Dr. Jane Goodall will on July 21, 2010 make a public lecture on Environment & Humanitarian issues at State University Zanzibar(SUZA), Vuga Campus- the main lecture room at 11.00am. Thus, all public and reporters are welcome to participate and share interested information.


Dame Valerie Jane Morris Goodall, DBE (born 3 April 1934), is a British
primatologist, ethologist, anthropologist, and UN Messenger of Peace. She is well-known for and family interactions in Gombe Stream National Park, Tanzania, and for founding the Jane Goodall Institute.


She obtained a Ph.D degree in Ethology in 1965 from Cambridge University. She is one of only nine people to receive a Ph.D without first obtaining a BA or B.Sc. Her Thesis Advisor was Robert Hinde.Goodall was set on the path of chimpanzee study by Louis Leakey.

She became the first of “Leakey’s Angels” when she began her first field study of chimpanzee culture in the Gombe Stream National Park in Tanzania. Goodall had always been passionate about animals and Africa, which brought her to the farm of a friend in the Kenya highlands in 1957.

From there, she obtained work as a secretary, but acting on her friend’s advice she telephoned Louis Leakey read more

BYWanaowania tuzo maarufu za muziki za Grammy kwa mwaka 2010 wametangazwa usiku huu jijini Los Angeles ambapo mwanamuziki/mwanadada Beyonce Knowles ndiye ameongoza kwa kupata teuzi nyingi zaidi. Beyonce, kwa ujumla ameteuliwa kuwania tuzo hizo katika vipengele kumi vikiwemo albamu ya mwaka kupitia album yake ya “I am…Sasha Fierce, nyimbo ya mwaka kupitia wimbo wake “Single Ladies(Put a Ring On It) na rekodi ya mwaka kupitia wimbo wake wa “Halo”

Beyonce anafuatiwa kwa karibu na mwanamuziki ambaye ameibuka muda sio mrefu sana na kupanda chati kwa kasi ya aina yake,Taylor Swift. Taylor ameteuliwa kuwania tuzo hizo katika vipengele nane akishindana na Beyonce katika kipengele cha albamu ya mwaka kupitia albamu yake “Fearless” nyimbo na rekodi ya mwaka kupitia wimbo wake “You Belong With Me”.

Lady Gaga naye hakuachwa nyuma sana. Ameteuliwa katika vipengele vitano vikiwemo album bora ya mwaka kupitia album yake ya “The Fame” huku wimbo wake wa “Poker Face” ukichaguliwa kuwania kuwa rekodi ya mwaka na wimbo wa mwaka.

Wanamuziki wengine maarufu walioteuliwa kuwania tuzo hizo ni pamoja na The Black Eyed Peas, Maxwell na Kanye West ambao wamepata uteuzi mara sita huku Jay-Z na DJ David Guetta wamepata uteuzi mara tano au katika vipengele vitano.Black Eyed Peas wanawania rekodi ya mwaka kwa wimbo wao maarufu “I Gotta A Feeling”.

Tuzo za Grammy za mwaka huu zina jumla ya vipengele 109 na zinatarajiwa kufanyika tarehe 31 mwezi January mwaka 2010.Kwa orodha ya vipengele vya juu katika kuwania tuzo hizo,tizama orodha iliyopo hapo chini au bonyeza hapa kwa orodha kamili

Record of the Year: “Halo,” Beyonce; “I Gotta Feeling,” The Black Eyed Peas; “Use Somebody,” Kings Of Leon; “Poker Face,” Lady Gaga; “You Belong With Me,” Taylor Swift.

Album of the Year: “I Am Sasha Fierce,” Beyonce; “The E.N.D.,” The Black Eyed Peas; “The Fame,” Lady Gaga; “Big Whiskey And The Groogrux King,” Dave Matthews Band; “Fearless,” Taylor Swift.

Song of the Year: “Poker Face,” Lady Gaga and RedOne, songwriters (Lady Gaga); “Pretty Wings,” Hod David and Musze, songwriters (Maxwell); “Single Ladies (Put a Ring On It),” Thaddis Harrell, Beyonce Knowles, Terius Nash & Christopher Stewart, songwriters (Beyonce); “Use Somebody,” Caleb Followill, Jared Followill, Matthew Followill and Nathan Followill, songwriters (Kings Of Leon); “You Belong With Me,” Liz Rose and Taylor Swift, songwriters (Taylor Swift). read more

oprah-winfreyMamilioni wamekuwa wakiangalia show yake. Kwa takribani miaka 25,jina la Oprah Winfrey limekuwa miongoni mwa majina yanayotambulika kwa urahisi zaidi duniani.

Ni miongoni mwa wanawake matajiri kupindukia na pia wenye uwezo mkubwa wa kubadilisha muelekeo wa takribani kitu chochote anachoamua kukiweka ubavuni mwake.Oprah akisema kitabu fulani ni kizuri,basi usishangae kikienda kuwa “best seller”.Akisema yeye nyumbani kwake anatumia aina fulani ya dawa kusafishia nyumba yake,ukienda madukani na kuambiwa zimekwisha,hutakiwi kushangaa.Ni Oprah factor.

Kuna imani kwamba yeye ni miongoni mwa watu muhimu sana kwa Rais wa Marekani,Barack Obama kwani alichangia kwa kiasi kikubwa ushindi wake kuelekea “Jumba Jeupe”.Oprah pia ni miongoni mwa watu maarufu wa kwanza kabisa kumkubali Obama na kusema wazi kwamba anataka jamaa agombee urais.Aliona mbali.

Sasa habari ni kwamba ameamua kuhitimisha au kusitisha show yake ifikapo tarehe 9 September mwaka 2011.Kwa maana hiyo bado kuna muda wa watu kuendelea kumfuatilia Oprah Winfrey ambaye bila shaka ni “mwana-mapinduzi” linapokuja suala la “Talk Shows”.Oprah anatarajiwa kutangaza rasmi uamuzi wake huo katika show itakayorushwa hewani hivi leo.

Je,fununu zinasema atafanya nini baada ya kuipa kisogo show yake? Unaweza kupata fununu hizo kwa kubonyeza hapa.

↑ Go Back to Top of Page