Irene Uwoya na Jacqueline Wolper wote ni waigizaji katika Bongo Movies. Na kusema ukweli,kila mmoja ana mvuto wake ndani na nje ya uigizaji. Pamoja na wote kufanya kitu kimoja yaani uigizaji filamu,yasemekana hawaivi.Huwezi kuwaweka katika chungu kimoja.
Mbaya zaidi inasemekana kwamba kila mmoja anamuona mwenzake mbabaishaji linapokuja suala la kuigiza.Irene anasema Jacqueline hana kipaji.Jacqueline naye anasema hivyo hivyo. Wote wamewahi kukaririwa wakisema mwenzake hana kipaji wala uwezo wa kuwa naye katika filamu moja.Sijui kuna ukweli gani katika hili na kama ni kweli hawajawahi kabisa kuigiza katika filamu moja.
Lakini wakati wao wakibishana,yupo mtu ambaye anaweza kuwa mwamuzi mzuri zaidi.Wewe msomaji na mtizamaji wa Bongo Movies zikiwemo zile ambazo wawili hawa wameigiza.Unadhani nani Zaidi?
Feedback / Comments
41 Responses to “IRENE UWOYA Vs JACQUELINE WOLPER:NANI ZAIDI?”
Leave a Reply




sending...

Wolper anatisha…yupo juu
Namkubali zaidi Irene Uwoya
mi namkubali zaidi Irene uwoya bwana yuko juu
Kiukweli irene is the best more than wolper
IRENE IS THE BEST
Irene uwoya ni mkaliii
Wamewahi kucheza movie moja mbona?? Jina limenitoka ila walicheza Kama magaidi Irene alimtuma Jack kuua. Irene namkubari kwa kweli
wolper yupo juu.
Uwoya the best
iren yup juuuuuu
Irene yuko vizuri kwenye kila kitu yupo juu
ME LOVE IRENE
Uwoya is da best
Uwoya da beauty n talented
4 sure i appreciate and salute irene
uwoya ni mkali ile mbaya coz alinibamba xana kwenye ile movie ya sobbing sound
Uwoya ni noma.
Wolper de best
wote wawili ni wakare!
Ireen mkali Zaid anajua kuvaa uhalisia
All ar da best.
Wote wako juu, ila Naamini Wolper.
Tuache ubishi
Les toutes sont experimentées, uwoya est speciale pour certains points de meme wolper pour autres points…
Irene yuko juu
Hiii…..! Irene ni wagwaaaan.wolper 2lia.
walper mkali
irene wast da best
kulinganisha IRENE na JACKELINE kiuzuri na kihuizaji nikama munanganisha TEAM ya TAIFA ya TANZANIA na brazil
Jack is the BEST OF ALL TANZANIA ACTRESSES COZ SHE CAN ACT AS A COMEDIAN ALSO.Look PUSI NA PAKU
Achaga bana wolper iz da best actress than uwoya,mazee k!
Irene yuko vizuri zaidi
Iren uwoya is the besttttttttttt
jamani sikuzote ukweli wasemwa IRENE awezi kulinganishwa kamwe na JACKELINE kiuzuri na kiugizaji IRENE fimbo nikama munalinganisha maisha ya uzunguni naya tanzania kamwe ibiwezekani
irene nafkr yupo vzuri
Irene is the best
mimi namuaminia Irene manzee ako juu.
Irene is da best
people could we stop compare IRENE with JACQUELINE please? beause its shame to all TANZANIAN. IRENE first that comparison doesn’t exist never ever otherwise we are stupid (stupidity comparison) but i am so sorry if we stop it thank u for your understanding.
Mmmh Irene mkali nadhan coz she Has great personality en I think she is amazing coz anajua kitu anachokifanya en she is unique compare to othed celebrities
irene uwoya black beat she ia the best over
……. Ninadhani kuwa Uwoya ni mzuri kwa sura zaidi ya Wolper, ila nadhani vile vile kuwa Wolper an akili za kiutu uzima zaidi ya Irene, ingawa kwa vipimo vyote hawatoafautiani sana.
…….. Nadhani kwa upande wa umalaya, Uwoya ni funga kazi; ukipuliza tu basi anaanguka mzima mzima. Pamoja na kuwa ndani ya ndoa amekanyagwa na wanaume wengi kuliko wasichana wote wa bongo movie, tena akijua wazi kuwa anatafunwa kama malaya tu siyo kama mpenzi wake.