!!!?,Au mnaongea tu!!,mi nimeshamtembelea kwenye studio zake mbili,Moja anafanya staight ya Business na nyingine iko nyumbani kwake hiyo mnayoiona hapo ni nyumbani kwake kuna nyingine ni waaay bigger than that one there!!,Sidhani kama kuna studio yeyote bongo ambayo inaipita ile ya Studio yake kubwa kama unabisha muadd face book uone picha!!,siyo kama namtetea mi naongea ukweli sababu hapo watu mnapayuka kwa mambo msiyoyajua!!,vilevile kitu kingine kwa sababu hamjui Music Equipments ndiyo maana mnaongea pumba,Zile Keyboards za wabongo ni Yamaha which is the cheapest keybords ever,kwa mbongo aliyejitahidi utamkuta ana Korg,angalia hiyo keyboard hapo juu kisha niambie ni aina gani na ni dolla ngapi ndiyo nitajua ni nini unaongea!!,mi nashauri kama hujui nini unaongea ni bora ufnge mdomo wako kuliko kuongea jambo usilolijua!!,Huyo Hammy,Mj na hata P funk hawana vyombo alivyo navyo huyu mchizi,Trust me,
    Mdau New York

  46. Comment by Andy Haule - H town,TX on March 13th, 2010 4:54 pm

    Nyie mnaongea nini,Eti maproducer kibao wangekuwa wakali kuliko huyo stiggo,kwa beats gani za wizi!!,ambazo wametengeneza ma super producers,yeah ukisema hivyo nitakubaliana na nyie,nyie maproducer bongo hamna lolote,nyimbo kibao beats ni copy n paste no matter what,na ndicho mnachojipatia umaarufu kwa kuwadanganya wabongo wasiojua,ila sisi huku mamtoni tunawachora!! ,nikianza kukupangia list za nyimbo za wizi ni aibu!!,Mi naona siku hizi bongo mmerudi enzi za Saleh Jabir za kuiba nyimbo za OPP na Ice Baby,Hamtudanganyi kitu si tunajua fika kwamba nyinyi ni wezi na siyo creative n thats it,Kuhusiana na Album ya Sugu mimi sijaisikia yote ila nimesikia nyimbo kama tatu na zote ni nzuri,Tru Hip Hop sa sijui nyinyi mnataka nyimbo za aina gani !!

  47. Comment by skywalker on March 14th, 2010 2:34 am

    Dah!! Joh we ni noma nimekukubali! Thanks kwa kuwawapa darasa Sugu na Stigo. Stigo najua itakuwa vigumu kuonana na maproducer wakubwa wa huko marekani kama Dre, Scott Storch, Timbaland, Swizz Beatz ama Danja kwakuwa si rahisi kwa mtu kama ww kupata appointment nao ili wakupe darasa kidogo katika production.

    Acha kuwadharau maproducer wa Bongo na siku umerudi Bongo kusalimia ndugu na jamaa hebu watafute watu kama Marco Chali mwenyewe(kubali kuwa anakuzidi), Lamar, Duke, Hermy B na wengine wakali ili wakupe tuition ya namna ya kufanya ngoma isound stereo na sio Mono kama inapigiwa kwenye mtungi kama alivyosema Joh hapo juu!

    Mm binafsi sijaiskia album ya VETO lakini kwakuwa tyr iko wazi kuwa album yenyewe imechoka basi i wont bother kuitafuta tena kwakuwa nayaamini maneno ya Joh.

    Nikiangalia picha ya stigo hapo juu naona ana vifaa vya kawaida ambavyo kwa producer mkali kama Marco Chali, beat zitakazotoka we mwenyewe utakubali lakini kwakuwa yaliyomo hayamo ndo maana umeichafua albam ya Sugu. Na ww Sugu next tym acha madharau kama unania ya kuendelea kufanya tena muziki(japo mimi nakushauri uache) fanyia hapa hapa Bongo na sio nje kwenye vijistudio vya uchororoni kama S&S Records.

    Mukwano u r ryt kwamba Stiggo and probably Sugu wana stress baada ya album ya VETO kuflop vibaya, jamaa kula za uso Diomond Jubilee kwenye uzinduzi wake, na pia Ruge kumfanyia kitu mbaya kwenye ile issue ya Malaria No More and now Ruge needs an apology in 72 hours from the day before yesterday so i guess the brother(Sugu) is frustrated even more.

    Kuna wakati hata wacheza soka hukubali kuwa umri umeenda kwahiyo inabdi waachie ngazi kwakuwa hawana jipya tena na vipaji vipya vinakuwa vinawapa changamoto dimbani. Hata muziki ni hivyo hivyo.

    Ukituletea rap ya mwaka 1990 enzi za Diplomats na Kwanza Unit tunakupotea tu bila kujali we nani. Ndo maana wanamuziki wa zamani kama Timbaland katika album zao hushirikisha wasanii wengi sana hasa wapya ili kuzipa album zao usasa na ndo maana zinafanya vizuri sokoni.

