<?xml version="1.0" encoding="UTF-8"?>
<rss version="2.0"
	xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"
	xmlns:wfw="http://wellformedweb.org/CommentAPI/"
	xmlns:dc="http://purl.org/dc/elements/1.1/"
	xmlns:atom="http://www.w3.org/2005/Atom"
	xmlns:sy="http://purl.org/rss/1.0/modules/syndication/"
	xmlns:slash="http://purl.org/rss/1.0/modules/slash/"
	>

<channel>
	<title>BongoCelebrity &#187; Blogging</title>
	<atom:link href="http://www.bongocelebrity.com/category/blogging/feed/" rel="self" type="application/rss+xml" />
	<link>http://www.bongocelebrity.com</link>
	<description></description>
	<lastBuildDate>Mon, 06 Sep 2010 19:19:03 +0000</lastBuildDate>
	<language>en</language>
	<sy:updatePeriod>hourly</sy:updatePeriod>
	<sy:updateFrequency>1</sy:updateFrequency>
	<generator>http://wordpress.org/?v=3.0</generator>
		<item>
		<title>MAHOJIANO NA ISSA MICHUZI JUU YA UJIO WA MICHUZIPOST.COM</title>
		<link>http://www.bongocelebrity.com/2010/08/19/mahojiano-na-issa-michuzi-juu-ya-ujio-wa-michuzipost-com/</link>
		<comments>http://www.bongocelebrity.com/2010/08/19/mahojiano-na-issa-michuzi-juu-ya-ujio-wa-michuzipost-com/#comments</comments>
		<pubDate>Thu, 19 Aug 2010 14:54:24 +0000</pubDate>
		<dc:creator>bongocelebrity</dc:creator>
				<category><![CDATA[Blogging]]></category>
		<category><![CDATA[Blogs]]></category>

		<guid isPermaLink="false">http://www.bongocelebrity.com/2010/08/19/mahojiano-na-issa-michuzi-juu-ya-ujio-wa-michuzipost-com/</guid>
		<description><![CDATA[Upende,usipende,leo hii unapoongelea masuala ya nyanja ya habari na mawasiliano kupitia zana za blog kwa upande wa Tanzania(Tanzanian Blogsphere), huwezi kuepuka kumtaja Muhidin Issa Michuzi a.k.a Ankal,Mzee wa Libeneke. Mwanzoni alipoanzisha blog yake maudhui yake yalikuwa zaidi ni picha na maelezo kidogo juu ya picha hiyo au picha hizo.Hiyo ilitokana na ukweli kwamba Michuzi ni [...]]]></description>
			<content:encoded><![CDATA[<p style="text-align: center;"><img class="size-full wp-image-7418 aligncenter" title="MichuziNEW" src="http://www.bongocelebrity.com/wp-content/uploads/2010/08/MichuziNEW.jpg" alt="" width="415" height="618" /></p>
<p><span style="font-family: Georgia; font-size: 9pt;">Upende,usipende,leo hii unapoongelea masuala ya nyanja ya habari na mawasiliano kupitia zana za blog kwa upande wa Tanzania(Tanzanian Blogsphere), huwezi kuepuka kumtaja Muhidin Issa Michuzi a.k.a Ankal,Mzee wa Libeneke.<br />
</span></p>
<p><span style="font-family: Georgia; font-size: 9pt;">Mwanzoni alipoanzisha blog yake maudhui yake yalikuwa zaidi ni picha na maelezo kidogo juu ya picha hiyo au picha hizo.Hiyo  ilitokana na ukweli kwamba Michuzi ni seasoned professional photographer.<br />
</span></p>
<p><span style="font-family: Georgia; font-size: 9pt;">Baada ya muda fulani,na kutokana na mafanikio aliyokuwa ameyapata,ilimlazimu kutanua wigo wa blog yake na hivyo kutoishia katika picha na maelezo mafupi mafupi tu bali kujumuisha maelezo au habari zaidi.Leo hii,blog yake imekuwa kimbilio la wengi pale wanapotafuta habari motomoto kuhusu kinachoendelea nchini Tanzania,maeneo ya jirani na hata sehemu mbalimbali za ulimwengu.<br />
</span></p>
<p><span style="font-family: Georgia; font-size: 9pt;">Hivi sasa yupo mbioni(keshazianza mbio zenyewe) kuboresha zaidi kazi ngumu anayoifanya ya kuendeleza &#8220;libeneke&#8221;.Ameanzisha tovuti/blog mpya inayopatikana kupitia <a href="http://michuzipost.com">http://michuzipost.com</a><br />
</span></p>
<p><span style="font-family: Georgia; font-size: 9pt;">BC imepata nafasi ya kuongea naye machache kuhusu ujio huo wa MichuziPost na mambo mengine kuhusiana na tasnia ya habari na mawasiliano. Je,&#8221;wadau&#8221; watarajie nini katika uwanja huo mpya?Nini siri ya mafanikio yake mpaka hivi sasa?Ana ushauri gani kwa bloggers wapya na wale wanaofikiria kuanzisha blog?Fuatana nasi katika mahojiano yafuatayo;<br />
</span></p>
<p><span style="font-family: Georgia; font-size: 9pt;"><strong>BC: Kwanza nikupe Hongera nyingi kwa kazi nzito unayoifanya.Mambo yanakwendaje?</strong></span></p>
<p><strong> </strong></p>
<p><span style="font-family: Georgia; font-size: 9pt;"><strong>MICHUZI:</strong> Ahsante sana, mambo mswano tu. Libeneke kwa kwenda mbele. Yaani baada ya miaka mitano ya tufanikio kiduchu tulikopatikana, sasa ni wakati muafaka wa kupiga hatua tano mbele, na kusaidia ujenzi wa taifa letu kwa njia ya habari.</span></p>
<p>Nitakuwa mtovu wa hisani na fadhila endapo kama nitaanza kujieleza bila kwanza kuwashukuru wadau wa <a href="http://issamichuzi.blogspot.com/">Globu ya Jamii</a> popote walipo duniani, kwani bila sapoti yao sidhani kama ningefikia robo tu ya hapa nilipo.</p>
<p><span style="font-family: Georgia; font-size: 9pt;">Naomba kwa heshima na taadhima wape AHSANTE SANA wadau. Waambie nawapenda, nawaheshimu na nitandelea kuwa mtumishi wao wakati wa raha na wakati wa shida. Pia naomba ninaowaudhi kwa njia moja ama nyingine wanisamehe kwani mie ni binadamu na si kamilifu. Pia si rahisi kumridhisha kila mdau kwa kila jambo. Napenda sana kutumia ule msemo wa &#8216;what&#8217;s good for the goose, is bad for the hen&#8217;. Hivyo naomba uvumilivu na kuelekezana pale palipo na dosari.</span></p>
<p><strong>BC: Hivi karibuni utatimiza miaka mitano tangu ulipoanza ku-blog pale Helsink,Finland.Umepitia mengi,umeonana na wengi.Waliokuwa hawakujui,bila shaka hivi sasa wanakujua japo kwa sura tu.Unaielezea vipi safari hiyo ndefu tangu ulipoanza kwa maana ya kwamba umekabiliana na changamoto zipi nzito nzito na umejifunza mambo gani ya msingi katika uwanja mpana wa habari na mawasiliano?<span id="more-7414"></span><br />
