
Wewe,kama ilivyo kwangu na watu wengine wengi,hupenda kuutumia muda wa mwisho wa wiki(weekend) katika kutafakari mambo kadhaa ambayo yametokea katika wiki na pia kupanga mikakati kwa ajili ya wiki ijayo.Unaweza kuwaza ukiwa umepumzika na marafiki,ndugu au jamaa na pia unaweza kuwaza ukiwa peke yako.Haijalishi ulipo kwani kuwaza ni kuwaza tu.
Leo au weekend hii nakuomba uwaze kuhusu hili.Una mchango gani katika hali ambayo unaiona katika picha hiyo hapo juu?Umechangia namna gani katika kutatua tatizo hilo au kulianzisha?Unalo jambo ambalo unaweza kulifanya au ungependa nawe kuwa miongoni mwa walalamikaji tu? Inawezekana kwamba ile rushwa uliyotoa au kupokea juzi ni mchango mmojawapo katika kuanza na kukomaa kwa tatizo hili? Unayo furaha ya miaka 50 ya Uhuru wa Bara katika hali hii?
BC’s Weekend Thought:Uwe na weekend njema
FACULTY OF LAW, UNIVERSITY OF DAR ES SALAAM

INVITATION TO FACULTY OF LAW GOLDEN JUBILEE ACTIVITIES AND CLIMAX CEREMONY
Esteemed Alumni, Former and Current Staff, Stakeholders and Friends of the Faculty of Law, University of Dar es Salaam
In the week of 17th to 22nd October 2011, the Faculty of Law, University of Dar es Salaam will be organising events to mark 50 years of its establishment. The highlights of the activities are:
-
17th and 18th October 2011: The Inauguration ceremony and Symposium on ‘Constitutionalism and Constitution Making in Tanzania which will be addressed by experts from within and outside the country.
-
18th October 2011: Faculty of Law Open Day: Book Launch, Exhibitions and Moot Court.
-
19th and 21st October 2011: A Colloquium on 50 Years of Pioneering Scholarship and Legal Education in East Africa which will be addressed by, among others first members of the staff of the Faculty of Law.
-
20th October 2011: Graduation Ceremony for Postgraduate and Honorary degreed (University Programme)
-
22nd October 2011: Climax of celebrations including A Procession of Alumni, addressed, entertainment, awards and recognition ceremony and Alumni reunion. Official Attire for Lawyers is highly encouraged.
On behalf of the Faculty of Law, I cordially invite all alumni, former and present staff both academic and administrative, members of the legal profession, stakeholders and friends to attend all or some of the above events. In particular, I would like to urge the Alumni WITHIN AND OUTSIDE THE COUNTRY to attend the climax celebration events.
For further information you may call: Ms. Asina Omari: +255713453639 or Reginald Mhango +255 7548000043. Email: fol50@udsm.ac.tz ,
Prof. Palamagamba John KABUDI
Dean & Chair, Faculty of Law Golden Jubilee Organizing Committee (GOJOC)

Dr. Jane Goodall will on July 21, 2010 make a public lecture on Environment & Humanitarian issues at State University Zanzibar(SUZA), Vuga Campus- the main lecture room at 11.00am. Thus, all public and reporters are welcome to participate and share interested information.
Dame Valerie Jane Morris Goodall, DBE (born 3 April 1934), is a British
primatologist, ethologist, anthropologist, and UN Messenger of Peace. She is well-known for and family interactions in Gombe Stream National Park, Tanzania, and for founding the Jane Goodall Institute.
She obtained a Ph.D degree in Ethology in 1965 from Cambridge University. She is one of only nine people to receive a Ph.D without first obtaining a BA or B.Sc. Her Thesis Advisor was Robert Hinde.Goodall was set on the path of chimpanzee study by Louis Leakey.
She became the first of “Leakey’s Angels” when she began her first field study of chimpanzee culture in the Gombe Stream National Park in Tanzania. Goodall had always been passionate about animals and Africa, which brought her to the farm of a friend in the Kenya highlands in 1957.
From there, she obtained work as a secretary, but acting on her friend’s advice she telephoned Louis Leakey 

