
Ingawa kila siku idadi ya bloggers wa kitanzania inazidi kuongezeka,idadi ya wanawake wanaoblog bado ni ndogo ikilinganishwa na wale wa kiume.Yawezekana ni kwa sababu wanawake bado hawajapata mwamko wa kutosha au pengine ni kitu ambacho bado wanakipa kisogo.
Lakini pamoja na idadi ya wanawake kuwa ndogo,wanaofanya hivyo wanafanya kazi nzuri sana ya kuwawakilisha wanawake wenzao.Miongoni mwa wanawake hao ni pamoja na Shamim Mwasha au Zeze kama anavyojulikana kwa watu wake wa karibu.
Iwe ni shughuli yenye mvuto wa kitaifa au wa mtu binafsi(hususani zile zenye kuwagusa wanawake zaidi),ukihudhuria na kutizamatizama katika watu waliopo mstari wa mbele katika kuchukua kumbukumbu iwe ni kwa kutumia picha za mgando(still photos) au videos,bila shaka waweza kumuona Zeze.Ukimsalimia atakujibu na kukurushia tabasamu ambalo naweza kusema ni “signature” yake.
Hivi karibuni nilipata nafasi ya kufanya naye mahojiano ambayo utayasoma hivi punde.Zeze ambaye blog yake inakwenda kwa jina www.8020fashions.blogspot.com, anaweka bayana mambo kadhaa kuhusu harakati zake kama mwandishi wa habari(taaluma yake) na pia blogger pamoja na ujasiriamali.
Yote tisa,kumi ni kwamba siku chache zijazo,Shamim kupitia blog yake ya 8020fashions,anasheherekea miaka mitano(5) tangu aanze shughuli ya kublog au Libeneke la kublog kama ambavyo rafiki yangu Issa Michuzi hupenda kuiita shughuli hii.Nimemuuliza pia maswali machache kuhusu siku hiyo maalum kwake na kwa wapenzi wa blog yake ambayo itafanyika pale Diamond Jubilee tarehe 30 October,2011.Twende pamoja katika mahojiano yafuatayo;
BC: Umekuwa uki-blog kwa muda gani mpaka hivi sasa?Nini kilikusukuma katika kuanzisha blog yako?
SM: Huu ni mwaka wangu wa tano sasa tangu nianze hili libeneke.Kikubwa kilichonisukuma kilikuwa ni nia yangu ya kutangaza biashara ya duka langu la nguo liitwalo 8020 Fashion lililopo Sinza.Nikaona nifungue blog ili niwe naweka nguo na bidhaa zingine kadiri zinavyowasili dukani.Sasa kama ujuavyo si kila siku naweza kuwa na new arrival na ili watu warejee kuangalia blog ndio nikaanza kuweka picha za matukio mbalimbali huku nikiwa nimejikita kwenye fashion zaidi katika kuonyesha nini kilivaliwa wapi na nani na mambo kama hayo.
BC: Kitaaluma wewe ni mwandishi wa habari. Sasa ukiwa kama blogger,unadhani kuna tofauti gani za kimsingi kati ya mwandishi wa habari wa kawaida na blogger? Je,kuna misingi ambayo wote (a journalist and a blogger) wanayotakiwa kuzingatia?
SM: Ni kweli kabisa,ipo tofauti kubwa sana. Kama ujuavyo blogger inakuwa ni mimi kama mimi ambapo nisipo-update ni blog inakuwa imelala doro. Hivyo kuwa kama blogger inabidi uwe na juhudi binafsi za kujituma kitu ambacho ni tofauti na mwandishi wa habari ambapo hata wewe usipoenda kazini au kufanya kazi gazeti ni lazima litoke tu.
BC: Blog yako imejikita zaidi katika kuandika habari za urembo,shughuli kama vile harusi,kitchen party,fashion shows nk.Ni kwanini uliamua kuwa na “niche” kama hiyo?

The name Belina Mgeni is not uncommon among fashion and modeling enthusiasts in Tanzania and across Africa. She is one of the gorgeous models to come from the land of Kilimanjaro and Zanzibar. Belina, who is called “Tyra Banks” by her friends and fans,is highly expected to follow the suit of other Tanzanians models such as Flaviana Matata,Millen Magese and Tausi Likokola etc who have made it “international”.
I recently had an opportunity to interview her on a couple of things including her modeling career, a bit about her personal life and more. Here is how it all went down in the 10 Questions for Belina Mgeni;
BC: Can you tell me a bit about your background. When and where were you born? Did you grow up there or you moved to somewhere else?
BELINA: I was born in Biharamulo-Kagera Region almost three decades ago. I then moved to several other regions before settling in Shinyanga and later on moved to Dar-es-salaam.
BC: What attracted you to the world of fashion and modeling and how did you start? Were you discovered by someone?
Without a doubt, Flaviana Matata, is one of the African Models that are doing real good in modeling out of Africa.For the past one year or so,she has been busy working with a number of world class designers from New York to London,Paris etc Here are some images of her during the recent NY Fashion Week Fall/Winter 2011.







