
Kuna mtu kaniuliza swali ambalo sikuweza kuwa na jibu lake.Sasa kama unavyojua,BC ina watu.Watu kama wewe.Ninapokuwa sina jibu la swali au maswali,naomba msaada kutoka kwako.Ndio raha ya kuzungukwa na jamii.Penye wengi hapaharibiki neno. Mwenzetu kauliza;
Eti ni kweli Irene Uwoya na Jacquiline Wolper wanafanana kiasi kwamba wengine kuthubutu kumuita Jacquline kuwa ni pacha wa Irene Uwoya?
Pichani aliyepo kushoto ni Irene Uwoya na kulia ni Jacquiline Wolper.Wewe unasemaje?Wamefanana?
Feedback / Comments
22 Responses to “WANAFANANA?”
Leave a Reply


sending...
Nope!
Hawashibihiani kabisa, ”mmoja mwanamke” jicho,mwingine macho ya kungu.
Wa mbele bouncer wa nyuma model.
No way! hawafanani bc, tuletee wengine.
nah, hawa fanani . rangi tu.
jaman eeeeeeeeeeeeeeeeeeee hawafanan hata chembe tuletee mastaa wengine aisee
Actually they not look alike, but there is something that I know. What I know is that those ladies confuse lot people, but IRENE is little bit tall than JACQUILINE. Also their faces are not really alike.
HAISEE HAWA WATU HAWAFANANI KABISA.MAY BE HIZO MAKE UP ZAO KARIBU ZIFANANE.IRENE ANAONEKANA KAMA ANA USO MPANA NA JACKIE ANAUSO MREFU,HII NI JINSI PICHA HIZO ZINAVYOTUONYESHA.SIJUI LIVE KAMA NDIO WAKO IVYO AU LAA.SO PEOPLE DONT CONFUSED YOURSELF.
Kwa kweli mi huwa nashangaa sana nnaposikia Jack kuitwa pacha wa Irene yaani macho hayaoni basi hata hisia hamna!!
mimi naona hawafanani hata chembe moja, lete issue nyingine.
Kwako Joan
Kuna sehemu zafanana, ukiniambia hizo sehemu hazifanani pia, apo nitakubishia mpaka asubuhi!!!!
hawafanani hata kidogo si sura wala shape
Ukweli hawo akina dada wana fanana sana.lakini pana tofauti,kidogo kama ukiwaangalia vizuri.huwezi kusema ni mapacha.maana J
hawafanani
APO NI CHUNGWA…….NA…….CHENZA.
MIMI NAONA HAWAFANANI SANA IRA KWAMBARI UNAWEZA KUJICHANGANYA
Mmh! mi naona hawafanani hata kidogo labda rangi zao, ila kuna mtu anafanana sana na irine, kwa huyo no comment
Hawafanani kias cha kushidwa kuwatofautisha
tusibishe,labda kuna sehemu wanafanana!ungemuuliza huyo jamaa hiyo sehemu inayofanana ni ipi?lakini kama ni sura au figures,hawafanani kabisa!!
oya mwamba vp au ww mwenyewe unataka kuchanganyanyikiwa, hawa watu is two different things hawafanani hata kidogo kwanza irene ana macho mazuri ila anajishauwa sana na kudharau wenzake
Ni K……tu.
Naona kaa munaficha ukweli hahahahaaa
kiukweli hawafanani ila! niwakali
Anaesema kama mapacha brother itatupasa tumchangie tumpeleke MUHIMBILI AU KCMC, kwamatibabu zaidi ya macho.Twaomba kama kuna swali lingine,tuleteeni
lakini hili nadhani limekwisha.
Hawafanan kabsa yan hata robo Irene ana shepu na mvuto anao jacq hana shepu wala mvuto.
hawa watu hawafanani