Ubishi hauwezi kuwa na maana sana kama hatutokubaliana kwamba kwa upande wa Tanzania,Diamond ndio msanii ambaye yupo juu zaidi katika charts. Sababu zipo nyingi na sidhani kama kuna haja ya kuziainisha hapa kwa leo.

Ili kuendelea kubakia juu,ni muhimu kutoa vitu vipya.Huu hapa ni wimbo mpya kutoka kwa Diamond na wa kwanza kuuachia tangu atangaze kuwa na management mpya inayoongozwa na mpiga picha maarufu,Raqey. Wimbo unaitwa Nataka Kulewa na umefanyiwa AM Records ambayo ni studio iliyobeba tuzo ya Kili Music Award. Huu hapa

Audio clip: Adobe Flash Player (version 9 or above) is required to play this audio clip. Download the latest version here. You also need to have JavaScript enabled in your browser.

Be Sociable, Share!

Feedback / Comments

12 Responses to ““NATAKA KULEWA”-DIAMOND (BRAND NEW TRACK)”

  1. Comment by Hope on October 29th, 2012 2:55 pm

    The guy is good! lakini hakuna haja ya kulewa, we ongea naye tu atakuelewa:)

  2. Comment by Dadeez on October 29th, 2012 6:57 pm

    wimbo mzuri sana kama kawaida yake diamond lakini ndo hivyo tena, haijatofautiana na zile za zamani…kapita mule mule

  3. Comment by kiondo on October 30th, 2012 4:14 am

    huyu ni muathirika wa Wema. kila nyimbo ni lazima umguse. wataalamu wa saikologia watathibitisha hilo kwani wewe ndio umekuwa muongeaji mkuu all the time kupitia nyimbo, media na magazeti,so usilewe sema nae tell her how you feel. na kama si penzi basi ni defensive mechanism ili watu wakuone huruma uone umeonewa.

  4. Comment by Haffy said on October 30th, 2012 5:05 am

    Boss know you want to spoil you self by drinking.you don`t suit to drink.wajua kuwa mgema akisifiwa tembo ulijaza maji.be who you are.

  5. Comment by kiondo on October 31st, 2012 4:17 am

    yaaa very tru no diff anatamani kulewa au angekuwa na uwezo angekunywa pombe.

  6. Comment by fredrick doita on October 31st, 2012 9:24 pm

    diamond kwanza nampa bigapu kwa vesi zake ila kwenye bt haja leta ladha maana kaleta ile ya pasha na c anaju mziki beat

  7. Comment by Samil on November 1st, 2012 1:09 pm

    KUL SONG DIAMOND…. LETS GET IN TOUCH I WANT TO FEATURE U IN MY FIRST SONG… 0222650422 KINDLY GET IN TOUCH WITH ME….

  8. Comment by Louisa on November 2nd, 2012 4:56 am

    Wimbo mzuri DML, pole sana kwa gonjwa la mapenzi chezea wote ila Wema kiboko yao – lol

  9. Comment by JERUTO KIPCHUMBA on November 12th, 2012 1:59 pm

    U r tha best.

  10. Comment by tim mutua on November 21st, 2012 3:02 am

    wewe mtoto wa kimanyema uko juu tu saaaaana! bravo

  11. Comment by mimi supa handsome on November 28th, 2012 2:07 pm

    sitaki kukuzengua ndo manake sitakuuliza kwanini kwa yale usemayo kama nikunywa kunywa bora unazo cheda lewa kabsaa hadi zipande ndo uZimwage…

  12. Comment by idd msangi on November 28th, 2012 5:31 pm

    da kweli haya mapenzi sio usiniulze kwanini.
    diomond hatari sana.

Leave a Reply