</strong></p>
<p><span style="font-family: Georgia; font-size: 9pt;"><strong>MICHUZI:</strong> Changamoto nzito kubwa ya kwanza kwangu mimi ni maoni ya wadau. Kwa kweli haya maoni, ambayo ndiyo kiungo muhimu, nayaheshimu sana kiasi hata siruhusu mtu mwingine ayapitie maana yote yameletwa kwa minajili ya kuonekana na kusomeka.<br />
</span></p>
<p><span style="font-family: Georgia; font-size: 9pt;">Sasa linapokuja swala la kuchuja hapo ndipo kunakuwa na kazi kubwa kupita zote. Na hapo sijataja wingi wake (saa ingine hufika hadi 2000 kwa siku) wala urefu wake, katika kupitia ambapo inabidi upitie yote neno kwa neno.<br />
</span></p>
<p><span style="font-family: Georgia; font-size: 9pt;">Kaka <a href="http://bongocelebrity.com/2007/08/18/tafakuri-ya-kina-na-ndesanjo-macha/">Ndesanjo Macha</a> alipokuwa ananiingiza rasmi kwenye tasnia ya Blog hiyo <a href="http://issamichuzi.blogspot.com/2005/09/michuzi-and-ndesanjo.html#comments">September 8, 2005 kule Helsinki</a>, onyo la kwanza alilonipa ni kuwa makini sana na michango ya wadau. Awali nilikuwa naachia &#8216;Fungulia Mbwa&#8217; ikaelekea wadau kutumia uhuru huo isivyofaa na kuanza kuchafua hali ya hewa na kujeruhi watu.</span></p>
<p><span style="font-family: Georgia; font-size: 9pt;">Changamoto ingine ni gharama za uendeshaji kwani inabidi utumie pesa nyingi sio tu kwenye intaneti bali pia vifuta jasho kwa wasaidizi.Nashukuru kwamba hivi karibuni  <a href="http://michuzipost.com" target="_blank">michuzipost.com</a> itakuwa kampuni kamili na kuanza kuajiri wafanyakazi wa kada zote. Tuombe mungu tu.</span></p>
<p>Cha msingi nilichojifunza katika safari yangu hii ni kwamba Watanzania tunapendana, hatusiti kusaidiana na pia ni wacheshi na wapenda utani sana. Kama huna haiba hiyo unaweza kujikuta unakuja juu na kukasirika kwa kucharurwa kidogo tu, na watu walio na nia njema tu kwako.</p>
<p><span style="font-family: Georgia; font-size: 9pt;">Mfano nilikuwa natuhumiwa kwamba napendelea <a href="http://www.cms.ccmtz.org/index.php?setLang=3">CCM</a> katika kuposti, ila hawakutaka kujua kwamba CCM wana njia nzuri ya kufikisha habari kila kona. Hatimaye vyama vingine kama <a href="http://www.chadema.or.tz/index.php">CHADEMA</a> na CUF vilipoanza kuleta habari nami kuchapisha, nikaanza kucharurwa &#8211; ati nimewagwaya CHADEMA na <a href="http://en.wikipedia.org/wiki/Civic_United_Front">CUF </a>kwa kuwa wamenipiga mkwara, wakati ukweli ni kuwa habari zao sasa zinapatikana kirahisi. Hizo ndizo changamoto nilizozipata nami nashukuru nimeshazoea, na kujua fika kwamba ubinadamu kazi.</span></p>
<p style="text-align: center;"><span style="font-family: Georgia; font-size: 9pt;"><strong><br />
<img class="size-full wp-image-7421 aligncenter" title="Michu" src="http://www.bongocelebrity.com/wp-content/uploads/2010/08/Michu.jpg" alt="" width="458" height="310" /> </strong><br />
<strong>BC: Blog yako ni miongoni mwa vyanzo muhimu vya habari.Leo hii watu wengi,hususani waliopo nje ya nchi,wakitaka kujua kinachoendelea nchini,hukimbilia kwenye blog yako.Nini siri ya mafanikio hayo?</strong></span></p>
<p><span style="font-family: Georgia; font-size: 9pt;"><strong>MICHUZI:</strong> Hakuna siri ya mafanikio zaidi ya kumuomba Mungu, kufanya kazi kwa mapenzi (passion), kujua nini wadau wanataka na sio nini wewe unataka. Uendelevu usiokoma (unflagging consistency), kupenda utani na matani na kuelezea kitu kwa lugha nyepesi iliyo katika anga kwa wakati husika.<br />
</span></p>
<p><span style="font-family: Georgia; font-size: 9pt;">Vile vile kuwa na lengo la kupasha habari chap chap, na sio kungoja taarifa ya habari ya saa mbili ama gazeti la kesho. Mambo ya leo lazima wadau wayajue leo leo. Nafurahi kuona vyombo kibao vya habari vimebuni tovuti na kuweka habari zao humo. Nawasikitikia wenye vyombo vya habari ambao hawana mitandao ya magazeti, redio, TV na kadhalika. Ni mawazo hasi kudhani kuwa kwa kuweka habari kwenye tovuti ni kudumaza usomaji ama usikilizaji.  Tovuti hujenga heshima kwa chombo husika na kuaminika. Pia ni muhimu kwa waandishi wa vyombo kuwa na blog kila mmoja. Yaani baada ya kuandika habari kwa chombo chake, anatumia blog kuchambua tukio kwa muono wake.<br />
</span></p>
<p><span style="font-family: Georgia; font-size: 9pt;">Wenzetu ughaibuni wanafanya hivyo na hupelekea wingi wa wasikilizaji ama wasomaji kuongezeka. Mwandishi wa habari aliye na blog ambayo kijuujuu inaonekana anashindana na mwajiri wake si adui bali ni rasilimali ambayo ikitumiwa vyema inaweza kupandisha chati chombo husika. Hapo ni kujipanga na kumtaka mwandishi awe anaelekeza wasomaji ama wasikilizaji kwenye chombo hicho. Mfano kukiwa na Breaking News mwandishi kwenye blog yake anaweza akatoa dondoo ya tukio ama habari hiyo kwa ufupi, kisha kumwelekeza msomaji apate habari nzima kwenye chombo husika. Hapo atakuwa amewezesha idadi ya wasomaji kuwa wengi na hakuna kitu ambacho watangazaji (advertisers) wanapenda kama wingi wa wasomaji katika chombo husika.</span></p>
<p><strong>BC: Hivi sasa upo katika soft launching ya mtandao mpya ambao bila shaka katika siku kadhaa zijazo unatarajiwa kuumeza mtandao wa sasa.Naongelea <a href="http://michuzipost.com" target="_blank">http://michuzipost.com</a> ambayo tayari ipo hewani.Unawaambia nini wasomaji wako na watanzania kwa ujumla kuhusu uwanja huu mpya?Umejiandaa vipi kuhakikisha kwamba unaendeleza &#8220;libeneke&#8221; kwa namna ile ile ambayo watu wengi wameshaizoea?</strong></p>