The 8 Finalists for the Swahili Fashion Week Emerging Designers 2010 competiton with event Organizer Mustafa Hassanali
“Contemporary Swahili” is the Theme of 2010 Competition
The last 8 Finalists are competing for the prestigious emerging designer title during the Swahili Fashion Week to be held in November this year.
The selection was held on 10 September 2010 at the Southern Sun Hotel where 8 emerging designers were selected by a Panelist of Four Judges. The team of Judges consisted of ,Nsao Shalua, The Director of Arts of the National Arts Council, Jamila Swai, a leading women’s fashion designer, Michelangelo Adam from Italian Embassy and Mustafa Hassanali.
The finals designers are Zarina Suleiman, Pooja Narendrakumar Jeshang, Abduel Urassa, Shaban Mfaume, Kelvin Boniface, Subira Rahma Wahure, Angelina Muna and Grace Kijo.
“In short! All 16 were good but as this is a competition we must choose the winners, the final selection has shown real creative talent in fashion designing”, explained Washington Benbella, Swahili Fashion Week Coordinator. 

She is famously known as a Goodwill Ambassador for Tanzania. Her name is Tausi Likokola, one of the most successful international models that Tanzania has ever produced. In her modeling career, she has graced the catwalk stages of international shows and showcased some of the most renowned labels such as Gucci, Escada, Tommy Hilfiger, Christian Dior, Issey Miyake and many more.
However, Tausi is not just a model or a Goodwill Ambassador for Tanzania. She is an activist, an author and a mother. She is the founder of the not-for-profit organization, Tausi AIDS Fund, which supports prevention and awareness programs against HIV/AIDS in Africa. It is actually her efforts to support prevention and awareness of HIV/AIDS in Africa that landed her the title of a Goodwill Ambassador for Tanzania as a recognition and encouragement from the Government of Tanzania.
Recently, Tausi added yet another book in her list of books that she has authored. Her most recent book is titled The Touch of An Angel. About this book, Tausi says; “This is the closest and most private part of my life. This is my story of loss and how I am reconciling that loss. This is a memoir of my angel, AMANI. It is a story of life’s joy and pain”.
I recently caught up with Tausi to talk about her new book and also a couple of other things. Here is the interview;
BC: Congratulations for the launch of your latest book, The Touch of An Angel and welcome to BongoCelebrity.com. How are you doing today?
Tausi: Doing very well, thank you for all your support over the years.
BC: When did you decide to write a The Touch of an Angel? Did you have any particular reason for starting to write at that very moment?
Tausi: I have been writing as long as I can remember and always expressed myself through writing….likewise with this book….I was working my feeling and emotions through my writing. I started writing the book in Japan in 2005 following the death of my first born “Amani”….this book is on the incident that unfolded during that time.
BC: How was your writing process like? Did you have to get up early morning everyday to write or how did it go? 

Hatimaye mrembo wa Miss Universe Tanzania 2010/11 amepatikana. Ni mrembo Hellen Dausen(pichani) mwenye umri wa miaka ishirini na tatu (23) kutoka mkoani Arusha.Nafasi ya pili ilikwenda kwa Rose Shayo kutokea Dodoma wakati ya tatu ilikwenda kwa Mwajuma Juma kutokea Mwanza.
Pichani ni Hellen akipunga mkono baada ya kutwaa taji la umalkia huo nchini katika ukumbi wa Mlimani City jijini Dar usiku wa kuamkia jana.Hongera Hellen.
Picha kwa hisani ya Mrocky.

If you try to dig the history books of the Tanzanian world of Fashion and Beauty, you will most likely come across the name Linda Bezuidenhout. She is one of first enthusiasts of fashion and beauty in Tanzania. I am talking about the days when she owned a once most famous beauty salon in Dar-es-salaam(Lamia Salon) to the days when she used to be the official beautician for the beauties of Miss Tanzania Beauty Pageant.
Married with three kids,she now lives in Georgia,USA where she continues to follow her passion of fashion,clothing and beauty in a little bit different way.She is now an even more serious entrepreneur.She recently caught up with our sisters of Fashion Junkii for a candid interview. Click here to read it all.
Mwanamitindo maarufu ulimwenguni,Naomi Campbell,yaelekea akaingia matatani tena kwani hivi sasa polisi wa jijini New York nchini Marekani,wanamsaka!
Naomi,ambaye mwaka jana alitua nchini Tanzania na kushiriki katika onyesho la hisani kwa ajili ya akina mama, safari hii anatafutwa akikabiliwa na shutuma za kumchapa vibao dereva wake huko New York.
Mwanamitindo huyo ambaye inasemekana ni mpenda ugomvi sio mgeni na vyombo vya usalama.Siku za nyuma amekwisha kutwa na hatia ya kumpiga mfanyakazi wake wa ndani jijini New York, kumpa kibano msaidizi wake jijini Toronto na pia kumwangushia kisago polisi ndani ya ndege katika uwanja wa ndege wa Heathrow jijini London.Katika makosa yote hayo hapo juu,Naomi alikiri makosa yake na alihukumiwa kufanya kazi za kijamii(community services) kwa masaa zaidi ya 200.Kazi kweli kweli.Hivi kwanini kuna baadhi ya watu huwa wanadhani wanayo haki ya kuwaadhibisha watu wengine kiholela tu?Ni matunzo,jamii au?
NB:Hivi unajua Naomi Campbell alipokuwa mdogo alishiriki katika video ya Mfalme wa Reggae,Bob Marley katika wimbo One Love? Mtizame katika video hiyo hapo chini.Alikuwa na umri wa miaka 7 tu na hiyo ndio ilikuwa mara yake ya kwanza kuwa katika spotlight.


sending...