    We unafikiri Timbaland akiimba albam yote peke yake itauza? Kwenye albam yake ya Shock value Vol.2 ameimba na wasanii wengi wapya kama Drake. Miley Cyrus, Keri Hilson, Jojo n.k ndo maana album inauzika. Ukiachilia mbali production mbaya ya Stigo, VETO ingekuwa mzuka sana kama kungekuwa na sauti za wasanii wapya wa Bongo kama Chidi Benz, Babuu wa kitaa, Niki wa Pili, Joe Makini, Nako 2 Nako, Fid Q, kutaja wachache tu(m not sure kama miongoni mwa sauti hizi zimesikika kwenye hiyo album sababu zijaiskiliza na sitaki kuusikiliza.

    By the way this goes to my brother Wakazi: Man kama we mkali siku moja fanya official track uipeleke redio si kubebwa na beat kali za kiwanja.

  48. Comment by mzuka boy on March 14th, 2010 5:35 am

    duu kazi kweli kweli, sasa we unaejita JOH ndo uweanzisha vita na huyu WAKAZI ama?! dogo kazi zake nazikubali na maoni yake nadhani yana make sense, la zaidi ya hapo mi simo..ila kuna vitu umevisema ambavyo hata mimi nakubaliana na wewe

  49. Comment by WAKAZI on March 15th, 2010 6:36 pm

    @ JOH mzee naona nimekugusa sana braza na muziki wangu ambao unadai hovyo,, well at least umeusikiliza. asante kwa hilo.kuhusu kuni school mimi, well i doubt if u can do that and as it appears u were talkin to someone else MZUKA. wewe unadai unaweza kutoa kazi nzuri zaidi well sijakataa ila it is always easier said than done. na mimi kucheza kamali ya kuimbia kichwa kichwa well check ma record been doin that and im always victorious… its about knowin urself and what u hav na ukinishinda nitakubali mbele z watu bila uoga kitu ambacho wewe unacho, UOGA coz hata jina lako la ukweli umelificha hapa (he usual blogger way) na kuhusu kutafuta umaarufu, well mtu yeyoteanachuua muda wake kuandika kitu on the keyboard for public view anataka umaarufu that includes me, so sijui unaongea nini. baadhi yenu nikwamba hamna uhakika with urself which is understandable, ndo maana mna jificha. braza do u and lets let the chips fall where they may

    @ kaka SKYWALKER, nimesikia ombi lako ila nadhani baadhi yenu hamja elewa dhumuni langu vizuri. hapa sio mahali pa kuongelea hili swala maana topic kuu ni kuhusu hao ma producer, ila forthesake of clarity na maybe to win a fan or two i will:

    kwanza mixtape yangu ina beat za wamarekani zilizotumika, za wamarekani mpya kwaajili yangu (yup leo, take u for a ride, baby) na kibongo (hali halisi – nitaupost leo baade fb). lengo la mixtape niku generate buzz mtaani alafu watu wa mtaani ndo watanipeleka radio na TV alafu comes album, promo sows and all the good stuff. kiufupi system ya muziki bongo inabidi kubadilishwa ili wasanii wenye uwezo wa ukweli waweze kunufaika na sio kuwa na thamani sawa na wazugaji. wasanii hawapati maslahi yao ya haki, kuna corruption, na ulanguaji haswa kwenye soko la album. ndo maana wasanii ambao wanaumiza vichwa kama Hashim dogo mwendawazimu, wakaamua kuacha maana hai make sense.sasa mimi najiandaa kuleta mapinduzi na i will do whateva it takes. na mapinduzi ya kweli ni kwa vitendo.

  50. Comment by kingo on March 17th, 2010 1:57 am

    sikuwahi kusikia kazi ya stigo before but kupitia albamu ya Sugu av kam to konklution kuwa jamaa ni mchovu ile mbayaaa!he’s still an amateur na ki-ukweli yeye na marco wanaishi dunia mbili tofauti kiufundi.kamroga sugu na tu-beat twake twa kujifunzia!msanii mkubwa na heshima nyingi kaifuata aibu bongo with his veeeeeeeeeeeeery CHEAP album(sijui kwa kuogopa gharama ua vipi!!).nakubaliana kufanana kwa ideas ila kwa kiwango cha stigo sidhani kama kweli marco kaiba aisee!!

  51. Comment by skywalker on March 17th, 2010 12:57 pm

    Wakazi that was well explained bro! Holla at me at skywalkertz@yahoo.com coz we have something in common! trust me dude

  52. Comment by sayd on March 17th, 2010 9:27 pm

    yoo wateva u say dat marco chali copied ur stuff but da song iz bomb still.. u gotta b responsible for ur business dwag.. i believe marco chali copied non of ur shit.. or u sayin dat coz u in uerope init.. get a life d**k head Bongo music foreva and we stil gonna hit ..u got it

  53. Comment by joh on March 19th, 2010 9:29 am

    @wakazi, kwa kuwa najua soko la mziki wa bongo, na la nje pia nakwambia hiviii u cud never win..hata kwa dawaaa huweziiii..niamini. Mixtape ni wastage of time kwa bongo mazee..na soko ya bongo haiwezi kupinduliwa kwa maneno ya peni yakondo mana mamilioni ya peni huku yameshindwa, unataka kunambia wewe unaweza kufanya walichoshindwa kufanya residents maelfu wa huku? hebu fkiria wakazi, inawezekana kweli..wenzio huku tushajua ufumbuzi,na ni mtu mmoja tuu au labda wawili ndo wanaozuia maendeleo ya sanaa,kiasi kwamba ufumbuzi ni kuwafowad kwa mungu, ila bongo hilo gumu.tunaendelea kusubiri kudra za mnyazmungu na sio za kwako.we piga picha weeeee weka album kwa blogs tena ukiomba watu wadownload free but sidhani kama utafika bro. Plus u n Mzuka r 1 n tha same person..