<p><span style="font-family: Georgia; font-size: 9pt;"><strong>MICHUZI:</strong> Ama hakika kama ni ndoto, basi imetimia. Siku zote katika miaka hii mitano ya ku-Blog nimekuwa nikiota kuwa na mtandao kama huu <a href="http://michuzipost.com" target="_blank">http://michuzipost.com</a> na kama utakumbuka kuna wakati nilijaribu kuja na aina nyingine ya mtandao ila ukashindikana kwani sikuwa nimejiandaa. Sasa hivi nimejiandaa kikamilifu kwa kuwa na nyenzo kibao ikiwa ni pamoja na kuwa na dedicated server yangu mwenyewe ambapo wasomaji 100,000 wanaweza kuwa ndani ya wavuti kwa wakati mmoja bila kuleta kwikwi ya spidi ama nini.<br />
</span></p>
<p><span style="font-family: Georgia; font-size: 9pt;">Pia kuna viunganishi katika social networks zingine maarufu kama vile facebook, twitter na YouTube pamoja na RSS feeds ili kuweza kufikia kila mtu katika kile kona.<br />
</span></p>
<p><span style="font-family: Georgia; font-size: 9pt;">Jipya katika libeneke hili la <a href="http://michuzipost.com" target="_blank">http://michuzipost.com</a> ni Michuzi TV ambayo kwa kupitia &#8216;Live Streaming&#8217;, na mambo yakishakaa sawa kabisa, wadau watakuwa na fursa ya kuangalia matangazo ya moja kwa moja ya TV kwenye kompyuta zao. Yaani kutakuwa na matangazo ya TV  ya taarifa za habari, upembuzi wa magazetini leo, muziki na matukio kama zilivyo TV zingine. Mfano wakati wa kampeni za uchaguzi mkuu ujao wadau watapata fursa ya kuona na kusikia kinachoendelea moja kwa moja toka sehemu ya tukio na wakati ule ule kupitia Michuzi TV. Mipango ya kuwa na Michuzi Radio ndani ya tovuti hii pia iko mbioni.<br />
</span></p>
<p><span style="font-family: Georgia; font-size: 9pt;">Uwanja huu mpya pia utajikita katika kutoa taarifa muhimu kama vile nyumba (real estate &amp; property) zilizo sokoni kwa kuuzwa ama kupangishwa, tenda zilizopo serikalini ama kwa watu binafsi, manunuzi (procurement) na kadhalika. Pia kutakuwa na uwanja wa wadau kuleta Hoja Binafsi zijadiliwe. Hali kadhalika mfumo mzima unaompa msomaji fursa rahisi ya kufunua ukurasa autakao, tofauti na blog ya kawaida ambapo kila kitu kipo katika ukurasa mmoja na hutoweka ukurasani baada ya muda. Hivyo kama utataka habari za michezo unabofya penye &#8216;Sport&#8217; nawe utapata mlolongo wote wa mambo ya michezo yaliyopo hewani katika ukurasa husika. Ukiangalia kwa makini utakuta kurasa zote ni rafiki wa matumizi (user friendly) na haihitaji mtu kuwa mtaalamu wa TEKNOHAMA kuweza kuperuzi na kudadisi.<br />
</span></p>
<p><span style="font-family: Georgia; font-size: 9pt;">Vile vile sehemu ya maoni ipo wazi kwa kila post, na hakuna jambo linalochangamsha mtandao kama kuruhusu ushiriki wa wasomaji (interaction), badala ya habari kuwa ya upande mmoja tu. Yaani hivi sasa msomaji naye ana uhuru wa kuchangia mawazo ama upande mbadala wa lililoandikwa ama kutangazwa.</span></p>
<p><strong>BC: Kila kukicha watanzania mbalimbali wanaanzisha blogs.Pamoja na hayo blog nyingi zinakuwa active kwa muda mfupi sana kisha zinatokomea.Una ushauri gani kwa watu wanaoanzisha blogs kuhusu jinsi ya kuhakikisha  kwamba blog zao zinakua na kubakia active?</strong></p>
<p><strong>MICHUZI:</strong> Ni kweli kila kukicha blog mpya huanzishwa nami huwa nafurahi sana. Aidha, huwa sisiti kumtangazia mtu blog yake akiomba nifanye hivyo. Lakini si uwongo kwamba wakati mwingine inaboa, hasa pale blog uliyoipromoti inapododa baada ya muda mfupi.</p>
<p><span style="font-family: Georgia; font-size: 9pt;">Lakini nadhani kuna mambo kadhaa yanayochangia hilo, na si vyema kutuma lawama za jumla. Tuangalie sababu ambazo nadhani ndizo chanzo cha kudoda kwa blog nyingi.<br />
</span></p>
<p><span style="font-family: Georgia; font-size: 9pt;">Mtu kuanzisha blog bila kuwa na lengo mahususi la kufanya hivyo. Mtu anakurupuka kuanzisha blog na kutaka kuwa kama BongoCelebrity ama Michuzi kwa usiku mmoja. Hajui ama kasahau kwamba wenzie sio tu wameanza muda mrefu na wameumia sana kufika hapo walipo kwa kazi za usiku na mchana (mfano mie muda wa kulala nimeshasahau ni wakati gani kwa wingi wa kazi, hasa za kupitia maoni ambayo kuna wakati hufikia hata 2000 kwa siku! Na lazima uyapitie yote ili yasijepenya ya kuchafua hali ya hewa ama kujeruhi nafsi ya mtu ama za watu). Hivyo utakuta mtu asiye na malengo anadhani blog ni habari za kila siku tu, kwa vile Michuzi na wenzie wanafanya hivyo na kupata wasomaji kibao. Anasahau kuwa wakina Michuzi ni wanahabari wenye vibali vya kuingia kila mahali na kusaka habari.<br />
</span></p>
<p style="margin-left: 36pt;">
<p><span style="font-family: Georgia; font-size: 9pt;">Ushauri wangu ni kwamba sio lazima kila blog iwe ya habari za siku. Tafuta mada ambayo utaivalia njuga na kucheza nayo kila siku. Mfano rahisi ni kama kina <a href="http://janejohn5.blogspot.com/">Jane John </a>ambaye anashambulia mambo ya michezo na wachezaji. <a href="http://8020fashions.blogspot.com/">Shamim Zeze </a>anaendeleza libeneke la mitindo na mavazi. Kuna <a href="http://mamanamwana.blogspot.com/">Jiang Alipo</a> anayekupa habari za mama na mwana (malezi na uzazi), ama <a href="http://www.makulilo.blogspot.com/">Ernest Makulillo jr</a> anayecheza mna libeneke na vyuo vikuu na nafasi za masomo ughaibuni. Hivyo utakuta hawa hawahangaiki sana, kwani mada zao zipo kila pembe na haina kazi kuzipata. Nashauri kila mtu aanzishe blog lakini iwe na mada anayoifahamu, anayoimudu na ambayo haina ukomo.</span></p>
<p><strong>BC: Kila la kheri kaka katika kazi zako.<br />
</strong></p>
