CHAMA cha Waandishi wa Habari za Michezo Tanzania (TASWA), leo kinatarajiwa kumtangaza mwanamichezo bora wa mwaka jana(2009) baada ya zoezi la kuwapigia kura wanamichezo waliofanya vema katika mwaka huo kukamilika jana.
Wanamichezo waliofanikiwa kuingia katika hatua ya fainali ni kipa mahiri wa Simba, Juma Kaseja, mfungaji mahiri wa timu ya netiboli ya Jeshi Stars, Mwanaidi Hassan na mtunisha misuli, David Nyombo. Kwa undani zaidi wa habarii hii bonyeza hapa.

David Nyombo

Juma Kaseja

Mwanaidi Hassan
Page 1 of 3 | Next page