Mchezaji wa timu ya Manchester City mwenye makeke na ukorofi unaokera mara nyingine,Mario Balotteli amefungiwa na Chama cha Soka Uingereza kucheza mechi nne baada ya kumpiga/kumchezea faulo mchezaji wa Tottenham, Scot Parker.

Uamuzi huo umefikiwa baada ya mwamuzi wa mchezo kurudia mkanda wa mchezo huo.. Mmoja wa viongozi wa Man City amesema bado hawajakutana ili kuzungumzia suala hlo na kuangalia namna ya kukata rufaa.

Hii ni kwa mujibu wa Gazeti la  The Sun la Uingereza

Feedback / Comments

Leave a Reply