<p><span style="font-family: Georgia; font-size: 9pt;"><strong>MICHUZI:</strong> Nashukuru sana BC</span></p>
]]></content:encoded>
			<wfw:commentRss>http://www.bongocelebrity.com/2010/08/19/mahojiano-na-issa-michuzi-juu-ya-ujio-wa-michuzipost-com/feed/</wfw:commentRss>
		<slash:comments>5</slash:comments>
		</item>
		<item>
		<title>MADARAKA NYERERE&#8217;S BLOG</title>
		<link>http://www.bongocelebrity.com/2010/01/25/madaraka-nyereres-blog/</link>
		<comments>http://www.bongocelebrity.com/2010/01/25/madaraka-nyereres-blog/#comments</comments>
		<pubDate>Tue, 26 Jan 2010 02:54:18 +0000</pubDate>
		<dc:creator>bongocelebrity</dc:creator>
				<category><![CDATA[Blogging]]></category>
		<category><![CDATA[Blogs]]></category>

		<guid isPermaLink="false">http://www.bongocelebrity.com/?p=5591</guid>
		<description><![CDATA[Nimekuwa katika vuguvugu la habari na mawasiliano kwa njia ya blog kwa muda sasa.Kila siku huwa napitia blogs zaidi ya 500! Huwa natumia huduma ya www.bloglines.com. Ukiandika kitu basi naambiwa umeandika na hivyo napita na kusoma.Ukiwa hujaandika,basi siku hiyo napata muda wa kuperuzi au kutafuta blogs zingine,kuziingiza kwenye orodha yangu ya bloglines.Siku inakuwa imekwenda au [...]]]></description>
			<content:encoded><![CDATA[<p style="text-align: center;"><img class="size-full wp-image-5592 aligncenter" title="Madaraka" src="http://www.bongocelebrity.com/wp-content/uploads/2010/01/Madaraka.jpg" alt="" width="448" height="336" /></p>
<p>Nimekuwa katika vuguvugu la habari na mawasiliano kwa njia ya blog kwa muda sasa.Kila siku huwa napitia blogs zaidi ya 500! Huwa natumia huduma ya <em>www.bloglines.com</em>. Ukiandika kitu basi naambiwa umeandika na hivyo napita na kusoma.Ukiwa hujaandika,basi siku hiyo napata muda wa kuperuzi au kutafuta blogs zingine,kuziingiza kwenye orodha yangu ya bloglines.Siku inakuwa imekwenda au naendelea na kazi zingine.</p>
<p>Leo nikiwa katika pitia pitia yangu mtandaoni,nimekutana na blog ya Madaraka Nyerere,mtoto wa <a href="http://www.bongocelebrity.com/2007/10/14/tunapomkumbuka-mwalimu-nyerere/">Hayati Baba wa Taifa,Mwalimu Julius Kambarage Nyerere</a>. Cha kwanza kilichonijia kichwani ni hasira fulani.Iweje siku zote hizi sikujua kuhusu blog ya Madaraka? Haikutangazwa au ilikuwaje? Hasira zangu ziliyeyuka kama vile barafu inapopigwa na jua baada ya kuanza kuipitia blog yake.Imesheheni habari kemkem.Madaraka ni mwandishi mzuri.Simulizi zake ni nyepesi kama pamba lakini maudhui yake ni mazito kuliko yale mawe yanaouzunguka mji wa Mwanza.</p>
<p><a href="http://madarakanyerere.blogspot.com/"><strong>Bonyeza hapa ili kuitembelea blog hiyo.</strong></a> Nikisema mkaribishe nitakuwa nakosea kwani amekuwepo kwa muda sasa.Bravo Madaraka.</p>
<p>Pichani juu ni Madaraka Nyerere(kulia) akiwa na Jaffar Amin,mtoto wa Iddi Amini aliyewahi kuwa Rais wa Uganda. Soma zaidi kuhusu mkutano wao.</p>
<p><img id="myFxSearchImg" style="border: medium none; position: absolute; z-index: 2147483647; opacity: 0.6; display: none;" src="%3D" alt="" width="24" height="24" /></p>
]]></content:encoded>
			<wfw:commentRss>http://www.bongocelebrity.com/2010/01/25/madaraka-nyereres-blog/feed/</wfw:commentRss>
		<slash:comments>13</slash:comments>
		</item>
		<item>
		<title>ASPIRING MODELS</title>
		<link>http://www.bongocelebrity.com/2010/01/05/aspiring-models/</link>
		<comments>http://www.bongocelebrity.com/2010/01/05/aspiring-models/#comments</comments>
		<pubDate>Wed, 06 Jan 2010 02:42:37 +0000</pubDate>
		<dc:creator>bongocelebrity</dc:creator>
				<category><![CDATA[Blogging]]></category>
		<category><![CDATA[Blogs]]></category>
		<category><![CDATA[Models]]></category>

		<guid isPermaLink="false">http://www.bongocelebrity.com/?p=5447</guid>
		<description><![CDATA[Sitaki kusema mengi leo.Kama unapenda unachokiona pichani basi mtembelee Master Taji Liundi katika blog yake ya u-modo kwa kubonyeza hapa. Ukitaka kusoma mahojiano yangu na Taji Liundi(Master T) hivi karibuni,bonyeza hapa.]]></description>
			<content:encoded><![CDATA[<p style="text-align: center;"><img class="size-full wp-image-5448 aligncenter" title="Model-Taji" src="http://www.bongocelebrity.com/wp-content/uploads/2010/01/Model-Taji.JPG" alt="Model-Taji" width="336" height="448" /></p>
<p>Sitaki kusema mengi leo.Kama unapenda unachokiona pichani basi mtembelee Master Taji Liundi katika blog yake ya u-modo kwa <a href="http://modotz.blogspot.com/"><strong>kubonyeza hapa</strong></a>.</p>
<p>Ukitaka kusoma mahojiano yangu na Taji Liundi(Master T) hivi karibuni,<a href="http://www.bongocelebrity.com/2009/09/21/an-open-chitchat-with-master-t/">bonyeza hapa</a>.</p>
<p><img id="myFxSearchImg" style="border: medium none; position: absolute; z-index: 2147483647; opacity: 0.6; display: none;" src="%3D" alt="" width="24" height="24" /></p>
]]></content:encoded>
			<wfw:commentRss>http://www.bongocelebrity.com/2010/01/05/aspiring-models/feed/</wfw:commentRss>
		<slash:comments>5</slash:comments>
		</item>
		<item>
		<title>ZIMEBAKI SIKU 9 TU!</title>
		<link>http://www.bongocelebrity.com/2009/09/03/zimebaki-siku-9-tu/</link>
		<comments>http://www.bongocelebrity.com/2009/09/03/zimebaki-siku-9-tu/#comments</comments>
		<pubDate>Thu, 03 Sep 2009 14:10:46 +0000</pubDate>
		<dc:creator>bongocelebrity</dc:creator>
				<category><![CDATA[Blogging]]></category>
		<category><![CDATA[Blogs]]></category>
		<category><![CDATA[Tangazo/Matangazo]]></category>

		<guid isPermaLink="false">http://www.bongocelebrity.com/2009/09/03/zimebaki-siku-9-tu/</guid>
