Mbunge wa Njombe wa muda mrefu na mwanasiasa wa siku nyingi nchini, Mzee Jackson Myangila Makweta,amefariki dunia jioni hii jijini Dar-es-salaam, kutokana na matatizo ya moyo ambayo yalikuwa yakimsumbua.
Mbali ya kuwa miongoni mwa wabunge walioongoza majimbo yao kwa muda mrefu zaidi katika historia ya Tanzania, Jackson Makweta pia aliwahi kushika nyadhifa mbalimbali katika serikalini ya Tanzania zikiwemo zile za uwaziri(wa wizara mbalimbali),
BC inapenda kuungana na watanzania wote katika kuomboleza msiba huu na kutoa pole nyingi kwa ndugu,jamaa na marafiki na hususani familia yake. Mwenyezi Mungu ailaze roho yake mahali pema peponi.Amen
Feedback / Comments
Leave a Reply




sending...
