NIMUULIZE NINI DIAMOND?

Katika siku chache zijazo,nitafanya mahojiano na msanii wa muziki wa kizazi kipya, Naseeb Abdul maarufu kama Diamond.

Je una swali au maswali ambayo ungependa niyajumuishe katika maswali yangu kwa msanii huyo ambaye mapema mwaka huu alibeba Tuzo 3 za Kilimanjaro (Kilimanjaro Music Awards).

Unaweza kutuma swali au maswali yako kupitia bongocelebrity at gmail dot com au info at bongocelebrity dot com. Asante.

Burudika kidogo na wimbo wake Kamwambie

You need to a flashplayer enabled browser to view this YouTube video

Page 1 of 3 | Next page