Mkurugenzi Mtendaji wa Global Publishers & General Enterprises Ltd na mjasiriamali, Bw. Eric Shigongo(pichani), anatarajiwa kuhutubia nchini Marekani katika Mkutano maalum ulioandaliwa na Watanzania waishio nchini humo (Diaspora Council of Tanzanians in America – DICOTA).
Katika mkutano huo unaotarajiwa kufanyika kwa muda wa siku nne kuanzia Julai 1, mwaka huu katika jiji la Minneapolis, Marriott Hotel, Minnesota, Rais wa Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar, Mh. Aman Abeid Karume, amealikwa kuwa mgeni rasmi. Viongozi wengine watakaohudhuria mkutano huo ni pamoja na maofisa waandamizi na wafanyabishara wakubwa kutoka Serikali ya Tanzania na Marekani.
Aidha, Mwenyekiti Mtendaji wa makampuni ya IPP, Bw. Reginald Abraham Mengi, naye ni miongoni mwa wageni waalikwa wa mkutano huo ambao unafanyika kwa mara ya pili nchini humo ukiwakutanisha Watanzania waishio ughaibuni. Mada mbalimbali zitatolewa na Watanzania waishio ndani na nje ya Marekani.
Katika mkutano huo, Bw. Shigongo anatarajiwa kutoa mada itakayoelezea jinsi ya kufanikiwa kiuchumi katika mazingira ya Tanzania na anatarajiwa kuwahamasisha Watanzania waishio ughaibuni kuwekeza nyumbani Tanzania.
Katika siku za hivi karibuni, Bw. Shigongo amejipatia umaarufu kwa kutoa elimu, ushauri kwa vijana na wanafunzi wa shule za msingi, sekondari na vyuo vikuu nchini kupitia mikutano na hafla mbalimbali anazoandaa au kualikwa kwa lengo la kutoa elimu ya ujasiriamali kwa vijana wa kitanzania.
Kwa taarifa zaidi juu ya mkutano huo tafadhali tembelea ukurasa wa Diaspora Council of Tanzanians in America-DICOTA)
Katikati ya mwaka jana,mwanamuziki Kelly Rowland kutoka nchini Marekani alikuwa na ziara ndefu ya barani Africa kwa hisani ya MTV kwa ajili ya kutembelea na kujionea harakati mbalimbali za kupambana na ugonjwa wa ukimwi.Alipitia sehemu nyingi ikiwemo Tanzania.Alifika mpaka “Uwanja wa Fisi”.Hii hapa ni Diary yake kuhusiana na safari hiyo.
Diary of Kelly Rowland from mtv staying alive on Vimeo.
Tafadhali naomba usinichoke kwa kupenda kutundika masuala/hotuba za Obama.Nafanya hivyo kwa kuamini kwamba kila siku binadamu tunajifunza au tunatakiwa tujifunze mambo mapya.Hotuba za Obama zawezekana kuwa hazikufunzi mambo mapya ila kwa mapana na marefu naaamini zinatukumbusha mambo mbalimbali.Pia namfuatilia Obama kwa sababu angalau yeye ndio mwanasiasa ambaye namuona hapendi “kuongopa waziwazi”.Obama hawezi kukuambia kesho atakujengea daraja wakati moyoni mwake anajua kabisa hela za daraja alishakula. Hawezi pia kutoa ahadi za maisha bora kwa wote bila kukumbusha kwamba kazi ndio msingi wa maendeleo.
Obama anaweza kuwa anaongea na kundi fulani tu la watu lakini akawa anatoa ujumbe mkali kwa jamii mbalimbali.Cha msingi labda ni kusikiliza kwa makini na kufanya tathmini makini. Hivi majuzi Obama alialikwa na kutoa hotuba wakati wa kusherekea miaka 100 ya chombo muhimu cha Wamarekani Weusi kinachoitwa NAACP(National Association for the Advancement of Colored People)
Katika hotuba yake,Obama aliongelea mengi.Muhimu zaidi ambalo naamini hata sisi watanzania tunaweza kujihusisha nalo ni suala la elimu kwa watoto wetu,jamii zetu. Ulimwengu wa leo,wa ushindani wa namna hii,unahitaji elimu makini.Je tunafanyaje katika hilo? Viongozi wetu wanatupeleka wapi? Hebu tujiulize, tangu marais wetu waliofuatia baada ya J.K.Nyerere wametusaidia kujenga maktaba ngapi? Hivi unajua jiji la Dar-es-salaam lina maktaba ngapi?

