Irene Uwoya na Jacqueline Wolper wote ni waigizaji katika Bongo Movies. Na kusema ukweli,kila mmoja ana mvuto wake ndani na nje ya uigizaji. Pamoja na wote kufanya kitu kimoja yaani uigizaji filamu,yasemekana hawaivi.Huwezi kuwaweka katika chungu kimoja.

Mbaya zaidi inasemekana kwamba kila mmoja anamuona mwenzake mbabaishaji linapokuja suala la kuigiza.Irene anasema Jacqueline hana kipaji.Jacqueline naye anasema hivyo hivyo. Wote wamewahi kukaririwa wakisema mwenzake hana kipaji wala uwezo wa kuwa naye katika filamu moja.Sijui kuna ukweli gani katika hili na kama ni kweli hawajawahi kabisa kuigiza katika filamu moja.

Lakini wakati wao wakibishana,yupo mtu ambaye anaweza kuwa mwamuzi mzuri zaidi.Wewe msomaji na mtizamaji wa Bongo Movies zikiwemo zile ambazo wawili hawa wameigiza.Unadhani nani Zaidi?

Be Sociable, Share!

Feedback / Comments

41 Responses to “IRENE UWOYA Vs JACQUELINE WOLPER:NANI ZAIDI?”

  1. Comment by Jane on September 25th, 2012 4:13 pm

    Wolper anatisha…yupo juu

  2. Comment by Hamisa on September 25th, 2012 4:13 pm

    Namkubali zaidi Irene Uwoya

  3. Comment by aida kamonga on September 26th, 2012 10:01 am

    mi namkubali zaidi Irene uwoya bwana yuko juu

  4. Comment by Anna on September 26th, 2012 10:50 am

    Kiukweli irene is the best more than wolper

  5. Comment by Anna madasha on September 26th, 2012 10:52 am

    IRENE IS THE BEST

  6. Comment by Carry on September 27th, 2012 2:13 am

    Irene uwoya ni mkaliii

  7. Comment by Kokusima on September 29th, 2012 5:31 pm

    Wamewahi kucheza movie moja mbona?? Jina limenitoka ila walicheza Kama magaidi Irene alimtuma Jack kuua. Irene namkubari kwa kweli

  8. Comment by neema lyimo on October 4th, 2012 7:32 am

    wolper yupo juu.

  9. Comment by qt. G on November 6th, 2012 5:02 am

    Uwoya the best

  10. Comment by oliver on November 10th, 2012 2:34 pm

    iren yup juuuuuu

  11. Comment by Enica on November 16th, 2012 8:48 am

    Irene yuko vizuri kwenye kila kitu yupo juu

  12. Comment by BEUTY BAIBZ on November 24th, 2012 9:00 am

    ME LOVE IRENE

  13. Comment by Fatma gwila on November 27th, 2012 3:30 pm

    Uwoya is da best

  14. Comment by Scupa on November 29th, 2012 2:25 pm

    Uwoya da beauty n talented

  15. Comment by catherine on December 2nd, 2012 2:05 am

    4 sure i appreciate and salute irene

  16. Comment by catherine on December 2nd, 2012 2:07 am

    uwoya ni mkali ile mbaya coz alinibamba xana kwenye ile movie ya sobbing sound

  17. Comment by Daynec on December 10th, 2012 7:37 am

    Uwoya ni noma.

  18. Comment by Prince kikya on December 16th, 2012 6:09 am

    Wolper de best

  19. Comment by james on December 17th, 2012 3:39 am

    wote wawili ni wakare!

  20. Comment by experance on December 17th, 2012 2:23 pm

    Ireen mkali Zaid anajua kuvaa uhalisia

  21. Comment by Jolijo on December 18th, 2012 5:58 pm

    All ar da best.

  22. Comment by Kisambya sauveur on January 5th, 2013 2:35 am

    Wote wako juu, ila Naamini Wolper.
    Tuache ubishi

  23. Comment by Abdias manzekele on January 9th, 2013 4:35 pm

    Les toutes sont experimentées, uwoya est speciale pour certains points de meme wolper pour autres points…

  24. Comment by Ahmed adam on January 16th, 2013 3:26 pm

    Irene yuko juu

  25. Comment by Scallypascal on January 18th, 2013 2:00 pm

    Hiii…..! Irene ni wagwaaaan.wolper 2lia.

  26. Comment by Nati on January 22nd, 2013 4:07 am

    walper mkali

  27. Comment by irene on January 23rd, 2013 4:27 pm

    irene wast da best

  28. Comment by emmedo on February 3rd, 2013 4:59 am

    kulinganisha IRENE na JACKELINE kiuzuri na kihuizaji nikama munanganisha TEAM ya TAIFA ya TANZANIA na brazil

  29. Comment by kilinako z shengelo on February 8th, 2013 4:32 am

    Jack is the BEST OF ALL TANZANIA ACTRESSES COZ SHE CAN ACT AS A COMEDIAN ALSO.Look PUSI NA PAKU

  30. Comment by Bakuju boy on February 19th, 2013 12:30 pm

    Achaga bana wolper iz da best actress than uwoya,mazee k!

  31. Comment by nique on February 20th, 2013 3:39 pm

    Irene yuko vizuri zaidi

  32. Comment by Matungwa Gosdfrey on February 22nd, 2013 3:28 pm

    Iren uwoya is the besttttttttttt

  33. Comment by EMMEDO EMMA on February 26th, 2013 1:51 am

    jamani sikuzote ukweli wasemwa IRENE awezi kulinganishwa kamwe na JACKELINE kiuzuri na kiugizaji IRENE fimbo nikama munalinganisha maisha ya uzunguni naya tanzania kamwe ibiwezekani

  34. Comment by anna on February 26th, 2013 5:47 am

    irene nafkr yupo vzuri

  35. Comment by Cathy on February 26th, 2013 6:54 am

    Irene is the best

  36. Comment by paul on March 1st, 2013 5:10 am

    mimi namuaminia Irene manzee ako juu.

  37. Comment by Amisi amani on March 18th, 2013 4:42 am

    Irene is da best

  38. Comment by EMMEDO EMMA on March 20th, 2013 6:45 am

    people could we stop compare IRENE with JACQUELINE please? beause its shame to all TANZANIAN. IRENE first that comparison doesn’t exist never ever otherwise we are stupid (stupidity comparison) but i am so sorry if we stop it thank u for your understanding.

  39. Comment by Jiah on April 19th, 2013 2:52 pm

    Mmmh Irene mkali nadhan coz she Has great personality en I think she is amazing coz anajua kitu anachokifanya en she is unique compare to othed celebrities

  40. Comment by irene uwoya on April 22nd, 2013 7:06 am

    irene uwoya black beat she ia the best over

  41. Comment by zeelaudaku on April 23rd, 2013 8:34 am

    ……. Ninadhani kuwa Uwoya ni mzuri kwa sura zaidi ya Wolper, ila nadhani vile vile kuwa Wolper an akili za kiutu uzima zaidi ya Irene, ingawa kwa vipimo vyote hawatoafautiani sana.

    …….. Nadhani kwa upande wa umalaya, Uwoya ni funga kazi; ukipuliza tu basi anaanguka mzima mzima. Pamoja na kuwa ndani ya ndoa amekanyagwa na wanaume wengi kuliko wasichana wote wa bongo movie, tena akijua wazi kuwa anatafunwa kama malaya tu siyo kama mpenzi wake.

Leave a Reply