  54. Comment by joh on March 19th, 2010 9:54 am

    @ANDY HAULE..hivi wewe ni kipofu au jus bogus? nimeshakusaidia kukufunulia hata hao unaowaita super producers na wenyewe wana kashfa ya kukopy..sasa unachopigia kelele kua tunacopy huku bongo hao unaowaita super wana tofauti gani. Ngoja nikupe shule,watanzania ni rahisi kujua maproducer wetu wamekopy sababu wote tunaskiza mziki huo huo..huu wa akina kanye, brandy, b2k, m.j, tyrese, m.carey, whitney h, t.braxton, faboulous, dre, keri h, beyonce, pussycat dolls nk..ukicheki hawa ni kizazi cha hivi karibuni hata kama ukienda as far bak as Jodeci na akina New edition bado hawa watu mziki wao ni ule ule tuu,na ni mziki unaosikizwa na watu weusi duniani kooote hata amerika kwenyewe. producers wetu wana access finyu ya mziki toka nje, wanatega skio kwa radio,wanaoweza kudownload albums wanadownload za akina snoop na jay z yani hao hao tuu..siwalaumu coz that blackmen music meen. kwa iyoo wanapo sample ni rahisi sisi wananchi kujua pia coz wooote tunaskiza mziki huo huo.
    BUT its not easy kujua dre na tims wanatoa wapi cos kuna mziki mwingine mwiingi ambao hatuskizii..kuna white men music..akina frank sinatra, beetles, elvis presley na wazungu wengine weeeengi, bado country akina garth brooks akina paul jackson,dolly parton bado uingereza,india ambako mziki unatengenezwa zaidi nk. hata kama unamfahamu dolly parton kwa jina unajua track zake ngapi? unazo album ngapi za garth brooks au kenny rogers? co collection ya nyimbo kali..noooo album to album manake madini yanaibwa kwenye track zilizofichwa ndani ya album

  55. Comment by joh on March 19th, 2010 10:11 am

    mimi nawajua wachache tuu, wengine pia mwawajua nyie ambao hata mimi siwajuiii..sasa akina dre wana sample from hao wehu wazungu na wazamani as far as mziki wa 1930′s hukooo. ndo mana kila kitu chao mnakiona kipyaaa, kumbe ni kwmba skio lako ni pumbavu halijawai kuskia b4. ni kama gazeti la mwaka jana kama hujawai kusoma hata ukiletewa leo ina maana utaliona la zamani wakati hujawai kuisoma habari hata moja? noo litaonekana jipyaa tuu hata kama ni la zamani koz zile habari hujawai ona. lakini kuna vyombo maalumu vya kopyright vyajua kila aina ya mziki humu duniani wao ndo wanaojua kama kipi ni kopi na kipi kipya. Halafu ivo mnavosema ni vipya mbona ukifungua album zao kwa mtandao na original copies za cd toka nje wanaorodhesha kiiiila kitu kinapotokeaa. Album ya jigga blueprint 3 beat zooooote ni sample za long time. album ya keri hilson yooooooote ni sample, sean paul imperial blaze yoooooote sample, jordin sparks yooooote sample..sasa wewe uanaetaka mziki “ORIGINO” unataka utoke wapi wakati key za piano ni zile zile toka Mr.beethoven azindue kipindi hicho..kama unabisha nenda http://www.wikipedia.org, andika trak au album yoyote unayoijua wewe afu upate info za sample na uone jinsi “originality” ilivo imposibo kabisaaaaa. Acheni kulaumu bila ushahidi..sasa atokee mpuuzi mwingiine aongee akisifia ati “SUPA PRODUCERS” wakati wenyewe wana kashfa za dola milioni 500 za plagiarizm. Nachoweza kusema, mashtaka na kashfa ya kukopi haimshushii producer hadhi ya ubunifu kama anao wakati flani flani. DARE FOR MORE!!!!!