		<description><![CDATA[Je wewe ni mwanablogu (Blogger) au mdau wa habari na mawasiliano kwa umma kwa kutumia mtandao? Kama jibu ni ndio, tafadhali unaombwa kujiorodhesha kwa ajili ya maandalizi ya Kongamano Maalumu la Kitaifa kwa ajili Wanablogu (Bloggers) na wadau wa habari na mawasiliano wa Tanzania (Tanzanians Bloggers Summit) linalotarajiwa kufanyika Desemba mwaka huu jijini Dar-es-salaam,Tanzania. Dhumuni [...]]]></description>
			<content:encoded><![CDATA[<p style="text-align: center;"><img class="size-full wp-image-4663 aligncenter" title="summit-logo" src="http://www.bongocelebrity.com/wp-content/uploads/2009/09/summit-logo.jpg" alt="summit-logo" width="447" height="146" /></p>
<p><span style="font-family:Georgia; font-size:9pt">Je wewe ni mwanablogu (Blogger) au mdau wa habari na mawasiliano kwa umma kwa kutumia mtandao? Kama jibu ni ndio, tafadhali unaombwa kujiorodhesha kwa ajili ya maandalizi ya Kongamano Maalumu la Kitaifa kwa ajili Wanablogu (Bloggers) na wadau wa habari na mawasiliano wa Tanzania (Tanzanians Bloggers Summit) linalotarajiwa kufanyika Desemba mwaka huu jijini Dar-es-salaam,Tanzania.</span></p>
<p>Dhumuni la kongamano hili ni Kuelimishana, Kufahamiana, Kuamsha Utambuzi Rasmi Kuhusu Tekinolojia ya Blogu na Mawasiliano ya Umma kwa Kutumia Mitandao, Kusaidia Utambuzi Rasmi juu ya mchango wa blogu nchini Tanzania kama chombo muhimu cha habari na mawasiliano, Kuelimishana jinsi gani blogu zinaweza kutumika katika kuleta maendeleo katika nyanja za kijamii, kisiasa na kiuchumi, kuburudisha, kukuza utamaduni nk.</p>
<p>Wataalamu mbalimbali kutoka ndani na nje ya nchi wataalikwa kutoa mada na mafunzo mbalimbali kuhusiana na tekinolojia ya kublogu, zana nyinginezo za mawasiliano mtandaoni kama vile mitandao jamii(social networking), online forums nk.Kutakuwa na vipindi vya maswali na majibu.</p>
<p><span style="font-family:Georgia; font-size:9pt">Ili kufanikisha maandalizi ya Kongamano hili la kihistoria, kujiorodhesha kwako ni muhimu sana. Muda wa kujiodhoresha ni kuanzia tarehe <strong>12/8/2009</strong> (Jumatano) mpaka <strong>12/9/2009</strong> (Jumamosi) tu.<br />
</span></p>
<p><span style="font-family:Georgia; font-size:9pt"><strong>Kinachohitajika ili kujiandikisha ni :<br />
</strong></span></p>
<p><span style="font-family:Georgia; font-size:9pt">Jina Lako, Anuani yako ya barua pepe (E-mail), Mahali Ulipo au unapoishi (Nchi,mji nk),Namba ya Simu (sio lazima) na Anuani au URL(Universal Resource Locator) ya blogu yako (mfano <a href="http://www.kongamano.blogspot.com/wordpress.com/.com/typepad" target="_blank"><span style="color: blue; text-decoration: underline;">www.kongamano.blogspot.com/wordpress.com/.com/typepad</span></a> nk). Vyeti vya Ushiriki vitatolewa kulingana na habari utakazoziorodhesha hapa.<br />
</span></p>
<p><span style="font-family:Georgia; font-size:9pt">Unaweza kujiorodhesha kwa kutuma ombi lako kwa barua pepe kwenda; <a href="mailto:summit@bongocelebrity.com" target="_blank"><span style="color: blue; text-decoration: underline;">summit@bongocelebrity.com</span></a>.<br />
</span></p>
<p><span style="font-family:Georgia; font-size:9pt">Zingatia tarehe za kujiandikisha.<br />
</span></p>
<p><span style="font-family:Georgia; font-size:9pt">Ni mwezi mmoja tu! Asante kwa ushirikiano. UMOJA NI NGUVU!<br />
</span></p>
]]></content:encoded>
			<wfw:commentRss>http://www.bongocelebrity.com/2009/09/03/zimebaki-siku-9-tu/feed/</wfw:commentRss>
		<slash:comments>2</slash:comments>
		</item>
		<item>
		<title>TANGAZO LA KONGAMANO LA KITAIFA LA WANABLOGU TANZANIA</title>
		<link>http://www.bongocelebrity.com/2009/08/11/tangazo-la-kongamano-la-kitaifa-la-wanablogu-tanzania/</link>
		<comments>http://www.bongocelebrity.com/2009/08/11/tangazo-la-kongamano-la-kitaifa-la-wanablogu-tanzania/#comments</comments>
		<pubDate>Wed, 12 Aug 2009 03:12:02 +0000</pubDate>
		<dc:creator>bongocelebrity</dc:creator>
				<category><![CDATA[Blogging]]></category>
		<category><![CDATA[Blogs]]></category>
		<category><![CDATA[Tanzania/Zanzibar]]></category>

		<guid isPermaLink="false">http://www.bongocelebrity.com/2009/08/09/tangazo-la-kongamano-la-kitaifa-la-wanablogu-tanzania/</guid>
		<description><![CDATA[Je wewe ni mwanablogu (Blogger) au mdau wa habari na mawasiliano kwa umma kwa kutumia mtandao? Kama jibu ni ndio, tafadhali unaombwa kujiorodhesha kwa ajili ya maandalizi ya Kongamano Maalumu la Kitaifa kwa ajili Wanablogu (Bloggers) na wadau wa habari na mawasiliano wa Tanzania (Tanzanians Bloggers Summit) linalotarajiwa kufanyika Desemba mwaka huu jijini Dar-es-salaam,Tanzania. Dhumuni [...]]]></description>
			<content:encoded><![CDATA[<p style="text-align: center;"><img class="size-large wp-image-4430     aligncenter" title="summit-logo" src="http://www.bongocelebrity.com/wp-content/uploads/2009/08/summit-logo-1024x331.jpg" alt="summit-logo" width="466" height="152" /></p>
<p style="text-align: left;"><span style="font-family:Times New Roman; font-size:12pt">Je wewe ni mwanablogu (Blogger) au mdau wa habari na mawasiliano kwa umma kwa kutumia mtandao? Kama jibu ni ndio, tafadhali unaombwa kujiorodhesha kwa ajili ya maandalizi ya Kongamano Maalumu la Kitaifa kwa ajili Wanablogu (Bloggers) na wadau wa habari na mawasiliano wa Tanzania (Tanzanians Bloggers Summit) linalotarajiwa kufanyika Desemba mwaka huu jijini Dar-es-salaam,Tanzania.</span></p>
