Mwezi wa kwanza wa mwaka 2012 ndio huo tumeshaanza kuuwashia indicator.Upo ukingoni.Wakati tukihesabu siku,kwenye tasnia ya Bongo Fleva,tayari wasanii kadhaa wameshaanza kuachia ngoma zao ambazo itakapofika Desemba mwaka huu,zitakamilisha orodha ya nyimbo zilizotoka mwaka huu.
Leo hapa tunao wimbo kutoka kwa Godzilla,msanii ambaye ana style inafanana kwa karibu na 50….(malizia mwenyewe kama unaafikiana nami).Hapa anakuja na wimbo Milele akiwa amemshirikisha Ally Kiba.Milele ni production nyingine kutoka pale MJ Records chini ya Marco Chali(wenyewe siku hizi wanapenda kumuita Dr.Chali). Usikilize hapo chini
Audio clip: Adobe Flash Player (version 9 or above) is required to play this audio clip. Download the latest version here. You also need to have JavaScript enabled in your browser.
Feedback / Comments
Leave a Reply


sending...
