Leo taifa la Tanzania limetimiza miaka 46! Hizi hapa ni baadhi ya picha kutoka katika sherehe za kukumbuka siku Tanganyika ilipoungana na Zanzibar zilizofanyikia kitaifa katika Uwanja wa Taifa jijini Dar-es-salaam.

Rais Jakaya Kikwete(kushoto) akiwapungia mkono wananchi.Kulia ni General Davis Mwamunyange,Mkuu wa Majeshi Tanzania.

Viongozi.

Wananchi,Viongozi mbalimbali wa vyama na serikali.
Page 1 of 3 | Next page