  56. Comment by Andy Haule - H town,TX on March 19th, 2010 6:55 pm

    Daah hawa watu wote humu naona ni wapambe wa Marco Chali,Stiggo yuko juu zaidi ya marco Chali na hiyo picha mnayoiona hapo juu ni Studio ya nyumbani kwake Stigo ana Studio Kubwa na ni Professional siyo kama ya marco chali inayotumia Yamaha Keybord,na Album ya Sugu nafikili sugu atakuwa alipenda album yake iwe vile nafikili alitaka real hip hop sababu alisema b4 nataka album yangu iwe kama 2proud,Mi nimeshasikia kazi za Stiggo,keshamtengenezea nyimbo mpaka Maino je mlijua hicho au mnalopoka,(Angalia Nyimbo Inaitwa (MY LIFE IS A MOVIE REMIX by MAINO)Thats Stiggo’s beat,Stiggo is around there Marco Chali bado anapumua vumbi la bongo na kunuka vikwapa ingawa anatumia deodorant za wamachinga na wachina fake,Kiukweli mchizi kaiba beat na thats it,Hatuwezi tukakaa hapa na kutetea nani mkali mi ninajua Stiggo is waay better than MArco Chali na kila mtu anayemjua Stiggo knows that,Marco Chali anapata umaarufu kwa Kukopi n past hana chochote mi ninajua nyimbo more that 10 kutoka Mj Records zote za kukopi na mkitaka nitawaorodheshea.

  57. Comment by Hamisa-Chicago on March 19th, 2010 7:09 pm

    No matter wat u guys saying,maproducers bongo hamna chochote,kuna jamaa kanichekesha kweli hapo juu eti kasema stiggo uwatafute wakina marco chali wakupe tuition!!!,yeah hata mimi namsupport huyo jamaa waambiye wakupe Tuition ya KU Copy N Paste,ni aibu juzijuzi nimesikiliza nyimbo ya Mr Blu na Mmarekani mmoja kwenye gari akaniambia is this African song why the beat is for this song i know(she forgot the name) i was like ……..what!!!,now i know exactly wat she was meaning kwamba waafrika tunaoba sana nyimbo so now a Days wizi wetu unawaiibisha Waafrica wote,this is so sad!!!

  58. Comment by SAID on March 22nd, 2010 10:35 am

    THE 2 BEATS AREN’T EVEN SIMILAR!!! ACHA UONGO!! GET OUTTA HERE WITH YOUR LIES!!

  59. Comment by joh on March 23rd, 2010 4:36 am

    hivi we Andy..unadhani unaongea na nani? hilo swala la Maino na Stigo unajiona so specio kulifaham? well i listened to the album ya Maino..na nimefungua credits za producers wa album ya Maino if tommorow comes..list ya producers ni hii jamani..
    SWIZZ BEATS,GQ BEATS,PRETTYBOY,BRADD YOUNG,DA BEATSTAZZ,BG BEATS,BLASTOFF,JUSTBLAZE,JUSTCE LEAGUE,CRISS STYLE,JERMAINE COLEMAN,BRIAN BERGER,D SMITTY,LENWOOD REED,STEVEN KANG CRUZZ..
    Jamani msidanganyike hiyo ndio list ya maproduser wa album ya Maino..na bw stigo hayupoo hata kidogoooo. Stigo na Maino ni marafiki wa siku nyingi, Lakini ATTLANTIC RECORDS hawajampa shavu bwana stigo kwenye iyo album. ANDY usijaribu kudanganya watu bwanaaa, swala la remix sio issue mzee, kwenye mtandao kuna remix nyiiingiiiiii za masupa staa kutoka kwa maproducer wazuri tuu wa amerika..but most of them are WORTHLESS PIECE OF SHIT kama angekua ni mkali angaepita geti la ATTLANTIC RECORDS, na bit yake ingetumika kwa album katika soko kuu la mziki la Amerika, na sio street shit. ANDY ukubwa wa studio sio ujuzi ndugu yangu,vyombo anavotumia Polow da don..unaeza kuvipata kwa kama dola 7000..na vyombo hivo ndo vinavotengeneza Hits za keri hilson na Nas, Nelly na kuuza Platinum mpaka Diamond status..lakini nunua vyombo hivo na usiwe na maujanja afu uone..unahangaika na keybord kuuubwa ya Bw stigo..key ni zile zile..unajua we unaeza ukawa hujaenda shule ndo mana huelewi.

  60. Comment by joh on March 23rd, 2010 5:01 am

    most of producers walio hapo juu kwa album ya Maino ndio wanaoproduce kwa Rick Ross, akina B2K, Monika arnold,Brandy,jay z, Alicia keys..kina just blaze na swizz beats mnawajua jamani..wewe ANDY kuna bingwa wa kufanya sample duniani kama just blaze??????? unajua hilo au unatingisha mgongo tu humu ndani..Unajua kua Swiz Beats anashindana na just blaze kusample….ndo mana bits zake zina loop eneo moja tuu..Hakuna kitu orijino ANDY, unalalamika Stigo ana keybord kubwa lakini ndo unaonyesha jinsi ambavyo hujui mziki..key za piano hata iwe ndefu kutoka dar mpaka ifakara key zitabaki kuwa 7 tuuu..ila zinachance minor and major,sharp na vitu ganai vengine..wewe unadahani ati yamaha na korg au roland ndo kuna utofauti? nooo..kama hujui kuzichanganya kuleta mziki mzuri basi ndo utavobaki ANDY..jamani ambaye anajua mziki anisaidie pliiz. Ukubwa wa studio sio vyombo broo, Nelly furtado amerekodi baadhi ya nyimbo zake kwa Tour bus yake..album ya loose imeuza zaidi ya nakala milioni kumi worldwide..je bwana ANDY bado unadhani studio kubwa inaweza tosha ndani ya basi la mwanamziki mzee..ni ujuzi tuu