<p style="text-align: left;">Dhumuni la kongamano hili ni Kuelimishana, Kufahamiana, Kuamsha Utambuzi Rasmi Kuhusu Tekinolojia ya Blogu na Mawasiliano ya Umma kwa Kutumia Mitandao, Kusaidia Utambuzi Rasmi juu ya mchango wa blogu nchini Tanzania kama chombo muhimu cha habari na mawasiliano, Kuelimishana jinsi gani blogu zinaweza kutumika katika kuleta maendeleo katika nyanja za kijamii, kisiasa na kiuchumi, kuburudisha, kukuza utamaduni nk.</p>
<p style="text-align: left;">Wataalamu mbalimbali kutoka ndani na nje ya nchi wataalikwa kutoa mada na mafunzo mbalimbali kuhusiana na tekinolojia ya kublogu, zana nyinginezo za mawasiliano mtandaoni kama vile mitandao jamii(social networking), online forums nk.Kutakuwa na vipindi vya maswali na majibu.</p>
<p style="text-align: left;"><span style="font-family:Times New Roman; font-size:12pt">Ili kufanikisha maandalizi ya Kongamano hili la kihistoria, kujiorodhesha kwako ni muhimu sana. Muda wa kujiodhoresha ni kuanzia tarehe <strong>12/8/2009</strong> (Jumatano) mpaka <strong>12/9/2009</strong> (Jumamosi) tu.<br />
</span></p>
<p style="text-align: left;"><span style="font-family:Times New Roman; font-size:12pt"><strong>Kinachohitajika ili kujiandikisha ni :<br />
</strong></span></p>
<p style="text-align: left;"><span style="font-family:Times New Roman; font-size:12pt">Jina Lako, Anuani yako ya barua pepe (E-mail), Mahali Ulipo au unapoishi (Nchi,mji nk),Namba ya Simu (sio lazima) na Anuani au URL(Universal Resource Locator) ya blogu yako (mfano <a href="http://www.kongamano.blogspot.com/wordpress.com/.com/typepad" target="_blank"><span style="color: blue; text-decoration: underline;">www.kongamano.blogspot.com/wordpress.com/.com/typepad</span></a> nk). Vyeti vya Ushiriki vitatolewa kulingana na habari utakazoziorodhesha hapa.<br />
</span></p>
<p style="text-align: left;"><span style="font-family:Times New Roman; font-size:12pt">Unaweza kujiorodhesha kwa kutuma ombi lako kwa barua pepe kwenda; <a href="mailto:summit@bongocelebrity.com" target="_blank"><span style="color: blue; text-decoration: underline;">summit@bongocelebrity.com</span></a>.<br />
</span></p>
<p style="text-align: left;"><span style="font-family:Times New Roman; font-size:12pt">Zingatia tarehe za kujiandikisha.<br />
</span></p>
<p style="text-align: left;"><span style="font-family:Times New Roman; font-size:12pt">Ni mwezi mmoja tu! Asante kwa ushirikiano. UMOJA NI NGUVU!<br />
</span></p>
]]></content:encoded>
			<wfw:commentRss>http://www.bongocelebrity.com/2009/08/11/tangazo-la-kongamano-la-kitaifa-la-wanablogu-tanzania/feed/</wfw:commentRss>
		<slash:comments>7</slash:comments>
		</item>
		<item>
		<title>SHE BLOGS ALSO!</title>
		<link>http://www.bongocelebrity.com/2009/07/22/she-blogs-also/</link>
		<comments>http://www.bongocelebrity.com/2009/07/22/she-blogs-also/#comments</comments>
		<pubDate>Wed, 22 Jul 2009 14:17:48 +0000</pubDate>
		<dc:creator>bongocelebrity</dc:creator>
				<category><![CDATA[Blogging]]></category>
		<category><![CDATA[Blogs]]></category>
		<category><![CDATA[DJs]]></category>

		<guid isPermaLink="false">http://www.bongocelebrity.com/?p=4293</guid>
		<description><![CDATA[Unamjua Dina Marios kama mtangazaji maarufu wa Clouds FM kupitia kipindi chake cha Leo Tena. Ambacho unaweza kuwa hukijui kuhusu Dina ni kwamba yeye pia ni blogger. Dina ana-blog kupitia www.dinamarios.blogspot.com. Ninachopenda kuhusu blog ya Dina ni topics mbalimbali ambazo anazirusha kila mara.Mtembelee ujionee mwenyewe kwa kubonyeza hapa.]]></description>
			<content:encoded><![CDATA[<p style="text-align: center;"><img class="size-full wp-image-4294 aligncenter" title="dinabc" src="http://www.bongocelebrity.com/wp-content/uploads/2009/07/dinabc.jpg" alt="dinabc" width="448" height="263" /></p>
<p>Unamjua <a href="http://www.bongocelebrity.com/2007/12/04/utangazaji-ni-kipajilakini-dina-marios/#more-660">Dina Marios</a> kama mtangazaji maarufu wa Clouds FM kupitia kipindi chake cha <em>Leo Tena</em>. Ambacho unaweza kuwa hukijui kuhusu Dina ni kwamba yeye pia ni blogger. Dina ana-blog kupitia www.dinamarios.blogspot.com. Ninachopenda kuhusu blog ya Dina ni topics mbalimbali ambazo anazirusha kila mara.Mtembelee ujionee mwenyewe kwa <a href="http://dinamarios.blogspot.com/">kubonyeza hapa.</a></p>
]]></content:encoded>
			<wfw:commentRss>http://www.bongocelebrity.com/2009/07/22/she-blogs-also/feed/</wfw:commentRss>
		<slash:comments>15</slash:comments>
		</item>
		<item>
		<title>ANSBERT NGURUMO ANAPOJADILI BLOGS</title>
		<link>http://www.bongocelebrity.com/2009/01/18/ansbert-ngurumo-anapojadili-blogs/</link>
		<comments>http://www.bongocelebrity.com/2009/01/18/ansbert-ngurumo-anapojadili-blogs/#comments</comments>
		<pubDate>Sun, 18 Jan 2009 18:50:01 +0000</pubDate>
		<dc:creator>bongocelebrity</dc:creator>
				<category><![CDATA[Blogging]]></category>
		<category><![CDATA[Blogs]]></category>
		<category><![CDATA[Mtandao]]></category>
		<category><![CDATA[Uandishi]]></category>

		<guid isPermaLink="false">http://bongocelebrity.wordpress.com/2009/01/17/ansbert-ngurumo-anapojadili-blogs/</guid>
		<description><![CDATA[Jina la Ansbert Ngurumo sio geni hata kidogo miongoni mwa wapenda habari na mawasiliano na hususani wapenzi wa habari za magazetini. Ansbert ni miongoni mwa waandishi wa habari mahiri nchini Tanzania ambao wamejijengea sifa na heshima kutokana na kazi zao za uandishi wa habari. Safu yake ya Maswali Magumu,inayochapishwa katika gazeti la Tanzania Daima kila [...]]]></description>
