Naamini umeshasikia kuhusu sakata linalomhusu Katibu Mkuu wa Wizara ya Nishati na Madini,David Jairo.Hivi sasa swali ambalo sote tunajiuliza au twapaswa kujiuliza ni je,nani zaidi kati ya Bunge,Serikali Kuu au pengine hata mahakama?Sakata hili linatufundisha au kutupa picha gani?Tujisikie vipi kuona mhimili mmoja wa dola unaonekana kuuletea “dharau” mwingine?Isitoshe,bado tatizo la msingi(ukosefu wa umeme) bado lipo pale pale.Kuna dalili za kutatua tatizo hili la msingi kwa mwendo huu?

Photo credit:Greyson Mwase-Ofisa Habari,Wizara ya Nishati na Madini

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Mohammed Gharib Bilal leo Jumatatu Agosti 22, 2011 amekutana na Balozi wa Misri nchini Tanzania Wael Adel Nasr ambaye amefika ofisini kwake Ikulu jijini Dar es Salaam kumuaga kufuatia kupangiwa kazi nyingine, ikiwa ni baada ya kukaa nchini kwa miaka minne.

Balozi Nasr ambaye sasa anahamia kitengo cha nchi za Afrika Mashariki na Kati kama mwakilishi wa Misri alimwambia Makamu wa Rais Dkt. Bilal kuwa kuwepo kwake Tanzania kumemfunza mengi na kubwa ni kuwa Tanzania ni nchi ya amani na upendo hali iliyomfanya kuishi bila kujiona mgeni katika kipindi chote alichokuwepo nchini.

Balozi huyo aliongeza kuwa, hali inayoshabihiana katika utamaduni na maisha sambamba na mahusiano ya kihistoria baina ya nchi hizi mbili ni miongoni mwa sifa nyingine ambazo zimeyafanya maisha yake nchini Tanzania kuwa mazuri, hali inayomlazimu kutamka kuwa anaondoka Tanzania kimwili lakini moyo wake upo hapa Tanzania.

Akizungumzia mapinduzi yaliyofanyika nchini mwake, Balozi Nasr amefafanua kuwa, mapinduzi hayo yatabadili kwa kiasi kikubwa sera ya Mambo ya nchi za Nje ya Misri ambapo sasa nchi hiyo itarejesha sera inayotazama mahusiano ya karibu katika kuleta ukombozi na utanuzi wa demokrasia katika Afrika, kama ilivyokuwa wakati wa harakati za kupigania uhuru wa nchi za Afrika.

“Kama unakumbuka ndege ya kwanza kutua Tanganyika ilitoka Misri tena ilitua saa mbili baada ya Tanganyika kutangazwa huru. Hii inaonyesha kuwa ndege ile ilianza safari ya kuja Dar es Salaam saa kama nne kabla ya kutangazwa uhuru wa Tanganyika na hili ni moja ya mambo tunayoyakumbuka sana katika mahusiano yetu na Tanzania,” alisema Balozi Nasr.

Kwa upande wake Makamu wa Rais Dkt. Bilal alimwambia Balozi Nasr kuwa anashukuru kwa maelezo mazuri aliyoyatoa juu ya Tanzania na kwamba anatambua mchango wa Misri katika maendeleo ya Afrika na akasisitiza kuwa ni wakati sasa Afrika kujitegemea kwa kuongeza mashirikiano katika kukuza uchumi wa wananchi wa bara hili.

read more

T.I is about to be released from prison. Here is the letter to the world and especially his fans.

What up world? This will be my last message from Forrest City. Just reaching out and sending my love, respect and appreciation to all who have been ridin’ with me throughout this chapter in my life and not just recently but since all the things started happening one after another back in ’06. From Big Phil’s murder to my beautiful little angel Leiah being called home to heaven, to my arrest in ’07, the 1st prison sentence in ’09, to this last journey that I’m nearing the end of. A lot of people who are aware of all that has happened to me in my life say that there aren’t many men who could have endured and withstood so much pain, pressure and turmoil while managing to remain sane and keep their wits about them. I must say that I wouldn’t have been able to do so without God’s grace and having a strong support system behind me every step of the way. So often we spend time acknowledging the presence of “haters” and all the negativity they send our way but we don’t take the time to acknowledge and appreciate all the ones who love and support us and supply us with the positive energy we need to overcome. We complain about the pain so much that we don’t even notice how much stronger, wiser and better of a person the suffering has allowed us to become. I heard Pac say once “To live is to suffer and to survive is to find meaning in that suffering.” I later found out it came from an author by the name of Friedrich Nietzsche. When I heard Pac say that it was just some hard shit to hear your favorite rapper say before he kicked a verse. Now that I’ve gone through it and grown from it those words have a real true meaning to me. I know this won’t be my last battle with adversity but it has truly prepared me for whatever else may come in the future. For that also I’m thankful. Now it goes without saying that I hate I had to come back to prison for these 10 months but I am truly grateful for the knowledge, growth and understanding I’ve received from the experience.