  61. Comment by joh on March 23rd, 2010 5:09 am

    HAMISA CHICAGO..wewe ni popompo mwingine..ungesoma maelezo na ushahidi wangu hapo juu kua wanaongooza kukopi ni producers wenu wakubwa kutoka nje ndo ungejua kua hakuna kitu ORIJINO siku hizi poole mzee. Tena kisheria inaruhusiwa, ukilipia sample yako aaahh, unaifanya unavotaka mwe..ndo mana sheria inaruhusu bwana…acha umbumbumbu, na ushabiki maandazi..kama sio msomi naomba hii diskasheni utuachie sisi wasomi. wapuuzi wenzio wameshaondoka humu.. NASEMA HIVI YOYOTE ANATOA WAZO HUMU NDANI HAKKIKISHA UMEZAMA KWA MTANDAO FANYA UCHUNGUZI NDO UANDIKE,KAMA HUWEZI KAKAE KIJIWENI UVUTE FEGI NA WAHUNI WENZIO.

  62. Comment by WAKAZI on March 23rd, 2010 5:46 am

    @ SKYWALKER I MO HOLLER

    @ JOH WELL NAONA HATA HATUPO LEVEL MOJA MAANA UNAONGELEA DAWA (SLANG WORD YA PAMBA/NGUO) VITU AMBAVYO NIMEVIFANYA FORM 2. BESIDES PAMBA NI MAAMUZI NA PIA MIMI NIPO JIKONI HAPA… UNASEMA MAPINDUZI HAYAWEZEKANI COZ UNA IMANI DHAIFU WHICH CLEARLY SHOWS THAT U NOT EVEN 100 MILES DISTANCE CLOSE TO ME. SASA KWA SABABU WE BADO UMEFUMBA MACHO NITAKUACHA BADALA YA KUKUNUFAISHA. ETI MIXTAPE NI WASTE OF TIME, NDIO NI WASTE OF TIME KWAKO NA SYSTEM YA KIBONGO HIYO, DRAKE IS ABOUT TO BE A MILLIONAIRE WITHOUT AN ALBUM AND TAKE A GUESS HOW!! IM ABOUT TO CONCUR THE WORLD POTNA!!! NA KWA TAARIFA YAKO SIFANYII NJAA MUZIKI BALI NI MAPENZI NLIYONAYO KWA HIP HOP.

    BTW DOWNLOAD WAKAZI “MIXTAPE YA UKWELI” FOR FREE AT http://www.zshare.net/download/7404324233ee4cc1/

  63. Comment by John on March 27th, 2010 1:35 pm

    TATIZO LENU MNA STRUGGLE KUIGA ‘NIGGAZ’! HAMUWAWEZI HUO MZIKI WAO WAMEANZA NAO SIKU NYINGI! WEWE STIGO IBRAHIM UMEIBA HII BITI TOKA ‘Snoop Dogg feat. Dr. Dre – Keep Ya Heads Ringing:
    SIKILIZA HII LINK YOU TUBE: http://www.youtube.com/watch?v=aXL_LATAvpQ
    HATA KAMA UKISEMA HUKUIGA, LAKINI HII BITI ULITENGENEZA UKIWA NA MAWAZO YA ‘Keep Ya Heads Ringing’
    SASA WAZEE WAZIMA DR. DRE NA SNOOP WAKIKUSHTAKI WEWE STIGO UTASEMAJE?
    UTATUZI: WACHENI KUJIFANYA ‘NIGGAZ’ HAMNA ASILI NA HISTORIA YA MZIKI WAO.
    KILA LA HERI

  64. Comment by John on March 28th, 2010 6:23 am

    UKWELI UNAUMA EH…FAKE NIGGAZ!!!

    KEEP YA HEADS RINGING!!
    http://www.youtube.com/watch?v=aXL_LATAvpQ

    HAPO NDIPO ‘INSPIRATION’ YA HIYO BEAT ILIPOTOKA!!!

    HA HA HA……..!!!

  65. Comment by nimoni on March 28th, 2010 7:44 am

    @JOH u gud bro.reading all this real shows u know what u saying and the others are just the opposite of this.İ dont have any issues with this but just wanna give ua credits.thanks for the knowledge bro.when i read that letter i was about to believe in wat he wrote.home is where ma heart is.they living in usa n thinks they are way better than the rest at home.thats a piece of shit.enndelea kuwapa knowledge JOH.wanakataa hapa ila moyoni wanakubali kiaina mzee.