			<content:encoded><![CDATA[<p><span style="font-family:Verdana;font-size:9pt;"><img class="size-full wp-image-2822 alignleft" title="ansbert-ngurumobc" src="http://bongocelebrity.files.wordpress.com/2009/01/ansbert-ngurumobc.jpg" alt="ansbert-ngurumobc" width="209" height="314" />Jina la <strong>Ansbert Ngurumo</strong> sio geni hata kidogo miongoni mwa wapenda habari na mawasiliano na hususani wapenzi wa habari za magazetini. Ansbert ni miongoni mwa waandishi wa habari mahiri nchini Tanzania ambao wamejijengea sifa na heshima kutokana na kazi zao za uandishi wa habari.<br />
</span></p>
<p><span style="font-family:Verdana;font-size:9pt;">Safu yake ya Maswali Magumu,inayochapishwa katika gazeti la <a href="http://www.freemedia.co.tz/" target="_blank">Tanzania Daima</a> kila jumapili inabakia kuwa safu yenye wasomaji lukuki huku kila mara ikizua mijadala ya aina yake jambo ambalo ni uthibitisho kwamba sio tu inapendwa bali pia hujibu na pia kuuliza Maswali Magumu.<br />
</span></p>
<p><span style="font-family:Verdana;font-size:9pt;">Ansbert ni blogger mzoefu pia.<a href="http://www.ngurumo.blogspot.com/" target="_blank">Blog yake</a> ambayo inaongozwa na kichwa cha habari, <a href="http://www.ngurumo.blogspot.com/" target="_blank"><strong>Utakapojua Hujui Ndipo Utakapojua</strong></a>, ni sehemu mojawapo nzuri ambapo unaweza kukuta kazi zake za uandishi,mitizamo na pia mikingamo.<br />
</span></p>
<p><span style="font-family:Verdana;font-size:9pt;">Hivi karibuni,jamaa wa mtandao wa <a href="http://www.rap21.org/rubrique163.html" target="_blank">Rap21</a>,walifanya naye mahojiano ambayo kwa kila hali ni &#8220;must read&#8221; kwa mtu yeyote ambaye yupo kwenye fani ya ku-blog au ni mfuatiliaji wa maendeleo ya tekinolojia hii ambayo mimi naiita mapinduzi ya karne katika ulimwengu wa habari na mawasiliano.<br />
</span></p>
<p><span style="font-family:Verdana;font-size:9pt;">Katika <a href="http://www.rap21.org/article20075.html">mahojiano hayo</a>,Ansbert ameongelea kwa mapana jinsi ambavyo blogs,ikiwemo ya kwake, zinazidi kuboresha mapinduzi hayo na pia jinsi gani blogs zinaweza kutumika katika kuboresha maisha ya wanajamii,kutunza historia zetu,kufichua maovu nk.<a href="http://www.rap21.org/article20075.html" target="_blank"><strong>Bonyeza hapa</strong></a> ili kusoma mahojiano hayo.<br />
</span></p>
]]></content:encoded>
			<wfw:commentRss>http://www.bongocelebrity.com/2009/01/18/ansbert-ngurumo-anapojadili-blogs/feed/</wfw:commentRss>
		<slash:comments>7</slash:comments>
		</item>
		<item>
		<title>HONGERA TK!</title>
		<link>http://www.bongocelebrity.com/2009/01/14/hongera-tk/</link>
		<comments>http://www.bongocelebrity.com/2009/01/14/hongera-tk/#comments</comments>
		<pubDate>Thu, 15 Jan 2009 00:16:34 +0000</pubDate>
		<dc:creator>bongocelebrity</dc:creator>
				<category><![CDATA[Blogging]]></category>
		<category><![CDATA[Blogs]]></category>
		<category><![CDATA[Bongo Reality TV]]></category>

		<guid isPermaLink="false">http://bongocelebrity.wordpress.com/2009/01/14/hongera-tk/</guid>
		<description><![CDATA[Kwa mujibu wa jamaa wa Technorati,inakadiriwa kwamba blog mpya zaidi ya mbili huanzishwa katika kila sekunde,kila siku.Mpaka tarehe 31 Julai mwaka 2006 kulikuwa tayari na blog zaidi ya milioni 50! Pamoja na mafanikio hayo ya uandishi huu unaoitwa uandishi wa kiraia (Citizen Journalism) ,bado hakuna takwimu za uhakika zinazoonyesha ni blogs ngapi &#8220;zinakufa&#8221; kila siku [...]]]></description>
			<content:encoded><![CDATA[<p style="text-align:center;"><img class="size-full wp-image-2803 aligncenter" title="tk-bannerbc" src="http://bongocelebrity.files.wordpress.com/2009/01/tk-bannerbc.jpg" alt="tk-bannerbc" width="591" height="279" /></p>
<p><span style="font-family:Verdana;font-size:9pt;">Kwa mujibu wa jamaa wa <a href="http://technorati.com/" target="_blank">Technorati</a>,inakadiriwa kwamba blog mpya zaidi ya mbili huanzishwa katika kila sekunde,kila siku.Mpaka tarehe 31 Julai mwaka 2006 kulikuwa tayari na blog zaidi ya milioni 50!<br />
</span></p>
<p><span style="font-family:Verdana;font-size:9pt;">Pamoja na mafanikio hayo ya uandishi huu unaoitwa uandishi wa kiraia (Citizen Journalism) ,bado hakuna takwimu za uhakika zinazoonyesha ni blogs ngapi &#8220;zinakufa&#8221; kila siku au kutelekezwa.Lakini ni wazi kwamba ni nyingi pengine kupita kiasi.Mtu anaanza kublog kwa kasi ya aina yake.Baada ya siku chache haonekani tena hewani.Amekosa muda au amekosa hamasa.Lengo alilokuwa nalo limempotea. Hawezi tena.Kila mtu ana majibu yake.<br />
</span></p>
<p><span style="font-family:Verdana;font-size:9pt;">Ndio maana inapotokea mtu akadumisha blog yake kwa angalau mwaka mmoja inasemekana hawezi kuacha tena ku-blog.Kimsingi mtu huyo anastahili sio tu pongezi bali heshima.<br />
</span></p>
<p><span style="font-family:Verdana;font-size:9pt;">Mmojawapo miongoni mwa watu hao ni mwanadada anayeonekana pichani hapo juu.Kwa wengi anajulikana kama TK lakini jina lake halisi ni Teddy Kalonga.TK ni miongoni mwa watu wanaotambulika kirahisi nchini kwetu ambao hawajabaki nyuma kunako tekinolojia hii ya blog.Hivi majuzi alisheherekea mwaka mzima tangu aanzishe blog yake inayopatikana kwa <a href="http://total-knockout.blogspot.com/" target="_blank">kubonyeza hapa.</a><br />
</span></p>
<p><span style="font-family:Verdana;font-size:9pt;">Tunaungana na wengine wote kumpongeza TK na kumtakia kila la kheri katika kuendeleza &#8220;libeneke&#8221; kama anavyopenda kusema mwanablogu mwingine maarufu,<a href="http://issamichuzi.blogspot.com/" target="_blank">Muhidini Issa Michuzi</a>.<a href="http://total-knockout.blogspot.com/2009/01/total-knockout-first-anniversary-party.html" target="_blank">Bonyeza</a> hapa uone jinsi Teddy alivyosheherekea mwaka wake mmoja wa  ku-blog.Hongera.<br />