Next time you hear from me I’ll be back out there with you. Doing for those who can’t do for themselves and speaking for those whose voices are never heard. When I touch down, I’m going all the way back to square one, like I’m fresh in the game and never sold a record. Back on some I’M SERIOUS, TRAP MUZIK shit… But until then RESPECT to all who deserve it. I’ll be back at you in a minute.

- KING

You need to a flashplayer enabled browser to view this YouTube video

Ukirudisha kalenda yako(japo katika mawazo tu) miaka kadhaa nyuma, katika uwanja mpana wa Bongo Fleva utamkuta Mike Tee (jina kamili Mike Mwakatundu)…siku hizi anajulikana pia kwa jina Daddy.Ni miongoni mwa wasanii wa muziki wa kizazi kipya ambaye alitamba enzi zile na nyimbo kama vile Ningekuwa Star kabla hajajikita zaidi katika utayarishaji(production) akiwa na studio yake ya MyKey Records pale Mji Kasoro Bahari.

Sasa baada ya miaka kadhaa ya kuibua vipaji vya wengine,Mike T anarudi kwenye game na wimbo Let Me Know.Hii ni production kutoka B-Hitz Studio na MyKeY Records.Listen to the track below and you be the judge!

Audio clip: Adobe Flash Player (version 9 or above) is required to play this audio clip. Download the latest version here. You also need to have JavaScript enabled in your browser.

CREDITS;

SINGLE: MIKE TEE – LET ME KNOW (TANZANIA)

PRODUCED BY: PANCHO LATINO

COMPOSED BY: MIKE TEE

STUDIO: B-HITZ / MYKEY RECORDS

SOUND ENGINEER BY: PANCHO

VIDEO BY: SHOWBIZ VIDEOZ MEDIA CO.

Genre: Bongo Flava & Rap

Rais wa zamani wa Cuba,Fidel Castro,mwishoni mwa wiki hii ametimiza miaka 85 tangu azaliwe mnamo August 13 mwaka 1926 huko Biran nchini Cuba.Akiwa na miaka 32,Fidel Castro aliongoza mapinduzi yaliyomn’goa madarakani Fulgencio Batista aliyetambulika kwa wengi kama dikteta.Katika mapinduzi hayo,Fidel Castro alishirikiana kwa karibu na mdogo wake Rais wa sasa wa Cuba,Raul Castro na rafiki yake mwanamapinduzi maarufu mzaliwa wa Argentina,Che Guevara.

Cuba ni miongoni mwa nchi ambazo zina uhusiano wa karibu na Tanzania.Mpaka hivi leo tunao wasomi mbalimbali hususani madaktari waliopata na wanaoendelea kupata mafunzo yao nchini Cuba.Happy Birthday Fidel.

The Revolutionaries,Che Guevara and Fidel Castro

Picha na Mwanakombo Jumaa-MAELEZO

Check out this video from another production by Bongo Records.G-Scent is a Nigerian artist.East Meets West.

You need to a flashplayer enabled browser to view this YouTube video

FASHIONISTA ni kipindi kipya kitakachokuwa kinaoneshwa Katika Television ya DTV kila Alhamisi Kuanzia Saa 3.00 usiku na kurudiwa Jumamosi Saa 8.00 Mchana na jumatatu saa 3.00 Usiku. Utapata mengi kuhusu Urembo,Mitindo, Sanaa na Maisha.

It’s a weekend and it’s a time “kujimwaga”.Here is a club fav. of today,tommorow and day after.The music is from Bongo Records under P-Funk aka Majani and the video is by Karabani

You need to a flashplayer enabled browser to view this YouTube video

Read the Next Page →

↑ Go Back to Top of Page