Umewahi kusoma makala zake,vitabu vyake na pia kusikiliza muziki wake.Jina lake sio geni.Nimeshawahi kufanya naye mahojiano. Anaitwa Freddy Macha,mtanzania mwandishi,mwanamuziki mwenye makazi jijini London nchini Uingereza.
Mwezi wa Mei mwaka huu,Freddy aliitikia wito wa kurudi nyumbani Tanzania na kugawana na wengine ujuzi mbalimbali alionao katika masuala ya uandishi,fasihi, muziki, maisha ya ughaibuni, mazoezi,afya na chakula bora. Alifanya hivyo kupitia semina mbalimbali alizoziendesha pale British Council,Soma Cafe(Mikocheni), Shule ya Sekondari Mwandege na Nyumba ya Sanaa.
Semina alizozifanya Macha ziliandaliwa na Jarida jipya la Lucky-Ideas For Living.Freddy anatarajiwa kurudi tena Tanzania mwezi Septemba mwaka huu ili kuendesha semina zingine.Usikose

Freddy Macha akiongelea uandishi wa vitabu na makala.Hapa ilikuwa Nyumba ya Sanaa jijini Dar-es-salaam.

Freddy akimuelekeza mmoja miongoni mwa waliohudhuria semina jinsi ya kufanya mazoezi ya tumbo.

Ni wazi kwamba tukiuliza swali kwamba kwanini Tanzania bado ni nchi ambayo,pamoja na rasilimali zote ilizonazo,bado haijaweza kupata maendeleo ya kiuchumi inayostahili,majibu yatakuwa ni mengi na pengine yanayotofautiana sana.Pamoja na tofauti ambazo zinaweza kujitokeza tunapojadiliana, mijadala ya namna hiyo ni muhimu kufanyika kwani inatupa mwanga wa nini pengine kifanyike ili tusije warithisha wanetu nchi ambayo hata wakitaka kuiuza,wasipate mnunuzi.
Miongoni mwa watu ambao wanatarajiwa kuchochea mijadala kama hiyo ni pamoja na wasomi mbalimbali tulionao.Haishangazi basi kusikia kwamba leo Prof.Issa Shivji(pichani) anatarajiwa kuzindua kitabu kinachoainisha mambo mbalimbali yanayosababisha nchi yetu kutopata maendeleo makubwa ya kiuchumi tangu tupate uhuru miaka arobaini na ushee iliyopita.Kwa habari zaidi bonyeza hapa.

Hakuna ubishi kwamba kijana Hamis Mwinjuma au maarufu kama MwanaFalsafa(MwanaFA) ni miongoni mwa wanamuziki wa muziki wa kizazi kipya ambao wamefanikiwa.MwanaFA amefanikiwa sio tu kufikisha ujumbe alioukusudia kwa jamii bali pia kuwa na uwezo wa kuendesha maisha yake kupitia muziki.Miziki yake imekuwa ikiimbwa na watu wa rika mbalimbali.Hayo nayo ni mafanikio.
Pamoja na mafanikio ya kimuziki au kisanii aliyonayo MwanaFA,anabakia kuwa mfano wa kuigwa linapokuja suala zima la elimu,muziki na maisha.Hivi karibuni alithibitisha hilo pale alipoamua kurejea tena shule.Safari hii ameelekea nchini Uingereza.
Nini kinamsukuma kijana huyu katika nyanja ya elimu? Na je hivi karibuni alipoachia wimbo unaokwenda kwa jina “Msiache Kuongea” alikuwa anamjibu Inspekta Haruni?Anazungumziaje maisha ya nchini Uingereza?Fuatana nasi katika mahojiano haya mafupi na MwanaFA
BC: Pamoja na mafanikio mazuri katika muziki kule Bongo bado umeamua kurudi tena shule.Nini kinakusukuma?Hapo UK umeenda kusomea nini na katika chuo gani?
FA: Kuna mengi yanafanya nifanye nnachofanya.Lakini kubwa na la msingi zaidi ni kuwa na nguzo nyingine kwa ajili ya maisha ninayoishi(Plan B).Kama unavyojua muziki pamoja na kuwa unakwenda vizuri lakini hautabiriki sana.Ni ngumu kujihakikishia nafasi ya moja kwa moja kwa angalau miaka 10 ijayo.


sending...