  66. Comment by jacque on March 29th, 2010 4:36 am

    dah am lovimg this whole convrsatn!!!jamanii joh,skywalker ni waelewaaa SUGUZ STYLE IS NO LONGER FIT IN THE MODERN MUSIC HPHOP INDUSTRY!!!!BG UP GUYS!!1

  67. Comment by jacque on March 29th, 2010 4:42 am

    i like it i like it

  68. Comment by BM on March 29th, 2010 10:26 pm

    Hili swala nadhani linachangiwa na kutokujua sheria, manake mpaka leo sidhani kama sheria ya hati miliki (kama ipo) inaeleweka vizuri na wasanii.

    Swala la Marco Chali kutumia hiyo beat inaweza kuangaliwa kwa pande mbili. Pande moja, kama alisample, hakuna tatizo, kwani kila mtu anasample, hata maproducer wakubwa kama Dr Dre beats zao nyingi wana-sample kutoka kwenye nyingo za zamani.

    Upande mwingine, kama beat alitumika kwenye kutumiwa kwenye mixtape, nadhani Stiggo anaweza kuwa na ugumi kidogo kutetea hoja yake. Lakini ukisikiliza unaweza kuona kuwa, kilichofanywa ni Marco Chali ni kupunguza kasi ya oroginal beat ya Stiggo. Hivyo basi, nadhani tunaweza kusema mshkaji hakusample bali alicopy na kupaste, hivyo nadhani Stiggo angefaa kupewa heshma yake. Kwani ubaya uko wapi kusema imetengenezwa na Stiggo lakini imefanyiwa touches za hapa na pale na Marco Chali. Nadhani hili ni swala la kila mtu kutaka ufahari.

    Kusample siyo kitu cha ajabu, hivyo kama maproducer wa bongo wana-sample, cha ajabu ni nini?..kwani akina Dre dont, so what. Mimi nadhani maproducer wa bongo kama baadhi ya ma-rapper wa bongo wanauwezo zaidi ya wasanii wengi wa Marekani, wanasema, mkulima hachagui jembe. Hivyo, swala sio nani yuko wapi, nani anatumia keyboard ya aina gani, swala ni je unakipaji. Mbona beat ya Dead President ya Jay-Z ilitengenezwa katika mazingira hafifu, kipindi ambacho technolojia kwenye production bali ilikuwa nyuma, lakini kwakuwa aliyesuka ile beat alikuwa na mtundu (mbunifu) na mwenye kipaji, ile beat mpaka leo ni classic.

    Swala la album ya VETO mimi nadhani nitaunga wengi walionitangulia pamoja inaniuma, kwani Sugu nimemfuatilia tangia enzi za 2 Proud na “ni wapi tunakwenda tu tunakwenda”. Album ya VETO sio nzuri, video zote mbili alizotoa nazo si nzuri. Sugu amekataa kubadilika na muda na ninadhani hicho kimemwangusha. Msanii lazima u-evolve like everything in life. Tabia ulizonazo kipindi cha primary, huwezi zileta Chuo Kikuu, na enzi hizi za mtandao huwezi kulazimisha watu wakuandikie barua, lazima ubadilike na wakati, sema tu hakikisha kwenda na wakati hakukuchukui mzima mzima ukapotea…

    http://www.vijanafm.com

  69. Comment by Samira Abdul,Miami,FL on April 2nd, 2010 9:55 am

    Mimi naona kama huyu Sugu kamwangusha sana mshikaji wake,nimesikia beats za VETO ni nzuri tuu ila kama wadau mnavyosema Sugu style imeshapitwa na wakati ni bora amestaafu maana yake huku ni kuadhirika mzee mzima,Nimesikia nyimbo mpya ya Beezy Shine on ameshirikiana na Zigua na nyimbo imetengenezwa na huyo huyo Stiggo yaani hii nyimbo so far ni my New fav song,Ni nyimbo iliyo level ya sasa hivi kabisa na nafikili ni kwa sababu ya wasanii waliotumika ni wa generation hii,na hii nyimbo imenifanya niamini 100% kwamba huyo marco ameiba kweli beat sababu Huyo Stiggo kani prove wrong.

  70. Comment by wakusepa on April 2nd, 2010 12:01 pm

    Wizi mtupu….tatizo pipo wanapenda sana kubweteka, na kufanya v2 rahisi rahisi, kwanini uchukue beats za m2 mwingine…kama hamjui ma producer fake kama hawa ndo wanaoharibu mziki…ao inaonekana kabisa kale ka hali cha kuwa wavumbuzi au wadhungu wanaita creativity sijui ndo hivyo apo ni zero aka sifuri.
    Ila kaeni mkao wakula ipo siku mtasikiliza ma beat ya kiukweli sana, endeleeni ku copy na ku paste za w2.

  71. Comment by Mbita on April 3rd, 2010 5:34 am

    Nadhani watu wengi mnaotoa comments humu tuna tofautiana kwenye kuelewa hip hop ni nini!! Anyways sipohapa kujaribu kurekebisha hizo tofauti zetu!!
    But all I can say is Sugu ni kichwa kwenye hiyo hip hop, hata kwa definition yenu ya hip hop !!!

    Kusema Beat ya Stiggo ilikuwa inspired na keep your headz ringing!!! Seriously???!!!!
    If you do think so then huelewi kinachozungumziwa hapa!! But hey tuna tofautiana uelewa.