</span></p>
<p><span style="font-family:Verdana;font-size:9pt;">NB: Kama na wewe una blog yako na unasheherekea mwaka au miaka,usisite kuujulisha umma kupitia hapa hapa ndani ya BC.<br />
</span></p>
]]></content:encoded>
			<wfw:commentRss>http://www.bongocelebrity.com/2009/01/14/hongera-tk/feed/</wfw:commentRss>
		<slash:comments>7</slash:comments>
		</item>
		<item>
		<title>MICHUZI YUPO,ATAREJEA PUNDE</title>
		<link>http://www.bongocelebrity.com/2008/08/11/michuzi-yupoatarejea/</link>
		<comments>http://www.bongocelebrity.com/2008/08/11/michuzi-yupoatarejea/#comments</comments>
		<pubDate>Mon, 11 Aug 2008 18:03:59 +0000</pubDate>
		<dc:creator>bongocelebrity</dc:creator>
				<category><![CDATA[Blogging]]></category>
		<category><![CDATA[Blogs]]></category>

		<guid isPermaLink="false">http://bongocelebrity.wordpress.com/2008/08/11/michuzi-yupoatarejea/</guid>
		<description><![CDATA[Kama kawaida,e-mails na ujumbe kupitia sehemu ya maoni zimetufikia kutoka kwa &#8220;wadau&#8217; mbalimbali wakitaka kujua ni kwanini hawaipati blog ya Muhidin Issa Michuzi.Tumewasiliana naye na ametujulisha kwamba blog yake imekumbwa na tatizo la kiufundi ambalo hivi sasa anahangaika kulirekebisha.Tatizo lipo kwa upande wa host wa blog yake(blogger=google).Tatizo wanalijua na wanalishughulikia.Anaangalia pia uwezekano wa kubadilisha host [...]]]></description>
			<content:encoded><![CDATA[<p><img class="size-full wp-image-1906 alignleft" src="http://bongocelebrity.files.wordpress.com/2008/08/michuzibc12.jpg" alt="" width="113" height="160" /><span style="font-size:9pt;font-family:Verdana;">Kama kawaida,e-mails na ujumbe kupitia sehemu ya maoni zimetufikia kutoka kwa &#8220;wadau&#8217; mbalimbali wakitaka kujua ni kwanini hawaipati blog ya Muhidin Issa Michuzi.Tumewasiliana naye na ametujulisha kwamba blog yake imekumbwa na tatizo la kiufundi ambalo hivi sasa anahangaika kulirekebisha.Tatizo lipo kwa upande wa host wa blog yake(blogger=google).Tatizo wanalijua na wanalishughulikia.Anaangalia pia uwezekano wa kubadilisha host ili mambo yaendelee kuwa mazuri kama ilivyokuwa.<br />
</span></p>
<p><span style="font-size:9pt;font-family:Verdana;">Pia ameomba kuwatoa shaka baadhi ya wasomaji au waulizaji ambao walikuwa wanahisi labda kuna &#8220;ufisadi&#8221; umefanyika kuiondoa hewani blog yake.Anasema hakuna kitu kama hicho.Wakati huo huo,huku akisubiri mambo yarejee,hivi sasa anaendeleza libeneke kupitia pale kwenye uwanja mpana wa <a href="http://dailynews.habarileo.co.tz/" target="_blank">Daily News</a>.<a href="http://dailynews.habarileo.co.tz/" target="_blank"><strong>Bonyeza hapa</strong></a> ili uone pamoja na mambo mengine,jinsi Watoto wa Jangwani,Yanga, walivyoepushwa na kifungo cha miaka miwili.Haki imetendeka sasa,taratibu zilipindishwa!</span></p>
]]></content:encoded>
			<wfw:commentRss>http://www.bongocelebrity.com/2008/08/11/michuzi-yupoatarejea/feed/</wfw:commentRss>
		<slash:comments>7</slash:comments>
		</item>
		<item>
		<title>MICHUZI BLOG YA MUDA</title>
		<link>http://www.bongocelebrity.com/2008/07/12/michuzi-blog-ya-muda/</link>
		<comments>http://www.bongocelebrity.com/2008/07/12/michuzi-blog-ya-muda/#comments</comments>
		<pubDate>Sat, 12 Jul 2008 19:45:01 +0000</pubDate>
		<dc:creator>bongocelebrity</dc:creator>
				<category><![CDATA[Blogging]]></category>
		<category><![CDATA[Blogs]]></category>
		<category><![CDATA[Tangazo/Matangazo]]></category>

		<guid isPermaLink="false">http://bongocelebrity.com/2008/07/12/michuzi-blog-ya-muda/</guid>
		<description><![CDATA[Ufuatao ni ujumbe kutoka kwa Michuzi. Wadau kunradhi, Kutokana na matatizo ya kiufundi aliyonayo host wa globu ya jamii, tutaendeleza libeneke kwa muda kama kawa kupitia michuziblog.blogspot.com hadi hapo mambo yatapokuwa mswano. Wadau nawaomba msikonde wala nini haya ni mambo ya kawaida ikiwa ni katika kuboresha huduma maana sasa www.michuzi-blog.com ni website kamili na itafanya [...]]]></description>
			<content:encoded><![CDATA[<div style="font-family:Georgia;"><span style="font-size:small;">Ufuatao ni ujumbe kutoka kwa Michuzi.</span></p>
<p><img class="size-full wp-image-1649 alignleft" src="http://bongocelebrity.files.wordpress.com/2008/07/michuzibc1.jpg" alt="" width="146" height="160" /><span style="font-size:small;">Wadau kunradhi,</span></div>
<p><span style="font-size:small;">Kutokana na matatizo ya kiufundi aliyonayo host wa globu ya jamii, tutaendeleza libeneke kwa muda kama kawa kupitia <strong><span style="text-decoration:underline;"><a href="http://michuziblog.blogspot.com/" target="_blank">michuziblog.blogspot.com</a></span></strong> hadi hapo mambo yatapokuwa mswano. </span></p>
<div style="font-family:Georgia;"><span style="font-size:small;"> </span></div>
<p><span style="font-size:small;">Wadau nawaomba msikonde wala nini haya ni mambo ya kawaida ikiwa ni katika kuboresha huduma maana sasa <a href="http://www.michuzi-blog.com/" target="_blank"><em>www.michuzi-blog.com</em></a> ni website kamili na itafanya vitu maradufu ya awali.</span><span style="font-size:small;">Asanteni kwa uvumilivu na kunradhi kwa usumbufu ulio nje ya uwezo wetu.</span></p>
<div style="font-family:Georgia;"><span style="font-size:small;"> </span></div>
<div style="font-family:Georgia;"><span style="font-size:small;"> </span></div>
]]></content:encoded>
			<wfw:commentRss>http://www.bongocelebrity.com/2008/07/12/michuzi-blog-ya-muda/feed/</wfw:commentRss>
		<slash:comments>36</slash:comments>
		</item>
	</channel>
</rss>