  72. Comment by joh on April 19th, 2010 7:13 am

    WAKAZI nlivosema ur wastin ur time sikusema mix tape ni wastaje of time..Jamani tusaidiane,eti ukipuliza marashi yanayogarimu laki moja na nusu, alafu ukaenda kijijini ndaaani, je watu wataelewa kua unanukia au wataelewa kua labda hunuki? maana yangu ni kwamba mixtape hapa bongo watu hawaelewi ni kitu gani,kama albumz za watu kama akini fid q na professa jay zinaoza kwa maduka je kweli watu wanajua mziki kweli..WAKAZI watu huku hawatonunua kazi yako kaka, hakyamungu kama wakinunua njoo uchukue chochote unachotaka..ts pipo like me, u n 100,000 othaz ndo tunaelewa. Plus izo dream za kufanya kama Drake, unazo wewe na watoto bilioni kumi wengine,kama wajua hesabu anza kupiga hesabu alafu konsida facta kua waimba kiswahili na sio raia wa Amerika, au unaimba kiswahili halafu huna talent kama hawa wabongo huku..Jibu lake kaa nalo mwenyewe, bt so far sioni soko lako. Halafu kakaa, kila anaesema anafanya mziki for fun na sio njaa ni yule ambaye ameshaona kwamba hawezi na wala hana kipaji cha kua artist wa kulipwa,so pliz WAKAZI dont trick us, u want the money ya sanaa, u just cant get it..hahahaahaha

  73. Comment by joh on April 19th, 2010 7:59 am

    JOHN umesema kwamba marco amepata inspiration from Keep ur heds ringing kama sio kuiba..Mhhh, bro, hapo mi naomba nipingane na wewe, those r totale diferent compositions made with different keys. Na hili ni swala nilioongea mwanzo, kwamba mtanzania anapotoa bit nzuri, huwa tunataftaga wapi ametoa, umeona sasa, yani mpaka john ameamua kubambika kile kinachosikika kwa karibu kinafanania ili mradi tuu kwamba mtanzania amekopi.

    JACQUE, NIMONI na BM nashukuru kuweza kuelewa japo kidogo tu ukweli wa swala hili. BM al tel u this, sheria ya “Copyright infringement” ina element nyingi za kupruv ili iweze kupita. Element ya kwanza na muimu zaidi ni ile inaitwa “Access”. Hii inatazama kama mwizi alikua ana uwezo wa kufikia mali ili aweze kuiba. Mlalamikaji ukishindwa kupruv hili, kesi yako huwa inatupwa mbali mapemaaaaa.

    Kule amerika, lebo kuubwa kama EMI,MBG,VIRGIN,SONY,UNIVERSAL,WARNER MUSIC etc zina sera moja nzito, ya kurudisha “demo” tapes an cdz kwa wale wasanii na waandishi wa nyimbo wachanga, wanaojaribu kutoka wanazokua wametuma kwa lebo kubawa wapate dill. Au lebo hizi huziharibu mali hizo kabla ya kuzifungua na kuskiliza ikiwa mbele ya mashuhuda. Hii inazuia hawa watu baadae kuja kusema kwamba BMG imekopi wimbo nilotuma kwa majaribio kwani BMG watakua hawajawahi kuskia wimbo wake. So narudia Je marco aliweza kuifikia bit ya Stigo?

    mimi nina uhakika kwamba idea zinagongana. Najua wengi mtashangaa bt leo nawapa siri moja. Mwaka 2008 nkiwa naskiza albamu ya Usher raymond- Here i stand, Track 10 Best thing ft. Jay z, nkagundua hii bit nimeipenda gafla. ikankumbusha log tyme.

    Mwaka jana mwanzoni nkaja kujua kwa nini niliipenda ile bit. Kumbe jamaa yangu ambaye sio hata produser, ni mtundu wa kompyuta aliwai kutengeneza bit mwaka 2005 kama jok tu,mi ninayo mpaka kesho. Hiyo bit ni kooopyright kama hiyo ya Jermaine Dupri aliyomfanyia Usher kwa hiyo track. Can u biliv? Najua hamna anaeamini bt kama nadanganya nigeuke demu ryt now..ninayo hiyo bit na ina kwalit mbovu ajabu bt ina keys zile zile mpk drums walizipiga zafanana. watu wapo milion miles away na wamefanya kitu sawa sawa. Toka siku hiyo naamini kwamba mgongano wa mawazo upoo. Ndio maana mnaniona mbishi this much..

    Kisheria hili ni swala gumu mnoooooo!

  74. Comment by WAKAZI on April 19th, 2010 7:19 pm

    dah bwana joh kwanza nilikuwa sijui kama mjadala unaendelea. tatizo lako unajua mnoo mzee. we sijui nani kakwambia mi nakuja kuuza mixtape. mi natoa mixtape ili watu wasikie kazi na kiwango ili waanticipate the official songs. na hao wakali wako wa bongo hawauzi na they r not doin anythng about it. at least mimi najaribu kui fight system ambayo we naona umeridhika nayo. nilivyokwambia sitegemei hela ya music ni kwasababu kweli siitegemei. nimemaliza form four mwaka 2000! so kama ningekuwa nataka kuwa bongo fleva artist huo ndo ulikuwa muda wake not now 10 years later! kwa taarifa yako hakuna msanii anayeniweza kwa kiwango cha kurap, na mlete yoyote yule…in fact hao unaowasema wananizidi kiwango kama unafahamiana nao waulize usikie jibu utakalopewa…

  75. Comment by WAKAZI on April 19th, 2010 7:35 pm

    and by the way, I DO MUSIC FOR THE LOVE NOT FOR THE MONEY! if u in it for the love the money will come too..believe that
    unasema sina talent (hahhahaha) well i can accept that, ila news flash “HARDWORK CAN BEAT TALENT WHEN TALENT DONT WORK HARD’ take that…
    eti a billion drakes, so una cofirm kuwa we ni hater mazee. coz badala ya ku support efforts za watanzania wenzako we unaponda na ku discourage! ngoja nikuulize swali, hivi mara ukiasikia nimefanikiwa kimuziki in big scale utakuwa na lakusema bado au utanyamaza? my mixtape can go head to head with any artist album hapo tanzania…yoyote yule

  76. Comment by joh on April 23rd, 2010 9:59 am

    WAKAZI, Lil wayne is crap n he was the best selling artist of 2009..wat can we do to beat his promotion eenh..twamskia kwa radio n he kips sellin..i say Kudos, i ges al say the same for you bt the fact stilll remains u ain got wat it takes n so does wayne. Claims that u beta n u can go hed too hed with artist wa huku its ol part of a swaga n cokines n artist s suppose to hav..since ur an artist i gess u shud hav that as ur tool of work.

    My point, if u cant evn sell that mixtape wakati huko nje wenzio wanaziuza tho sio wote, wat mks u think u can sell the album. Plus WAKAZI did u decide to give it out for free by choice uno as a charity or the situation has forced you to make it free since no one knoz you and no one can look at ur compilation as a comodity????

    That shud alert you of the road ur taking..dark as hell and i don c u makin it. but if u does make it..hell ul shut me up. M not a hater bra, m a realist. Plus i ddnt kno eithr if this was goin on too, but it was nice to ketch up.

  77. Comment by WAKAZI on April 27th, 2010 4:53 am

    the thing is unasema kila mtu ni crap, siumtaje huyo ambae unamuona wewe kuwa ni mkali! for ur information i was never a fan of lil wayne, ila truth is ame improve his creativity and it is worthy to be praised. besides kashinda hadi grammy so we ukisema hajui sasa hapo kazi ipo.

    wheneva i do performances i sell mixtape, so dont take the givin it our for free kiivyo. ila lengo langu nikubanilisha mfumo wa industry bongo so lengo sio kupata financial prosperity from mixtape bali ni kwa as many as possible people to hear me alafu then my opinion will matter na vitendo vitafuata. kuna watu nimewapa mixtape bure walivyoisikiliza wakajakunilipa. i am a realist but more than that im a revolutionalist. a rebel with a cause. na wapo watu kibao wanaotaka nisisikike coz they know it is gon be a problem if im heard.. kama unasema im swagged out na cocky coz thats what artists do, kama unafahamiana na msanii yoyote ambaye unamuona mkali alafu muulize! hamna haja ya kuandikia mate …! you are pessimistic not realistic, coz if u were u would hav examined both sides before u give out ur opinion. kama kweli we ni mzalendo, malengo yangu ungeyaunga mkono na based on what i wish to accomplish ingekupa mwangaza on what type of artist i may be.. ila unatumia nguvu zako zote kudiscourage efforts bila hata kutichunguza kiundani. as if its a personal vendetta or some shit. real talk. anyway tusubiri kuona kama nitafanikiwa mazeeee and if i do ningependa uje unitafuta na kukiri u were wrong

  78. Comment by pyrex on September 28th, 2010 7:46 am

    DUDE…STIGGO U SUCK…dah mazeee mbona nimechelewa pande hizi jamani? lisen bro, mi marco simfill wala nn, bt ukiangalia kitu alichofanya na hiyo bit UNAYOHISI imefanana na yako….meeen amepita kinooooma. wat kind of bit z tht mpaka ukauze asee? c kututia aibu? man stigo nakwambia hata ukinipa hiyo beat BURE nitolee SPEECH kwa WAMAsai porini SIIITAKI…hivyo vifaa si ungeleta tu bongo wazee tunavitamani kinoma? kwanza producer gani huna MASIKIO ya kimziki? hizo biti ni north na south…labda kick na snare which is obvious, kwa sasa nani anagonga zake za kutunga?…CHEZA NA GOLOLI YAKO KIJANA…nifwate

  79. Comment by ammy stainer on January 8th, 2012 7:09 am

    sina cha kuongea since nlivyoickia Neno ya lord E na Fid Q Na Coke life ya G.unit……..cjawai kutoa hela yangu kununua album yeyote zaidi ya Ana miaka chini ya 18 kipindi nasoma shule ya mcng!…..

Leave a Reply